Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha
Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
Muulize anaangalia akiwa wapi?Acha roho ya ajabu mkuu ulitaka.iweje yanii au kua teamfulan kunawafanya mnanza kupinga hadi na uzuriii ujamuona profesa j na wengn kibao
Jiandae na fiesta kijana , hili ni balaaaaa zitoooooooooWasanii wote walioimba ni hovyo, kidogo chid benz kajitahidi, sitaki kuamini kama kuna wanaume waliokamilika wametoa pesa zao kwenda kuangalia huu upuuzi.
Uzo tayari.
Ahahaha ni sawa na mtu anaemlia chabo mkewe wakati wanalala woteHalijielewi hilo.
Limekaa hadi saizi linafatilia na halitalala hadi limuone baba lao ila linakufa taratibu na michuki yake
Unauliza swali au unajibu swali kwa maana nmeuliza tuNa wewe una hisa kiasi gani ?
Labda chid benz tuu..... Wengine sahau[emoji3]Wasanii wengi waliperfom leo wataperform Fiesta pia
Amekusikia chiefMondi stick na Music....huku kwenye TV unapoteza muda na hela zako tuu..
Namkubali mondiTV hii na Radio mpaka unaiona na kuisikiliza kwako yametumika Mamilioni ya dollar.
Watangazaji wakubwa hao unaowaona wameletwa kwa mamilioni ya Tanzania shillings hawajashushwa.
Kuna technicians, TX operators, sound engineers akiwemo Tudd Thomas.
Imelipwa pesa nyingi hadi DSTV kuirusha Wasafi tv Africa nzima hakuna TV ya Tanzania inayoonekana Africa nzima zaidi yake.
Sponsors wanazidi kuongezeka na ndio wanaofanyaga media ziendelee.
Alafu nakukumbusha tu Wasafi tv na FM bado hata hazijakamilisha safu za vipindi vyake stay tune kwa habari za kushangaza
Chid Benz ameramba bukuKwahiyo msanii moja hapo analamba kiasi gani?
Ndio maana lazima utafuatilia tu maisha yakeNamkubali mondi
Sababu ametoa ajira nyingi kwa vijana... Ila sio sababu ya nyimbo zake
The guy is really hustler... I love his moves
That is how all youths needs to fight !
Currently artists ndo kina nani kwa mfano ...Najarbu kuftalia show ya ya wasafi festival grand final..wat i see jamaa bado wana longway to go kuna matchup na fiesta mana hata arrangment yao ni ovyo plus wasanii wao wengi ni wale oldscul tuu sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist
Naskia wanaondoka na kifuta jasho cha 50,000 kila mmoja
Katika wote Chid Balaa ,Bshite kashaingia na siasa zake kumsifia joni P wa magu.
Labda chid benz tuu..... Wengine sahau[emoji3]
Nitajie hata watano tu ambao ungetegemea wawepo hapoNadhani umeelew ila nyie ni jamii ya watu wale wa sotopile
Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha
Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
Hujui kitu kichwa cheupe hicho km mvi za lowassa.ngoja upewe darasa hapa hapa.Mondi stick na Music....huku kwenye TV unapoteza muda na hela zako tuu..