Historia ya Kabila la Wahaya

n maskin wa kutupwa hakuna fursa KBS wamebk kujisifia ujinga t
 
Nimetembea Tanzania yote bara na visiwani, Kilimanjaro ndiyo mkoa pekee ambao ni shida sana kukuta nyumba ya nyasi vijijini. Hawa watu wana maji ya bomba mpaka vijijini, umeme na sehemu kubwa barabara za lami ziko mpaka vijijini. Huduma za jamii kama vile shule na hospitali ziko za kutosha kila kijiji. Kimsingi Kilimanjaro ni mkoa ambao umeendelea sana
 
mkuu umemaliza kila kitu......
 
umeshafika bukoba mkuu, muleba, hadi karagwe huko umefika wewe? aibu tupu, na ninasikia hawakati mikono ya sweta....wanaringa tu huku. binafsi nawaheshimu wachaga tu hapa tz, wengine wote fyokofyoko tu kwao wamekusahau kabisa. shida nyingine uhayani ni uchawi, ndo maana kuna kipindi hadi walikuwa wanalinda makaburi yasifukuliwe marehemu akaliwa.
 
ukitaka kujua wahaya vyema
nenda pale bkb mjini hakuna daladala kule n boda boda ndio daladala,stand kuu n kichekesho imejaa mashimo hakuna hotel ya maana full vumbi sasa hapo n mjin je kijijin itakuaje?
Daladala Zipo,,, Angalia upande zilipo gari zilizoangaliana Na jengo la airtel,pembeni kuna jengo la TTCL Zipo Za kwenda rwamishenye, custom n. K kinachofanya Usione Daladala nyingi ni kwa kuwa root nyingi zinaungwa Na magari yaendayo ndani mfano naenda katoma lazima ntapanda gari Za kanyigo/kyaka/mutukula/karagwe/kashasha/bwanja/mgana/gera/ruzinga/buyango n.k pia kama naenda muutwe ntapanda Za muleba /katoro/biharamulo
Ujue mfumo wa usafiri wa bukoba mjini Sio Sawa Na mikoa mingine,,,, kuhusu stand: kumekuwepo na mgogoro mrefu juu ya uboreshwaji wa stand kwa muda mrefu tangu 2010 but Mpk now stand iko inajengwa kyakairabwa
 
achana na ya kyakairabwa
hivi pale stand kuu jins palivyo hovyo bado mnajitia kujisifia Sifia?
muleba kule kuna hali ngumu,miseny nyumba za nyasi shaz,karagwe usiseme achen misifa boreshen makaz,heshima ya MTU n nyumba
 
Naongezea tu kuwa wahaya kutoka bukoba hawana maji kama wengi wanavyodhani.
 
acha povu
mnajitia mbwembwe wakati mkoa wenu n wa tatu kwa umaski
Ungeleta hizi hizo data zenye hiyo fact tungekuelewa zaidi ndg umezungumia Habari ya hotel kutokuwepo Hivi umefika koloping hotel hiko juu mlimani kashura, wapi Victoria hotel,walkgard annex hotel, oxygen hotel, nyingine hiko nyamkazi vile kama sikosei hiko jirani Na kanisa la eagt nimeisahau jina coz kitambo nimetoka
 
Hapo ndo nashangaa sijui wahaya waliwafanyia nini atuelewi kabisaaaaaaaa Hivi kama umepita Dodoma (acha pale mjini kuzunguka viunga vya bunge) pako hovyo nyumba utadhani wanaishi wakongo fupi kama nini then ni Za nyasi, singida hovyo tabora Nayo Yale Yale Sasa njoo hapa morogoro nilipo huu ukanda wa Kikaguru kuanzia gairo mpaka dumila aseeeeeee kuna Hali mbaya kwanza Mtandao Shida, miundombinu hovyo Mvua ikinyesha kama Huko Na Safari sahau kabisaaaaaaaa, Jamani mbna hawa huwa amsemi!!!!
 
Nina wasiwasi na mleta mada kama ni muhaya ama kweli aliwahi kufika huko kwa hao ndugu zetu!
 
unahangaika bure kujitetea we muhaya,umasikini bukoba upon palepale na kinachotufanya tupige kelele hapa ni hizi mbwembwe zenu za mjini,hemu muwe mnakumbuka nyumbani kwenu
 
Tu bi honesiti, ukikuta mkoa au wilaya au kijiji
kinashabikia chama kubwa,au kina wabunge
wengi wa mlengo huo huwezi kukosa nyumba
ya nyasi.Bila kujali ni bukoba au wapi.
nimemaliza naenda kulala.
 
achana na ya kyakairabwa
hivi pale stand kuu jins palivyo hovyo bado mnajitia kujisifia Sifia?
muleba kule kuna hali ngumu,miseny nyumba za nyasi shaz,karagwe usiseme achen misifa boreshen makaz,heshima ya MTU n nyumba
Sasa aachane na Kyakailabwa vipi na wakati stand inajengwa hapo? wewe kwenu ni wapi na wewe sema ili tuuangalie mkoa wako. Kyakailabwa ndo stand mpya labda kama una jingine sema nalo.
 
unahangaika bure kujitetea we muhaya,umasikini bukoba upon palepale na kinachotufanya tupige kelele hapa ni hizi mbwembwe zenu za mjini,hemu muwe mnakumbuka nyumbani kwenu
Wewe kwenu wapi mkoa gani mkuu tunatamani tupafahamu na sie
 
Wanataka hotel tu? hawa jamaa hmnazo na ukiona wanaokubishia hata barabara ya luelekea mkoani Kagera hawaijui iko wapi, sasa itakuwaje ubishane na mtu wa hivi?
 
Na labda ngoja niulize, tuutoe mkoa wa Kilimanjaro ambao bado naona unatajwa hapa na sijui kwanini umetajwa wakati ishu ilikuwa ni Kagera. Tunaombwa mtwambie Mikoa gani mingine ya maana ambayo mnafikiri mnataka kuipambanisha na mkoa wa Kagera? itajeni hiyo mikoa yenu hapa.
 
Angalia hiyo
 

Huu uzi ulianza kwa kuwasifia ninyi wahaya, kwamba mnajitambua sana.. Ghafla kibao kimebadilika..


Tanzania yote inafanana Mkuu...watu ni walewale, akili ni ileile, tabia ni almost ileile ..hakuna kwenye nafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…