Historia Halisi yenye kusisimua kuhusu rapa Juice WRLD

Historia Halisi yenye kusisimua kuhusu rapa Juice WRLD

,
FB_IMG_16573863027244807.jpg
 
Mimi nilijua huyu dogo alizioverdose tu ndio anadedi kumbe alibwia kete nyingi il kuficha ushahidi.
Vipi kuhusu wenzie walitiwa hatiani au waliachiwa?
Hao wengine waliachwa kwasababu ilionekana mwenye hatia ni Juice Wrld na ndio maana alikuwa anafanya attempt ya kuficha ushahidi

Lakini bado mpenzi wake Ally Lotti anaamini kuna mengi tusioyajua kuhusiana na kifo cha Juice na kudai yupo tayari kusema ila ahakikishiwe usalama kwanza.

Zipo habari zinazodai kifo cha Juice kilisababishwa na kundi lake la mtaani huko Chicago linalojulikana kama "No Limit Gang". Inadaiwa Juice alivyopata umaarufu alianza kutumia ishara ambazo kwenye hilo kundi walizitafsiri kama kejeli.
 
Kupitia wimbo wake wa "Wishing Well" Juice Wrld anamjibu Jayz

If it wasn't for the pills, I wouldn't be here
But if I keep taking these pills, I won't be here

I just told y'all my secret,
It's tearing me to pieces
I really think I need them
I stopped taking the drugs and now the drugs take me
Kila mmoja alikua akilinda kibarua chake, rubani wangepoteza leseni endapo wangekutwa na hatia ya kubeba abiria wana drugs.

Juice naye akaona hapa naharibu career yangu yote, ukizingatia hayo mabegi yote waliyobeba ilikuwa hatari. Akaona a risk maisha yake...

Thats why nakubaliana na Jay z kwamba umaarufu ni kilevi kikali sana maradufu ya heroin...
 
Mambo ambayo yanaweza kukushangaza kuhusu JUICE WRLD

Kupitia nukuu ya mashairi yake kutoka kwenye kibao cha Legends yanayosema "What's the 27 Club? We ain't making it past 21
I be goin through paranoia
So I always gotta keep the gun"


Mashairi hayo yamekuwa yakihusianishwa na kifo chake kwa madai alijitabiria kufa katika umri wa miaka 21

Ikumbukwe kuwa 27 club inawakilisha kundi la watu maarufu waliofariki wakiwa na umri wa miaka 27

Ukiachana na hiyo pia kuna mashairi tata ambayo nayo ni tragically kuhusiana na kifo chake

Kutoka kwenye wimbo wake wa all girls are the same nanukuu nashairi yake "All this jealousy and agony that I sit in
I'm a jealous boy, really feel like John Lennon"


Sasa ili upate concept vizuri ngoja nikuongezee na nukuu hii ya mashairi kutoka kwenye wimbo wake wa "Too many"

The drug-abusers, codeine users that been hurt by women (Yeah)
I'm a drug-abusing, codeine using, modern-day John Lennon


Ukiangalia hizo nukuu mbili utagundua kuna jina la mtu limetajwa mara mbili hapo John Lennon

Huyu John Lennon ni nani?

John Lennon ni muimbaji na muandishi wa nyimbo za kingereza alizaliwa October 9 mwaka 1940

View attachment 2314536

John Lennon aliiuwawa tarehe 8 Disemba mwaka 1980

Hapo ndio kwenye pointi yangu

Juice Wrld ambaye katika mashairi yake amemtaja mara nyingi John Lennon ukumbuke naye alikufa tarehe 8 Disemba kama John Lennon, je hiyo ni coicidence?
Daamn! That's a wonderful coincidence.
 
Kila mmoja alikua akilinda kibarua chake, rubani wangepoteza leseni endapo wangekutwa na hatia ya kubeba abiria wana drugs.

Juice naye akaona hapa naharibu career yangu yote, ukizingatia hayo mabegi yote waliyobeba ilikuwa hatari. Akaona a risk maisha yake...

Thats why nakubaliana na Jay z kwamba umaarufu ni kilevi kikali sana maradufu ya heroin...
Lakini kumbuka ma ofisa wa FBI na FAA pengine wasingefanya ukaguzi endapo marubani wa hiyo ndege wasinge toa tarifa

Marubani ndio walio snitch, sa sijui walifanya vile ili kujitoa kwenye msala endapo lolote lingetokea
 
Lakini kumbuka ma ofisa wa FBI na FAA pengine wasingefanya ukaguzi endapo marubani wa hiyo ndege wasinge toa tarifa

Marubani ndio walio snitch, sa sijui walifanya vile ili kujitoa kwenye msala endapo lolote lingetokea
Wangepoteza leseni, imagine wangepita kwenye ukaguzi kwa bahati mbaya kwao maafisa wakashtukia it means hata rubani waliowaleta wangekuwq kwenye msala.

Nchi za wenzetu masuala ya forensic wapo mbali sana.

Rubani walikua wakilinda kibarua chao. Walikuwa sawa...
 
Wangepoteza leseni, imagine wangepita kwenye ukaguzi kwa bahati mbaya kwao maafisa wakashtukia it means hata rubani waliowaleta wangekuwq kwenye msala.

Nchi za wenzetu masuala ya forensic wapo mbali sana.

Rubani walikua wakilinda kibarua chao. Walikuwa sawa...
Juice Wrld alikuwa muoga, katika carrier yake hajawahi kupatwa na misala ya kisheria wala kukaa jela

Hiyo ndio sababu ali panic kuwaona Feds nje na majibwa huku akijua akikutwa na vidhibiti basi atapigwa decades behind bars
 
Juice Wrld alikuwa muoga, katika carrier yake hajawahi kupatwa na misala ya kisheria wala kukaa jela

Hiyo ndio sababu ali panic kuwaona Feds nje na majibwa huku akijua akikutwa na vidhibiti basi atapigwa decades behind bars
Hao rubani nao was3nge tu, wangekausha au wangewapa warning, na utakuta ni pigs hao...

Lakini ndio hivyo kisheria walikuwa sawa...

Ila Juice nae, alitaka a fly high huku akiwa high, hapa ndipo naelewa kwa nini watu maarufu wananunua private jets kina drake..
Rubani aki snitch kibarua hana...

Ile starehe unapaa angani huku unatumia kilevi chako pendwa iwe pombe n.k
 
Sad african american wengi wenye fame wanakufa kiajabu ajabu sana

Uandishi mzuri boss kama uja copy na kupaste kudos
 
Juice Wrld_All girls are the same

 
Juice Wrld_Lucid dream
 
"I can't take one Percocet start tonight off I just took a sixty"

Burn
 
Scars[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mkuu huyu msanii watu wanamchukulia kwa udogo sana lakini ana kipaji kikubwa sana

Leo hii ukitaja top ten ya wasanii wanaochana freestyle tena ukiunganisha hadi wale ma legend wa miaka ya 80 lakini juice humkosi

Eminem mwenyewe alivyoona dogo kachana freestyle kwenye beats zake katumia almost saa 1 na zaidi alimvulia kofia

Mwaka jana alimzidi hadi Ariana Grande kwa idadi ya unit certifications za RIAA alikuwa na 66.5 wakati Ariana Grande ana 63.5
 
Back
Top Bottom