Hisia na mihemko havijawahi kumuacha mtu salama

Hisia na mihemko havijawahi kumuacha mtu salama

Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu.

Niende kwenye mada, Wanaume ni viume wenye udhubutu sana, hatupendi kushindwa kupata kile tukipendacho, tutatumia nguvu nyingi, akili na muda mwingi, ili tu kupata kile tunachopenda.
Naomba niwashauri wanaume wenzangu, hisia za mapenzi zisiruhusu wewe kutapeliwa na wanawake.
Pamoja na ugumu wa maisha ila wanaume tukipata pesa na wewe ni bachela lazima ukajibless na mrembo mmoja akupe nyama kwa nyama yani ni mwendo wa kupelekeana moto tu.

Kuna mabinti ambao wameishaona kudanga ndo maisha.
Kuna mabinti ambao wanaweza kutulia na mwanaume mmoja ila muhimu tu kwa wewe mwanaume pesa iwepo 24/7 kutatua shida za mwanamke huyo.
Kuna mabinti ambao wameshindwa kua na hata huyo mwanaume mmoja wa kumvulia chupi, wanachotaka wao before ifike time ya kumvulisha chupi awe kakuliza pesa ya kutosha, kiasi kwamba ukikata tamaa basi utakua umeondoka na hasara kubwa sana. (Hii ndio new generation, wamekua wengi sana) na utakapo gundua demu ni mzugaji hakutaki, ukilalamika tu ndio kosa lako, mtaachana na atakuchapa na block.
Na usiombe uingie kwenye kumi na nane za demu msagaji utaomba poo.

Wanachokifanya hawa wanawake ni hivi ukimtongoza kwa kujiliza liza sana ndipo, she take advantage, anakuona zoba hili naweza kulichuna kiasi, wao malengo yanakua ni madogo tu, ukitoboka wewe hata 1k ya vocha kwake yeye ni step kubwa sana kwenye mradi wake.
Anawapanga wengi kama wewe ambao ety mnamtaka yeye kimapenzi na wengi wenu huwa mnachelewa kusema, kwahiyo katika kile kipindi cha tujuane kwanza na tuzoheane ndipo lazima mwanaume utoboke kimtindo.

Wanaume tumefikia hatua ukiona mwanamke unajisemea nikiwa kama na laki moja au elfu 50 huyu demu nakula, akinichuna kabla iishe atakua katoa mzigo, my braza ni heri ukanunue kahaba moja kwa moja kuliko kupoteza muda wako kuangaika na mpumbavu mmoja ambae kajanjaruka na kujua kuwa wanaume tumekua wepesi kutoa toa pesa kisa tamaa za kumpata mwanamke.

binafsi nina tukio lilinitokea, bahat nzuri nilikua nimeisha shituka mapema, nikipata muda nitasimulia, shida inakuja humu JF mtakuja kunitolea tu kashfa, matusi na kejeli, kwa maana mwanamke huyo niliingiza hadi geto, kwa kuwa sikutaka mapenz ya kulazimishana nilimuacha aondoke na sikufanya nae chochote lakini kwa jinsi alivyokua muhongo na Mraghai kwakweli na uzuri wake najua anawaokota wengi sana.

Siku zote matukio huwa hivi..
ukiomba namba atakupa..
Ukichelewa kusema shida yako ndio anaona vizuri zaidi, nakwambia ni wanaomba hela bila aibu kabisa na bila mpangilio.
Ukituma vocha ndipo utajibiwa na message zako, kuonana hawezi kuja getoni kwako wala chimbo lako, ni atakuwekea masharti kibao, kukwepa kuvuliwa chupi na utanote kuwa ukimpa hela ndipo respond yake kwako inaongezeka kiasi bila hivo utajichatisha mwenyewe.

Yote tisa, kumi mimi kuna binti ambae alichukua namba zangu kwa mtu na kunitafuta, nilikua namjua japo sikua na mawasiliano nae'
Akaniuliza alichotaka kuniuliza tunaendelea kuwasiliana sasa shobo zake za kunitafuta ikabidi nirushe tongozo, akakubali hadi kuna siku nilikua nimetoka kula pombe siku hiyo nilichati nae usiku message za kutiana, nadhani mnazijua zile za bebi tupande kitandani, mala ingiza bebi taratibu.. and what and what.. hivo yani akawa anadai hadi kaloana kwa jinsi alivyo na hisia na mimi. ehe bana kesho yake nikaambiwa nitume elfu 30 ya kusuka, nikamwambia wewe njoo nione iyo kichwa yako kwanza then pesa ya kusuka nitakupa mkononi, akalazimisha nitume, mimi sikutuma uwezi amini mahusiano yalikufa tangu siku hiyo.

Yani ukijichanganya kutongoza kwa kulia lia ni hatar hawa mabinti round moja tu anakua kaisha kuchapa nockout na huna cha kumfanya. tuweni makini lakini pia kama ni hobb yako kutoa pesa yako ili kesho uje kupewa match wewe endelea tu nisemacho sio sheria.

Akili mtu wangu, sita sema pisi inayojielewa inakuwa vipi.
kiukweli kumpata akupendae bado ni tatizo kubwa, unae mpenda hakupend, usie mpenda ndie anakutaka sasa.
WE KNOW SEX NI MUHIMU NA INAFAIDA NYINGI KIAFYA.
Noooma Sana!!
 
Hakuna cha Bure brother kama pesa kwako ngumu acha tamaa kapige punyeto

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ishu sio bure,labda kama hujamwela mweka mada ila kweli hili jambo limekua changamoto mno.
Ishu ipo hivi,kuna bidada mmoja huku uswahilini kwetu nilikuomba namba akasepa,kesho yake nikamcheki nikarusha ndoano akawa anaila anaitema lakini mwisho akanipa moyo kaelewa somo ishu ikaja twakutana lini tuzungumze zaidi.
Tukapanga fresh basi kikapita kimya kama nusu saa hivi nasikia meseji nasoma niya yule bidada ananiambia yupo msibani tegeta huko,kengele ikaanza kupiga kichwani kua kuna jambo laja hivyo nikawa najibu kwa tahadhari kubwa sana mno mwisho nikampa pole kisha nikauchuna.
Ikapita nusu saa mara ghafla naona meseji nyingine kuwa nimtumie elfu kumi kwa ajili ya kutoa rambirambi,dah nikaona sio kesi was niwe fala labda naweza pata,wakati nipo kwenye harakati hizo za kutuma hamad namuona yule bidada kitaani anatoka dukani anaingia kwao,nikauchuna akaanza balaa la kunibip mbona situmi.
Nikawa nawaza nimpe jibu gani mujarabu mwisho nami nikaona niombe tu gemu kama biashara basi iwe win win tumalizane,akaruka yani Leo tu unataka tufanye mambo hayo nami nikamuuliza mbona weye leo tu unataka ela ndefu kwa kusingizia upo msibani hali ya kuwa nakuona unaingia kwenu hapo,dah ndio ukawa mwisho wetu wa mawasiliano mpaka milele.
 
Kaka hapo inakuwa hivi
Kuna Demu anakuvutia tuu umtie uboLoo lakini huna mpango naee sa huyu unakuta hata ukienda kwa kahaba kiu yako bado itaendelea kuwepo tuu.

Sa Demu wa Dizaini hii mi ntapigwa pesa ila nikisha mtromba bango zangu na kumwagia usoni kwenye maziwa mdomoni mi roho yangu swaafi kabisaa.

Hata 100k achukue tuu
Ntatafuta zinginee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kaka hapo inakuwa hivi
Kuna Demu anakuvutia tuu umtie uboLoo lakini huna mpango naee sa huyu unakuta hata ukienda kwa kahaba kiu yako bado itaendelea kuwepo tuu.

Sa Demu wa Dizaini hii mi ntapigwa pesa ila nikisha mtromba bango zangu na kumwagia usoni kwenye maziwa mdomoni mi roho yangu swaafi kabisaa.

Hata 100k achukue tuu
Ntatafuta zinginee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
ok, it is your choice.
 
Ishu sio bure,labda kama hujamwela mweka mada ila kweli hili jambo limekua changamoto mno.
Ishu ipo hivi,kuna bidada mmoja huku uswahilini kwetu nilikuomba namba akasepa,kesho yake nikamcheki nikarusha ndoano akawa anaila anaitema lakini mwisho akanipa moyo kaelewa somo ishu ikaja twakutana lini tuzungumze zaidi.
Tukapanga fresh basi kikapita kimya kama nusu saa hivi nasikia meseji nasoma niya yule bidada ananiambia yupo msibani tegeta huko,kengele ikaanza kupiga kichwani kua kuna jambo laja hivyo nikawa najibu kwa tahadhari kubwa sana mno mwisho nikampa pole kisha nikauchuna.
Ikapita nusu saa mara ghafla naona meseji nyingine kuwa nimtumie elfu kumi kwa ajili ya kutoa rambirambi,dah nikaona sio kesi was niwe fala labda naweza pata,wakati nipo kwenye harakati hizo za kutuma hamad namuona yule bidada kitaani anatoka dukani anaingia kwao,nikauchuna akaanza balaa la kunibip mbona situmi.
Nikawa nawaza nimpe jibu gani mujarabu mwisho nami nikaona niombe tu gemu kama biashara basi iwe win win tumalizane,akaruka yani Leo tu unataka tufanye mambo hayo nami nikamuuliza mbona weye leo tu unataka ela ndefu kwa kusingizia upo msibani hali ya kuwa nakuona unaingia kwenu hapo,dah ndio ukawa mwisho wetu wa mawasiliano mpaka milele.
Ilibaki nusu tu, uingie kwenye 18 zake.

kuna jamaa yangu mmoja na yeye huwa anafalsafa ya kwamba akiwa na demu ambae hajamla anaweza kumpa hela bila shida tu, anafanya kama kutoa msaada tu wa tatizo lake.
Mimi huwa namwambia huo ni udhaifu, mueleze ukweli demu mimi nataka show nina ukame akishwa kukuelewa basi apite hivi hana mapenzi yoyote na wewe huyo.

Jamaa yangu aliwahi kummpenda mwanamke chuo, demu alimpotezea tu muda jamaa, pisi mbovu na mchizi alikua hapewi game wala nini.
Demu kazalishwa huko, akaja akamteka jamaa yangu kinoma, na demu age imeendaa tu anamzidi jamaa kama miaka miwili.
 
Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu.

Niende kwenye mada, Wanaume ni viume wenye udhubutu sana, hatupendi kushindwa kupata kile tukipendacho, tutatumia nguvu nyingi, akili na muda mwingi, ili tu kupata kile tunachopenda.
Naomba niwashauri wanaume wenzangu, hisia za mapenzi zisiruhusu wewe kutapeliwa na wanawake.
Pamoja na ugumu wa maisha ila wanaume tukipata pesa na wewe ni bachela lazima ukajibless na mrembo mmoja akupe nyama kwa nyama yani ni mwendo wa kupelekeana moto tu.

Kuna mabinti ambao wameishaona kudanga ndo maisha.
Kuna mabinti ambao wanaweza kutulia na mwanaume mmoja ila muhimu tu kwa wewe mwanaume pesa iwepo 24/7 kutatua shida za mwanamke huyo.
Kuna mabinti ambao wameshindwa kua na hata huyo mwanaume mmoja wa kumvulia chupi, wanachotaka wao before ifike time ya kumvulisha chupi awe kakuliza pesa ya kutosha, kiasi kwamba ukikata tamaa basi utakua umeondoka na hasara kubwa sana. (Hii ndio new generation, wamekua wengi sana) na utakapo gundua demu ni mzugaji hakutaki, ukilalamika tu ndio kosa lako, mtaachana na atakuchapa na block.
Na usiombe uingie kwenye kumi na nane za demu msagaji utaomba poo.

Wanachokifanya hawa wanawake ni hivi ukimtongoza kwa kujiliza liza sana ndipo, she take advantage, anakuona zoba hili naweza kulichuna kiasi, wao malengo yanakua ni madogo tu, ukitoboka wewe hata 1k ya vocha kwake yeye ni step kubwa sana kwenye mradi wake.
Anawapanga wengi kama wewe ambao ety mnamtaka yeye kimapenzi na wengi wenu huwa mnachelewa kusema, kwahiyo katika kile kipindi cha tujuane kwanza na tuzoheane ndipo lazima mwanaume utoboke kimtindo.

Wanaume tumefikia hatua ukiona mwanamke unajisemea nikiwa kama na laki moja au elfu 50 huyu demu nakula, akinichuna kabla iishe atakua katoa mzigo, my braza ni heri ukanunue kahaba moja kwa moja kuliko kupoteza muda wako kuangaika na mpumbavu mmoja ambae kajanjaruka na kujua kuwa wanaume tumekua wepesi kutoa toa pesa kisa tamaa za kumpata mwanamke.

binafsi nina tukio lilinitokea, bahat nzuri nilikua nimeisha shituka mapema, nikipata muda nitasimulia, shida inakuja humu JF mtakuja kunitolea tu kashfa, matusi na kejeli, kwa maana mwanamke huyo niliingiza hadi geto, kwa kuwa sikutaka mapenz ya kulazimishana nilimuacha aondoke na sikufanya nae chochote lakini kwa jinsi alivyokua muhongo na Mraghai kwakweli na uzuri wake najua anawaokota wengi sana.

Siku zote matukio huwa hivi..
ukiomba namba atakupa..
Ukichelewa kusema shida yako ndio anaona vizuri zaidi, nakwambia ni wanaomba hela bila aibu kabisa na bila mpangilio.
Ukituma vocha ndipo utajibiwa na message zako, kuonana hawezi kuja getoni kwako wala chimbo lako, ni atakuwekea masharti kibao, kukwepa kuvuliwa chupi na utanote kuwa ukimpa hela ndipo respond yake kwako inaongezeka kiasi bila hivo utajichatisha mwenyewe.

Yote tisa, kumi mimi kuna binti ambae alichukua namba zangu kwa mtu na kunitafuta, nilikua namjua japo sikua na mawasiliano nae'
Akaniuliza alichotaka kuniuliza tunaendelea kuwasiliana sasa shobo zake za kunitafuta ikabidi nirushe tongozo, akakubali hadi kuna siku nilikua nimetoka kula pombe siku hiyo nilichati nae usiku message za kutiana, nadhani mnazijua zile za bebi tupande kitandani, mala ingiza bebi taratibu.. and what and what.. hivo yani akawa anadai hadi kaloana kwa jinsi alivyo na hisia na mimi. ehe bana kesho yake nikaambiwa nitume elfu 30 ya kusuka, nikamwambia wewe njoo nione iyo kichwa yako kwanza then pesa ya kusuka nitakupa mkononi, akalazimisha nitume, mimi sikutuma uwezi amini mahusiano yalikufa tangu siku hiyo.

Yani ukijichanganya kutongoza kwa kulia lia ni hatar hawa mabinti round moja tu anakua kaisha kuchapa nockout na huna cha kumfanya. tuweni makini lakini pia kama ni hobb yako kutoa pesa yako ili kesho uje kupewa match wewe endelea tu nisemacho sio sheria.

Akili mtu wangu, sita sema pisi inayojielewa inakuwa vipi.
kiukweli kumpata akupendae bado ni tatizo kubwa, unae mpenda hakupend, usie mpenda ndie anakutaka sasa.
WE KNOW SEX NI MUHIMU NA INAFAIDA NYINGI KIAFYA.
Akili mtu wangu[emoji101]
 
Mimi sio muumini wa kutuma pesa iwe ya vocha, kula, kusuka and so on

Kama unahitaji pesa nitakuita uwanja wa nyumbani uje uchukue mwenyewe na ukija hautoki bila kuliwa na ndio utapata hiyo pesa hata zaidi ya uliyo omba

Ukigoma kuja getho basi hukuwa na mapenzi na mimi ila ulikuwa na ajenda zako zingine za kunitengenezea vipengele

Akili mtu wangu, lazima uwe na moral lesson
 
Mb dog-Mapenzi kitu gani

Haya mapenzi ni kitu gani
Muda nawaza mpka nimechoka.
Vile doggy mimi nnajina mashori wengi tu wanashoboka.
Ninayempenda mm hanipendi ninachotaka kwake mi sikipati,
Kukataa mpenzi anahaki.
Nami kumuacha Moyo hautakii
 
Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu.

Niende kwenye mada, Wanaume ni viume wenye udhubutu sana, hatupendi kushindwa kupata kile tukipendacho, tutatumia nguvu nyingi, akili na muda mwingi, ili tu kupata kile tunachopenda.
Naomba niwashauri wanaume wenzangu, hisia za mapenzi zisiruhusu wewe kutapeliwa na wanawake.
Pamoja na ugumu wa maisha ila wanaume tukipata pesa na wewe ni bachela lazima ukajibless na mrembo mmoja akupe nyama kwa nyama yani ni mwendo wa kupelekeana moto tu.

Kuna mabinti ambao wameishaona kudanga ndo maisha.
Kuna mabinti ambao wanaweza kutulia na mwanaume mmoja ila muhimu tu kwa wewe mwanaume pesa iwepo 24/7 kutatua shida za mwanamke huyo.
Kuna mabinti ambao wameshindwa kua na hata huyo mwanaume mmoja wa kumvulia chupi, wanachotaka wao before ifike time ya kumvulisha chupi awe kakuliza pesa ya kutosha, kiasi kwamba ukikata tamaa basi utakua umeondoka na hasara kubwa sana. (Hii ndio new generation, wamekua wengi sana) na utakapo gundua demu ni mzugaji hakutaki, ukilalamika tu ndio kosa lako, mtaachana na atakuchapa na block.
Na usiombe uingie kwenye kumi na nane za demu msagaji utaomba poo.

Wanachokifanya hawa wanawake ni hivi ukimtongoza kwa kujiliza liza sana ndipo, she take advantage, anakuona zoba hili naweza kulichuna kiasi, wao malengo yanakua ni madogo tu, ukitoboka wewe hata 1k ya vocha kwake yeye ni step kubwa sana kwenye mradi wake.
Anawapanga wengi kama wewe ambao ety mnamtaka yeye kimapenzi na wengi wenu huwa mnachelewa kusema, kwahiyo katika kile kipindi cha tujuane kwanza na tuzoheane ndipo lazima mwanaume utoboke kimtindo.

Wanaume tumefikia hatua ukiona mwanamke unajisemea nikiwa kama na laki moja au elfu 50 huyu demu nakula, akinichuna kabla iishe atakua katoa mzigo, my braza ni heri ukanunue kahaba moja kwa moja kuliko kupoteza muda wako kuangaika na mpumbavu mmoja ambae kajanjaruka na kujua kuwa wanaume tumekua wepesi kutoa toa pesa kisa tamaa za kumpata mwanamke.

binafsi nina tukio lilinitokea, bahat nzuri nilikua nimeisha shituka mapema, nikipata muda nitasimulia, shida inakuja humu JF mtakuja kunitolea tu kashfa, matusi na kejeli, kwa maana mwanamke huyo niliingiza hadi geto, kwa kuwa sikutaka mapenz ya kulazimishana nilimuacha aondoke na sikufanya nae chochote lakini kwa jinsi alivyokua muhongo na Mraghai kwakweli na uzuri wake najua anawaokota wengi sana.

Siku zote matukio huwa hivi..
ukiomba namba atakupa..
Ukichelewa kusema shida yako ndio anaona vizuri zaidi, nakwambia ni wanaomba hela bila aibu kabisa na bila mpangilio.
Ukituma vocha ndipo utajibiwa na message zako, kuonana hawezi kuja getoni kwako wala chimbo lako, ni atakuwekea masharti kibao, kukwepa kuvuliwa chupi na utanote kuwa ukimpa hela ndipo respond yake kwako inaongezeka kiasi bila hivo utajichatisha mwenyewe.

Yote tisa, kumi mimi kuna binti ambae alichukua namba zangu kwa mtu na kunitafuta, nilikua namjua japo sikua na mawasiliano nae'
Akaniuliza alichotaka kuniuliza tunaendelea kuwasiliana sasa shobo zake za kunitafuta ikabidi nirushe tongozo, akakubali hadi kuna siku nilikua nimetoka kula pombe siku hiyo nilichati nae usiku message za kutiana, nadhani mnazijua zile za bebi tupande kitandani, mala ingiza bebi taratibu.. and what and what.. hivo yani akawa anadai hadi kaloana kwa jinsi alivyo na hisia na mimi. ehe bana kesho yake nikaambiwa nitume elfu 30 ya kusuka, nikamwambia wewe njoo nione iyo kichwa yako kwanza then pesa ya kusuka nitakupa mkononi, akalazimisha nitume, mimi sikutuma uwezi amini mahusiano yalikufa tangu siku hiyo.

Yani ukijichanganya kutongoza kwa kulia lia ni hatar hawa mabinti round moja tu anakua kaisha kuchapa nockout na huna cha kumfanya. tuweni makini lakini pia kama ni hobb yako kutoa pesa yako ili kesho uje kupewa match wewe endelea tu nisemacho sio sheria.

Akili mtu wangu, sita sema pisi inayojielewa inakuwa vipi.
kiukweli kumpata akupendae bado ni tatizo kubwa, unae mpenda hakupend, usie mpenda ndie anakutaka sasa.
WE KNOW SEX NI MUHIMU NA INAFAIDA NYINGI KIAFYA.
Mwamba nsamehe sana nilikua nakuchukulia kama legend sana

Virse verse is true

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sio muumini wa kutuma pesa iwe ya vocha, kula, kusuka and so on

Kama unahitaji pesa nitakuita uwanja wa nyumbani uje uchukue mwenyewe na ukija hautoki bila kuliwa na ndio utapata hiyo pesa hata zaidi ya uliyo omba

Ukigoma kuja getho basi hukuwa na mapenzi na mimi ila ulikuwa na ajenda zako zingine za kunitengenezea vipengele

Akili mtu wangu, lazima uwe na moral lesson
kanaflow
 
Mimi sio muumini wa kutuma pesa iwe ya vocha, kula, kusuka and so on

Kama unahitaji pesa nitakuita uwanja wa nyumbani uje uchukue mwenyewe na ukija hautoki bila kuliwa na ndio utapata hiyo pesa hata zaidi ya uliyo omba

Ukigoma kuja getho basi hukuwa na mapenzi na mimi ila ulikuwa na ajenda zako zingine za kunitengenezea vipengele

Akili mtu wangu, lazima uwe na moral lesson
KWA HERUFI KUBWAAA......KWA HESHIMA NA TAADHIMA NACHUKUA HAYA NA KUSISAMIA NDANI YA HAYA MAANDISHI YENYE UKWELI DAIMA,NAOMBA HATI MILIKI MKUU.😀😀
 
Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu.

Niende kwenye mada, Wanaume ni viume wenye udhubutu sana, hatupendi kushindwa kupata kile tukipendacho, tutatumia nguvu nyingi, akili na muda mwingi, ili tu kupata kile tunachopenda.

Naomba niwashauri wanaume wenzangu, hisia za mapenzi zisiruhusu wewe kutapeliwa na wanawake. Pamoja na ugumu wa maisha ila wanaume tukipata pesa na wewe ni bachela lazima ukajibless na mrembo mmoja akupe nyama kwa nyama yani ni mwendo wa kupelekeana moto tu.

Kuna mabinti ambao wameishaona kudanga ndo maisha. Kuna mabinti ambao wanaweza kutulia na mwanaume mmoja ila muhimu tu kwa wewe mwanaume pesa iwepo 24/7 kutatua shida za mwanamke huyo.

Kuna mabinti ambao wameshindwa kua na hata huyo mwanaume mmoja wa kumvulia chupi, wanachotaka wao before ifike time ya kumvulisha chupi awe kakuliza pesa ya kutosha, kiasi kwamba ukikata tamaa basi utakua umeondoka na hasara kubwa sana. (Hii ndio new generation, wamekua wengi sana) na utakapo gundua demu ni mzugaji hakutaki, ukilalamika tu ndio kosa lako, mtaachana na atakuchapa na block.

Na usiombe uingie kwenye kumi na nane za demu msagaji utaomba poo.

Wanachokifanya hawa wanawake ni hivi ukimtongoza kwa kujiliza liza sana ndipo, she take advantage, anakuona zoba hili naweza kulichuna kiasi, wao malengo yanakua ni madogo tu, ukitoboka wewe hata 1k ya vocha kwake yeye ni step kubwa sana kwenye mradi wake.

Anawapanga wengi kama wewe ambao ety mnamtaka yeye kimapenzi na wengi wenu huwa mnachelewa kusema, kwahiyo katika kile kipindi cha tujuane kwanza na tuzoheane ndipo lazima mwanaume utoboke kimtindo.

Wanaume tumefikia hatua ukiona mwanamke unajisemea nikiwa kama na laki moja au elfu 50 huyu demu nakula, akinichuna kabla iishe atakua katoa mzigo, my braza ni heri ukanunue kahaba moja kwa moja kuliko kupoteza muda wako kuangaika na mpumbavu mmoja ambae kajanjaruka na kujua kuwa wanaume tumekua wepesi kutoa toa pesa kisa tamaa za kumpata mwanamke.

binafsi nina tukio lilinitokea, bahat nzuri nilikua nimeisha shituka mapema, nikipata muda nitasimulia, shida inakuja humu JF mtakuja kunitolea tu kashfa, matusi na kejeli, kwa maana mwanamke huyo niliingiza hadi geto, kwa kuwa sikutaka mapenz ya kulazimishana nilimuacha aondoke na sikufanya nae chochote lakini kwa jinsi alivyokua muhongo na Mraghai kwakweli na uzuri wake najua anawaokota wengi sana.

Siku zote matukio huwa hivi. ukiomba namba atakupa. Ukichelewa kusema shida yako ndio anaona vizuri zaidi, nakwambia ni wanaomba hela bila aibu kabisa na bila mpangilio.

Ukituma vocha ndipo utajibiwa na message zako, kuonana hawezi kuja getoni kwako wala chimbo lako, ni atakuwekea masharti kibao, kukwepa kuvuliwa chupi na utanote kuwa ukimpa hela ndipo respond yake kwako inaongezeka kiasi bila hivo utajichatisha mwenyewe.

Yote tisa, kumi mimi kuna binti ambae alichukua namba zangu kwa mtu na kunitafuta, nilikua namjua japo sikua na mawasiliano nae'
Akaniuliza alichotaka kuniuliza tunaendelea kuwasiliana sasa shobo zake za kunitafuta ikabidi nirushe tongozo, akakubali hadi kuna siku nilikua nimetoka kula pombe siku hiyo nilichati nae usiku message za kutiana, nadhani mnazijua zile za bebi tupande kitandani, mala ingiza bebi taratibu.. and what and what.. hivo yani akawa anadai hadi kaloana kwa jinsi alivyo na hisia na mimi. ehe bana kesho yake nikaambiwa nitume elfu 30 ya kusuka, nikamwambia wewe njoo nione iyo kichwa yako kwanza then pesa ya kusuka nitakupa mkononi, akalazimisha nitume, mimi sikutuma uwezi amini mahusiano yalikufa tangu siku hiyo.

Yani ukijichanganya kutongoza kwa kulia lia ni hatar hawa mabinti round moja tu anakua kaisha kuchapa nockout na huna cha kumfanya. tuweni makini lakini pia kama ni hobb yako kutoa pesa yako ili kesho uje kupewa match wewe endelea tu nisemacho sio sheria.

Akili mtu wangu, sita sema pisi inayojielewa inakuwa vipi kiukweli kumpata akupendae bado ni tatizo kubwa, unae mpenda hakupend, usie mpenda ndie anakutaka sasa.

WE KNOW SEX NI MUHIMU NA INAFAIDA NYINGI KIAFYA.

Umeeleweka mkuu...kauli mbiu yetu iwe “Hela ni yangu na Nyege ni zangu na shida ni zako binti “ hivo kila mtu na chake,me pesa yangu haitoki kirahisi asee
 
Back
Top Bottom