Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kwa msaada wa biblia na vitabu mbalimbali.

Huwa nawashangaa sana watu wanaiona Israel kama taifa teule kwa Mungu kumbe wanajidanganya tu.

Historia inasema hapo mashariki ya kati wakaazi asilia ni Wafilisti(Wapalestina) na makabila madogo kama Wahivi,Wagirigashi n.k. toka Taifa la Israel likiwa njiani waliambiwa mapema wakiisha chukua nchi wawatoa na kuwaua kabisa raia wa nchi hiyo ili wasije kuchanganya ibada.

(Soma Hesabu 33:52,53)

Asili walikuwa wanaabudi mungu Baali na Israel Mungu YEHOVA. Israel ilijitahidi sana kupigana kwa msaada wa Mungu walichukua nchi japo hawakutoa wakaazi wote na waliobaki ni Wapalestina wakabaki na miji mi3 tu Gaza,Askeloni na Ekroni.

Chini ya mfalme Daudi walitawala mashariki yote mpaka karibu na Armenia ya leo. Pamoja na uwezo wa Daudi lakini bado Wapalestina walikuepo japo walikuwa watumwa kwa wakati huo.

Mwaka 70 ukawa mwisho wa taifa la teule la Israel pale Roma ilipochoma mji wote wa Yerusalemu na wakaazi wote kukimbilia maeneo mbalimbali ya dunia hususa ni ulaya.
(
Luka 21:24) soma

Baada ya mwisho wao wapalestina wakanza kujitanua kidogo kidogo na kufika Yerusalemu,chini ya Roma hawakuwa na shida. Kwa msaada wa Waislamu Israel yote ikawa chini ya Wapalestina na mabaki wachache wa wayahudi.

(Mathayo 23:37)soma



Baada ya vuguvugu la wayahudi kurudi kwao ndio 1948 likajitokeza tena taifa la Israel lakini halikuwa na uhusiano wowote na Mungu bali Uingereza na Marekani. Kama sio ujanja wao wangekuwa watumwa wa Palestina mpaka leo na siku waarabu wakijitambua na wakibadili fikra na mtazamo wao kuhusu Israel kuwa taifa la kawaida tu kama ilivyo Syria watapigwa na kumalizwa.

Sasa Israel ilishindwa kumaliza Wapalestina wakiwa na usaidizi wa Mungu je wataweza sasa?

(Wanadini ili niwaamini njooni na maandiko ya agano jipya tu, kuitetea Israel nje ya hapo ni UYAHUDI unatetea).
 
Dini ni mbinu za kuwatawala watu, Israel walibebwa utumwani kwa msada wa dola la Kirumi baada ya kupigwa na kuuwawa sana, na wengine walikimbilia nchi nyingine , huko walikopelekwa utumwani wakaauwawa tena kwa mamilioni baada ya kuzaliana, wauaji wakaona Dunia inawageukia na kuwalaumu ndio wakawarudisha kwenye nchi Yao
 
Hivi Mungu yupi huyo alietoa sheria ya usiue halafu hapohapo taifa lake teule linaishi kwa upanga!.. hakunaga taifa teule dunia hii na kuamini hivyo huo ni utumwa.
Mwanzo alikua na kusudi lake,lakini sasa inashangaza kuona kabisa mtu anajiita mkristo afu anafurahia Wapalestina wakiuliwa
 
hujajua vizr historia ya Israel boss rudi kasome vzr, by the way biblia ilishaandika kila kitu kuhusu itavyokuwa..
kitabu cha ufunuo kinasema itatokea vita kubwa kati Isarael na Palestina na itakuja kuisha kwa kuapatanishwa na Papa(na sio kati yao mmoja kushinda) Papa ambaye ni kiabarak wa shetani..
.
baada ya hapo kutatoa njaa kubwa amabyo haijwahi kutokea duniani na hapi ndio mpinga kristo atasimama kwa kugawa chakula, kazi n.k kwa kigezoni lazima mtu upigwe chapa ya 666 ila kupata izo services...
 
hujajua vizr historia ya Israel boss rudi kasome vzr, by the way biblia ilishaandika kila kitu kuhusu itavyokuwa..
kitabu cha ufunuo kinasema itatokea vita kubwa kati Isarael na Palestina na itakuja kuisha kwa kuapatanishwa na Papa(na sio kati yao mmoja kushinda) Papa ambaye ni kiabarak wa shetani..
.
baada ya hapo kutatoa njaa kubwa amabyo haijwahi kutokea duniani na hapi ndio mpinga kristo atasimama kwa kugawa chakula, kazi n.k kwa kigezoni lazima mtu upigwe chapa ya 666 ila kupata izo services...
Nipe andiko hilo linalosema hivyo
 
hujajua vizr historia ya Israel boss rudi kasome vzr, by the way biblia ilishaandika kila kitu kuhusu itavyokuwa..
kitabu cha ufunuo kinasema itatokea vita kubwa kati Isarael na Palestina na itakuja kuisha kwa kuapatanishwa na Papa(na sio kati yao mmoja kushinda) Papa ambaye ni kiabarak wa shetani..
.
baada ya hapo kutatoa njaa kubwa amabyo haijwahi kutokea duniani na hapi ndio mpinga kristo atasimama kwa kugawa chakula, kazi n.k kwa kigezoni lazima mtu upigwe chapa ya 666 ila kupata izo services...
Naomba tujifunze biblia mimi na wewe? NiPM kama uko tayari
 
  • Thanks
Reactions: _ly
hawakushindwa kuwaua Bali waliwaacha kwa huruma baada ya kuomba wasiwaue
 
Hiyo vita haitakaa iishe imeandikwa hadi kwenye vitabu vya dini
 
Ngoja nikae pembeni niangalie vita ya kidini Jf ila ya maneno ...
 
Hivi Mungu yupi huyo alietoa sheria ya usiue halafu hapohapo taifa lake teule linaishi kwa upanga!.. hakunaga taifa teule dunia hii na kuamini hivyo huo ni utumwa.
Usiue ila kwa kujiokoa unaruhusiwa kuua
 
Back
Top Bottom