Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Haaa tupo juu .Huoni hata Jiwe anataka kushindana nao .Ananunua madege kama hana akili nzuri ila shirima wetu na vi precission vyake vinapiga mzigo kwa akili ATC kwa sifa.Wanatuchukia na kutuita wezi walioko ndani kwa kesi za uhujumu uchumi ningetegemea wote au 90%wawe wachaga lakini ola
 
Ukweli hawa jamaa wanaakili sana, nimeo uchagani katoto 18 yrs ila kana akili kama mmama wa miaka 30 , kana heshima , ushaur kama wote .Acheni hizo theory za sijui wachaga wanaua wanaume ilikua zamani.
Tulia wewe "chasaka"
 
Alafu ukiwa unakwichi kwichi nao milio yao ni "yeleuwii,,yesuuuu yesuuu,usitoeeee,, mootoo...aichee hukoooo hukoooo....
Naomba niishie hapo
 
Kama kweli historia hujurudia, naona kama vile wachagga wako njiani kwenda kwa Mandela, mbilikimo watarudi kuwapiga na kuwafujuza hahhh.
 
Huo ndio ukweli ni watafutaji wa kimyakimya, ukiona jiwe kabana basi ujue makabila mengine wapo taabani kuliko, subiri Xmas utaona magari, mabasi, ndege zinajaa kwenda na kurudi, hata elimu, uhasibu biashara
Hili kabila ukiwanyima fursa ndio unawapa mwanya wa kutumia akili mara dufu na kufanikiwa.

Mwalimu alishindwa kulipiga vita seuse huyu jamaa wa chattle.
 
Kwa mujibu wa mama wa bibi yangu, wakazi wa asili wa misitu ya Mlima Kilimanjaro - wakoningwa (waliopondwa) waliuawa na wahamiaji na waliobaki walitoweka kiasili na si kwamba walikimbilia misitu ya Congo.
 
KIMAROO,


Wachaga wengine waliotaka Ethiopia. Mfano wanachama wa wa Lema chimbuko la Ethiopia. Wazuri wa ulinzi wa Ethiopia ni wa ukoo wa Lema.
KIMAROO,

Wachaga wengine waliotaka Ethiopia. Mfano wamachame wa uko wa Lema chimbuko lao ni Ethiopia. Waziri wa ulinzi wa Ethiopia ni wa ukoo wa Lema
 
 
masama ipi mkuu? Mi natoka masama magharibi(ng'uni)
Aisee. Nimefanya kazi kwa muda hapo Ng'uni Sec. Enzi hizo ninanunua maziwa fresh kwa vikundi vya akina mama sh 500 tu kwa lita. Si siku nyingi hata hivyo! Umeme na majumba mazuri hadi kwenye mpaka wa mlima Kilimanjaro. Halafu hakuna anayeishi.
 
Historia hii ina ukweli haswa pale inaponipa jibu ni kwa nini maeneo ya Moshi Vijijini kuna tarafa inaitwa Hai Mashariki wakati ni wilaya tofauti kabisa.
 
Majina ya Lema yanapatikana maeneo ya Ethiopia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…