Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

Wanafunzi kutoka vijiji maskini enzi hizo waliitwa " wazalendo "
 
Nimekuelewa bwashee!

Lakini maskini wa miaka ya 2000 ni tofauti sana na wale wa 70s.

Pata picha Freeman kavaa Bora shoes na Job kapiga katambuga ya matairi!

Lazima uzeeni fainali patachimbika tu!!!
 
nichojfunza ni kutafuta pesa kwa bidii Sana umaskini ni laaana kwakweli na shida ya umaskini ndo hii roho mbaya haswa!!!!!
 
Hapo kwa Mbowe ungemalizia alichokifanya shuleni ni nini? Ndo utalaumu background ya mtu!
 
Hilo lilifahamika mapema sana ! Ukiona mtu yeyote ana madaraka na ana roho mbaya fahamu kwamba amekulia familia duni na kapuku
 
Hakika Mungu sio mchezo kila moja anamtaja, hata awe muovu kivipi. In reality God is truly great.
 
Pongera Job Ndugai kwa kupambana hadi ukajikwamua kutoka katika Familia yenye hali Duni na Maskini
 
Ili utoboe siasa za bongo, story yako inatakiwa iwe hivi 😀😀
 
Hapendi watu wajinga lakini yeye ni mjinga. Kwa hiyo huyu alimchapa gongo la kichwa kidogo afe kwa sababu ni mjinga?
Kwa nini sasa Magufuli akamteua u DC MTU huyu mjinga. Hapo sasa finally nani ndio mjinga?

Mpigaji, mpigwaji au mteuzi?

Tumbo baba tumbo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…