thewajibu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 236
- 306
[emoji2] [emoji2] [emoji2] unashauriwa kuwekeza ulicho tayari kupoteza ili kikipotea usibaheMnatuletea wizi kama wa makinikia ee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] unashauriwa kuwekeza ulicho tayari kupoteza ili kikipotea usibaheMnatuletea wizi kama wa makinikia ee..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] unashauriwa kuwekeza ulicho tayari kupoteza ili kikipotea usibahe
mkuu kuna tovuti maalumu zinazouza bitcoin ukishainunua unaweza kuiacha hapohapo au kuitunza kwenye wallet yako uliyoidownlod kweny pcsasa mkuu unanunua wapi na kutunza unaitunzia wapi?
2.kununua bitcoin na kuuza inapopanda. bitcoin hupanda kila mara na kila mwaka hivyo unaweza kuinunua na kuitunza kwa muda fulani kisha kuiuza kwa sasa 1bcn =2510.27 na hii ni kwa sababu wiki hii imeshuka ilitegemewa kufikia 4000 watalaamu wanasema ifikapo 2019 huenda ikafika 10000 bila shaka ukiitunza kufikia wakati huo utapata faida.
nilimaanisha USDMmmmh hiyo currency gani uliyotumia kwa 1 bitcoin!?
Najua zilivyo nashangaa haujaweka.
mfano wa hizo wallet na ipi ni boramkuu kuna tovuti maalumu zinazouza bitcoin ukishainunua unaweza kuiacha hapohapo au kuitunza kwenye wallet yako uliyoidownlod kweny pc
Hiyo Pesa unaitumia kwenye vitu gani sijawahi kuona kwenye online markets zikifanya transaction kwa kutumia bitcoinMadhumuni yake ilikuwa ni kurahisha utumaji na upokeaji wa pesa pasipo mtu wa kati ikimaanisha pesa inatumwa moja kwa moja kutoka mtumaji hadi mpokeaji tofauti na paypal ilivyo
pesa hiyo ilikuwa ikitumika kulipia huduma huko dark web lakini kwa sasa baadhi wanapokea pesa hiyo ingawa si wengi ndiyo maana hujaiona mahaliHiyo Pesa unaitumia kwenye vitu gani sijawahi kuona kwenye online markets zikifanya transaction kwa kutumia bitcoin
Kwa hiyo haina umuhimu wowote Zaidi kwenye illigal business ama taja hizo masoko ya mtandao yanayotumia bitcoinpesa hiyo ilikuwa ikitumika kulipia huduma huko dark web lakini kwa sasa baadhi wanapokea pesa hiyo ingawa si wengi ndiyo maana hujaiona mahali
sapo bitcoin wallet and vault, bitcoin wallet coinbase , bitcoin wallet hizi ni baadhi ya wallet unazoweza kuzitumia kwenye androidmfano wa hizo wallet na ipi ni bora
ipi ni boramfano wa hizo wallet na ipi ni bora
kwa kuongezeaMadhumuni yake ilikuwa ni kurahisha utumaji na upokeaji wa pesa pasipo mtu wa kati ikimaanisha pesa inatumwa moja kwa moja kutoka mtumaji hadi mpokeaji tofauti na paypal ilivyo
Hii pesa ninaweza kuidraw na kuitumia kwa matumizi ya kawaida?
mfano. Nina hela kwenye mpesa, nitaweza kuitoa na kununua kitu chochote ninachotaka.
Je, bitcoin iko hivyo?
local bitcoin google haposasa mkuu unanunua wapi na kutunza unaitunzia wapi?
Hii fursa ni nzuri sana ila kama huna uelewa usiwekeze kwani inahitaji uelewa mkubwa kidogo ukilinganisha na fursa nyingine kwasababu zifuatazoHii fursa hapana aseeh
okHii fursa ni nzuri sana ila kama huna uelewa usiwekeze kwani inahitaji uelewa mkubwa kidogo ukilinganisha na fursa nyingine kwasababu zifuatazo
unaweza kupata bitcoin bureee bila kufanya kazi kupitia bitcoin mining (1bitcoin = tsh 6,000,000)
unaweza nunua na kuhifadhi soko likipanda ukauza (soko hubadilika sana kupita maelezo ndani ya siku mbili au tatu tofauti inaweza kuwa mpaka 1milion)
unaweza wekeza kwa kulipia gharama za mitambo na umeme inayofanya kazi ya mining kisha bitcoin zinazopatikana wanagawa kutokana na shea
MKUU IVI BITCOIN WALLET NZURI NI IPOBitcoin ni pesa ya kielektroniki ambayo haimilikiwi na nchi wala serkali yoyote duniani, pesa hii hutegemea mzunguko katika soko kupata nguvu dhidi ya fedha zingine. pesa hii haitabiriki kuanzia utunzaji hadi nguvu yake.
Pesa hii imewahi kushuka thamani mara kadha kwanza kipindi ambacho tovuti iliyokuwa ikiuza dawa za kulevya huko darkweb ilipoharibiwa na FBI pili siku ambayo wadukuzi waliiba fedha hiyo kutoka soko la japan lililokuwa likiuza fedha hiyo.
lakini pia kuna changamoto kuitunza fedha hiyo baada ya kuinunua kutoka soko husika unapoinunua na kuitunza kwenye soko ulilonunua kuna hatari ya wadukuzi kuipitia, lkn unaweza kuitunza kwenye wallet yako kwenye komputa lkn unapaswa kuapdate wallet wakati wote la sivyo inapotea. mtu mmoja huko UK alipoteza hard disk ya pc yake ambamo alikuwa ametunza bitcoin yenye thamani ya $30 millioni hivyo kuwa makini unapoamua kufanya biashara hii
fursa na changamoto zinazopatikana katika fedha hii.
1.Kununua na kuuza bitcoin. kila mtu anauwezo wa kununua na kuuza bitcoin mahali popote duniani lakin biashara hii inahitaji uelewa wa hali ya juu kuhusu biashara hii kwasababu kunawatu wamewekeza fedha nyingi wakisubili wageni katika biashara hii ili wajipatie faida kupitia makosa yao.
2.kununua bitcoin na kuuza inapopanda. bitcoin hupanda kila mara na kila mwaka hivyo unaweza kuinunua na kuitunza kwa muda fulani kisha kuiuza kwa sasa 1bcn =2510.27 na hii ni kwa sababu wiki hii imeshuka ilitegemewa kufikia 4000 watalaamu wanasema ifikapo 2019 huenda ikafika 10000 bila shaka ukiitunza kufikia wakati huo utapata faida.
Thewajibu
ni wajibu wangu