Chanzo kikubwa cha yeye kuanza kutumia madawa ni kukosa kujiamini, alikuwa na anxiety pamoja na depressionWakati mwingine umaarufu unaweza kukufanya ukajiona kama unaishi kwa kuelea angani
Kujiamini,na kufanya mambo bila kujali...sasa madawa yote hayo kg na kg yote kwa ajili ya kuvuta tu
Ova
Mimi nilijua huyu dogo alizioverdose tu ndio anadedi kumbe alibwia kete nyingi il kuficha ushahidi.Chanzo kikubwa cha yeye kuanza kutumia madawa ni kukosa kujiamini, alikuwa na anxiety pamoja na depression
Hao wengine waliachwa kwasababu ilionekana mwenye hatia ni Juice Wrld na ndio maana alikuwa anafanya attempt ya kuficha ushahidiMimi nilijua huyu dogo alizioverdose tu ndio anadedi kumbe alibwia kete nyingi il kuficha ushahidi.
Vipi kuhusu wenzie walitiwa hatiani au waliachiwa?
Kila mmoja alikua akilinda kibarua chake, rubani wangepoteza leseni endapo wangekutwa na hatia ya kubeba abiria wana drugs.Kupitia wimbo wake wa "Wishing Well" Juice Wrld anamjibu Jayz
If it wasn't for the pills, I wouldn't be here
But if I keep taking these pills, I won't be here
I just told y'all my secret,
It's tearing me to pieces
I really think I need them
I stopped taking the drugs and now the drugs take me
Daamn! That's a wonderful coincidence.Mambo ambayo yanaweza kukushangaza kuhusu JUICE WRLD
Kupitia nukuu ya mashairi yake kutoka kwenye kibao cha Legends yanayosema "What's the 27 Club? We ain't making it past 21
I be goin through paranoia
So I always gotta keep the gun"
Mashairi hayo yamekuwa yakihusianishwa na kifo chake kwa madai alijitabiria kufa katika umri wa miaka 21
Ikumbukwe kuwa 27 club inawakilisha kundi la watu maarufu waliofariki wakiwa na umri wa miaka 27
Ukiachana na hiyo pia kuna mashairi tata ambayo nayo ni tragically kuhusiana na kifo chake
Kutoka kwenye wimbo wake wa all girls are the same nanukuu nashairi yake "All this jealousy and agony that I sit in
I'm a jealous boy, really feel like John Lennon"
Sasa ili upate concept vizuri ngoja nikuongezee na nukuu hii ya mashairi kutoka kwenye wimbo wake wa "Too many"
The drug-abusers, codeine users that been hurt by women (Yeah)
I'm a drug-abusing, codeine using, modern-day John Lennon
Ukiangalia hizo nukuu mbili utagundua kuna jina la mtu limetajwa mara mbili hapo John Lennon
Huyu John Lennon ni nani?
John Lennon ni muimbaji na muandishi wa nyimbo za kingereza alizaliwa October 9 mwaka 1940
View attachment 2314536
John Lennon aliiuwawa tarehe 8 Disemba mwaka 1980
Hapo ndio kwenye pointi yangu
Juice Wrld ambaye katika mashairi yake amemtaja mara nyingi John Lennon ukumbuke naye alikufa tarehe 8 Disemba kama John Lennon, je hiyo ni coicidence?
Lakini kumbuka ma ofisa wa FBI na FAA pengine wasingefanya ukaguzi endapo marubani wa hiyo ndege wasinge toa tarifaKila mmoja alikua akilinda kibarua chake, rubani wangepoteza leseni endapo wangekutwa na hatia ya kubeba abiria wana drugs.
Juice naye akaona hapa naharibu career yangu yote, ukizingatia hayo mabegi yote waliyobeba ilikuwa hatari. Akaona a risk maisha yake...
Thats why nakubaliana na Jay z kwamba umaarufu ni kilevi kikali sana maradufu ya heroin...
Wangepoteza leseni, imagine wangepita kwenye ukaguzi kwa bahati mbaya kwao maafisa wakashtukia it means hata rubani waliowaleta wangekuwq kwenye msala.Lakini kumbuka ma ofisa wa FBI na FAA pengine wasingefanya ukaguzi endapo marubani wa hiyo ndege wasinge toa tarifa
Marubani ndio walio snitch, sa sijui walifanya vile ili kujitoa kwenye msala endapo lolote lingetokea
Juice Wrld alikuwa muoga, katika carrier yake hajawahi kupatwa na misala ya kisheria wala kukaa jelaWangepoteza leseni, imagine wangepita kwenye ukaguzi kwa bahati mbaya kwao maafisa wakashtukia it means hata rubani waliowaleta wangekuwq kwenye msala.
Nchi za wenzetu masuala ya forensic wapo mbali sana.
Rubani walikua wakilinda kibarua chao. Walikuwa sawa...
Hao rubani nao was3nge tu, wangekausha au wangewapa warning, na utakuta ni pigs hao...Juice Wrld alikuwa muoga, katika carrier yake hajawahi kupatwa na misala ya kisheria wala kukaa jela
Hiyo ndio sababu ali panic kuwaona Feds nje na majibwa huku akijua akikutwa na vidhibiti basi atapigwa decades behind bars
Mkuu huyu msanii watu wanamchukulia kwa udogo sana lakini ana kipaji kikubwa sanaScars[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]