Nadhani haipo tena. Sijamsikia akipromote tena.Biashara ya Mchaga haina Mambo ya majini.
NB: Ile perfume ya Manara bado ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani haipo tena. Sijamsikia akipromote tena.Biashara ya Mchaga haina Mambo ya majini.
NB: Ile perfume ya Manara bado ipo?
2024 uwe na ujasiri kama Hill water.
1. Usiogope yoyote,
2. Weka mipango,
3. Tekeleza,
4. Sacrifice. Utatoboa
NB: Mangi hatumii hirizi wala mazonge-zonge bali Biblia na bidii.
Mara ya kwanza kunywa afya hata mimi niliyasikia yana uchungu mdomoni. Siyakubali kwa kweli DepalBora nimempata aliyeona afya ni maji mabaya.
Mimi sijayaelewa kabisaaa
Hii ni kweli, mfano maji ya uhai yapo sana kanda ya pwani na mashariki. Kilimanjaro yapo kaskazini yote na pwani.Msichojua ni kwamba hizi kampuni zina zones na mikoa inayotawala..
Mfano ukienda Singida Kilimanjaro ndiyo kakamata, kwanza kule hawajui kama kuna maji yanaitwa Hill nk.
Ukienda mikoa ya Iringa, Njombe, Rukwa unakutana na Dew Drop ndo katawala, kule huwezi kukuta Kilimanjaro, na ukiyakuta yako bei juu..
Ukienda kanda ya ziwa yaliyotawala ni Jambo....
Hivyo ukiona brand flani inafanya poa mtaani kwako usije ukadhani ndiyo Tanzania nzima iko hivyo[emoji777].
Hill ni dsm ila mikoan huko azam anakimbiza sana
Afya anafanya vizuri mnoHata dar Hill hakuna kitu watu wapo bize na afya na uhai hill nimeyatumia sana Tabora ndiyo maji yao
Jamani kafa lini Hilary? embu ngoja niulize mmmhNasikia mwenye nayo alikufa! mwene kiwanda
au ndo walimfanyia mazonge
Aliekufa ni kaka yake anaitwa Freddy mmiliki wa viwanda vya Fresho, Hillary yupo na ndugu yao Harold pia yupoJamani kafa lini Hilary? embu ngoja niulize mmmh
oooh AlhamdulillahAliekufa ni kama yake anaitwa Freddy mmiliki wa viwanda vya Fresho, Hillary tupo na ndugu yao Harold pia yupo
Mkoa upi azam anakimbiza kwa maji?Hill ni dsm ila mikoan huko azam anakimbiza sana
Mkoa wa kigamboni kwa urasaMkoa upi azam anakimbiza kwa maji?
Sijajua kwa sasa ila miaka ya 2020-22 kwa dom alikuwa ameteka soko.Mkoa upi azam anakimbiza kwa maji?
Mimi nakaa dodoma mkuu, hakuna kitu kama hichoSijajua kwa sasa ila miaka ya 2020-22 kwa dom alikuwa ameteka soko.
Kwa sasa sawaMimi nakaa dodoma mkuu, hakuna kitu kama hicho
Afya amedominate hata morogoro, yaani kampiga gap hata udzungwa ambaye ndio nyumbani kwaoArusha Afya ameshapindua meza kibabe kabisa,kilimanjaro ana packaging mbaya sana,arusha kuna viwanda vingi vya maji,ila afya amepiku wote
Afya bado anatamba