Historia imedanganya na kupotosha asili ya mwanadamu

Historia imedanganya na kupotosha asili ya mwanadamu

Jana niliishia msingi wa nane.

9. Ni wapi imechotwa hiyo fani
Huu ni msingi madhubuti kadhalika katika kuiendea elimu fulani,lazima ujue mpaka elimu hiyo imekuwa elimu na ikasimama yenyewe imetokana na mambo gani.

10. Marejeo ya kufanyia utafiti

Huu ni msingi wa mwisho. Baada ya elimu kuwa fani iliyosimama na kukita mizizi,huja suala la kufanya utafiti juu ya yale yaliyomo katika fani husika. Hapa lazima ujue marejeo ya kielimu hasa vitabu ambavyo ambavyo vitakusaidia kufanya utafiti juu ya fani hiyo.

Marejeo hukusaidia kutatua matatizo au kupata ufumbuzi juu ya yale yenye utata katika fani husika.

Natilia mkazo mimi,mwenye kuidhibiti misingi hii yote katika atakuwa amepata utukufu katika ile fani yoyote anayoiendea.

Anza leo kufanyia kazi misingi,na utarajie mazuri na kupata ladha ya elimu unayoitaka.

Nimemaliza.
 
Kitu kingine wanadaiii kadriii muda ulivozidiii kwenda uyo nyaniiiii alikua anabadilika kidogo ndo unakutana na akina homoerectus, homohabilis, zinja adii morden man homosapien sasa kwanini uyu morden man asiendeleee kubadilika awe kiumbe kingine kadriii muda unavyozidiii kwenda akwamie kwenye homosapien tu? Lakini walituaminisha kwamba fufu la binadamu wakwanza lilipatika uko gorge ya Olduvai sasa hawa waaarabu wazungu wachina ambao wao wana rangi ya tofauti na sisi walitokeaje tokeaje?
Umetisha nimependa swali lako
 
Jana niliishia msingi wa nane.

9. Ni wapi imechotwa hiyo fani
Huu ni msingi madhubuti kadhalika katika kuiendea elimu fulani,lazima ujue mpaka elimu hiyo imekuwa elimu na ikasimama yenyewe imetokana na mambo gani.

10. Marejeo ya kufanyia utafiti

Huu ni msingi wa mwisho. Baada ya elimu kuwa fani iliyosimama na kukita mizizi,huja suala la kufanya utafiti juu ya yale yaliyomo katika fani husika. Hapa lazima ujue marejeo ya kielimu hasa vitabu ambavyo ambavyo vitakusaidia kufanya utafiti juu ya fani hiyo.

Marejeo hukusaidia kutatua matatizo au kupata ufumbuzi juu ya yale yenye utata katika fani husika.

Natilia mkazo mimi,mwenye kuidhibiti misingi hii yote katika atakuwa amepata utukufu katika ile fani yoyote anayoiendea.

Anza leo kufanyia kazi misingi,na utarajie mazuri na kupata ladha ya elimu unayoitaka.

Nimemaliza.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]umeitendea haki mada pamoja na jukwaa lake
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]umeitendea haki mada pamoja na jukwaa lake
Kaka mkubwa tuko pamoja. Tatizo huwa nashindwa kuweka madini humu kwa wingi sababu wadau wa mambo haya ya kielimu tuko wachache na tuna sua sua.

Mpaka unakuta sometimes tuna jichanganya majukwaa ambayo kiasili si yetu.

Heshima kwako bro tena na tena.
 
Kitu kingine wanadaiii kadriii muda ulivozidiii kwenda uyo nyaniiiii alikua anabadilika kidogo ndo unakutana na akina homoerectus, homohabilis, zinja adii morden man homosapien sasa kwanini uyu morden man asiendeleee kubadilika awe kiumbe kingine kadriii muda unavyozidiii kwenda akwamie kwenye homosapien tu? Lakini walituaminisha kwamba fufu la binadamu wakwanza lilipatika uko gorge ya Olduvai sasa hawa waaarabu wazungu wachina ambao wao wana rangi ya tofauti na sisi walitokeaje tokeaje?
Hayo mabadiliko yalichukua mamilioni ya miaka Kwahiyo wewe usitegemee mabadiliko makubwa kiasi hicho ndani ya miaka elfu kadhaa tu. Ndio wanasema hivo [emoji3] [emoji3] [emoji3].
 
Kaka mkubwa tuko pamoja. Tatizo huwa nashindwa kuweka madini humu kwa wingi sababu wadau wa mambo haya ya kielimu tuko wachache na tuna sua sua.

Mpaka unakuta sometimes tuna jichanganya majukwaa ambayo kiasili si yetu.

Heshima kwako bro tena na tena.
[emoji120][emoji120][emoji120]yeah kuna wakati huwa tunajisahau kwakweli lakini tunaweza kukubaliana kuwa at least kila wiki moja tuwe na mada moja ambayo tutaifanyia uchambuzi wa Kina... Niko tayari kuchokoza mada
 
Hayo mabadiliko yalichukua mamilioni ya miaka Kwahiyo wewe usitegemee mabadiliko makubwa kiasi hicho ndani ya miaka elfu kadhaa tu. Ndio wanasema hivo [emoji3] [emoji3] [emoji3].
Huwa nahoji sana hayo mamilioni ya miaka.. Kimetumika kipimo gani kuyapima?
 
Kwanza bro sijui maana ya Paleontology. Kabla hatujaendelea nielezee maana yake na unipe mifano ikibidi.
Hapo sasa.... Paleontology ni somo la miamba iliyofanywa miaka mingi iliyopita ambamo tunaweza kupata records za viumbe wa zamani ambao wamejichora kwa hiyo miamba
 
Huwa nahoji sana hayo mamilioni ya miaka.. Kimetumika kipimo gani kuyapima?
Hahaaaaaaa, carbon 14 ya Dr Leaky. Ila chondechonde usiniulize usahihi wa hicho kipimo kwa maana mi sijawahi kukiona. Najua hii inapingana na mafundisho ya dini yanayosema dunia ina umri wa miaka 4000 na kidogo. Kwahiyo ukiamini dini automatically huwezi amini hicho kipimo
 
Hahaaaaaaa, carbon 14 ya Dr Leaky. Ila chondechonde usiniulize usahihi wa hicho kipimo kwa maana mi sijawahi kukiona. Najua hii inapingana na mafundisho ya dini yanayosema dunia ina umri wa miaka 4000 na kidogo. Kwahiyo ukiamini dini automatically huwezi amini hicho kipimo
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji120][emoji120][emoji120]yeah kuna wakati huwa tunajisahau kwakweli lakini tunaweza kukubaliana kuwa at least kila wiki moja tuwe na mada moja ambayo tutaifanyia uchambuzi wa Kina... Niko tayari kuchokoza mada
Haina shida wewe chokoza mada....!
 
kiukweli unapozungumzia science ni pana kuliko history na history ilikuwa inacopy mambo ambayo hayana utafiti
 
kiukweli unapozungumzia science ni pana kuliko history na history ilikuwa inacopy mambo ambayo hayana utafiti
Historia ni mambo yaliyokamilika yakapita kwa wakati wake... Hata sayansi kwa mambo yaliyopita inaingia kwenye historia
 
kaka mshana mambo haya ya historia ya mwanaadamu kwa kweli ni pasua kichwa kwa sababu hata vitabu vya dini havijaeleza historia ya mwanaadamu kwa ukamilifu, kiasi ambacho kimeacha mwanya mkubwa kwa wajanja kuchezea watu akili, na hili ni tatizo kubwa sana kwa sababu kwa mtu ambae hajapata enlightment kuwa na imani thabit na dini yake ni mtihani sana, ili uwe na imani thabit katika dini yako unatakiwa ujitambue kuanzia asili yako na mlolongo mzima kwa urefu na mapana yake, na hilo ndio shimo kubwa ambalo shetani analitumia kuwapotosha wanaadamu, akili ya mwanaadamu ni kama tumbo lenye njaa na chakula chochote itakachokula halitashiba mpaka binaadamu atakapojua uhalisia na uhakika wa maisha na asili yake kwa mapana na marefu yake, na wote wenye akili ndio huwa na njaa hii na kila siku hutafuta chakula cha kushibisha nafsi zao kujielewa.
 
Mkuu,

Umemsoma Gregory Mendelis na formula zake za Genetics??

Kuna kitu kimoja tu nadhani unakimis kwenye point yake hii, Binadamu wa kwanza hakuwa nyani kama ulivyosema hapo juu ila alipitia stage/hatua za nyanipaka kufikia alipo hapo hii leo.

Mfano: Endapo mwanao akikuta wewe na jamii mzima inayokuzunguka haitembei kwa kutumia miguu miwili badala yake mnatambaa basi usitegemee kuona huyo mtoto anasimama na kuanza kutembea. Lazima ataiga kile ambacho anakiona kwa wale wanaomzunguka.

As history inasema stages za binadamu mpaka alipofika hapa kwa kutumia Carbon 14 inawezekana kabisa na ukizingatia ni asili ya mafuvu ya binadamu wa kale yanaonyesha kuna posibility kubwa ya kufanana na Nyani au kupitia hatua ambazo nyani anapitia hivi sasa.

Afu kulinganisha science na imani ni kutoitendea haki science.

Naomba kamsome Gregory mendelis vizuri na utajua kwanini alipinga hiyo kitu na utajua alitumia vigezo gani kumpinga na Je wanasayansi wengine wanasemaje kuhusu carbon 14.
 
Back
Top Bottom