Hili tukio limenifanya nisimuamini mwanaume yoyote

Umeathirika kisaikolojia lkn sio wanaume wote ni wapuuzi kama huyo kaka ako,ukishaambiwa huyu ni ndugu yako unatakiwa ufute tamaa zako zote juu yake,usiseme wanaume tu nimesoma jana mtandaoni kuna mwanamke Kenya ana mimba ya mtoto wake wa kiume,hili nalo utasemaje...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…