khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
Tuanzie hapa kwanza [emoji117] Young Lunya anaimba mziki gani?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikki mbishi sio underground japokua hata yeye anapenda aitwe hivyo
4me ni hawa wawili...
Basi tumetofautiana kimaana, mi nilimaanisha wasanii wasiosikika au chipukizi ambao hawana majina makubwa ambayo yanawafanya wasijulikane na wengi kulingana na mziki wanaoufanyaSo mimi ni nani hata kupingana naye, kuwa underground haina maana tunayoijenga hapa.... ni aina fulani ya hiphop chimbuko na ndo hasa inazingatia misingi.
Hii naona ipo kwa mbeya boy. Mneya boy kwenye 10 za maangamizi sidhani kama kuna msanii kamzidi pale lakini ukija kwenye track zake zakawaida sanaBoshoo nilimwelewa kwenye 10 za Maangamizi, kwa michano safi na punchlines konki.... ila ‘official tracks’ ni kawaida mno sijui kwa nini..!!
Kwa wafatiliaji wa hip hop kindaki ndaki basi kadgo lazima wamjue.Unamaanisha nini ukisema underground?
Nina miaka karibia kumi sasa nasikiliza ngoma za Kadgo, naye ni underground?
Kwa hao uliowataja namkubali Dizasta Vina na Kadgo.
Huyu Dizasta ni balaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app