Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

2024 uwe na ujasiri kama Hill water.
1. Usiogope yoyote,
2. Weka mipango,
3. Tekeleza,
4. Sacrifice. Utatoboa

NB: Mangi hatumii hirizi wala mazonge-zonge bali Biblia na bidii.

Nasikia mwenye nayo alikufa! mwene kiwanda

au ndo walimfanyia mazonge
 
Hii ni kweli, mfano maji ya uhai yapo sana kanda ya pwani na mashariki. Kilimanjaro yapo kaskazini yote na pwani.

Maziwa ya Tanga fresh kaskazini na pwani.
 
Kuna kitu inaitwa Market Share makampuni hasa ya kuzalisha bidhaa wanafanya so unaweza usimuone hapa ila utakapomkuta ujue anapiga hela sana mtu hata akikamata 5% ya total market share anatengeneza pesa ndefu sana
 
Arusha Afya ameshapindua meza kibabe kabisa,kilimanjaro ana packaging mbaya sana,arusha kuna viwanda vingi vya maji,ila afya amepiku wote
Afya amedominate hata morogoro, yaani kampiga gap hata udzungwa ambaye ndio nyumbani kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…