Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

Unaiamini biblia?

Nataka nikupe sababu za kimaandiko

Yes naamini kuwa Biblia ni:-

Insipirational and a history book, kitabu ambacho ni muunganiko wa kumbukumbuku za kimaandiko za watu wa zama za enzi (Ancestors) walioamini katika Mungu muumbaji wa ulimwengu

kumbukumbu hizi za maandiko ambazo zimewekwa pamoja na kuitwa biblia zinatueleza yafuatayo

1. History ya maisha yao na changamoto mbali mbali walizopitia hasa kwenye tamaduni na desturi zao za kimaisha pamoja na imani yao kwa Mungu Baba Mwenye enzi yote Muumbaji wa ulimwengu wote na vilivyomo

2. Mungu alivyokuwa anawasiliana nao na kuwapa maagizo ya nini cha kufanya kupitia baadhi ya watu ambao ni wateule wake

3. Jinsi ya kuishi katika imani kuwa watu wema kwa kufuata maagizo yake Mungu kama alivyoagiza watu waishi kupitia vinywa vya wateule wake
 
Ni kweli mgogoro sio wa kidini kwa sababu

Hata Israel wapo waislamu na wasio na dini kabisa. Mgogoro wao ni wa kiasili na kijamii
Na siku zote wanaolianzisha ni wapalestina. Ona hapa, Israel haishindwi kuwakubali wale jamaa kwao, na kwenye ile ardhi wanaopigania, na kuwajengea hata makaazi bomba ya kukaa, la hasha. Shida ni, je wakipewa, watatulia na kuwa na nidhamu na kuheshimu wenzio, je wakipewa, wataanza kunyakua ardhi zingine tofauti na walipopewa hivyo kuleta mgogoro na majirani zao? Hapo sioni, wale jamaa siku zote ni hasira za haraka, huku wakiwashabikia Hamas ambayo iko recognized kama kundi la kigaidi. Na hakuna nchi, narudia, hakuna nchi inayopenda amani inaweza kukaa na watu wanaoshabikia magaidi, that's a NO! Sasa hiyo ndio dillema inayofanya Israel kuwafukuza hawa jamaa, ju wanaona vurugu kama hili lipo sahi, litaendelea kutokea hata kama waatawaachia wa Palestina kukaa kwao. Sio watu wa kuaminika, kizazi hadi kizazi.
Mfano mzuri, Mexico na USA. Ile Mexico ingekuwa nchi kama Syria au Iraq hivi, unadhani America wangekubali watu kuingia bila shida mipakani na kuja kuishi kwao. Hawangekubali na wangetumia resources zao zote kuhakikisha hakuna kipenyo bila valid permits from concerned authorities.
 
Eti kwa sababu Israel ina rekodi nzuri kivita ndio wanaogopa kuwa watapigwa.

Binafsi naamini nchi mbili tu Iran na Turkey zikiungana zina uwezo wa kuipiga Israel tena chini ya saa 24 tu. Waarabu wamezidiwa na ubinafsi ukiondoa swala la dini



True waraab wana ubinafsi tena unaanzia kwenye koo zao kabla ya. kupanda hadi utaifa.. ndo maana hadi leo kuna tawala za kifalme na kila
kitu ni wao... yaan ukiwa una undugu hata wa kuunga na bigijii na ukoo wa kifalme basi ww ni first class citizen utakula mema ya nchi had ufe


we nenda google angalia ukubwa wa koo za kifalme uarabuni ndo utajua jamaa wana ubinafsi
 
Yes naamini kuwa Biblia ni:-

Insipirational and a history book, kitabu ambacho ni muunganiko wa kumbukumbuku za kimaandiko za watu wa zama za enzi (Ancestors) walioamini katika Mungu muumbaji wa ulimwengu

kumbukumbu hizi za maandiko ambazo zimewekwa pamoja na kuitwa biblia zinatueleza yafuatayo

1. History ya maisha yao na changamoto mbali mbali walizopitia hasa kwenye tamaduni na desturi zao za kimaisha pamoja na imani yao kwa Mungu Baba Mwenye enzi yote Muumbaji wa ulimwengu wote na vilivyomo

2. Mungu alivyokuwa anawasiliana nao na kuwapa maagizo ya nini cha kufanya kupitia baadhi ya watu ambao ni wateule wake

3. Jinsi ya kuishi katika imani kuwa watu wema kwa kufuata maagizo yake Mungu kama alivyoagiza watu waishi kupitia vinywa vya wateule wake
Soma Yeremia 31:31-32 hapo Mungu alitoa agizo la kuleta agano lingine sababu lile la mwanzo walilivunja
 
Kitabu kipi hicho mkuu?
hujajua vizr historia ya Israel boss rudi kasome vzr, by the way biblia ilishaandika kila kitu kuhusu itavyokuwa..
kitabu cha ufunuo kinasema itatokea vita kubwa kati Isarael na Palestina na itakuja kuisha kwa kuapatanishwa na Papa(na sio kati yao mmoja kushinda) Papa ambaye ni kiabarak wa shetani..
.
baada ya hapo kutatoa njaa kubwa amabyo haijwahi kutokea duniani na hapi ndio mpinga kristo atasimama kwa kugawa chakula, kazi n.k kwa kigezoni lazima mtu upigwe chapa ya 666 ila kupata izo services...
 
Ume
Palestina na na Nchi za kiarabu ndio mpango wao wa kuifuta Israel kweny raman ya dunia
Umeutoa wapi huu,...hivi aliemtoa Israel Mara ya kwanza Jerusalem SI warumi au....waarabu wanahusikaje hapo?.waarabu wanapigana kwa kuzoofisha expansions za maeneo yanayofanywa na Israel Basi hawana Nia mbaya Kama unavozani ....waarabu wameishi POA tu na waisrael wachache waliokuwa wamesalia kipindi Roma inaipiga Jerusalem
 
Hata Mimi ningekuwa mpalestina ningepigana, yaan UN wakulete kwenye eneo langu, af unifukuze af uanze kunigawia .....Hawa jamaa wangetuumiza sana Kama mpango wao wa kuja east Africa ungefanikiwa ....faken
Na siku zote wanaolianzisha ni wapalestina. Ona hapa, Israel haishindwi kuwakubali wale jamaa kwao, na kwenye ile ardhi wanaopigania, na kuwajengea hata makaazi bomba ya kukaa, la hasha. Shida ni, je wakipewa, watatulia na kuwa na nidhamu na kuheshimu wenzio, je wakipewa, wataanza kunyakua ardhi zingine tofauti na walipopewa hivyo kuleta mgogoro na majirani zao? Hapo sioni, wale jamaa siku zote ni hasira za haraka, huku wakiwashabikia Hamas ambayo iko recognized kama kundi la kigaidi. Na hakuna nchi, narudia, hakuna nchi inayopenda amani inaweza kukaa na watu wanaoshabikia magaidi, that's a NO! Sasa hiyo ndio dillema inayofanya Israel kuwafukuza hawa jamaa, ju wanaona vurugu kama hili lipo sahi, litaendelea kutokea hata kama waatawaachia wa Palestina kukaa kwao. Sio watu wa kuaminika, kizazi hadi kizazi.
Mfano mzuri, Mexico na USA. Ile Mexico ingekuwa nchi kama Syria au Iraq hivi, unadhani America wangekubali watu kuingia bila shida mipakani na kuja kuishi kwao. Hawangekubali na wangetumia resources zao zote kuhakikisha hakuna kipenyo bila valid permits from concerned authorities.
 
Hata Mimi ningekuwa mpalestina ningepigana, yaan UN wakulete kwenye eneo langu, af unifukuze af uanze kunigawia .....Hawa jamaa wangetuumiza sana Kama mpango wao wa kuja east Africa ungefanikiwa ....faken
Afrika ina wenyewe bhana. Sasa huko kupigana ndio watu wanakufa sasa. Amani na kutumia hekima kwa walio juu yako ndio jambo muhimu. Unajifanya mnyonge ila unajua unataka nini, lakini ukijifanya kichwa hata hicho kidogo ulikuwa upewe, hupati kabisa.
 
Hata Mimi ningekuwa mpalestina ningepigana, yaan UN wakulete kwenye eneo langu, af unifukuze af uanze kunigawia .....Hawa jamaa wangetuumiza sana Kama mpango wao wa kuja east Africa ungefanikiwa ....faken
Kule Mrusi mbona anataka kunyakua ardhi ya Ukraine kiujanja tu, mbona sioni watu wakipiga nduru kuhusu hilo, kwani Ukrainians sio watu wenye haki? 😂
Mpaka Mmarekani na UN kuingilia ndio Mrusi anajifanya eti 'oh, lilikuwa zoezi la kijeshi tu, hamna lolote'... Uongo mtupu, Putin ni dikteta wa kawaida tu 😂
 
Shida ni kwamba Israel anachokoza af parestina anareact then akiingia ulingoni anapigwa ardhi inachukuliwa, na hivi ndivo ilivo, mfano familia kazaa zilifukuzwa east Jerusalem , wakachafukwa wanaandamana jioni wakaingia kufturu Al aqsa , Israel wakawafuata msikitin wakawapiga haswa.. na Israel target ni eneo la mskiti ajenge hekalu....Sasa subiri vugu vugu lipoe af utanipa report Kama israel hajafanikiwa kuichukua kale kakitongoji kote ambako mskiti upo ndan yake, na palestina kashakimbia pale, now Israel kashatimiza lengo na anapiga ili kujilinda na kujenga heshima....hebu fuatilia generalized comments za mataifa mbalimbali uone wanamdescribe israel Kama mkorofi na wanakemea
Afrika ina wenyewe bhana. Sasa huko kupigana ndio watu wanakufa sasa. Amani na kutumia hekima kwa walio juu yako ndio jambo muhimu. Unajifanya mnyonge ila unajua unataka nini, lakini ukijifanya kichwa hata hicho kidogo ulikuwa upewe, hupati kabisa.
 
Ukitaka maandiko kama haya nitakupa zaidi ya 1000 kuwa Israel lilikua Taif la Mungu kabla ya Yesu. Baada ya Yesu Mungu haitakbui Israel tena na agano lilishaisha kitambo sana.

Wewe ni mkristo? Unamwamini Yesu? Naomba majibu
Kwaio baada ya Yesu Wana wa Israel wakabadilishwa niambie Mungu alipowakataa baada ya Yesu kuja
 
Shida ni kwamba Israel anachokoza af parestina anareact then akiingia ulingoni anapigwa ardhi inachukuliwa, na hivi ndivo ilivo, mfano familia kazaa zilifukuzwa east Jerusalem , wakachafukwa wanaandamana jioni wakaingia kufturu Al aqsa , Israel wakawafuata msikitin wakawapiga haswa.. na Israel target ni eneo la mskiti ajenge hekalu....Sasa subiri vugu vugu lipoe af utanipa report Kama israel hajafanikiwa kuichukua kale kakitongoji kote ambako mskiti upo ndan yake, na palestina kashakimbia pale, now Israel kashatimiza lengo na anapiga ili kujilinda na kujenga heshima....hebu fuatilia generalized comments za mataifa mbalimbali uone wanamdescribe israel Kama mkorofi na wanakemea
Leo nimemcheki Ramphosa kwenye interview na France 24, duh anadai Israeli wana practice apartheid kwa wa Palestinians, kama wao walivyofanywa na wakoloni. Sasa vile walijikomboa, ndivyo wapalestina wana fanya sahi.
Hapo nilimwelewa, ila kuna kitu kimoja, hivi vita sio vya sahi. Na kama kuna huo mgogoro kwa nini tokea zamani sisi Waafrika na hao wazungu na Waarabu, hatukuungana kusuluhisha jambo hilo kwa pamoja na kutoa suluhu ya kudumu, either Palestina waachiwe nchi yao wajiongoze na kuwekwa mpaka wa maana, au wapewe ardhi nyingine. Sababu kusema ukweli Israel sahi ni nchi kubwa na hawatokubali na pia sio rahisi kutoka au kutolewa pale sahi.
 
Tunapozungumzia Historia ya PALESTINE na ISRAEL ...tumefanya tafiti za kutosha za kihistoria ......Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili ( Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU na kitumwa naamua kupuuzia tu

Kwasababu PALESTINE sio Dini ... PALESTINE ni nchi yenye WAPALESTINA Wakristo , WAPALESTINA wayuda, WAPALESTINA Waislamu na WAPALESTINA wasio na Dini .
Kwahiyo hapa hoja Ni Hutu ( Conscience) ...

Sasa unapomuona Mtumwa wa Fikra ( kuku wa israel wa Afrika)...aliyejazwa mafundisho ya Visaasili vya dini na propaganda ili atumike kulinda maslai ya MAZAYUNI kupitia Wachungaji ( Walimu) wake inakuwa inafedhehesha bara letu la Afrika...

Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO

1.Khazaria Ashkenazi Jews

2.Historia ya Zionism movement na tabia zake

3.Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..

4.Uganda Scheme of 1903.

5.Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)

6.FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)

7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.

9.Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947 ??

10.UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini??

11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani ??

12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI ???

13.UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo

14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi kutoka ulaya)

15.Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel ??

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel ....hata Mwl.Nyerere ????

Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.

Jifunze Historia kupitia INSTAGRAM @tabarokaijage

au Whatsup kupitia 0757790650

Ahsante
 
Kwaio baada ya Yesu Wana wa Israel wakabadilishwa niambie Mungu alipowakataa baada ya Yesu kuja
Rudia kusoma uzi nineedit na kujazia maandiko. Nijibu ww ni mkristo? Unamwamini Yesu
 
Hivi Mungu yupi huyo alietoa sheria ya usiue halafu hapohapo taifa lake teule linaishi kwa upanga!.. hakunaga taifa teule dunia hii na kuamini hivyo huo ni utumwa.
Kuendana na maandiko, Mungu hakutoa ushindi wa mezani, aliwaambia wapigane, hapo ndipo ushindi unapatikana.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Tunapozungumzia Historia ya PALESTINE na ISRAEL ...tumefanya tafiti za kutosha za kihistoria ......Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili ( Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU na kitumwa naamua kupuuzia tu

Kwasababu PALESTINE sio Dini ... PALESTINE ni nchi yenye WAPALESTINA Wakristo , WAPALESTINA wayuda, WAPALESTINA Waislamu na WAPALESTINA wasio na Dini .
Kwahiyo hapa hoja Ni Hutu ( Conscience) ...

Sasa unapomuona Mtumwa wa Fikra ( kuku wa israel wa Afrika)...aliyejazwa mafundisho ya Visaasili vya dini na propaganda ili atumike kulinda maslai ya MAZAYUNI kupitia Wachungaji ( Walimu) wake inakuwa inafedhehesha bara letu la Afrika...

Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO

1.Khazaria Ashkenazi Jews

2.Historia ya Zionism movement na tabia zake

3.Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..

4.Uganda Scheme of 1903.

5.Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)

6.FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)

7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.

9.Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947 ??

10.UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini??

11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani ??

12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI ???

13.UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo

14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi kutoka ulaya)

15.Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel ??

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel ....hata Mwl.Nyerere ????

Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.

Jifunze Historia kupitia INSTAGRAM @tabarokaijage

au Whatsup kupitia 0757790650

Ahsante
Hongera sana mzee kwa kuwafundisha hao watumwa wa dini.

Jambo la kujiuliza pia. Ni dini gani inafurahia mwanadamu kuuliwa.

Mwafrika kuona Israel ni takatifu ni sawa na kujidharau mwenyewe na kujiona takataka.

Umegusa sehemu muhimu sana. Binafsi nilikaa muda mrefu sana nikachunguza mpaka nikaja kuelewa.
Wanaotetea Uyahudi na kujidharau wao hawajawahi kusoma chochote,yani kichwani ni weupe wamesikia tu kwa kiongozi wao wa dini anasema nao wakafata.
👏👏👏sana
 
Rudia kusoma uzi nineedit na kujazia maandiko. Nijibu ww ni mkristo? Unamwamini Yesu
Ndio mimi ni Mkristo na namwamini Yesu ngoja nikasome ulichoongeza narudi

NB: Usinirudishe kujadili dini tujadili mada iliyopo mezani
 
Historia inasema hapo mashariki ya kati wakaazi asilia ni Wafilisti(Wapalestina) na makabila madogo kama Wahivi,Wagirigashi n.k. toka Taifa la Israel likiwa njiani waliambiwa mapema wakiisha chukua nchi wawatoa na kuwaua kabisa raia wa nchi hiyo ili wasije kuchanganya ibada.


Mwaka 70 ukawa mwisho wa taifa la teule la Israel pale Roma ilipochoma mji wote wa Yerusalemu na wakaazi wote kukimbilia maeneo mbalimbali ya dunia hususa ni ulaya.
(
Luka 21:24) soma

Baada ya mwisho wao wapalestina wakanza kujitanua kidogo kidogo na kufika Yerusalemu,chini ya Roma hawakuwa na shida. Kwa msaada wa Waislamu Israel yote ikawa chini ya Wapalestina na mabaki wachache wa wayahudi.

(Mathayo 23:37)soma
Naomba nikukumbushe kuwa Unabii wa Dunia hadi kuchomwa moto umetabiriwa toka agano la kale so usilazimishe Agano jipya kukupa majibu pekee............................................

haya twende kazi ilitabiriwa kwamba baada ya wana wa Israel kutawanya huwa lazima warudi tena nchini mwao katika historia wameshatawanywa mara kadhaa na kurejeshwa. ndio maana Hekalu limebomolewa mara kadhaa na kujengwa upya.

kurejewa kwao sio bahati mbaya soma hapa

Yeremia 32:37​

Nitawakusanya watu kutoka nchi zote ambako kwa hasira na ghadhabu na chuki yangu kubwa, niliwatawanya. Nitawarudisha tena mahali hapa, na kuwafanya wakae salama.
 
we unadhani hao waliopo madarakani ni wayahudi? sio hao wayahudi kamili wako kimya wakimsubiria mfalme wao aje kuwakomboa
 
Back
Top Bottom