Historia itakukumbuka Mbowe kwa kuyasaliti Mageuzi

Ndio maana nilikwambia utaitwa tu sukuma gang maana humu watu hawaamini kwenye kutofautiana mawazo.

Sioni tatizo lolote kuitwa sukuma gang, maana huo ndio uhuru wa maoni. Nyie sukuma gang original mnaeleweka.
 
Acha uwivu wa kike ulitaka wewe ndio uitwe Mama ?
 
Sioni tatizo lolote kuitwa sukuma gang, maana huo ndio uhuru wa maoni. Nyie sukuma gang original mnaeleweka.
Nyie sukuma gang anzisheni chama chenu kwani mlitaka kuharibu chama pendwa CCM na sasa mnapiga mayowe kuhusu cdm ,achaneni na cdm hiki chama kina mwenyewe
 
Sioni tatizo lolote kuitwa sukuma gang, maana huo ndio uhuru wa maoni. Nyie sukuma gang original mnaeleweka.
Hata mimi sioni tatizo kunita sukuma gang maana naelewa humu watu hawaamini kwenye kutofautiana mawazo wao wanaamini kila mtu ni ana chama cha siasa na hakuna kuwa na mawazo tofauti kinyume na chama.

Naona sasa umenitoa kwenye sukuma gang umekaa wewe kisha umenisogeza kwenye usukuma gang halisi, hii ndio JF inaburudisha sana, karibu kwenye usukuma gang.
 
Nyie sukuma gang anzisheni chama chenu kwani mlitaka kuharibu chama pendwa CCM na sasa mnapiga mayowe kuhusu cdm ,achaneni na cdm hiki chama kina mwenyewe
Mwambie huyo sio anashobokea vyama vya watu, chama chao hadi leo kimebuma kusajiliwa.
 
Ubaya wake kwa hiyo hatua waliyofika ukimkosoa Samia moja kwa moja au kwa jambo lenye kumuhusu moja kwa moja basi inakuwa ni sawa na kutia doa huo uhusiano mzuri waliyo nao na Samia.
Huo ujumbe aliotoa hapo ni tofauti na hiki ulichoandika hapa, angekuwa anamwambia Samia kila apendacho, asingemwambia habari za Katiba Mpya.
 
Huo ujumbe aliotoa hapo ni tofauti na hiki ulichoandika hapa, angekuwa anamwambia Samia kila apendacho, asingemwambia habari za Katiba Mpya.
Katiba mpya ni kitu ambacho hata Samia mwenyewe anakizungumza hakihusiani na kumkosoa Samia na wala sijasema kwamba wamwambie kile apendacho tu bali nazungumzia ugumu wa kumkosoa Samia kwa jambo lenye kumuhusu moja kwa moja.
 
Kwani Mbowe familia yake iko wapi?
wote wako ulaya Hawa jamaa sio kabisa huku Arusha wakina mama wanadai kuiona familia ya Lena ndio wamsikilize maana wamegundua ujanja ujanja ujanja .
 
Ni rahisi sana kupiga kelele na kulalamika nyuma ya keyboard kuliko kwenda front.
 
Ni rahisi sana kupiga kelele na kulalamika nyuma ya keyboard kuliko kwenda front.
Nani aende front? Tena ningekuwa na uwezo familia yangu ningeipeleka nje huko wakaungane na familia ya Lissu,Mbowe na Lema.
 
Nani aende front? Tena ningekuwa na uwezo familia yangu ningeipeleka nje huko wakaungane na familia ya Lissu,Mbowe na Lema.
Hawa majamaa bana ,yako busy kupiga mayowe tu ,kama huyu Lema ukimuuliza shughuli yake kuu ni nini wala hajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…