Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Wewe ndugu acha kulopoka unaonekana huna hata hicho kisimbuzi cha dstv eti hakuna tv ya tanzania inaooneshwa dstv???! Ipo clouds plus,tbc,tv e, halafu azam haipo hiyo wasafi tv acha ushabiki maandazi halafu hizo tv sio za diamond ni za joe mwenye clouds,diamond ni kipele tu mpiga debe nenda zako na ushabiki wako maandazi
joseph1989 njoo unisaidie kucheka hili jamaa lina matatizo hadi sasa halijui hakuna media kutoka Tanzania inayoonekana Africa nzima.

Alafu tuliache kama lilivyo hakuna kulielewesha tucheke tu tuendelee na yetu
 
🤣
Wewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.

Tv na Radio vina title yake ambayo yeye ndio founder wake (WASAFI) haijalishi ana hisa 10 au 5 we don't care.

Wewe unamiliki nini zaidi ya majungu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwahyo akiwa n.a. viewers wengi ndo nin watu wengi wamenunua ticket kwasab ya BRAND lakini kiukwel kilicho fanyika sijaona yan bado wanahitaj experience zaid yan bado sijaona balaa zito jana halikuepo
Viewers walifika 25K YouTube unajua ni inshara gani kwa Tamasha na media kwa ujumla?

Umeuliza akiwa na viewers wengi ndio nini ile ni hela na ile ni uthibitisho wa jinsi alivyo mkubwa kupata viewers wanao stream live 23K + kiafrika afrika unafikiri mchezo.
Acha roho mbaya wewe umekaa kodo usiku kucha alafu unaponda mashudu yako wapelekee nguruwe.

Simba killed it hutaki meza wembe
 
Impact kubwa ila watashindwa kuimantain mwishowa siku hao walioenda jana watakua ambassadors wa mwakan ss hao ambassadors wamewaachia nn kichwan mwishowe unakuta miaka inavozidi kwenda impact inapungua nawashauri washughurikie madhaifu waloona this time wasije wakabuma mbeleen huko
Ona lilivyo lichawi janaume zima kujiita majina ya kike hamna mabwana humu.
 
Kiukweli bado sana. They have a long long way to get there.
Mpangilio, dj and everything was bullshit na pasipo kuwa na hao wasanii wa naija na yeye mwenyewe Diamond sidhani kama watu wangeamasika kwenda.
Sina chuki am just speaking my mind,
Sitaki kuona team wasafi wananishambulia hapa.
Wewe Simba unamjua unamsikia umekaa kodo mpaka Simba kaimba unafikiri ni mchezo?

Ni mmoja wa wasanii watano bora Africa nzima unaleta ushubwada hapa Simba akienda sehemu Yoyote africa mashariki na kati shughuli zina simama wewe ni best performer na ni best Singer
Hizo chuki zako peleka huko ukasikilize mshumaa maana ushaumizwa wewe
 
Nasikia,japo sijui kwakua si mfatiliaji wa bongo flava..






Unajua ulicho kiandika..izi pumba mna tumiaga nini kuandika ..kama ujui kaa kimya sio kuandika vitu usivyo jua
Heshimu mawazo ya watu.

Kila mtu ana Uhuru wa kusema anachotaka.
 
Show ilikuwa poa ila DJ ni tatizo kubwa.

Pia wasanii wengi hawakujipanga maana sauti zao zilikuwa hazieleweki
 
thanks for watching wasafi
haters hawajui wahate nini
hawajui wasapoti nini
Haters wa Bongo mkuu ukiwafatilia unaweza kucheka ukaanguka chini.

Anasema haipendi wasafi show mbovu, goma la baba lao baya alafu anayo kwenye playlist ya Tecno yake wasafi tv alilipia au alikuwa YouTube😂😂😂😂
 
Wewe Simba unamjua unamsikia umekaa kodo mpaka Simba kaimba unafikiri ni mchezo?

Ni mmoja wa wasanii watano bora Africa nzima unaleta ushubwada hapa Simba akienda sehemu Yoyote africa mashariki na kati shughuli zina simama wewe ni best performer na ni best Singer
Hizo chuki zako peleka huko ukasikilize mshumaa maana ushaumizwa wewe
Vijana mna akili za ki ccm sana
Kila mtu ambaye atajaribu kuikosoa serikali ama toa ushauri; mmoja kwa mmoja mnaitimisha haipendi serikali.

Wameanza vizuri lakini kuna vitu kibao inabidi wavi improve. Baadhi ni kama

Sound ilikuwa mbovu next time wamfatafute mtu sahihi.

DJ bora wangemuacha omy crazy sio yule DJ wao alikuwa kapoa sana.
 
Back
Top Bottom