Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Sio kweli mfano dar kwa observation yale maeneo ya hali ya chini asilimia kubwa wanatumia uhai
Ningetegemea uje na takwimu kussuport point yako
Hill anafanya vizuri upande wa kaskazini ya Dar.
Uhai....kusini...
 
Haya maji ya mvua unayapataje mdau!? Au ndio haya yanayoteremka na bati za uswahilini zenye kutu!?
Hayo kama huna bati jipya inabidi upambane na kutu na uyachuje kwa umakini sana la sivyo jiandae kukaribisha kansa, figo, ini n.k.......
 
Biashara hizi zina mengi. Compliance kwa wafanyabiashra wakubwa hawa hasa makada ni changamoto. Mmoja ya wadaiwa Sugu wa Ushuru wa Council ni hii Kampuni, mwaka jana MD aliyekuwepo pale Council alianza yabana makampuni mengi sana yanayodaiwa Ushuru, kama ilivyo ada akahamishwa.
Siri ni nyingi sana. Ila huyo Salum wa Jambo, anayo pesa, sio mchezo.
 
Lake zone (Mwanza, Geita, Simiyu na Shinyanga) Kuna matajiri wengi wa kiwango cha kati wengi ambao Wana hela sio nyingi sanaaaa lakini sio chache pia yaani wa kiwango cha 500m kwenda juu. Na wengi unakuta ni wachimbaji wadogo wa madini hivyo likitema tu wanafanya mambo
Noma sana. Je huyo Salum wa Jambo, pesa alitolea wapi?
 
Pangani ndio hawa wapo keko hapa nahisi wana kiwanda chao.

Kilimanjaro kapigwa Tko ya maana yaani kapotea hata kweny seminars humuoni
..
Kanda ya ziwa wana maji yao kiwanda kipo shinyanga ni hayo tu kila kona ,ukikaa huwezi kujua brands nyingine ,kile kiwanda matangazo mpaka kweny mawe😅😅
nipo huku kwa sasa mkuu, ...wana visoda vyao na energy pia yaani ni full chemical mpaka unapaliwa
 
Hao ni waarabu wanaomiliki kampuni ya oilcom na kiwanda cha cement wana nguvu kubwa ya mtaji na wanakopesheka benki ndio maana wanao uwezo wa kusambaza nchi nzima. Ujue changamoto kubwa kwenye hivi viwanda vya vileo na maji ni mashine za kuzalisha chupa zina gharama kubwa sana kuziendesha kwa mtu mwenye mtaji mdogo lazima utafanya biashara yako kwenye kieneo kidogo tu kama wanavyofanya hill water ,ndanda spring,Mkwawa water,Mufindi water, Njombe na mengineyo.

Jambo product zake huwa zina ladha ya hovyo alaf ni mzee wa kuiga product za azam nae anazo ice-cream kama zile za azam ila ukionja zina kereketa kwenye koo mbaya kabisa
Jamaa bado hawajakaa kwenye mstari vizuri
onja vyote ila usije thubutu onja ile energy yao, tumbo litafura balaa ni mwendo wa kubeua kama ng'ombe tu
 
Back
Top Bottom