Hili taifa lina safari ndefu sana. Udini unakuja kwa kasi sana!

Hili taifa lina safari ndefu sana. Udini unakuja kwa kasi sana!

Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Church hakuna mafunzo ya kuchukia dini nyingine, ila kwenye mihadhara ya kiislamu chuki ndio main agenda.
 
Umejichangaja tu
Christian/wakristo hawanaga time na mtu
Huu ni uwongo wa wazi , mfano rahisi subiri Ramadhani ifike utakuta kwa siku mada zaidi ya kumi nyingine zinajirudia kufuatilia na kusema hivyo mambo ya Waislamu wengine wanavamia hata Uzi wetu wa "Ramadhani Special thread" ambao mahususi kwa sisis Waislamu kuelimishana mambo yanayofungamana na mwezi wa Ramadhani wanazama humohumo kuharibu Uzi.

Maarasssss!!!
 
Wewe punguani hua una chuki sana na Uislamu,
Bila shaka wewe ndio unaongoza humu JF
Kama ulipigwa talaka na Muislamu,basi usihamishe chuki zako kwenye uislamu,
Pambana na X wako huko.
unakurupuka tu, unavurumisha mawe hata hujui unayemlenga, eti naongoza kwa chuki kwa nyie kobaz. Tuliza kichwa acha kupayukapayuka uelimishwe
 
Yale mamihadhara ya kiislam yaliyokula ban yalikuwa yanakashifu ukristo, wakristo wakawa wanawasikilizia tu bila kuwa na munkari kuwajibu vikali wahuni wale waliokuwa wanajiita maustaadh wanazuoni. Kwa ujumla ukristo hauna mafundisho ya chuki kuchukia wasio wakristo, wana hekima na busara
 
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
Kabisa
Katika pitapita zangu nikasikia kipaza sauti ......wale ni makafiiirr si ndugu zetu wale..... nchi ilikuwa katika mfumo kristu........ sasa alhamdulilah tunapelekwa hija............
Sasa huku na kule jamaa akasema tusiongeze mafuta hapo....... (VICTORIA PETROL STATION),,,,,,hapo ni kwa makafiiirr sheheee.......
 
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
Wewe ndio unayaona vipi uhayawani mwingine unaoendelea je pia umeuona na kuubaini au unatetea imani tu?
 
Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki

Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
Watu kushambuliana dini zao haijaanza leo,kuponsiku nyingi tu na hio haimaanishi nchi ina udini,wanadamu ndugu yangu ni viumbe vya ajabu mno,muhimu ni kuyakemea mambo ya kutukana dini za watu,tuache kila mtu aamini dini atakayo
 
Sijawahi uona uzi wa mkristo akimlaumu muislam kumletea dharau, ila waislamu kila siku mnatunga viuzi vyenu kujifanya wakristo wanawadharau...

Hakunaga wakristo wenye imani haswa wakajiingiza kwenye kashfa za ubaguzi wa kidini km walivyo waislam...

Ukitaka kuyashuhudia haya angalia bara la asia harafu niambie kati ya nchi zenye wakristo wengi na zile zenye waislam wengi ni wapi kunaongoza kwa machafuko ya kidini?
 
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Unavaa kobazi size gani ? Ili Uache kutia huruma hapa kijana wa mudi
 
Wakwanza kabisa ni jf wenyewe kutunyima uwezo wa kusoma makala za jukwaa la dini, licha ya kuomba
 
Dini ya uislamu inachukiwa kwasabu ya misimamo yake, ndo maana walio wengi wanaipiga sana vita

Misimamo na ujinga. Hivi vitu viwili ni tofauti. Kila dini zina misimamo yao. Yaani misingi ya imani katika dini zao. Kuna Buddha, Shinto, Hindu nk wako imara sana. Lkn hutakuta wakigombana na watu.wa dini nyingine au wenyewe kwa wenyewe. Lkn kwa waislam, wsmekuwa kero kwa dunia. Kila mahali ni wao tuu kueneza chuki.
 
We mshamba wa kisukuma aliyetaka kuleta ukabila ni yule shetani wenu ambaye kwa bahati nzuri Mungu aliingilia kati. Halafu we unaonekana ni wale waliosoma shule za kata, shule za kata ni janga la kitaifa. Ukabila nchi hii haupo ingawa kuna vikabila vichache vinajaribu kufurukuta ila wameshindwa kwasababu wengi hawana ukabila. Ukabila wanao makabila km wachaga na wahaya hasa, wasukuma wameanza kionesha hisia za kikabila baada ya Magu kuwa Rais. Udini haupo labda km huelewi maana ya hizo dhana.
Aisee
 
Ac
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Acha uongo, mbona mimi nakaa na wakristo hawanichukii? Nami siwachukii?
Utakuwa una matatizo yako binafsi na watu wengine.
 
Back
Top Bottom