Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Sio kweli mfano dar kwa observation yale maeneo ya hali ya chini asilimia kubwa wanatumia uhai
Ningetegemea uje na takwimu kussuport point yako
Hill anafanya vizuri upande wa kaskazini ya Dar.
Uhai....kusini...
 
Haya maji ya mvua unayapataje mdau!? Au ndio haya yanayoteremka na bati za uswahilini zenye kutu!?
Hayo kama huna bati jipya inabidi upambane na kutu na uyachuje kwa umakini sana la sivyo jiandae kukaribisha kansa, figo, ini n.k.......
 
Siri ni nyingi sana. Ila huyo Salum wa Jambo, anayo pesa, sio mchezo.
 
Noma sana. Je huyo Salum wa Jambo, pesa alitolea wapi?
 
nipo huku kwa sasa mkuu, ...wana visoda vyao na energy pia yaani ni full chemical mpaka unapaliwa
 

Jambo product zake huwa zina ladha ya hovyo alaf ni mzee wa kuiga product za azam nae anazo ice-cream kama zile za azam ila ukionja zina kereketa kwenye koo mbaya kabisa
Jamaa bado hawajakaa kwenye mstari vizuri
onja vyote ila usije thubutu onja ile energy yao, tumbo litafura balaa ni mwendo wa kubeua kama ng'ombe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…