Himars fake zinawagharimu Urusi

Himars fake zinawagharimu Urusi

Baada ya kuona yanachakazwa hadharani na hamna namna ya kuzuia ukweli huo mmeamua kuja na gia hii sasa ya kuita mara MATOI mara DECOY mtayapa majina yooote ila sisi tunajua mnapigika kinyama, kwaio sasa hivi mnamonea huruma Russia kwa kupoteza makombora yake, mnajua ghalani ana stock ya kaisi gani?

Endeleeeni kujitekenya na kucheka huku mkiugulia maumivu, aibu 30+ countries vs one GIANT PUT-IN
 
Ukraine wanastahili pongezi kwa mbinu.

JAPOKUWA: Warusi wangeamua kutangaza vita kamili bila kujali aina ya silaha nadhani sasa hivi tungekuwa tunaongelea aina nyingine ya vita na si vya Ukraine sababu huenda ingekuwa imechakaa.
(Ukiachilia mbali nuclear inasemekana wana heavy bombs).

Sijajua kwann hafanyi hivyo ila nachojua sababu ya kutokufanya kwake ni kwa maslahi ya Urusi na Dunia. Iwe ni anahofia respond ya mataifa mengine makubwa au ametumia ubinadamu kuavoid vifo vingi kwa pamoja au anazuia vita ya dunia, haijalishi, Warusi wanastahili kuheshimiwa kwa maamuzi ya kivita wanayochukua.
Sababu kubwa ya kutofanya military mobilization ni kukwepa madhara ya kisiasa yatokanayo na vita. Ukifuatilia kila vita inayoisha duniani inasababisha madhara kisiasa na kijamii, baada ya WW2 wapiganaji waliotokea Kenya wakaanzisha Maumau, Marekani ikapata housing crisis, nchi nyingi Afrika zikataka uhuru. Urusi ndio kabisa hao mabadiliko yote hutokea baada ya vita. Bolsheviks walipata nguvu baada ya Russian empire kushindwa vita ya kwanza ya dunia na wa kulaumiwa alikuwa Tsar Nicholas II ambaye baadae wanamapinduzi walimuua na familia yake.

Vita ya pili ya dunia Soviets walivamiwa, hiyo haina budi mpigane ila ilipoisha ikaacha ideologies mbili na kusababisha Cold war. Campaign ya Soviets nchini Afghanistan dhidi ya Mujahideen ilileta madhara kiuchumi na kuishawishi duniani kwa Soviet Union, walipoamua kuondoka wakakaa miaka miwili muungano ukavunjika.

Inasemekana Waziri wa Ulinzi wa Urusi alishapendekeza mara nyingi wafanye mobilization ambayo kijeshi ni sahihi ila kisiasa sio sahihi. Putin kakaa madarakani miaka 22 sasa, ukifuatilia kwanini baada ya Iran - Iraq war Saddam Hussein aliua majenerali wake wengi wa vita, na ukifuatilia kwanini Stalin alifanya The Great Purge na kuua majenerali wake miaka ya 1930s utajua kwanini autocrats huwa wanapata shida sana na jeshi lililotoka kuwa active.
 
Hiyo iliitwa Kievan Rus. Miaka ya 800 uko ndio ilikuwepo hiyo dynasty ikiunganisha eneo kubwa la Ukraine, eneo la Belarus na eneo kidogo la Russia ya sasa.

Baadae miaka ya 1500s akaja Ivan the Terrible akiwa Grand Prince wa Moscow na ndio akawa Tsar wa kwanza wa Russia.
... wewe jamaa ni mzamivu.
 
Mnawapa urusi sifa wasizokuwa nazo,hata marekani angeamua kutumia siraha za maangamizi huko Vietnam asingekimbia kwa aibu,
Boss mm sina mahaba na Putin. Natoa maoni kulingana na namna ninavyopima uhalisia. Kuhusu Marekani na vietnam sikuwa nimewaongelea, ila wote tunaielewa nguvu ya kijeshi ya marekani.
 
Sababu kubwa ya kutofanya military mobilization ni kukwepa madhara ya kisiasa yatokanayo na vita. Ukifuatilia kila vita inayoisha duniani inasababisha madhara kisiasa na kijamii, baada ya WW2 wapiganaji waliotokea Kenya wakaanzisha Maumau, Marekani ikapata housing crisis, nchi nyingi Afrika zikataka uhuru. Urusi ndio kabisa hao mabadiliko yote hutokea baada ya vita. Bolsheviks walipata nguvu baada ya Russian empire kushindwa vita ya kwanza ya dunia na wa kulaumiwa alikuwa Tsar Nicholas II ambaye baadae wanamapinduzi walimuua na familia yake.

Vita ya pili ya dunia Soviets walivamiwa, hiyo haina budi mpigane ila ilipoisha ikaacha ideologies mbili na kusababisha Cold war. Campaign ya Soviets nchini Afghanistan dhidi ya Mujahideen ilileta madhara kiuchumi na kuishawishi duniani kwa Soviet Union, walipoamua kuondoka wakakaa miaka miwili muungano ukavunjika.

Inasemekana Waziri wa Ulinzi wa Urusi alishapendekeza mara nyingi wafanye mobilization ambayo kijeshi ni sahihi ila kisiasa sio sahihi. Putin kakaa madarakani miaka 22 sasa, ukifuatilia kwanini baada ya Iran - Iraq war Saddam Hussein aliua majenerali wake wengi wa vita, na ukifuatilia kwanini Stalin alifanya The Great Purge na kuua majenerali wake miaka ya 1930s utajua kwanini autocrats huwa wanapata shida sana na jeshi lililotoka kuwa active.
Nimekuelewa vzr sana mkuu.
 
Ukraine wanastahili pongezi kwa mbinu.

JAPOKUWA: Warusi wangeamua kutangaza vita kamili bila kujali aina ya silaha nadhani sasa hivi tungekuwa tunaongelea aina nyingine ya vita na si vya Ukraine sababu huenda ingekuwa imechakaa.
(Ukiachilia mbali nuclear inasemekana wana heavy bombs).

Sijajua kwann hafanyi hivyo ila nachojua sababu ya kutokufanya kwake ni kwa maslahi ya Urusi na Dunia. Iwe ni anahofia respond ya mataifa mengine makubwa au ametumia ubinadamu kuavoid vifo vingi kwa pamoja au anazuia vita ya dunia, haijalishi, Warusi wanastahili kuheshimiwa kwa maamuzi ya kivita wanayochukua.
Mrusi mbwembwe nyingi ila ni wa kawaida tu, angekuwa na hizo heavy machines angeshazitumia tayari.
 
Baada ya kuona yanachakazwa hadharani na hamna namna ya kuzuia ukweli huo mmeamua kuja na gia hii sasa ya kuita mara MATOI mara DECOY mtayapa majina yooote ila sisi tunajua mnapigika kinyama, kwaio sasa hivi mnamonea huruma REussia kwa kupoteza makombora yake, manajua ghalani ana stock ya kasi gani?

endeleeeni kujitekenya na kucheka huku mkiugulia maumivu na aibu 30+ countries vs one GIANT PUT-IN
We nakujua pro Russian wa damu huwez kubal ukwel ,ila Putin angekupata ungemfaa sana maana kazidiwa
 
Ukraine wanastahili pongezi kwa mbinu.

JAPOKUWA: Warusi wangeamua kutangaza vita kamili bila kujali aina ya silaha nadhani sasa hivi tungekuwa tunaongelea aina nyingine ya vita na si vya Ukraine sababu huenda ingekuwa imechakaa.

(Ukiachilia mbali nuclear inasemekana wana heavy bombs).

Sijajua kwann hafanyi hivyo ila nachojua sababu ya kutokufanya kwake ni kwa maslahi ya Urusi na Dunia. Iwe ni anahofia respond ya mataifa mengine makubwa au ametumia ubinadamu kuavoid vifo vingi kwa pamoja au anazuia vita ya dunia, haijalishi, Warusi wanastahili kuheshimiwa kwa maamuzi ya kivita wanayochukua.
Kuna mikataba ya kimataifa pia itambana kumbuka Russia alienda kuivamia Ukraine akita hiyo ni operation na sio war...
Kwahiyo dhumuni la operations ilikuwa kumwondoa madarakani lkn SASA imegeuka na kuwa vita
 
Mimi nunachoshangaa haya madude yanafik vip kiev? Russia kashindwa kabisa control air space ya ukrain kama us alivyo control iraq? Ama ali control sema anaogopa tungua madude ya lock martin toka washington?
Makombora yote yanapitia Kwa hasimu mkubwa wa Russia ambaye ni Poland na Estonia kwahiyo Russia Hana ubavu wa kufanya lolote Kwa hizo nchi kwasababu ni nchi huru alafu zipo chini ya NATO
 
Back
Top Bottom