Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Acha uongo, kila siku waislam wanakimbia nchi zao za kiislam na kwenda kuishi nchi ambazo siyo za kiislam.Waislam
Waislam wanachukiwa maeneo mengi sana duniani na maeneo mengine wanapigwa kabisa kwa sababu ya itikadi zao za kutaka kulazimisha watu waishi kama wao ama kuwachukia na kubeza waziwazi itikadi za tofauti
Ila tunaendelea kuwavumilia maana ni special case
Umeshawahi kusikia wakati wa vita wakristo kukimbilia nchi za kiislam?
Hapo nani ana chuki na mwenzie? Tuwe wàkweli waislam wana çhuki sana na ukristo.