Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Ukweli hawa jamaa wanaakili sana, nimeo uchagani katoto 18 yrs ila kana akili kama mmama wa miaka 30 , kana heshima , ushaur kama wote .Acheni hizo theory za sijui wachaga wanaua wanaume ilikua zamani.
 
Miafrika inaona haijakamilika hadi ijinasibishe na uzungu/uyahudi/uarabu. Hii ni level ya juu kabisa ya uzwazwa

Wayahudi wakisikia wanawafananishwa na miafrika watatamani hata kujiua ila kwa miafrika ni tofauti.
 
Umeandika Uongo mwingi sana Mnama.

Seriously.
 
Mwamba ngoma bhana..hukua na haja ya kusema yote hayo..just ungesema tu wachaga ni wapambanaji kusaka doo..hayo mengine umepotez muda tu.

Kimsingi kilicho wabeba wachaga ni vile wamissionari walifika kwao mapema...wakapewa elimu na ustaarabu..ndio mana wana exposure sana..

Ila asikwambie mtu wasukuma wanakuja kwa kasi san hawa majamaa...na vile wako wengi tz hii..ni suala la muda tu..utarudi na uzi kuwafananisha kama wa u.s.a walio tolokea afrika.

Pia kwenye utafutaji kuna hawa jamaa wakinga na wabena hawa watu ni moto..walipo mchaga lazima awe mpole tu.

So uache upompoma mana kila kabila ni barikiwa kikubwa ni exposure tu.
 
Shimbony shavo,sijakuelewa hapa meku "yalibomolewa kuanzia saa sita usiku hadi saa nne usiku huo, yote yakavunjwa"
 
Du stress zenu hizi, wayahudi na mabaa na kula mahindi wapi na wapi. Kwanini msiseme baadhi yenu ndio walioend uyaudi
 
Sina uhakika sana.

Ninachojua wachaga ni watafutaji kuliko kabila lolote Tanzania.

Ni kabila lenye maendeleo kuliko kabila lolote Tanzania .

Ni kabila lenye kujali elimu sana kama wahaya.

Ni kabila lenye ukarimu sana kwa wageni.

Nk...
Huo ndio ukweli ni watafutaji wa kimyakimya, ukiona jiwe kabana basi ujue makabila mengine wapo taabani kuliko, subiri Xmas utaona magari, mabasi, ndege zinajaa kwenda na kurudi, hata elimu, uhasibu biashara
 
Bado hujaweka tabia yao moja kuu.....
ndio maana nimedoubt kama kweli hawa ni chagganians..
 
Nime miss nyumbani, December hiyo inakaribia.

Kuongezea tu wachaga ndio watu wanao kumbuka kwao kuliko kabila lolote Tanzania.
 
Back
Top Bottom