Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

Sasa kesha kataliwa na wapiga kura wake sijui atakimbilia wapi, au labda agombee kwenye jimbo la magogoni
Pia ilikuwa wajibu wa familia ya Ndugai kutafuta hela ,hakuna aliyezaliwa na hela inatafutwa
 
Leo alikuwa analia lia ,hayo yote aliyoongea ni kutia huruma,sema ndo hivo atarudi tu bungeni kwa ubabe wa CCM jimboni
Sasa kesha kataliwa na wapiga kura wake sijui atakimbilia wapi, au labda agombee kwenye jimbo la magogoni
 
Pia ilikuwa wajibu wa familia ya Ndugai kutafuta hela ,hakuna aliyezaliwa na hela inatafutwa
Familia ya watu wapumbavu hawatahiri hela,kazi yao ni umati ya tu,huyu sijui ana bahati gani kukutana na Jiwe
 
Very sad and touching story to tell, na hii vijana wengi tu tumepitia kuna watu Shule tulikua tunawaita Wanubi (Nubians).
Lakini moyoni walitamani sana kurudi makwao kuonana na familia zao. Funzo mnapopata nafasi huku ukubwani kumbukeni mlikotoka na mkumbuke mliopitia kuna watu wanapitia sasa.
Fanyeni kazi kwa kutanguliza utu.
 
Ndugai namkubali kwa ucheshi wake bungeni. pamoja na mabaya ninayoskia kuhusu yeye ila ana sense of humor safi sana, hata ule ubaya unaosikia unafunikwa na ule ucharming wake.
 
Huyo anajikosha kwa maovu aliyofanya kupitia hicho kiti na pia anatafuta huruma ili jamii imasamehe. Hana lolote.
 
Awamu hii bila kujisifia wewe ni mnyonge/umetoka familia maskini,hutoboi kabisa.
 
Yeye mwenyewe mjinga mjinga tu,sasa historia yake inasaidiaje kukuwa kwa uchumi,jinga kabisa.
 
Duh aiseeeeeee,, km 16 kwa wiki duh nikama kishiri na buhongwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…