antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Group lenu limejaa?Wengi bado kitendawili nini haswa ni bitcoin?
Michezo ya pesa imekua mingi sana sasa bongo kuweni makini, kama Ponzi Scheme zinakuja kwa kasi.
Kwa maelezo zaidi kuhusu bitcoin, unanuaje na kuuzaje, trends, news na yoote utakayo kuyajua hapa umefika. Ask me Telegram Bitcoin Traders
New group, invite friends tuwe wengi tuweze share na kujifunza all about trading hizi cryptocurrencies.
Make Money Online at home.
Jamaa atupe process asee za kutoa kwenye wallet to bank accountAhsante sana mkuu kwa hii information, last time I checked bongo ilikua mzigo kutumia bitcoin. Sasa kama inapiga mzigo vizuri then naweza tuma bitcoin tu kutokea huku. Nipe process vizuri inakuaje nikituma mtu ambaye anataka kutoa huko, lazima awe na account NMB? au anatoaje? na makato yao yako vipi?
cheki post #37 hapo juu unaweza kununua/kuuza kwa payment processor yoyote ile unayopendaJamaa atupe process asee za kutoa kwenye wallet to bank account
Mkuu mimi nauliza direct transaction from my Bit wallet to Bank account or mobile Account just like M pesa, I don't mean to sell it out to buyerKuna hawa jamaa wanafanya hata kwa mpesa au tigopesa
Reminato Buy and sell Bitcoin in Tanzania
Na hawa pia
LocalBitcoins.com: Fastest and easiest way to buy and sell bitcoins
mmmh!!hiyo cjui kama inawork hapa TZ ngoja wenye ujuzi zaidi waje kutuhabarisha.Mkuu mimi nauliza direct transaction from my Bit wallet to Bank account or mobile Account just like M pesa, I don't mean to sell it out to buyer
Thanks bossmmmh!!hiyo cjui kama inawork hapa TZ ngoja wenye ujuzi zaidi waje kutuhabarisha.
Leo ni mil 10.3Bitcoin leo iko 9.6mil ukitaka kuuza
Muda huu ni $4,600. Jana ilikua $4,000. Ina maana kama jana mtu angenunua Bitcoin 10 akaziuza muda huu angepata faida ya ($4,600 - $4,000) x 10 = $6,000 = Tshs 13,200,000/=Leo ni mil 10.3
Thanks boss
Ilikuwa inawezekana kutoa kwa kupitia mfumo wa bitpesa( bitpesa.co)..ambao binafsi nimeutumia sana ambapo then unaweza kutoa kwa njia ya Mpesa au Tigopesa.Kwa sasa mfumo huu wameondoa TZS sababu za kiufundi ila wanasema wanafanyia marekebisho then watairudisha...mi nashukuru tu sababu btc zangu zimekwama remittano na xapo zinaendelea kunenepa...Mkuu mimi nauliza direct transaction from my Bit wallet to Bank account or mobile Account just like M pesa, I don't mean to sell it out to buyer
uli mine au ulinunuaIlikuwa inawezekana kutoa kwa kupitia mfumo wa bitpesa( bitpesa.co)..ambao binafsi nimeutumia sana ambapo then unaweza kutoa kwa njia ya Mpesa au Tigopesa.Kwa sasa mfumo huu wameondoa TZS sababu za kiufundi ila wanasema wanafanyia marekebisho then watairudisha...mi nashukuru tu sababu btc zangu zimekwama remittano na xapo zinaendelea kunenepa...
acha kundaganya watu huu niutapeli mtupuMuda huu ni $4,600. Jana ilikua $4,000. Ina maana kama jana mtu angenunua Bitcoin 10 akaziuza muda huu angepata faida ya ($4,600 - $4,000) x 10 = $6,000 = Tshs 13,200,000/=
Sharti moja tu ni kua awe na Uwezo (Mtaji) wa kununua Bitcoin 10 x $4,000 x Tshs 2,250 = Tshs 90Mil
usilolijua ni usiku wa gizaacha kundaganya watu huu niutapeli mtupu
nafanya cloud mininguli mine au ulinunua
cloud mining na ile ya kufunga mwenyewe mining rig ipi nzuri?nipe calculations kama hutojalinafanya cloud mining
tena giza neneusilolijua ni usiku wa giza
Kuna local btcmfano wa hizo wallet na ipi ni bora