Falaaaaa wewe utapigwa tukio mpaka upate kilema halafu mwakani March 2025 unaibuka tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekuelewa.. itabdi nikija ofisin kwako tuongee vzr but punguza kunilegezea Macho....
Jomon. Hata mie ni wa kanda pendwa.Hii fursa anapewa kaka wa kanda ya ziwa tu [emoji1787][emoji1787]
Psychology ya wanawake wengi mkiona mwanaume anaongea vizuri na nyie anakua mwema kwenu huwa mnafikiri anawataka kimapenzi.
Mtu akikuomba namba tu we unajiandaa kutongozwa sisi wanaume wengine huwa hatupendi kutabiriwa kama watu wenye tamaa kwahiyo naweza kukuomba namba na nisikutongoze
Jomon. Hata mie ni wa kanda pendwa.
Mama Elisha😂Niaje..upo?
I do my nakupenda sana!Basi naku love
Una nyege weweNipeni mbinu ya kuacha kumfikiria maana nimeanza kumuota [emoji849][emoji2970]
I do my nakupenda sana!
Una nyege wewe
Mtu ukiona anapenda bossi......
Jua huyo ni......
Kwanini umpende boss..Boss nae ni binadamu kama mimi au boss hana kidudu
Ndo hali halisi tunakuomba namba na hatukutongozi conversations ndo inaamua tukiona hauko interested na mimi nakupotezea nikiona unaelekea elekea ndo naanza kukuchokoza taratibu ila ni baada ya muda kupita maana tunajua ni wanawake wachache wanaoweza kutongoza wanaume.Mambo gani hayo sasa [emoji23]
Kwanini umpende boss..
Ujaona wengine wa kuwapenda au unazingatia maokoto
Ni kweli nakupenda wewe ndo mpenzi wangu.[emoji2][emoji2] kama kweli vile
Aaaah mnasemaga hv hv...Nilivutiwa nae before sijajua ni boss nimeeleza hapo
Hakuna dhambi kumpenda boss
Hili suala halihusiani na maokoto ashani offer vingi na nimekataa kwasabbu sihitaji kitu yake inayohusiana na pesa