Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

Haya madini Ni ya Uongo tu na yalianzishwa na watu ambao wanafosi mpaka sisi tusio waizraeli na waarabu tukubali dini zao
 
Kwa msaada wa biblia na vitabu mbalimbali.

Huwa nawashangaa sana watu wanaiona Israel kama taifa teule kwa Mungu kumbe wanajidanganya tu.

Historia inasema hapo mashariki ya kati wakaazi asilia ni Wafilisti(Wapalestina) na makabila madogo kama Wahivi,Wagirigashi n.k. toka Taifa la Israel likiwa njiani waliambiwa mapema wakiisha chukua nchi wawatoa na kuwaua kabisa raia wa nchi hiyo ili wasije kuchanganya ibada.

Asili walikuwa wanaabudi mungu Baali na Israel Mungu YEHOVA. Israel ilijitahidi sana kupigana kwa msaada wa Mungu walichukua nchi japo hawakutoa wakaazi wote na waliobaki ni Wapalestina wakabaki na miji mi3 tu Gaza,Askeloni na Ekroni.

Chini ya mfalme Daudi walitawala mashariki yote mpaka karibu na Armenia ya leo. Pamoja na uwezo wa Daudi lakini bado Wapalestina walikuepo japo walikuwa watumwa kwa wakati huo.

Mwaka 70 ukawa mwisho wa taifa la teule la Israel pale Roma ilipochoma mji wote wa Yerusalemu na wakaazi wote kukimbilia maeneo mbalimbali ya dunia hususa ni ulaya.

Baada ya mwisho wao wapalestina wakanza kujitanua kidogo kidogo na kufika Yerusalemu,chini ya Roma hawakuwa na shida. Kwa msaada wa Waislamu Israel yote ikawa chini ya Wapalestina na mabaki wachache wa wayahudi.

Baada ya vuguvugu la wayahudi kurudi kwao ndio 1948 likajitokeza tena taifa la Israel lakini halikuwa na uhusiano wowote na Mungu bali Uingereza na Marekani. Kama sio ujanja wao wangekuwa watumwa wa Palestina mpaka leo na siku waarabu wakibadili fikra na mtazamo wao kuhusu Israel kuwa taifa kama Syria watapigwa na kumalizwa.

Sasa Israel ilishindwa kumaliza Wapalestina wakiwa na usaidizi wa Mungu je wataweza sasa?

(Wanadini ili niwaamini njooni na maandiko ya agano jipya tu, kuitetea Israel nje ya hapo ni UYAHUDI unatetea).
Huu mgogoro hauishi leo wala kesho, just imagine mtoto anaona mzazi/ndugu ama mtoto mwenzake anavyouwawa na adui live bila chenga, hivi akikua anaweza sahau ya nyuma..??
 
Kwa msaada wa biblia na vitabu mbalimbali.

Huwa nawashangaa sana watu wanaiona Israel kama taifa teule kwa Mungu kumbe wanajidanganya tu.

Historia inasema hapo mashariki ya kati wakaazi asilia ni Wafilisti(Wapalestina) na makabila madogo kama Wahivi,Wagirigashi n.k. toka Taifa la Israel likiwa njiani waliambiwa mapema wakiisha chukua nchi wawatoa na kuwaua kabisa raia wa nchi hiyo ili wasije kuchanganya ibada.

Asili walikuwa wanaabudi mungu Baali na Israel Mungu YEHOVA. Israel ilijitahidi sana kupigana kwa msaada wa Mungu walichukua nchi japo hawakutoa wakaazi wote na waliobaki ni Wapalestina wakabaki na miji mi3 tu Gaza,Askeloni na Ekroni.

Chini ya mfalme Daudi walitawala mashariki yote mpaka karibu na Armenia ya leo. Pamoja na uwezo wa Daudi lakini bado Wapalestina walikuepo japo walikuwa watumwa kwa wakati huo.

Mwaka 70 ukawa mwisho wa taifa la teule la Israel pale Roma ilipochoma mji wote wa Yerusalemu na wakaazi wote kukimbilia maeneo mbalimbali ya dunia hususa ni ulaya.

Baada ya mwisho wao wapalestina wakanza kujitanua kidogo kidogo na kufika Yerusalemu,chini ya Roma hawakuwa na shida. Kwa msaada wa Waislamu Israel yote ikawa chini ya Wapalestina na mabaki wachache wa wayahudi.

Baada ya vuguvugu la wayahudi kurudi kwao ndio 1948 likajitokeza tena taifa la Israel lakini halikuwa na uhusiano wowote na Mungu bali Uingereza na Marekani. Kama sio ujanja wao wangekuwa watumwa wa Palestina mpaka leo na siku waarabu wakibadili fikra na mtazamo wao kuhusu Israel kuwa taifa kama Syria watapigwa na kumalizwa.

Sasa Israel ilishindwa kumaliza Wapalestina wakiwa na usaidizi wa Mungu je wataweza sasa?

(Wanadini ili niwaamini njooni na maandiko ya agano jipya tu, kuitetea Israel nje ya hapo ni UYAHUDI unatetea).
Acha uongo taifa la palestina limezaliwa 1948 na ndo maana yese arafat aliyezaliwa misri ndo rais wa kwanza wa Palestine
 
Hi

Hiyo iliwahusu Israel | Yuda kwa hiyo wewe kwa sasa Mungu hakutambui?

Heb soma Matendo 10:34,35 afu njoo niambie kwann huyo mungu wako anawachukia wapalestina?
Kuzungumzia taifa la Isreali,

Kumbumbuku La Torati 7:7-9 yatuambia,

“BWANA hakuwapenda ninyi (Israel ), wala hakuwachagua ninyi, kwa sabau mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, maana mlikuwa wachache kuliko watu wote; bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu, ndiyo sababu BWANA akawaatoa kwa mkono wa nguvu, akawakomboa katika nyumba ya utumwa, katika mkono wa Farao, mfalme wa Misri. Basi jueni ya kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye Mungu; Mungu mwaminifu, ashikaye agano lake na rehema zake kwao wampendao, na kusika amri zake, hata vizazi elfu.”
 
Kwa msaada wa biblia na vitabu mbalimbali.

Huwa nawashangaa sana watu wanaiona Israel kama taifa teule kwa Mungu kumbe wanajidanganya tu.

Historia inasema hapo mashariki ya kati wakaazi asilia ni Wafilisti(Wapalestina) na makabila madogo kama Wahivi,Wagirigashi n.k. toka Taifa la Israel likiwa njiani waliambiwa mapema wakiisha chukua nchi wawatoa na kuwaua kabisa raia wa nchi hiyo ili wasije kuchanganya ibada.

Asili walikuwa wanaabudi mungu Baali na Israel Mungu YEHOVA. Israel ilijitahidi sana kupigana kwa msaada wa Mungu walichukua nchi japo hawakutoa wakaazi wote na waliobaki ni Wapalestina wakabaki na miji mi3 tu Gaza,Askeloni na Ekroni.

Chini ya mfalme Daudi walitawala mashariki yote mpaka karibu na Armenia ya leo. Pamoja na uwezo wa Daudi lakini bado Wapalestina walikuepo japo walikuwa watumwa kwa wakati huo.

Mwaka 70 ukawa mwisho wa taifa la teule la Israel pale Roma ilipochoma mji wote wa Yerusalemu na wakaazi wote kukimbilia maeneo mbalimbali ya dunia hususa ni ulaya.

Baada ya mwisho wao wapalestina wakanza kujitanua kidogo kidogo na kufika Yerusalemu,chini ya Roma hawakuwa na shida. Kwa msaada wa Waislamu Israel yote ikawa chini ya Wapalestina na mabaki wachache wa wayahudi.

Baada ya vuguvugu la wayahudi kurudi kwao ndio 1948 likajitokeza tena taifa la Israel lakini halikuwa na uhusiano wowote na Mungu bali Uingereza na Marekani. Kama sio ujanja wao wangekuwa watumwa wa Palestina mpaka leo na siku waarabu wakibadili fikra na mtazamo wao kuhusu Israel kuwa taifa kama Syria watapigwa na kumalizwa.

Sasa Israel ilishindwa kumaliza Wapalestina wakiwa na usaidizi wa Mungu je wataweza sasa?

(Wanadini ili niwaamini njooni na maandiko ya agano jipya tu, kuitetea Israel nje ya hapo ni UYAHUDI unatetea).



hapo kwenye waarabu kubadili fikra then wawachape wayahud ndo nataka kujua kwa nini wanawapotezea.. palestina wenzao toka enzi na enzi.. na kipi ambacho kimefanya Mungu awatose israel mara ya pili hadi marekani na uk wakasaidia jamaa warudi kwao.. inafikirisha sana
 
Ezekiel 39
7 “ ‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi Bwana ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli. 8Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema Bwana Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.


kieli 39

NEN

EZEKIELI 39

Majeshi Ya Gogu Yataangamizwa

1 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali. 2Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli. 3Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume. 4Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni. 5Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mwenyezi. 6Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.

7 “ ‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi Bwana ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli. 8Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema Bwana Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.

9 “ ‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni. 10Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema Bwana Mwenyezi.

11 “ ‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.

12 “ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi. 13Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema Bwana Mwenyezi.

14 “ ‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao. 15Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu. 16(Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’

17 “Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu. 18Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani. 19Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe. 20Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema Bwana Mwenyezi.

21 “Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao. 22Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wao. 23Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga. 24Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.

25 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu. 26Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu. 27Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi. 28Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma. 29Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.”

[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]


Ukitaka hisoria lazima usome Agano na kale
Dah mkuu umetisha
 
Israel yote ikawa chini ya Wapalestina na mabaki wachache wa wayahudi.
.......................................................................................................................................
Sasa Israel ilishindwa kumaliza Wapalestina wakiwa na usaidizi wa Mungu je wataweza sasa?
Sasa Palestina ilishindwa kulinda himaya wakati kukiwa hakuna Waisrael, wataweza sasa wakati wapo wakiwa wana nguvu ya kila kitu?
 
Kuzungumzia taifa la Isreali,

Kumbumbuku La Torati 7:7-9 yatuambia,

“BWANA hakuwapenda ninyi (Israel ), wala hakuwachagua ninyi, kwa sabau mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, maana mlikuwa wachache kuliko watu wote; bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu, ndiyo sababu BWANA akawaatoa kwa mkono wa nguvu, akawakomboa katika nyumba ya utumwa, katika mkono wa Farao, mfalme wa Misri. Basi jueni ya kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye Mungu; Mungu mwaminifu, ashikaye agano lake na rehema zake kwao wampendao, na kusika amri zake, hata vizazi elfu.”
Ukitaka maandiko kama haya nitakupa zaidi ya 1000 kuwa Israel lilikua Taif la Mungu kabla ya Yesu. Baada ya Yesu Mungu haitakbui Israel tena na agano lilishaisha kitambo sana.

Wewe ni mkristo? Unamwamini Yesu? Naomba majibu
 
Unaiamini biblia?
hapo kwenye waarabu kubadili fikra then wawachape wayahud ndo nataka kujua kwa nini wanawapotezea.. palestina wenzao toka enzi na enzi.. na kipi ambacho kimefanya Mungu awatose israel mara ya pili hadi marekani na uk wakasaidia jamaa warudi kwao.. inafikirisha sana
Nataka nikupe sababu za kimaandiko
 
hapo kwenye waarabu kubadili fikra then wawachape wayahud ndo nataka kujua kwa nini wanawapotezea
Eti kwa sababu Israel ina rekodi nzuri kivita ndio wanaogopa kuwa watapigwa.

Binafsi naamini nchi mbili tu Iran na Turkey zikiungana zina uwezo wa kuipiga Israel tena chini ya saa 24 tu. Waarabu wamezidiwa na ubinafsi ukiondoa swala la dini
 
Sasa Palestina ilishindwa kulinda himaya wakati kukiwa hakuna Waisrael, wataweza sasa wakati wapo wakiwa wana nguvu ya kila kitu?
Wataweza kwa msaada wa nchi za kiarabu na kiislamu
 
Mkuu bado huijui Biblia kuhusu Taifa la Israel! Ile ardhi wanayokaa ambayo Mji mkuu wake ni Yerusalem ni yao ambayo Mungu aliwaahidi Mababa zao Ibrahimu,Isaka na Yakobo kuwa atawapa! Ni kweli Mungu aliwatoa katika ardhi ile baada ya uasi wao lakini walipolikumbuka Agano la Mungu na baba zao Mungu aliwarejesha katika ardhi yao na hakuna wa kuwangoa pale,(Amos 9:14-15)
Hata katika Quran Allah anatambua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye amewapa nchi hiyo Wana wa Israel,nchi takatifu,Q5:20-21,Q17:104 Kwa hiyo Wapalestina hawana chao pale!
Ndiyo maana Waarabu na Jumuia ya Kimataifa wamebaki wakikodoa macho tu wasijue cha kufanya ili kuwasaidia Wapalestina.
Kwa hiyo hakuna namna Waislamu mkubali hali tu hakuna namna.
Pili fahamu mgogoro wa Israeli na Wapalestina siyo wa kidini hata kidogo kama tunavyoutafsiri kwa kupotosha maandiko,kuna Wapalestina ambao ni Wakristo na kuna Wayahudi ambao ni Waislamu! Ni mgogoro wa kupigania ardhi.
 
Ni kweli mgogoro sio wa kidini kwa sababu
Mkuu bado huijui Biblia kuhusu Taifa la Israel! Ile ardhi wanayokaa ambayo Mji mkuu wake ni Yerusalem ni yao ambayo Mungu aliwaahidi Mababa zao Ibrahimu,Isaka na Yakobo kuwa atawapa! Ni kweli Mungu aliwatoa katika ardhi ile baada ya uasi wao lakini walipolikumbuka Agano la Mungu na baba zao Mungu aliwarejesha katika ardhi yao na hakuna wa kuwangoa pale,(Amos 9:14-15)
Hata katika Quran Allah anatambua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye amewapa nchi hiyo Wana wa Israel,nchi takatifu,Q5:20-21,Q17:104 Kwa hiyo Wapalestina hawana chao pale!
Ndiyo maana Waarabu na Jumuia ya Kimataifa wamebaki wakikodoa macho tu wasijue cha kufanya ili kuwasaidia Wapalestina.
Kwa hiyo hakuna namna Waislamu mkubali hali tu hakuna namna.
Pili fahamu mgogoro wa Israeli na Wapalestina siyo wa kidini hata kidogo kama tunavyoutafsiri kwa kupotosha maandiko,kuna Wapalestina ambao ni Wakristo na kuna Wayahudi ambao ni Waislamu! Ni mgogoro wa kupigania ardhi.
Hata Israel wapo waislamu na wasio na dini kabisa. Mgogoro wao ni wa kiasili na kijamii
 
Ww ni moja ya wale mnaoumwa mnaacha kwenda hospitali kisa Yesu atakuponya

Ni hasara kwa taifa
Hajajua hao madaktari na wanasayansi akili wamepewa na nani ili watengeze dawa za kutibu magonjwa. Mungu huyo mmoja.
 
Huu mgogoro hauishi leo wala kesho, just imagine mtoto anaona mzazi/ndugu ama mtoto mwenzake anavyouwawa na adui live bila chenga, hivi akikua anaweza sahau ya nyuma..??
Ndivyo vikundi vya migambo vinavyozidi na upande wa pili toka kitambo compulsory military service kwa kijana yeyote anayemaliza chuo, hiyo toka zamani. Huku wanakuza wao, kule vivyo hivyo!
 
Back
Top Bottom