Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Hatuwachukii lakini mna vibe la uvivu, kuridhika na umasikini. Na cha kuongezea juu ni shiriki. Kule pemba wanaita uchawi wa kitabu .Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Halafu unakuta Sheikh anaenda kusoma kisomo kwa boda boda. Ukienda kwenye mikutano ya dini masheikh wanaondoka kwenda kusubiri dala dala.Kabisa
Katika pitapita zangu nikasikia kipaza sauti ......wale ni makafiiirr si ndugu zetu wale..... nchi ilikuwa katika mfumo kristu........ sasa alhamdulilah tunapelekwa hija............
Sasa huku na kule jamaa akasema tusiongeze mafuta hapo....... (VICTORIA PETROL STATION),,,,,,hapo ni kwa makafiiirr sheheee.......
Mchukiwe mna nini ? Dini imeshindwa kuanzisha hata chuo, hospitali , zahanati au shule ya maana. Masheikh wenu wanaishi kwa tabu.Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki
Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
We ukoo wako umeanzisha nini?Mchukiwe mna nini ? Dini imeshindwa kuanzisha hata chuo, hospitali , zahanati au shule ya maana. Masheikh wenu wanaishi kwa tabu.
Tuna shule kubwa sana pale goba na kampuni ya ujenzi vinashare Jina moja. Wanaojua wanajuaWe ukoo wako umeanzisha nini?
udini tanzania hauna impact ni hisia tuKuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki
Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
tumia hata betery za supersonic au gas kurecharge hiyo empty head yako, vinginevyo utakosa mengi sana na tutakuacha mbali sana humu jukwaani..Njoo ufunge solar Umeme wa Songas umekata kichwani humo.😂
Unaumwa Umbwa wewe.tumia hata betery za supersonic au gas kurecharge hiyo empty head yako, vinginevyo utakosa mengi sana na tutakuacha mbali sana humu jukwaani..
kumbuka,
epuka kutumia visungura wakati unafanya hayo 🐒
HIJABU ZIPIGWE MARUFUKU HARAKA SANA ..PIA ITUNGWE SHERIA KUWA MAKANISANI NA MISIKITINI NI MARA MOJA TU KWA WEEK SIKU NYINGINE ZILIZO BAKI NI KUFANYA KAZI NA KUABUDU NYUMBANI KWAKO ...SHULE ZA ELIMU DUNIA ZISIWE NA MAMBO YA DINI HATA KAMA ZINAENDESHWA NA TAASISI YA DINI NKKuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki
Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
halafu hizo shisha zinakutia mawenge sana gentleman hasa ukichanganyaga na bangi..Unaumwa Umbwa wewe.
Mtaniacha kwenye mauchawi na utekaji wenu Bw. Mafwele.
Visungura anakula Murilo, Meja Sumuni itakuwa Mimi.
Wenge litoke wapi Mafwele ?halafu hizo shisha zinakutia mawenge sana gentleman hasa ukichanganyaga na bangi..
si ujaribu kumix na ugoro huenda itakusaiadia utulivu na umakini kidogo, vinginevyo unapotea kwa kasi ya ajabu kwenye ramani humu jukwaani hadi huruma 🐒
Waislamu wao kwa wao hawaelewani muda wote ni kupigana tu ondoeni kwanza chuki za Ushia na Usunni ndani ya Uislamu ndio muanze kulaumu itikadi zingine..Waislam
Waislam wanachukiwa maeneo mengi sana duniani na maeneo mengine wanapigwa kabisa kwa sababu ya itikadi zao za kutaka kulazimisha watu waishi kama wao ama kuwachukia na kubeza waziwazi itikadi za tofauti
Ila tunaendelea kuwavumilia maana ni special case
Kweli km wakristo wana chuki mbona waislamu ndio wanaongoza kwenda Western kutafuta hifadhi huwezi kumkuta mwislamu kakosana na wanzake akakimbilia Afghanstan ama Kazha kistan..Acha uongo, kila siku waislam wanakimbia nchi zao za kiislam na kwenda kuishi nchi ambazo siyo za kiislam.
Umeshawahi kusikia wakati wa vita wakristo kukimbilia nchi za kiislam?
Hapo nani ana chuki na mwenzie? Tuwe wàkweli waislam wana çhuki sana na ukristo.
Waislamu wana "Religion War Derby" kati ya Wasunni na Washia.. kitu ambacho huwezi kukiona katika imani zingine..Misimamo na ujinga. Hivi vitu viwili ni tofauti. Kila dini zina misimamo yao. Yaani misingi ya imani katika dini zao. Kuna Buddha, Shinto, Hindu nk wako imara sana. Lkn hutakuta wakigombana na watu.wa dini nyingine au wenyewe kwa wenyewe. Lkn kwa waislam, wsmekuwa kero kwa dunia. Kila mahali ni wao tuu kueneza chuki.
Ukweli mchungu ni kwamba waislam pamoja na dini yetu tuna chukiwa sana hili lipo wazi sana sijajua kama ndio mafunzo wanayopewa huko chachi ama ni mafunzo maalum ila waendelee tu na chuki zao lakini waislam tupo sana na tutaendelea kuwepo sanaaa
Mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe?...niwapi huko wakristo hawaabudu kwa uhuru?
Zanzibar tuu hapa mwezi wa Ramadan wakristo walikuwa hawaruhusiwi kula hadharani.hulijui hili mkuu?Hivi upo sawa kweli wewe? niwapi huko wakristo hawaabudu kwa uhuru?
Kuanzia Dubai au UAE kwa ujumla kuna makanisa na tample na watu wanaabudu kwa uhuru kabisa,
Qatar,Bahrain,Oman huko kote kuna Makanisa na wanaabudu,
Hivi hizi habari kua nchi zakiislamu wakristo hawana uhuru wa kuabudu hua mnamezeshwa na nani?
Halafu mwenzo wa comment yako umesema sina hakika ila still ukaandika kama una uhakika vile!!
Wakristo ndio wanaongoza kuwachukia ndugu zao waislamKuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki
Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.
Wewe ni kobazi tushakugundua.Kuhusu ukabila hilo halipingiki kweli hii nchi ina ukabila sana bila kupepesa macho lazima ukweli usemwe hili ni jukwaa huru japo sio kwa kiwango hicho ila kwa ground ukabila upo sana na hivi kuna mtu ana dharau kumshinda Mtanzania? Ila wanaishi kwa unafiki sana kwenye kiza cha uoga na unafiki
Kusema za ukweli udini umeshamiri sana na inakoelekea huko kutakuwa na hali mbaya sana sijui ninyi wenzangu kwenye majumba yenu ya ibada mnafundishwa dini na haina imani yoyote ile inayofundisha watu wachukiane sasa ninyi hizi chuki zinatoka wapi?ndipo tulipofikia hapa ndiyo tokea uhuru hii nchi ilikuwa na udini ila chini chini sana ila sasa unadhihirika kabisa kwa mfano jukwaani ambae ni muislamu akitokea kuisema vizuri dini yake basi atatokea mtu kutoka upande wa pili na kuikashifu dini ya kiislamu pasipo aibu ila vivyo hivyo kwa wakristo tuliofikia tunapaswa kujithamimi kama taifa this is too much.