rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,420
Ndugu wana Jf na Watanzania wenzangu
Naomba kwa makusudi kabisa nilete hii hoja mbele yenu kwa nia na makusudi mazima ya kuwasaidia baadhi ya wana Jf na Watanzania kwa ujumla walio na maswali juu ya watu wa kabila la kichaga,
Mara baada ya kuleta kwenu hili bandiko asiwepo tena wa kuleta hoja inayohusu wachaga,kwani tukiendelea kuleta hoja hizi inaonyesha ni jinsi gani kabila hili lilivyo tishio kwa makabila yote katika nchi yetu,
Ndugu Watanzania wenzangu nchi yetu ni kubwa na ina makabila mengi sana,ni kwa nini muendelee kuliandama kabila hili dogo?liliwakosea nini?tumeandamwa tangu enzi ya Mwalimu mpaka leo mnatuandama?tukatambike wapi ili tuwe huru kama watanzania wenzetu
Wachaga ni wachapa kazi na watu wasio na tabia ya kulala mpaka kieleweke,kwa maana nyingine ni kwamba wachaga ni hard workers ambao hawapimiki,ningefurahi sana kama makabila mengine yangejifunza kwa wachaga ili tuweze kujikwamua kiuchumi na tuweze kusaidia taifa letu kukua haraka
Naomba kabisa nisingependa tena kuona mambo ya wachaga yanaletwa humu kila siku kwanza mnaharibu sifa za dada zetu ambao ni wachapa kazi na big thinkers
Mkitaka kujua hilo waulizeni viongozi wenu Salmin Amoor,Benjamin Mkapa na Mhando wa Tanesco jinsi walivyopata maendeleo haraka kwa kuoa wachaga na wewe tafuta mchaga oa acha ujinga wa kudhalilisha kabila letu
mwenye kuongeza aongeze
Naomba kwa makusudi kabisa nilete hii hoja mbele yenu kwa nia na makusudi mazima ya kuwasaidia baadhi ya wana Jf na Watanzania kwa ujumla walio na maswali juu ya watu wa kabila la kichaga,
Mara baada ya kuleta kwenu hili bandiko asiwepo tena wa kuleta hoja inayohusu wachaga,kwani tukiendelea kuleta hoja hizi inaonyesha ni jinsi gani kabila hili lilivyo tishio kwa makabila yote katika nchi yetu,
Ndugu Watanzania wenzangu nchi yetu ni kubwa na ina makabila mengi sana,ni kwa nini muendelee kuliandama kabila hili dogo?liliwakosea nini?tumeandamwa tangu enzi ya Mwalimu mpaka leo mnatuandama?tukatambike wapi ili tuwe huru kama watanzania wenzetu
Wachaga ni wachapa kazi na watu wasio na tabia ya kulala mpaka kieleweke,kwa maana nyingine ni kwamba wachaga ni hard workers ambao hawapimiki,ningefurahi sana kama makabila mengine yangejifunza kwa wachaga ili tuweze kujikwamua kiuchumi na tuweze kusaidia taifa letu kukua haraka
Naomba kabisa nisingependa tena kuona mambo ya wachaga yanaletwa humu kila siku kwanza mnaharibu sifa za dada zetu ambao ni wachapa kazi na big thinkers
Mkitaka kujua hilo waulizeni viongozi wenu Salmin Amoor,Benjamin Mkapa na Mhando wa Tanesco jinsi walivyopata maendeleo haraka kwa kuoa wachaga na wewe tafuta mchaga oa acha ujinga wa kudhalilisha kabila letu
mwenye kuongeza aongeze
