Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Mkuu achana na story za kisiasa hizo

Karibu Tarime mkuu Wilaya iliyobarikiwa, Maziwa na Asali utavishuhudia vikitiririka na utakinga kwenye jagi na utakunywa na kulamba[emoji14]
Mkoa ambao hawalimi kahawa Wala hawalimi zao la ndizi yaani migomba mkoa wenye shida sna Mara nyingi
 
Google "Parade ya Yanga" ndipo utasema kuwa kuna milofa katika nchi hii haijawahi kutokea nchi yoyote duniani.
Wazee wa hii nch mnajifanya mnapenda kazi. 😂😂😂 Kama hatuwajui vile 😂😂
Kwa hio parade la Yanga nalo linakuuma,

Dunia nzima maparade yanafanyika tena huko ni makubwa saanaaaaa
 
Yaani nchi yenye watu Mil 63 size ya kajimbo kamoja ka Marekani iwazidi Nchi ya watu mil 300+ na yenye majimbo karibu 50+....???? Aisee
 
Kuna kijana mmoja, afisa usafirishaji, nilimwita nyumbani aje kuchukua mteja akaniambia kuwa siku hiyo alikua hafanyi kazi, nikamuuliza kwanini, akasema yuko bize anaangalia mechi ya simba na yanga. Nikajua tayari, akili imeshachezewa.
 
Kuna kijana mmoja, afisa usafirishaji, nilimwita nyumbani aje kuchukua mteja akaniambia kuwa siku hiyo alikua hafanyi kazi, nikamuuliza kwanini, akasema yuko bize anaangalia mechi ya simba na yanga. Nikajua tayari, akili imeshachezewa.
Kila mtu ana ratiba zake mkuu. Huwezi kufanya kazi masaa 24 kuna muda wa kazi, muda wa kupumzika/kulala, muda wa kurefresh akili kwa kufanya unachokipenda mfano uyo kijana unaemuongelea
 
Ok,tunaweza kuwa sawa kama wanadamu lakini Uthubutu na roho ya Ujasiri nimekuacha zaidi ya Km 100,000
Tambo na majigambo za nini Mzee? Nenda pale JKNIA anzia pale beba Bango linalomponda rais hawashughulikii watu waliotajwa kwenye report ya CAG uelekeo wako uwe kwenda Kawe, usijipambe sana Mimi simulizi sijui vituo vya polisi wananijua unatuletea umaarufu kunuka hapa nenda kaandamane na mabango km unafikiri ni rahisi
 
Utamlaumu vipi kijana wakati kijana ni matokeo ya jamii iliyomlea na mifumo ya serikali iliyopo..
 

Aliyekwambia ukaandamane nani?

Bogus wewe!
 
Yaani nchi yenye watu Mil 63 size ya kajimbo kamoja ka Marekani iwazidi Nchi ya watu mil 300+ na yenye majimbo karibu 50+....???? Aisee

China ina watu wengi duniani,Je kiuchumi iko sawa na Marekani yenye watu wachache?

Bogus
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…