johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Fiesta ni kiboko yao!Sikukuu ya kitaifa ilikuwa jana , zitakazo kuja tena ujue ni zakundi maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fiesta ni kiboko yao!Sikukuu ya kitaifa ilikuwa jana , zitakazo kuja tena ujue ni zakundi maalum
Ahahahahhaaa mtepetaaaaaa, sasa mmepata mshindani wa kweliFiesta ni kiboko yao!
Umeona Simba alivyouwaaaa?[emoji23] media inawasemaji ile kila kona, sawa bwana Assad mussa Assad was wasafi media
joseph1989 njoo unisaidie kucheka hili jamaa lina matatizo hadi sasa halijui hakuna media kutoka Tanzania inayoonekana Africa nzima.Wewe ndugu acha kulopoka unaonekana huna hata hicho kisimbuzi cha dstv eti hakuna tv ya tanzania inaooneshwa dstv???! Ipo clouds plus,tbc,tv e, halafu azam haipo hiyo wasafi tv acha ushabiki maandazi halafu hizo tv sio za diamond ni za joe mwenye clouds,diamond ni kipele tu mpiga debe nenda zako na ushabiki wako maandazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.
Tv na Radio vina title yake ambayo yeye ndio founder wake (WASAFI) haijalishi ana hisa 10 au 5 we don't care.
Wewe unamiliki nini zaidi ya majungu?
Viewers walifika 25K YouTube unajua ni inshara gani kwa Tamasha na media kwa ujumla?Kwahyo akiwa n.a. viewers wengi ndo nin watu wengi wamenunua ticket kwasab ya BRAND lakini kiukwel kilicho fanyika sijaona yan bado wanahitaj experience zaid yan bado sijaona balaa zito jana halikuepo
Ona lilivyo lichawi janaume zima kujiita majina ya kike hamna mabwana humu.Impact kubwa ila watashindwa kuimantain mwishowa siku hao walioenda jana watakua ambassadors wa mwakan ss hao ambassadors wamewaachia nn kichwan mwishowe unakuta miaka inavozidi kwenda impact inapungua nawashauri washughurikie madhaifu waloona this time wasije wakabuma mbeleen huko
Wewe Simba unamjua unamsikia umekaa kodo mpaka Simba kaimba unafikiri ni mchezo?Kiukweli bado sana. They have a long long way to get there.
Mpangilio, dj and everything was bullshit na pasipo kuwa na hao wasanii wa naija na yeye mwenyewe Diamond sidhani kama watu wangeamasika kwenda.
Sina chuki am just speaking my mind,
Sitaki kuona team wasafi wananishambulia hapa.
Heshimu mawazo ya watu.Nasikia,japo sijui kwakua si mfatiliaji wa bongo flava..
Unajua ulicho kiandika..izi pumba mna tumiaga nini kuandika ..kama ujui kaa kimya sio kuandika vitu usivyo jua
Unafikiri wanajua sasa yani Simba anacheza na kuimba muda wote huo wanadhani ni kama kula wali maharageKukaaa jukwaani zaidi ya dk 20 ni kipaji, Tz anacho Mond peke yake. Uliza uambiwe.
Haters wa Bongo mkuu ukiwafatilia unaweza kucheka ukaanguka chini.thanks for watching wasafi
haters hawajui wahate nini
hawajui wasapoti nini
Kamuwekea nani bifu?Milioni 500 Na Biff Juu.
Mkataba ea harmo ulikuwa unasemaje?Alaf wakitoka anawatoza mil 500
Wanaumia sana haters kwa mafanikio ya Simba cha ajabu hawajui na wao ni sehemu ya mafanikio yakeMnalalamika nini? Cha muhimu malipo yao yapo palepale.
Kwanza mmepunguza kiingilio mpaka 5000 wakati wasafi wameweka 10000, 500000 na mil 1 na wamejaza mpaka wengine wameshindwa kuingia kwenye show uoni ni aibu kuongea hiyo kauli yako.Fiesta ni kiboko yao!
Umeshapanic!Kwanza mmepunguza kiingilio mpaka 5000 wakati wasafi wameweka 10000, 500000 na mil 1 na wamejaza mpaka wengine wameshindwa kuingia kwenye show uoni ni aibu kuongea hiyo kauli yako.
Vijana mna akili za ki ccm sanaWewe Simba unamjua unamsikia umekaa kodo mpaka Simba kaimba unafikiri ni mchezo?
Ni mmoja wa wasanii watano bora Africa nzima unaleta ushubwada hapa Simba akienda sehemu Yoyote africa mashariki na kati shughuli zina simama wewe ni best performer na ni best Singer
Hizo chuki zako peleka huko ukasikilize mshumaa maana ushaumizwa wewe
Yaani wasafi si watu wazuri kwa walichofanya Jana imagine unaweka viingilio 10000, 500000 vip na mil 1 na unajaza sana wakati fiesta wao wamepunguza kutoka 10000 mpaka 5000.Ahahahahhaaa mtepetaaaaaa, sasa mmepata mshindani wa kweli