Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Dah 🤣😀😀😀Kupewa kazi tu ya Kuwa msaidizi wa dereva wa Hill water tayari unaletea fujo matajiri wa Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah 🤣😀😀😀Kupewa kazi tu ya Kuwa msaidizi wa dereva wa Hill water tayari unaletea fujo matajiri wa Azam
Dew drop au??, Kale keuoe kabisa??Kuna chupa fulani hivi zinakuwa nyeupe, kale kachupa walidesign vizuri ika naona hawajasambaa sana wenyewe.
Shida nusu albino mna penda vitonga🤣😀We upendi kupanda meli? Huenda anaadvertise biashara ya boti kupitia chupa 😂
Hill anafanya vizuri upande wa kaskazini ya Dar.Sio kweli mfano dar kwa observation yale maeneo ya hali ya chini asilimia kubwa wanatumia uhai
Ningetegemea uje na takwimu kussuport point yako
Yani kadri kiu kinavyoisha ndivyo jinsi maji ya mvua yanavyokuhamasisha utake kuyanywa zaidi kwa ladha tamu isiyokinaisha, kweli alichoumba Mungu hakina upinzani kabisa 🙌Maji ya mvua safi sana
Hayo kama huna bati jipya inabidi upambane na kutu na uyachuje kwa umakini sana la sivyo jiandae kukaribisha kansa, figo, ini n.k.......Haya maji ya mvua unayapataje mdau!? Au ndio haya yanayoteremka na bati za uswahilini zenye kutu!?
Siri ni nyingi sana. Ila huyo Salum wa Jambo, anayo pesa, sio mchezo.Biashara hizi zina mengi. Compliance kwa wafanyabiashra wakubwa hawa hasa makada ni changamoto. Mmoja ya wadaiwa Sugu wa Ushuru wa Council ni hii Kampuni, mwaka jana MD aliyekuwepo pale Council alianza yabana makampuni mengi sana yanayodaiwa Ushuru, kama ilivyo ada akahamishwa.
Noma sana. Je huyo Salum wa Jambo, pesa alitolea wapi?Lake zone (Mwanza, Geita, Simiyu na Shinyanga) Kuna matajiri wengi wa kiwango cha kati wengi ambao Wana hela sio nyingi sanaaaa lakini sio chache pia yaani wa kiwango cha 500m kwenda juu. Na wengi unakuta ni wachimbaji wadogo wa madini hivyo likitema tu wanafanya mambo
Uko sahihi kabisa mkuu.Okay, Sasa naelewa HARSHO ndio Harod Shoo .
Kiufupi ile si chupa ni jagiKweli chupa ya uhai haivutii hata kidogo.
nipo huku kwa sasa mkuu, ...wana visoda vyao na energy pia yaani ni full chemical mpaka unapaliwaPangani ndio hawa wapo keko hapa nahisi wana kiwanda chao.
Kilimanjaro kapigwa Tko ya maana yaani kapotea hata kweny seminars humuoni
..
Kanda ya ziwa wana maji yao kiwanda kipo shinyanga ni hayo tu kila kona ,ukikaa huwezi kujua brands nyingine ,kile kiwanda matangazo mpaka kweny mawe😅😅
Dew drop ndio yule tawaqal.Yes, dew drop, yamekaa poa saaana.
Hao ni waarabu wanaomiliki kampuni ya oilcom na kiwanda cha cement wana nguvu kubwa ya mtaji na wanakopesheka benki ndio maana wanao uwezo wa kusambaza nchi nzima. Ujue changamoto kubwa kwenye hivi viwanda vya vileo na maji ni mashine za kuzalisha chupa zina gharama kubwa sana kuziendesha kwa mtu mwenye mtaji mdogo lazima utafanya biashara yako kwenye kieneo kidogo tu kama wanavyofanya hill water ,ndanda spring,Mkwawa water,Mufindi water, Njombe na mengineyo.
onja vyote ila usije thubutu onja ile energy yao, tumbo litafura balaa ni mwendo wa kubeua kama ng'ombe tuJambo product zake huwa zina ladha ya hovyo alaf ni mzee wa kuiga product za azam nae anazo ice-cream kama zile za azam ila ukionja zina kereketa kwenye koo mbaya kabisa
Jamaa bado hawajakaa kwenye mstari vizuri
Dasani? Halafu nasikia mzigo ni sewage unakuwa treated mpaka unafikia viwango tunaletewa kukandamizaKilimanjaro, Afya, Uhai yote hayachekani kwa kukosa ubora, Pangani, Hill water wako vizuri sana, Dasani naye kwa mbaaaali.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
yana ki harufu cha udongoMaji ya udzungwa mbona hamuyaongelei Sasa kwa taarifa yenu udzungwa ni maji bora Sana. Naweza kuyafananisha na Hill water
Mi nakunywa maji brand kubwa kubwaShida nusu albino mna penda vitonga🤣😀
Inawezekana n hvyo mkuuNa samaki ni mapanki TU, au!?
Ndada water ilishajifia kitambo kule kabaki afya tuNdanda pia ni habari nyingine [emoji119] ila sasa hajatanua soko lake kwenye mikoa mingi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app