Hapana hakusema
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ama nyani haoni kunduleTufanye yameisha
ChaiHili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita, kipindi nasoma nakumbuka kati ya form 1 au form 2.
Nitafupisha ili nisiwachoshe, baba angu alituambia kuwa kuna mwanamke alimpa mimba miaka hiyo wakaachana mwanamke akaolewa na mwanaume mwingine sasa yule mtoto alivyokuwa akaambiwa baba yake ni mzee wetu, akaanza kumtafuta, hatimaye akampata.
Huyu mtoto mwenyewe alikuwa tayari mtu mzima ana mke wake na watoto alikuwa kama ana miaka 30 hivi kipindi hicho, alivyotambulishwa kwetu kuwa ni kaka yetu, basi tukaanza undugu rasmi na huyu kaka yetu tukawa tunamtembelea nyumbani kwake. Haswa haswa mimi nilikuwa nikitoka shule napitia mara nyingi kwa kaka nakula napewa nauli na mkewe au hata yeye akiwepo naondoka nyumbani na hapo nyumbani kwake ilikuwa ni jirani na rafiki yangu niliyekuwa nasoma nae.
Nakumbuka siku moja baba aliniambia nikachukue hela ya mahitaji ya shule alimwambia huyu kaka yetu anipe kwahiyo nikawa nimeenda, kipindi hiki wifi yaani mke wa kaka alikuwa kaenda kujifungua kwao, sasa nikapita kwa best angu then nikaenda kwa kaka nikamkuta mwenyewe nikakaa nakumbuka alininunulia chakula.
Nikala akawa ametoka na mimi nikaenda kwa rafiki angu nikakaa kaa kidogo nikarudi nikawa nimemkuta ndani akaniambia niingie chumbani, kwake sasa mimi nikawa simuelewi maana alikuwa kabadilika macho yamekuwa mekundu alafu akawa ananiita nisogee karibu yake, hata sauti akawa anaongea sauti ya chini, katika kumsikiliza vizuri, akaniambia "nipe kidogo"
Aisee hapo akili iliruka kengele ya hatari ikagonga kichwani kwangu, nikamuuliza kaka umesemaje akarudia tena "anaomba kidogo" nilishtuka sana sikutarajia kauli na kitendo kama hicho kutoka kwa mtu niliyetambulishwa na baba kuwa ni kaka kwetu.
Niliondoka na tangu hiyo siku sijawahi kumtembelea tena mpaka kufika sasa hatuna mawasiliano, sikumwambia mtu yoyote hili tukio maana ni aibu, kaka anataka kunibaka, tukio la ajabu mno.
Mwanaume hata akiwa ndugu yangu, mume wangu au wherever siwezi kumuamini kumuachia mtoto wangu wa kike huu ndiyo msimamo wangu baada ya hili tukio, ama ninakosea wadau??
Naimani kuna matukio ambayo hutakaa uyalete mbele ya kadamnasi unless uwe umechizika.... SISI NI WANYAMA KULIKO HAO WANYAMA na UNYAMA WETU TUNAWAFANYIA WANYAMA 🙂🙂🙂Muendelezo upo kila siku huwa napost miendelezo ya matukio niliyokumbana nayo
SmartSisi ndo tunapenda hivyohivyo msituamini, Amekukata mazoea kiaina maana ulikuwa hukauki kwake ndo maana akakuvutia kijiti ili akuzingue.
Pole sanaHili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita, kipindi nasoma nakumbuka kati ya form 1 au form 2.
Nitafupisha ili nisiwachoshe, baba angu alituambia kuwa kuna mwanamke alimpa mimba miaka hiyo wakaachana mwanamke akaolewa na mwanaume mwingine sasa yule mtoto alivyokuwa akaambiwa baba yake ni mzee wetu, akaanza kumtafuta, hatimaye akampata.
Huyu mtoto mwenyewe alikuwa tayari mtu mzima ana mke wake na watoto alikuwa kama ana miaka 30 hivi kipindi hicho, alivyotambulishwa kwetu kuwa ni kaka yetu, basi tukaanza undugu rasmi na huyu kaka yetu tukawa tunamtembelea nyumbani kwake. Haswa haswa mimi nilikuwa nikitoka shule napitia mara nyingi kwa kaka nakula napewa nauli na mkewe au hata yeye akiwepo naondoka nyumbani na hapo nyumbani kwake ilikuwa ni jirani na rafiki yangu niliyekuwa nasoma nae.
Nakumbuka siku moja baba aliniambia nikachukue hela ya mahitaji ya shule alimwambia huyu kaka yetu anipe kwahiyo nikawa nimeenda, kipindi hiki wifi yaani mke wa kaka alikuwa kaenda kujifungua kwao, sasa nikapita kwa best angu then nikaenda kwa kaka nikamkuta mwenyewe nikakaa nakumbuka alininunulia chakula.
Nikala akawa ametoka na mimi nikaenda kwa rafiki angu nikakaa kaa kidogo nikarudi nikawa nimemkuta ndani akaniambia niingie chumbani, kwake sasa mimi nikawa simuelewi maana alikuwa kabadilika macho yamekuwa mekundu alafu akawa ananiita nisogee karibu yake, hata sauti akawa anaongea sauti ya chini, katika kumsikiliza vizuri, akaniambia "nipe kidogo"
Aisee hapo akili iliruka kengele ya hatari ikagonga kichwani kwangu, nikamuuliza kaka umesemaje akarudia tena "anaomba kidogo" nilishtuka sana sikutarajia kauli na kitendo kama hicho kutoka kwa mtu niliyetambulishwa na baba kuwa ni kaka kwetu.
Niliondoka na tangu hiyo siku sijawahi kumtembelea tena mpaka kufika sasa hatuna mawasiliano, sikumwambia mtu yoyote hili tukio maana ni aibu, kaka anataka kunibaka, tukio la ajabu mno.
Mwanaume hata akiwa ndugu yangu, mume wangu au wherever siwezi kumuamini kumuachia mtoto wangu wa kike huu ndiyo msimamo wangu baada ya hili tukio, ama ninakosea wadau??
Asante sana mkuu, nilishapoaPole sana
Kuna dunduka limedondoka kwako huko. Eti huu mwandiko wako tu lenyewe hoi. Hata kama hajawahi kukuona...! Aaah...! Kuna mijitu haijui hata kudanganya.Ni kweli yapo makubwa zaidi lakini mimi hili linanifanya nichukue tahadhari
Una maanisha nini🤔Kuna dunduka limedondoka kwako huko. Eti huu mwandiko wako tu lenyewe hoi. Hata kama hajawahi kukuona...! Aaah...! Kuna mijitu haijui hata kudanganya.
Huyu ni mbakaji nilikuwa chini ya miaka 18mtu anaebaka hasemi '' nipe kidogo'' ukaulizaakajibu.. naomba unipe kidogo.. huyo sio mbakaji alikuwa anaomba uridhie... hii ni hadithi
siwezi kumuamini kumuachia mtoto wangu wa kike huu ndiyo msimamo wangu baada ya hili tukio, ama ninakosea wadau??
Hakika mkuuTrust no one but yourself.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushubwada
Mimi mwenyewe ni shuhuda katika hili, hivi unajua hata binti wa chini ya miaka 18 anaweza kuwa ndo sexual aggressor/mbakaji/anaeomba ngono kwa mwanaume/anaeanza kushawishi, ingawa mahusiano yakigundulika, adhabu kubwa atapewa mwanaume, mwanamke ataachwa,Huyu ni mbakaji nilikuwa chini ya miaka 18
Kwahiyo kuna wanawake wanaobaka wanaume??Mimi mwenyewe ni shuhuda katika hili, hivi unajua hata binti wa chini ya miaka 18 anaweza kuwa ndo sexual aggressor/mbakaji/anaeomba ngono kwa mwanaume/anaeanza kushawishi, ingawa mahusiano yakigundulika, adhabu kubwa atapewa mwanaume, mwanamke ataachwa,
Sababu kuna stereotype imejengeka kwenye jamii kua linapokuja swala la ngono mwanamke hawezi fanya kosa, na mwanamke hawezi shawishi mwanaume afanye nae ngono isio halali Binti Sayuni03