Hisia na mihemko havijawahi kumuacha mtu salama

Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu.
Kuna mmoja nilimtongoza kakubali hapo hapo ilikuwa jumanne akaniambia birthday yake jumapili nimuongezee 35000 akanunue keki. Toto jeupe lina kishundu, red lips , hips zimetuna, sura Kali nikaona sio kesi nikatoa bana.

Shida zilianza nikimuita geto anakuja na mdogo wake na marafik zake wanakuwa kama wanne, sa zingne haji kabisa anasema anaumwa na sio mara moja mara kwa mara nikajiuliza huyu haponagi tu.

Kuanzia hapo nilijifunza napenda kuwatarifu kuwa akili zimerudi bana wakati ule nahisi tako la yule mtoto lilifanya zikaama kidogo
 
Ulipokea uponyajiπŸ˜… wa kuondoa wenge!
 
Mkuu ulifanya big mistake ....unatumaje 35k kifala hvo
 
Hahahaha hii kitu nilikua nasoma najiona kabisa kama ni mimi,
Kademu kamoja nilichukua namba kwake, nikakaomba nafasi ya kuonana nako kwa ajir ya maongezi kidogo ila sehemu kaliyochagua kwa masharti ni AVASH iliyopo Mwanza na siku yenyewe iwe wekeend jumapili na kbl nimpe hela ya kusuka kama 20k daah mwamba nikajikoki nikasema fresh nikamtumia japo kishingo upande natoa hela uku inaniuma, ijumaa ikafika nikawaza hapa jumapili kwenda uko ntaenda tena kutoboka ikabid nitengeneze dharura ya jumapili, hapo deal done, promise ikafa, sasa katikat ya wiki baada ya promise kufa, j3 hela ya lunch elf 5, J4 vocha Buku, j5 ikapita, alhamis hela ya lunch nikasema sina, ijumaa nikasema bas jpili hii tuonane akasema fresh ila kwanza hawez kuja maana nywele zinaanza kufumuka [emoji16][emoji16] "Damn yan wiki moja Tu unabadili nywele msenge wewe" nikasema fresh ila saiv sina ntakupa jumapili tukionana, kakasema kwako siji nikasema fresh basi tutaenda lodge,, mmkeeeee yan ni kama ndo nilimpaka pilipili wakati hapo nilikua nimeshampiga vocal na amekubali kua wapenz ila nilivyogusia lodge daaah ! "Mara ooh yan kujuana siku mbili tatu tu tayari Lodge, mara unanichukuliaje, mara ww unaomba twende lodge unazani mimi ni mtoto mdogo eeh" [emoji23][emoji23][emoji23] nikasema kwaiyo niambie kuna muda wa kumuambia mpenz wako kua nataka tuwe wote, yan ni kuanzia siku ngapi miez mingapi au wiki ngapi au ni mwaka???...
Saiv hata salama hakuna kabisa japo kanila kama elf 30 -40 mamaeeee zake

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Alafu kuna Mbwa zitakuja kusema wewe bahiri kha😒
 
Hatar na Nusu,
Mimi kinacho niuma kwanini asitoe tu mzigo na yeye kiroho safi.
 
Hatar na Nusu,
Mimi kinacho niuma kwanini asitoe tu mzigo na yeye kiroho safi.
Kuna kitabu kiliandikwa na mdada mweusi mmarekani baje fletcher, kinaitwa go(al)diggers guide, how to get what u want from men without giving it up, tafsiri yake ni jinsi ya kupata hela toka kwa wanaume bila kutoa papuchi.

Nilisoma online kupitia web ya docroid, nlicheka na nikasikitika pia,

Definition ya good man kwa mwanamke, ni mpaka huyo mwanamke awe na hisia na wewe, niligundua hivo baada ya mwandishi wa kitabu hapo juu aliposema mdada anatakiwa atoe papa na asiombe hela, akishajua mwanaume aliye naye ni mwema na ndio the one, nkasema sasa atajuaje kama Huyo dume ni the one, wakati akifatwa tu na mwanaume haipiti masaa mawili, anaomba pesa nyingi? Hata mwandishi mwenyewe wa kitabu kwenye story zake alionesha udhaifu kwa baadhi ya wanaume waliomvutia

Alpha f*CKS, beta bucks
Surya
 
Wanawake wa kisasa ni kama chombo cha starehe, ni kama vile juke box

unaweka pesa unapata papuchi, huna pesa piga puli
 

ngoja tutafte kazi …. masimango yamezidi
 
Vijana wa UWABATA tunapeana moral lesson.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…