Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #181
Asante sana mkuuPole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuuPole sana
Hio kamba utepe ? Hata mimi nakataa labda aseme haikumaliziwa vizuri .hio scenerio si ipo ?Ni muhimu sana kuwa na ukaribu na mwanao ili awe huru kukuelezea anachofanyiwa shuleni au nyumbani ukiwa haupo.
Ila hapo kwa kusema bikra umeitoa umeiacha kwa mbali ni uongo mkuu
Siwezi kusema wanabaka, ila naweka mfano kuna baadhi ya binti wa chini ya miaka 18, ukikaa nao nyumba moja, mwanaume huna hata wazo la kumtongoza na kumla, huyo binti atalazimisha kukutega kingono, ukiwa unatembea atakuziba njiani, atakushika shika mikono, atadondosha kanga mbele yako, atakupa busu la hewani, kwenye kochi atakaa karibu na wewe, atakuita handsome, mara akushike ndevu, hizo zote kisheria ni sexual assault, atafanya ivo mpaka ahakikishe umemla, mm ni shuhuda wa hili, binafsi ishantokea mara mbiliKwahiyo kuna wanawake wanaobaka wanaume??
Itabidi hili swala liwe linaangaliwa pande zote mbili aiseeSiwezi kusema wanabaka, ila naweka mfano kuna baadhi ya binti wa chini ya miaka 18, ukikaa nao nyumba moja, mwanaume huna hata wazo la kumtongoza na kumla, huyo binti atalazimisha kukutega kingono, ukiwa unatembea atakuziba njiani, atakushika shika mikono, atadondosha kanga mbele yako, atakupa busu la hewani, kwenye kochi atakaa karibu na wewe, atakuita handsome, mara akushike ndevu, hizo zote kisheria ni sexual assault, atafanya ivo mpaka ahakikishe umemla, mm ni shuhuda wa hili, binafsi ishantokea mara mbili
Mahusiano yakigundulika, mwanaume ndo utaonekana mbakaji, binti ataonekana kuwa ndo alishawishiwa, alitishiwa na kulazimishwa na wewe mwanaume, ilhali kiuhalisia kwa ground mambo yalikua tofauti Binti Sayuni03
Mwambie aje na mkewe😁😁Yani ndugu wakukutana ukubwani mara nyingi inakua ivyo ndomana naogopa kumkaribisha baba angu mdgo nyumbani kwangu licha ya ku sisitiza,(baba na familia yake nimeijua mwaka jana),.... Halooo mzee endelea kulima karanga Kondoa
Ipi hiyo mkuu?Hio kamba utepe ? Hata mimi nakataa labda aseme haikumaliziwa vizuri .hio scenerio si ipo ?
Hana mkeMwambie aje na mkewe😁😁
Aendelee kulima tu😁😁Hana mke
We nae kila saa nyuzi, zingine zitakuwa chai, tumekuchoka banaHili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita, kipindi nasoma nakumbuka kati ya form 1 au form 2.
Nitafupisha ili nisiwachoshe, baba angu alituambia kuwa kuna mwanamke alimpa mimba miaka hiyo wakaachana mwanamke akaolewa na mwanaume mwingine sasa yule mtoto alivyokuwa akaambiwa baba yake ni mzee wetu, akaanza kumtafuta, hatimaye akampata.
Huyu mtoto mwenyewe alikuwa tayari mtu mzima ana mke wake na watoto alikuwa kama ana miaka 30 hivi kipindi hicho, alivyotambulishwa kwetu kuwa ni kaka yetu, basi tukaanza undugu rasmi na huyu kaka yetu tukawa tunamtembelea nyumbani kwake. Haswa haswa mimi nilikuwa nikitoka shule napitia mara nyingi kwa kaka nakula napewa nauli na mkewe au hata yeye akiwepo naondoka nyumbani na hapo nyumbani kwake ilikuwa ni jirani na rafiki yangu niliyekuwa nasoma nae.
Nakumbuka siku moja baba aliniambia nikachukue hela ya mahitaji ya shule alimwambia huyu kaka yetu anipe kwahiyo nikawa nimeenda, kipindi hiki wifi yaani mke wa kaka alikuwa kaenda kujifungua kwao, sasa nikapita kwa best angu then nikaenda kwa kaka nikamkuta mwenyewe nikakaa nakumbuka alininunulia chakula.
Nikala akawa ametoka na mimi nikaenda kwa rafiki angu nikakaa kaa kidogo nikarudi nikawa nimemkuta ndani akaniambia niingie chumbani, kwake sasa mimi nikawa simuelewi maana alikuwa kabadilika macho yamekuwa mekundu alafu akawa ananiita nisogee karibu yake, hata sauti akawa anaongea sauti ya chini, katika kumsikiliza vizuri, akaniambia "nipe kidogo"
Aisee hapo akili iliruka kengele ya hatari ikagonga kichwani kwangu, nikamuuliza kaka umesemaje akarudia tena "anaomba kidogo" nilishtuka sana sikutarajia kauli na kitendo kama hicho kutoka kwa mtu niliyetambulishwa na baba kuwa ni kaka kwetu.
Niliondoka na tangu hiyo siku sijawahi kumtembelea tena mpaka kufika sasa hatuna mawasiliano, sikumwambia mtu yoyote hili tukio maana ni aibu, kaka anataka kunibaka, tukio la ajabu mno.
Mwanaume hata akiwa ndugu yangu, mume wangu au wherever siwezi kumuamini kumuachia mtoto wangu wa kike huu ndiyo msimamo wangu baada ya hili tukio, ama ninakosea wadau??
Kuwaje tena mkuu?Nipe kidogo Ndio imekufanya uwe hivo
😁😁😁🙌umechoka peke yako usiwasemee wengineWe nae kila saa nyuzi, zingine zitakuwa chai, tumekuchoka bana
Kutotolewa vizuri nilikuwa nasemaIpi hiyo mkuu?
Uko sahihi. Babu siku hizi anaweza muweka mjukuu, maadili yamemong'onyoka sanaHili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita, kipindi nasoma nakumbuka kati ya form 1 au form 2.
Nitafupisha ili nisiwachoshe, baba angu alituambia kuwa kuna mwanamke alimpa mimba miaka hiyo wakaachana mwanamke akaolewa na mwanaume mwingine sasa yule mtoto alivyokuwa akaambiwa baba yake ni mzee wetu, akaanza kumtafuta, hatimaye akampata.
Huyu mtoto mwenyewe alikuwa tayari mtu mzima ana mke wake na watoto alikuwa kama ana miaka 30 hivi kipindi hicho, alivyotambulishwa kwetu kuwa ni kaka yetu, basi tukaanza undugu rasmi na huyu kaka yetu tukawa tunamtembelea nyumbani kwake. Haswa haswa mimi nilikuwa nikitoka shule napitia mara nyingi kwa kaka nakula napewa nauli na mkewe au hata yeye akiwepo naondoka nyumbani na hapo nyumbani kwake ilikuwa ni jirani na rafiki yangu niliyekuwa nasoma nae.
Nakumbuka siku moja baba aliniambia nikachukue hela ya mahitaji ya shule alimwambia huyu kaka yetu anipe kwahiyo nikawa nimeenda, kipindi hiki wifi yaani mke wa kaka alikuwa kaenda kujifungua kwao, sasa nikapita kwa best angu then nikaenda kwa kaka nikamkuta mwenyewe nikakaa nakumbuka alininunulia chakula.
Nikala akawa ametoka na mimi nikaenda kwa rafiki angu nikakaa kaa kidogo nikarudi nikawa nimemkuta ndani akaniambia niingie chumbani, kwake sasa mimi nikawa simuelewi maana alikuwa kabadilika macho yamekuwa mekundu alafu akawa ananiita nisogee karibu yake, hata sauti akawa anaongea sauti ya chini, katika kumsikiliza vizuri, akaniambia "nipe kidogo"
Aisee hapo akili iliruka kengele ya hatari ikagonga kichwani kwangu, nikamuuliza kaka umesemaje akarudia tena "anaomba kidogo" nilishtuka sana sikutarajia kauli na kitendo kama hicho kutoka kwa mtu niliyetambulishwa na baba kuwa ni kaka kwetu.
Niliondoka na tangu hiyo siku sijawahi kumtembelea tena mpaka kufika sasa hatuna mawasiliano, sikumwambia mtu yoyote hili tukio maana ni aibu, kaka anataka kunibaka, tukio la ajabu mno.
Mwanaume hata akiwa ndugu yangu, mume wangu au wherever siwezi kumuamini kumuachia mtoto wangu wa kike huu ndiyo msimamo wangu baada ya hili tukio, ama ninakosea wadau??
Kivipi mkuu kwani kuna kuku hapa?Kutotolewa vizuri nilikuwa nasema
Hakika mkuu, tuendelee kuwa na tahadhari na kila mmoja wetuUko sahihi. Babu siku hizi anaweza muweka mjukuu, maadili yamemong'onyoka sana
Nilishamsamehe kitambo ndiyo maana nikajiepusha naeMwanaume msuli ukikaza vizuri huwa akili inahama, usipokuwa makini unaweza hata kubaka,majuto baada ya tendo, Nb msamehe kaka yako
Nilishapiga marufuku watoto kupanda bodaboda. Bora ukose hela ya Ada ila usithubutu kuwaacha watoto wako wa kike au wa kiume kupelekwa shule na bodaboda au Bajaj. Utakuja kunishukuru. Lipia school bus hata kama mambo magumu kiaje.Hakika mkuu, tuendelee kuwa na tahadhari na kila mmoja wetu