Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nilikwambia utaitwa tu sukuma gang maana humu watu hawaamini kwenye kutofautiana mawazo.Sio tatizo kwangu maana ndio uhuru wa maoni.
Sawa chagga gangSukuma Gang bana ,si muanzishe chama chenu ?kwani nini tu mbowe ?
Ndio maana nilikwambia utaitwa tu sukuma gang maana humu watu hawaamini kwenye kutofautiana mawazo.
Acha uwivu wa kike ulitaka wewe ndio uitwe Mama ?Mbowe alizingua sana uchaguzi wa 2015. Watu wote serious wanalijua hili. Huwezi kumtoa kwenye kiti cha ugombea candidate ambaye amenadi sera za chama kwa miaka yote ya awali unakuja mreplace na mgombea ambaye ameshindwana na wenzake huko CCM halafu unafanya maamuzi ya pekee yako huko chumbani.
Mimi nilimdharau sana Mbowe pale na safu yake ya uongozi maana walifanya upumbavu na mzaha mkubwa sana na fursa ya upinzani kuwapiga hawa matapeli chini na kuwaondoa madarakani. Mbowe hayupo serious.
Hata sasa ukimsikiliza mambo anayoongea ni kama amelogwa. Anamwita rais kwa jina MAMA, hivi ni wapi katika katiba huwa inamwita raisi aliyepo madarakani kwa jina nje ya raisi?
At least akimaliza muda wake wa uongozi ndipo aitwe kwa majina kama Mama na kadhalika sio mama kwenye kiti cha uraisi. Mimi haya mahaba kati ya Mbowe na Samia hata siyaelewi na hapa ndipo najua kuwa Chadema haitaweza toboa katika mikono ya huyu jamaa hata iweje.
Lugha za kitoto.Badilika ukue.Kwa hiyo nikutekenye kiuno ili ucheke au wanataka nini bibie ili ucheke?
Nyie sukuma gang anzisheni chama chenu kwani mlitaka kuharibu chama pendwa CCM na sasa mnapiga mayowe kuhusu cdm ,achaneni na cdm hiki chama kina mwenyeweSioni tatizo lolote kuitwa sukuma gang, maana huo ndio uhuru wa maoni. Nyie sukuma gang original mnaeleweka.
Hata mimi sioni tatizo kunita sukuma gang maana naelewa humu watu hawaamini kwenye kutofautiana mawazo wao wanaamini kila mtu ni ana chama cha siasa na hakuna kuwa na mawazo tofauti kinyume na chama.Sioni tatizo lolote kuitwa sukuma gang, maana huo ndio uhuru wa maoni. Nyie sukuma gang original mnaeleweka.
Mwambie huyo sio anashobokea vyama vya watu, chama chao hadi leo kimebuma kusajiliwa.Nyie sukuma gang anzisheni chama chenu kwani mlitaka kuharibu chama pendwa CCM na sasa mnapiga mayowe kuhusu cdm ,achaneni na cdm hiki chama kina mwenyewe
Ubaya wake kwa hiyo hatua waliyofika ukimkosoa Samia moja kwa moja au kwa jambo lenye kumuhusu moja kwa moja basi inakuwa ni sawa na kutia doa huo uhusiano mzuri waliyo nao na Samia.Say it again.View attachment 2545681
Huo ujumbe aliotoa hapo ni tofauti na hiki ulichoandika hapa, angekuwa anamwambia Samia kila apendacho, asingemwambia habari za Katiba Mpya.Ubaya wake kwa hiyo hatua waliyofika ukimkosoa Samia moja kwa moja au kwa jambo lenye kumuhusu moja kwa moja basi inakuwa ni sawa na kutia doa huo uhusiano mzuri waliyo nao na Samia.
Katiba mpya ni kitu ambacho hata Samia mwenyewe anakizungumza hakihusiani na kumkosoa Samia na wala sijasema kwamba wamwambie kile apendacho tu bali nazungumzia ugumu wa kumkosoa Samia kwa jambo lenye kumuhusu moja kwa moja.Huo ujumbe aliotoa hapo ni tofauti na hiki ulichoandika hapa, angekuwa anamwambia Samia kila apendacho, asingemwambia habari za Katiba Mpya.
Asante KIONGOZIMwambie huyo sio anashobokea vyama vya watu, chama chao hadi leo kimebuma kusajiliwa.
wote wako ulaya Hawa jamaa sio kabisa huku Arusha wakina mama wanadai kuiona familia ya Lena ndio wamsikilize maana wamegundua ujanja ujanja ujanja .Kwani Mbowe familia yake iko wapi?
Nani aende front? Tena ningekuwa na uwezo familia yangu ningeipeleka nje huko wakaungane na familia ya Lissu,Mbowe na Lema.Ni rahisi sana kupiga kelele na kulalamika nyuma ya keyboard kuliko kwenda front.
Hawa majamaa bana ,yako busy kupiga mayowe tu ,kama huyu Lema ukimuuliza shughuli yake kuu ni nini wala hajuiNani aende front? Tena ningekuwa na uwezo familia yangu ningeipeleka nje huko wakaungane na familia ya Lissu,Mbowe na Lema.