Hili taifa lina safari ndefu sana. Udini unakuja kwa kasi sana!

Hili taifa lina safari ndefu sana. Udini unakuja kwa kasi sana!

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?

Ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
 
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
 
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Umejichangaja tu
Christian/wakristo hawanaga time na mtu
 
Watu mna gombana kisa dini zilizo kuja kwa mitumbwi na boti??.

Haya nyie waislamu, nasikia ukifa una pewa mabikra 72- vipi wake, mama na dada zetu nao wata pewa vijeba 72 kila mmoja??

Haya na nyie wakristo, mnao sema yesu ni Mungu, vipi alipo kufa Dunia ili baki na nani??.
au alipo sema baba uni epushe na kikombe hiki, alikuwa ana igiza ehh 🤔
 
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
Hebu weka ushahidi wa mtu mmoja aliyefungua uzi wa kuisifia dini yake na akapingwa? Halafu kubishana kuhusu DINI sioni kama ni udini, hizo ndio debate zenyewe, uzi ukiwa wa upande mmoja tu wa kusifia haonogi, raha ya uzi lazima kua na HOJA kinzani. Kina Kiranga wao hawaamini kabisa kama kuna Mungu, ije kua DINI? Wale mimi hata siwachukii na wala sioni shida kwa wao kutokuamini; napendaga kufanya nao majadiriano, yaani mimi nithibitshe uwepo wa Mungu na wao wanambie why hawaamini katika Mungu. Same as mimi Mkristo, naweza nisiamini kama Uislam sio imani kutoka kwa Mungu, kuna ubaya gani tukifanya debate about it? Huo sio udini, mnafanya discussion isio na matusi, unaleta AYA na mimi naleta mistari, shida hapo ni AJE?
 
Watu mna gombana kisa dini zilizo kuja kwa mitumbwi na boti??.

Haya nyie waislamu, nasikia ukifa una pewa mabikra 72- vipi wake, mama na dada zetu nao wata pewa vijeba 72 kila mmoja??

Haya na nyie wakristo, mnao sema yesu ni Mungu, vipi alipo kufa Dunia ili baki na nani??.
au alipo sema baba uni epushe na kikombe hiki, alikuwa ana igiza ehh 🤔

Hiyo hoja ya pili, wagalatia watupe majibu.

Maana kuna sehemu Mungu anasema huyu ni mwanangu mpendwa msikilizeni. Atakayo wafundisha kayashikeni.
Pia alipokuwa msalabani slihangaika sana. Akasems Eloi Eloi... Yaani Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha
 
Waislam
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Waislam wanachukiwa maeneo mengi sana duniani na maeneo mengine wanapigwa kabisa kwa sababu ya itikadi zao za kutaka kulazimisha watu waishi kama wao ama kuwachukia na kubeza waziwazi itikadi za tofauti
Ila tunaendelea kuwavumilia maana ni special case
 
Hebu weka ushahidi wa mtu mmoja aliyefungua uzi wa kuisifia dini yake na akapingwa? Halafu kubishana kuhusu DINI sioni kama ni udini, hizo ndio debate zenyewe, uzi ukiwa wa upande mmoja tu wa kusifia haonogi, raha ya uzi lazima kua na HOJA kinzani. Kina Kiranga wao hawaamini kabisa kama kuna Mungu, ike kua DINI? Wale mimi hata siwachukii na wala sioni shida kwa wao kutokuamini; napendaga kufanya nao majadiriano, yaani mimi nithibitshe uwepo wa Mungu na wao wanambie why hawaamini katika Mungu. Same as mimi Mkristo, naweza nisiamini kama Uislam sio imani kutoka kwa Mungu, kuna ubaya gani tukifanya debate about it? Huo sio udini, mnafanya discussion isio na matusi, unaleta AYA na mimi naleta mistari, shida hapo ni AJE?

Uko sahihi kabisa. Binafsi niliwahi leta uZi ambao unaomba ufaufanuzi kwamba kwa nini tusiite uislam ni chombo au mpango wa kueneza na kudumisha tamaduni, mila na desturi za kiarabu. Kolichotokea ni kutukanwa na kukashifiwa tena kwa matamshi ya lugha ya kiarabu 😛
 
Waislam

Waislam wanachukiwa maeneo mengi sana duniani na maeneo mengine wanapigwa kabisa kwa sababu ya itikadi zao za kutaka kulazimisha watu waishi kama wao ama kuwachukia na kubeza waziwazi itikadi za tofauti
Ila tunaendelea kuwavumilia maana ni special case

Changamoto yao ni kuwa hawajui wanachotakq ni nini. Maana hata katika nchi ambazo wako pekee waislam, wanauana mpaka basi. Unajiuliza hivi huyo allahu wao wanaye muabudu ameshindwa kabisa kufanya mioyo ya watu hawa kuhurumiana, kuvumiliana na kupendana? Badala yake, mbona anawqjaza roho za chuki ndani yao?
 
Uk9 sahihi kabisa. Binafsi niliwahi leta uZi ambao unaomba ufaufanuzi kwamba kwa nini tusiite uislam ni chombo au mpango wa kueneza na kudumisha tamaduni, mila na desturi za kiarabu. Kolichotokea ni kutukanwa na kukashifiwa tena kwa matamshi ya lugha ya kiarabu 😛
Watu wasio na hoja ndio huaga wanaogopa mijadara, watu ambao hawakijui wanacho kiamini ndio hujaga na matusi. Tetea unacho kiamini, toa maandiko, thibitisha pasipo shaka ili wengine waamini; ukiona unatumia matusi kithibitisha unacho kiamini is either hukijui unacho kiamini or shutuma za wapinzani wako ju ya unacho kiamini ni za kweli, period
 
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
Kuna hatari kubwa udini kusambaratisha taifa. Ukabila tuliushinda ila hili la dini ni balaa zito.
 
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
vyama vya siasa vyenye sura hiyo na mirengo ya kidini, kikanda na kikabila vinajulikana gentleman,

wala hakuna haja ya kuzunguka wala kupepesa macho kwenye ukweli ambao uko wazi kabisa.

Ni CCM pekee ndiyo hukemea ushirikina huo ambao kwa upinzani ndiyo mtindo unaozingatiwa katika kugawana vyeo na madaraka.

Kama Taifa ni muhimu kukemea hiyo hali kwa nguvu zote 🐒
 
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Dini ya uislamu inachukiwa kwasabu ya misimamo yake, ndo maana walio wengi wanaipiga sana vita
 
Sasa wazia mtu ambaye anauweo wa kwako wa kujenga hoja unaingia naye kwenye kutoelewana. Lazima atakudhuru tu kwa chuki alizo nazo. Maana huna hoja zaidi ya chuki.
Unaelewa ulichokiandika hapa lakini? Kwanini usimquote huyo Pimbi alieanza kuleta kashfa hapa?

Punguza ushauri mkuu.
 
Hiyo ni gia wanataka kueneza udini wao wa kibiti
Njoo ukiwa mwislamu na mkuu wako mkristo ukipewa cheo atoe approve inaweza kukaa miez miwl anazungumka naongea hilo mm ni muhanga wa haya mm ndio mwenye elimu na experience kazn lakn akiondoka anakaimisha certificate kisa tu dini mpk wafanyakaz wengn anawatamkia msifanye kaz kama mpo msikitini so what I can say mbegu inayopandwa makazini kuhusu waislam kuonekana kama hz kaz tumepata kimakosa itakuwa nawiri vzr mbeleni
 
Back
Top Bottom