Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

I am bitcoin consultant unaweza kunipigia 0713774746 au whatsapp i will help you in anything
 
Habari zenu ndugu zangu wa Jamiiforums. Wengi wetu tunaifahamu fulsa ya BITCOIN ila mimi leo nawaambia MSIWEKEZE KWENYE SARAFU YA BITCOIN PEKEE YAKE UTACHELEWA KUPATA MAFANIKIO

Mwanzilishi wa Bitcoins Satoshi Nakamoto mwaka 2009 aliwafumbua macho watu wote duniani kwa kuanzisha Sarafu ya Bitcoin!!

Teknolojia ya Bitcoins imeendelea kutumika sana kutengeneza Sarafu nyingine zaidi duniani zenye mfumo wa Bitcoins protocol!!

Sarafu ya Bitcoin sasa hivi iko juu sana kwa bei! Hali hii inawakatisha tamaa wawekezaji wenye mitaji kidogo kukosa utajiri mkubwa sana uliopo kwenye Sarafu za kidigitali zipatazo 600 sasa hivi duniani kote!!

Naomba nitambulishe kwako Sarafu mpya iitwayo Adscash ambayo ni salama kabisa kuwekeza kwenye Sarafu hiyo mapema kabla ya UZINDUZI wa Sarafu hiyo mwezi huu wa Machi 2017.

Hii ni Sarafu itakuwa inatumika kwenye matangazo ya kimataifa kama ilivyo Facebook, Twitter YouTube Instagram WhatsApp Bitcoinadspay, nk.

Faida itakayokuwa inapatikana kwenye international business advertisements ndizo watakuwa wanapata gawio lake wanachama wa kampuni hii!!

Adscash ikishazinduliwa itakuwa sokoni na coin zake zitakuwa zinakufikia wewe mwekezaji kwa kutumia mfumo wa blockchain ya Sarafu ya Ethereum!!

Wanachama wa kampuni hii watakuwa na Uhuru (flexibility) wa kubadili hizo coin kwenye Dollars au Bitcoins wakati wa kufanya Deposit au Withdrawal of their money!!

Kampuni hii itazinduliwa rasmi tarehe 25/03/2017 duniani kote!!

Hadi sasa hivi zaidi ya watu 155,000 wamejiunga tangu usajili rasmi uanze February mwanzoni!

Ukijiunga unapewa Adscash coins 100 za Bure ikiwa ni coin za promotion kabla ya UZINDUZI wa Sarafu hii ya Adscash!

Kumbuka kuwa Adscash Ni Sarafu mpya hivyo bado ina bei ya chini kwa sasa hivi!! Hivyo unaweza Kupata coin nyingi sana kwa bei ndogo!!

Adscash coins zinatarajia kupanda sana hadi kufikia $10 miezi michache baada ya kuwekwa sokoni (public coin).

Hivyo ukiwa na coin 100 utakazozipata Bure kabisa kwa kujiunga sasa hivi ni sawa na Dolla 1000 sawa na Tshs 2,300,000 au shs 3m kwa miezi mitatu hadi 12 ijayo baada ya kuwepo sokoni!

Hii siyo fursa ya kukosa aiseeeee

Sasa naomba nisikuchoshe kwa maneno mengi tumia link hiyo ujisajili twende pamoja tujifunze kutengeneza fedha.
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.


Asante kwa maelezo mazuri, kwa nyongeza tu ni kwamba hapa Tanzania waliojunga bado hawazidi 100, hivyo ni fursa mbichi kabisa.

Joining link hii hapa: AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.
 
Habari zenu ndugu zangu wa Jamiiforums. Wengi wetu tunaifahamu fulsa ya BITCOIN ila mimi leo nawaambia MSIWEKEZE KWENYE SARAFU YA BITCOIN PEKEE YAKE UTACHELEWA KUPATA MAFANIKIO

Mwanzilishi wa Bitcoins Satoshi Nakamoto mwaka 2009 aliwafumbua macho watu wote duniani kwa kuanzisha Sarafu ya Bitcoin!!

Teknolojia ya Bitcoins imeendelea kutumika sana kutengeneza Sarafu nyingine zaidi duniani zenye mfumo wa Bitcoins protocol!!

Sarafu ya Bitcoin sasa hivi iko juu sana kwa bei! Hali hii inawakatisha tamaa wawekezaji wenye mitaji kidogo kukosa utajiri mkubwa sana uliopo kwenye Sarafu za kidigitali zipatazo 600 sasa hivi duniani kote!!

Naomba nitambulishe kwako Sarafu mpya iitwayo Adscash ambayo ni salama kabisa kuwekeza kwenye Sarafu hiyo mapema kabla ya UZINDUZI wa Sarafu hiyo mwezi huu wa Machi 2017.

Hii ni Sarafu itakuwa inatumika kwenye matangazo ya kimataifa kama ilivyo Facebook, Twitter YouTube Instagram WhatsApp Bitcoinadspay, nk.

Faida itakayokuwa inapatikana kwenye international business advertisements ndizo watakuwa wanapata gawio lake wanachama wa kampuni hii!!

Adscash ikishazinduliwa itakuwa sokoni na coin zake zitakuwa zinakufikia wewe mwekezaji kwa kutumia mfumo wa blockchain ya Sarafu ya Ethereum!!

Wanachama wa kampuni hii watakuwa na Uhuru (flexibility) wa kubadili hizo coin kwenye Dollars au Bitcoins wakati wa kufanya Deposit au Withdrawal of their money!!

Kampuni hii itazinduliwa rasmi tarehe 25/03/2017 duniani kote!!

Hadi sasa hivi zaidi ya watu 155,000 wamejiunga tangu usajili rasmi uanze February mwanzoni!

Ukijiunga unapewa Adscash coins 100 za Bure ikiwa ni coin za promotion kabla ya UZINDUZI wa Sarafu hii ya Adscash!

Kumbuka kuwa Adscash Ni Sarafu mpya hivyo bado ina bei ya chini kwa sasa hivi!! Hivyo unaweza Kupata coin nyingi sana kwa bei ndogo!!

Adscash coins zinatarajia kupanda sana hadi kufikia $10 miezi michache baada ya kuwekwa sokoni (public coin).

Hivyo ukiwa na coin 100 utakazozipata Bure kabisa kwa kujiunga sasa hivi ni sawa na Dolla 1000 sawa na Tshs 2,300,000 au shs 3m kwa miezi mitatu hadi 12 ijayo baada ya kuwepo sokoni!

Hii siyo fursa ya kukosa aiseeeee

Sasa naomba nisikuchoshe kwa maneno mengi tumia link hiyo ujisajili twende pamoja tujifunze kutengeneza fedha.
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.
Ufafanuzi kwenye malipo yan commission's baada ya usajili ni kwa njia gan benki au mpesa? ahsante
 
Hakuna kitu utapeli tu huo nilishalizwa hapo utapeli mtupu musikubali wa tz wenzangu huo biashara ni utapeli mtupu
 
"Its easy to be the expert if you are the only person in the world with any interest." dapper

ukipitia uzi mbali mbali humu utakuta mada tofauti kuhusu bitcoin wengine wamekuwa wakiisifia na wengine wamekuwa wakiikashifu kuwa ni utapeli hii inawafanya watu wasioijua kabisa bitcoin kupata woga na yupi wa kumsikiliza.

Nianze kwa kusema Bitcoin sio kampuni, sio biashara wala sio tovuti au biashara ya kujipatia pesa nk.

Bitcoin ni currency / sarafu kama zilivyo us dollar, Tanzania shillings au pound tofauti ya Bitcoin na currency zingine nii kuwa bitcoin ni online currency.

Bitcoin sio paper money, haiko centralized means hakuna serikali au kampuni inayomiliki. Lakini pia ni currency ambayo ni rahisi kuitumia.

baada ya uvumbuzi wa bitcoin na mgunduzi Satoshi Nakamoto 2009 zimetokea sarafu nyingine nyingi online kama onecoin, ethereum.

kama zilivyo currency zingine pia bitcoin ipo hivyo hivyo inatengenezwa pia lakini utahitahi kuwa na super computer ziitwazo antiminer na vifaa vingine pamoja na softwares zingine ili uweze kutengeneza bitcoin kwa faida utahitaji hizo super computer nyingi ili uweze kutengeneza bitcoin nyingi kwa muda mfupi ambapo itakuwa kama kiwanda kidogo hivi na hizo bitcoin utaweza kuziuza na kutengeneza faida.

Ingawa kwa sasa bitcoin ndio pesa yenye thamani kubwa kuliko zote mpaka muda huu 1 bitcoin ni saw na dola 1100 lakini pia inaweza kupanda thamani au kushuka thamani kama zilivyo currency zingine.

Njia za kujipatia pesa kupitia bitcoin
1. unaweza amua kununua vifaa na software kwa ajili kutengeneza bitcoin kisha ukatengeneza faida kubwa sana, changamoto hapa ni kuwa hiyo mitambo kama antiminer s9 una zaidi ya 1000 watts za umeme means unakula umeme sana kama pasi ya umeme sasa pigia hesabu unaurun for 24 hours so it need a huge investment to make profit with it.

2. kuwa wakala wa bitcoin... just assume bitcoin ni kama pesa iliyopo kwenye account ya mpesa au tigo pesa. means ukiitaka kuinconvert kuwa paper money lazima uende kwa wakala uitoe hivyo wakala atapata faida. same kwenye bitcoin its just like online bureau exchange zipo site trusted ambazo unaweza pata bitcoin kutoka kwa local trusted agents hapa Tanzania.

3. unaweza amua kununua bitcoin na kisha kuitunza tu then ukasuburi ikipanda thamani uje kuuza mfano last year july 1 bitcoin ilikuwa na thamani ya dola 600 lakini hivi leo inathamani ya dola 1100 na pia katika predictions mpaka june this year bitcoin inaweza fika dola 1800 hivyo unaweza tengeneza pesa mingi sana.


Watu wengi wamekuwa wakichanganya bitcoin na kampuni za upatu za online kwasababu tu zinatumia bitcoin. iko hivi hizi kampuni zinatumia Bitcoin just as amode of transaction exchange tu, kama zilivyo other ways kama perfect money, payeer, paypal nk.

So kuna kampuni wanaziita hyip yaani high yield investment program ambazo husema uinvest kiasi fulani cha pesa kisha utatengeneza faida kila siku labda 5% lakini hawa huwa matapeli kampuni husurvive wiki moja mpaka miezi 3 kisha kampuni kukimbia na pesa za watu, kwa sababu njia wanayotumia kulipa ni kupitia bitcoins basi watu hufikiri bitcoin ni scam.


kwa nini huchagua bitcoin as amode of payment???
kama nilivyo eleza Mwanzo bitcoin haiko centralized means mimi naweza fungua online wallet nikatumia tu username then nikatumia hata bitcoin zenye thamani ya billions of money na within a short of time ukaipata bila bank kuu au serikali kujua nani katuma au nani kapokea na imekwenda wapi so ina privacy.

lakini pia bitcoin ni njia rahisi sana kwa ajili ya kufanya malipo online unahitaji account ya online wallet tu kisha unaanza kunua bitcoin kwa urahisi tu hata kwa kwa mpesa kupitia wakala kisha ukaituma popote unapotaka tofauti ungetumia bank ingekuwa process za kupa visa card, kisha ujaze form kwa ajili ya kutumia online nk. ndio manasas online bitcoin ndio inatamba.

Bitcoin pia huweza kushuka thamani kwa sababu nayo ni currency lakini imekuwa ikipanda sana thamani sababu ni nyingi lakini moja ya reason ni kuwa ncho nyingi sasa zimekuwa zikipitisha kuwa official mode of paymeny kwenye nchi zao kama ufilipino na Japan na kufanya kampuni zao kuaddopt hii mfano ni kampuni ya magari beforward.

Hivyo welcome katika uwekezaji wa bitcoin unaweza tengeneza pesa nyingi sana kupitia bitcoin.

next time tutaleta soma la namna ya kununua na kuuza bitcoin.

By , Bitcoin consultant.
Call 0713774746

Bitcoin_accepted_here_gamy.png
 
Kushuka kwake kwa thamani sio pa kikawaida,inaweza ikashuka from hiyo 1100 to 100.

Imeishatokea mara kadhaa
 
Kushuka kwake kwa thamani sio pa kikawaida,inaweza ikashuka from hiyo 1100 to 100.

Imeishatokea mara kadhaa
since 2009 baada ya matajiri wengi kugundua bitcoin its a new thing which can turn them to be a millionaire ilipanda thamani sana kutoka dola 17 mpaka kufika dola 1000 + ndani ya muda mfupi sana lakina ghafla ilishuka thamani baada ya nchi nyingi kuigopa kuwa ingeshusha thamani pesa zao na usalam wa online money haukuwa vizuri so demand kubwa ikapotea ikashuka hadi dola 200.... then after that ikaaza kujistabelize pole pole mpaka sasa ina fluctuate kwenye dola 1000.... new invention and technology zikaongezwa kwenye bitcoin investment mpaka ikaingia all big forex trade kama newyork nk..... now nchi zilizoendelea zina hadi bitcoin atm... for how it is ni vigumu kushuka zaidi ya dola 100 kwa muda mfupi ni sawa na kusema dollar ya kimarekani leo ikashuka na kuwa sawa na tsh. Bitcoin imeshakuwa big currenyc you can check fbitcon history miaka yote uone fluctuation yake.
thank you
 
since 2009 baada ya matajiri wengi kugundua bitcoin its a new thing which can turn them to be a millionaire ilipanda thamani sana kutoka dola 17 mpaka kufika dola 1000 + ndani ya muda mfupi sana lakina ghafla ilishuka thamani baada ya nchi nyingi kuigopa kuwa ingeshusha thamani pesa zao na usalam wa online money haukuwa vizuri so demand kubwa ikapotea ikashuka hadi dola 200.... then after that ikaaza kujistabelize pole pole mpaka sasa ina fluctuate kwenye dola 1000.... new invention and technology zikaongezwa kwenye bitcoin investment mpaka ikaingia all big forex trade kama newyork nk..... now nchi zilizoendelea zina hadi bitcoin atm... for how it is ni vigumu kushuka zaidi ya dola 100 kwa muda mfupi ni sawa na kusema dollar ya kimarekani leo ikashuka na kuwa sawa na tsh. Bitcoin imeshakuwa big currenyc you can check fbitcon history miaka yote uone fluctuation yake.
thank you

Mkuu kwenye platform ya MtGox Japani kati ya mwaka 2013 na 2014 Bitcoin ilishoot to $1,300 per coin na ikashuka mpaka kufikia $300, na ikashuka zaidi mpaka jamaa wakaclose shop.

The biggest financers wa Bitcoin ni Iran,Rusia na Isis. Hao wawili wa kwanza sababu ya economic sanctions walizowekewa wamekimbilia huko kufanya illicit transactions zao.

Mpaka hapo hizo currencies zitakapokuwa recognized na kuwa under legal supervision na regulations simshauri mtu anayeseek decent investment na secure payment system kujihusisha nazo.
 
Mkuu kwenye platform ya MtGox Japani kati ya mwaka 2013 na 2014 Bitcoin ilishoot to $1,300 per coin na ikashuka mpaka kufikia $300, na ikashuka zaidi mpaka jamaa wakaclose shop.

The biggest financers wa Bitcoin ni Iran,Rusia na Isis. Hao wawili wa kwanza sababu ya economic sanctions walizowekewa wamekimbilia huko kufanya illicit transactions zao.

Mpaka hapo hizo currencies zitakapokuwa recognized na kuwa under legal supervision na regulations simshauri mtu anayeseek decent investment na secure payment system kujihusisha nazo.

bitcoin , ethereum tayari zipo legal na authorised sijui upo dunia ya ngapi ingia site ya us gov kuhusu finance... ipo kwenye forex trade nchi nzima kuna atm sasa we unataka iwe legalize vipi ?
hebu tueleweshe
 
Mkuu kwenye platform ya MtGox Japani kati ya mwaka 2013 na 2014 Bitcoin ilishoot to $1,300 per coin na ikashuka mpaka kufikia $300, na ikashuka zaidi mpaka jamaa wakaclose shop.

The biggest financers wa Bitcoin ni Iran,Rusia na Isis. Hao wawili wa kwanza sababu ya economic sanctions walizowekewa wamekimbilia huko kufanya illicit transactions zao.

Mpaka hapo hizo currencies zitakapokuwa recognized na kuwa under legal supervision na regulations simshauri mtu anayeseek decent investment na secure payment system kujihusisha nazo.
Sasa uyu alikuja kutushawishi si ni mtanzania mwenzetu? Ama kweli mchawi ndugu.
 
Bitcoin ni pesa ya kielektroniki ambayo haimilikiwi na nchi wala serkali yoyote duniani, pesa hii hutegemea mzunguko katika soko kupata nguvu dhidi ya fedha zingine. pesa hii haitabiriki kuanzia utunzaji hadi nguvu yake.

Pesa hii imewahi kushuka thamani mara kadha kwanza kipindi ambacho tovuti iliyokuwa ikiuza dawa za kulevya huko darkweb ilipoharibiwa na FBI pili siku ambayo wadukuzi waliiba fedha hiyo kutoka soko la japan lililokuwa likiuza fedha hiyo.

lakini pia kuna changamoto kuitunza fedha hiyo baada ya kuinunua kutoka soko husika unapoinunua na kuitunza kwenye soko ulilonunua kuna hatari ya wadukuzi kuipitia, lkn unaweza kuitunza kwenye wallet yako kwenye komputa lkn unapaswa kuapdate wallet wakati wote la sivyo inapotea. mtu mmoja huko UK alipoteza hard disk ya pc yake ambamo alikuwa ametunza bitcoin yenye thamani ya $30 millioni hivyo kuwa makini unapoamua kufanya biashara hii

fursa na changamoto zinazopatikana katika fedha hii.
1.Kununua na kuuza bitcoin. kila mtu anauwezo wa kununua na kuuza bitcoin mahali popote duniani lakin biashara hii inahitaji uelewa wa hali ya juu kuhusu biashara hii kwasababu kunawatu wamewekeza fedha nyingi wakisubili wageni katika biashara hii ili wajipatie faida kupitia makosa yao.

2.kununua bitcoin na kuuza inapopanda. bitcoin hupanda kila mara na kila mwaka hivyo unaweza kuinunua na kuitunza kwa muda fulani kisha kuiuza kwa sasa 1bcn =2510.27 na hii ni kwa sababu wiki hii imeshuka ilitegemewa kufikia 4000 watalaamu wanasema ifikapo 2019 huenda ikafika 10000 bila shaka ukiitunza kufikia wakati huo utapata faida.

Thewajibu
ni wajibu wangu
 
Back
Top Bottom