REV KISOLO
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 235
- 145
Umempa za uso labda atakuelewa!Mkuu hivi umeandika ukiwa na akili timamu au unatania?
Hao vijana waliotunga sheria mbovu ni kina nani?,Sheria mbovu zinatungwa na bunge ambalo majority ya wabunge ni kutoka ccm ambako wewe na wanawake wenzio kila siku mna-praise kuwa inaupiga mwingi!
Matokeo ya sheria mbovu leo ni chanzo cha ccm mbovu inayoongozwa na mwanamke!
Nimesema huko juu mtoa mada anajiona smart but the reality is, he is idiotPoti O'level SEMA ulichaguliwa PCB baada ya kufaulu science sio ulipata division 2 combination ya PCB ...hakuna kitu kama hicho ... O level kuna mchepuo/stream tu ya science na zinginezo hakuna combination/tahasusi poti..... Tahasusi zipo advance au ulifaulu advance ndio ukaenda O'level!??
Nimekuuliza ulipata divisheni ngapi ufaulu wako wa Form kuelekea form 5?
Hili nalo hadi nikufundishe kujibu?
Mimi wangu mdomo tu🤣Amen 🙏
Kijana fanya kazi...sawa leo atapata,vipi kuhusu kesho?,vipi akiugua?,na vipi akipata tatizo lolote litakalomfanya asiendelee na huo ujinga?Amejichora zake baadaye anapata hela anapelekea familia yake ikale.
Wewe umeshikilia mabango ukamtukane Rais unavunjwa miguu
Familia yako inapata hasara.
Kama kijana ,utachagua mwenyewe;
Ukavunjwe miguu au ukamkimbize kondeboy.
Hao wazee wanaosifiwa ndio machawa pro max na vijana wamejifunza uchawa kwao.
Poti O'level SEMA ulichaguliwa PCB baada ya kufaulu science sio ulipata division 2 combination ya PCB ...hakuna kitu kama hicho ... O level kuna mchepuo/stream tu ya science na zinginezo hakuna combination/tahasusi poti..... Tahasusi zipo advance au ulifaulu advance ndio ukaenda O'level!??
Kwani kazi hawafanyi?Kijana fanya kazi...sawa leo atapata,vipi kuhusu kesho?,vipi akiugua?,na vipi akipata tatizo lolote litakalomfanya asiendelee na huo ujinga?
Mimi wangu mdomo tu🤣
Najitoaga muhanga kwenye ofisi uchwara
Unakuta mnakandamizwa..
Hapo nipo radhi kuwa mbuzi wa kafara kwa ajili ya wengine.. heri nipoteze kibarua ili wengine waboreshewe mazingira.
Huko kwenye magari ya mwendokasi hakuna mhudumu mzembe asiyenijua maana kukinukisha ni dakika chache tu.
Ila nguvu za kupigana hizo Kwa kweli sina.
Serikali iweke kwanza silaha pembeni.
Mkifikia mahali pa kutafuta msemaji nitafuteni😂
Ulivyoenda PCB ulibomoa Div 1 ya ngapi Mkuu?Mkuu hiki ndicho nilichomaanisha,sema vijana wengi ni wajinga!
Bora hao vijana walio toka wazi wazi kumshabikia msanii wao, naamini asilimia kubwa la lile kundi walikuwa standard 7.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Ukiona viongozi wa Serikali wana wang'ang'ania wazee kwenye nafasi nyeti tambua ya kwamba vijana watakuwa na matatizo ya kiakili,Vijana wengi waliopewa nafasi ili waonyeshe uwezo wao wamekuwa wapumbavu kuliko hata wazee waliochokaa!.
Hili Taifa la Tanzania ndilo Taifa linaloongoza duniani kwakuwa na Vijana wapumbavu kuliko Mataifa yote yanayotambulika na Umoja wa Mataifa (UN).
Hebu fikiria kijana anatoka nyumbani au kibaruani kwake kuelekea Airport (JKNIA) kumpokea msanii wa muziki wa kizazi kipya kisa kachukua tuzo huko Marekani,na kibaya zaidi huyo kijana anakimbiza gari lililombeba huyo msanii kitokea Airport hadi Kawe!.
Zaidi ya Km 22 huyu kijana anakimbiza gari kutoka JULIUS KAMBARAGE NYERERE INTERNATIONAL AIRPOT (JKNIA) hadi Kawe huku akitokwa jasho na kunuka kama mbuzi wakati huo huo huyo msanii akiwa anapigwa na AC (Air Condition)!.
Nimetafakari sana namna vijana wa nchi hii (Wengi) walivyo wapumbavu hadi nimekosa majibu!.
Hebu fikiria muda ambao huyo kijana kapoteza katika shughuli za uzalishaji mali!.
Kwanini vijana wasitumie muda kama walioutumia leo wakaandamana kuihoji serikali kuhusu ripoti ya CAG? Nilitamani kuona vijana wanahoji wezi wa mali na
wafuja rasilimali zilizotajwa kwenye ripoti ya CAG lakini hakuna anayehoji.
Jibu limefunga uzi yaaan kuna watu wanajitoa kama wao sio sababu ya huu upuuzi kuwepo kama milichemka nyie sisi tuacheni tutabadilisha tutakapoSheria na kanuni za kipambavu zinazoruhusu upigaji kama masilahi ya wabunge, katiba mbovu, matumizi ya anasa ya viongozi n.k zimetungwa kipindi ambacho hao vijana walikua watoto au hawajazaliwa kabisa.
Nyie wazee/wababa mlikua wapi kuandamana zisipitishwe from the first place mpaka mnataka kumrushia kijana mzigo wa kuzipinga?
Mlikua wajinga kuona ubovu? Mliogopa kukinukisha? Hayo maandamano unayotaka vijana tufanye mngeyafanya nyie mliotutangulia leo hii usingekuwepo hapa unalalamika.
Wazee/wababa mmeshindwa kuzuia chanzo cha tatizo kwaiyo hamna uhalali wa kulaumu vijana kwa kushindwa kupambania hayo matatizo yaishe. Actually youths suffer consequences of your ignorance, selfish and cowardness.
Hee🤣🤣Niliacha shule mkuu sababu ya Mbususu za Kitanga 🤣
Bora hao vijana walio toka wazi wazi kumshabikia msanii wao, naamini asilimia kubwa la lile kundi walikuwa standard 7.
.Vijana wa humu JF ambao asilimia kubwa ni wasomi, wao kazi yao ni kusifia sifia sifia hata penye uozo! lengo kuu ni mkono uende kinywani.
BINAFSI NAONA VIJANA WA HUMU JF NI TATIZO KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
Mmmh mkuu uwe serious kidg tarime hi hi ya kuuwana kwa mapnga Koo kwa Koo au Ni ipiMkuu Tarime ni Ulaya ya Tanzania!
Welcome Europe of Tanzania!
Hilo Ni tamashaGoogle "Parade ya Yanga" ndipo utasema kuwa kuna milofa katika nchi hii haijawahi kutokea nchi yoyote duniani.
AiseeMkuu hii sijawahi isimulia hapa,ila nitaisimulia siku moja🤣
Hilo Ni tamasha Lkn pia hao vijana hawna kazi za kufanyaGoogle "Parade ya Yanga" ndipo utasema kuwa kuna milofa katika nchi hii haijawahi kutokea nchi yoyote duniani.
Mmmh mkuu uwe serious kidg tarime hi hi ya kuuwana kwa mapnga Koo kwa Koo au Ni ipi
Kule Kanda maalumu ya kijeshi