jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 623
n maskin wa kutupwa hakuna fursa KBS wamebk kujisifia ujinga tWe shika adabu yako, ni nani aliyekwambia kuwa kula ugali kwa maharage ni kuwa na maisha ya magumu? yawezekana wewe huijui Bukoba kabisa, ni vema ukae kimya. ukienda huko utakuta nyumba za nyasi nyingi tu na pia mambo mengine ambayo siweza kuyaandika hapa.
kwan kipi cha uongo alichosema?Bro una bifu na sisi?
Tulikukosea nini?
mkuu umemaliza kila kitu......Mimi nipo huku kwao hawana lolote maisha magumu tuu wanajenga nyumba za tope kama watu wa pwani au wanaita mbavu za mbwa.
Nenda Muleba utaona nenda maeneo kama ngenge, kanywangonge au kule milimani wanaita ngote na Kanyerenyere ndo utajua kuwa wanamaisha mazuri au magumu.
Mhaya hali ugali kwa sababu kazoea ndizi (ekitoke). Ugali na wali wameanza kula hivi juzi baada ya mnyauko kukausha ndizi. Ni moja kati ya kabila vivu kupindukia.
Wanaume hawaendi shamba zaidi ya ulevi na wanawake wanaenda shambani saa moja au mbili lakini saa tatu yupo anasugua gaga nje ya nyumba
Kama hujui kaa kimya
umeshafika bukoba mkuu, muleba, hadi karagwe huko umefika wewe? aibu tupu, na ninasikia hawakati mikono ya sweta....wanaringa tu huku. binafsi nawaheshimu wachaga tu hapa tz, wengine wote fyokofyoko tu kwao wamekusahau kabisa. shida nyingine uhayani ni uchawi, ndo maana kuna kipindi hadi walikuwa wanalinda makaburi yasifukuliwe marehemu akaliwa.Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .
Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.
Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
Daladala Zipo,,, Angalia upande zilipo gari zilizoangaliana Na jengo la airtel,pembeni kuna jengo la TTCL Zipo Za kwenda rwamishenye, custom n. K kinachofanya Usione Daladala nyingi ni kwa kuwa root nyingi zinaungwa Na magari yaendayo ndani mfano naenda katoma lazima ntapanda gari Za kanyigo/kyaka/mutukula/karagwe/kashasha/bwanja/mgana/gera/ruzinga/buyango n.k pia kama naenda muutwe ntapanda Za muleba /katoro/biharamuloukitaka kujua wahaya vyema
nenda pale bkb mjini hakuna daladala kule n boda boda ndio daladala,stand kuu n kichekesho imejaa mashimo hakuna hotel ya maana full vumbi sasa hapo n mjin je kijijin itakuaje?
achana na ya kyakairabwaDaladala Zipo,,, Angalia upande zilipo gari zilizoangaliana Na jengo la airtel,pembeni kuna jengo la TTCL Zipo Za kwenda rwamishenye, custom n. K kinachofanya Usione Daladala nyingi ni kwa kuwa root nyingi zinaungwa Na magari yaendayo ndani mfano naenda katoma lazima ntapanda gari Za kanyigo/kyaka/mutukula/karagwe/kashasha/bwanja/mgana/gera/ruzinga/buyango n.k pia kama naenda muutwe ntapanda Za muleba /katoro/biharamulo
Ujue mfumo wa usafiri wa bukoba mjini Sio Sawa Na mikoa mingine,,,, kuhusu stand: kumekuwepo na mgogoro mrefu juu ya uboreshwaji wa stand kwa muda mrefu tangu 2010 but Mpk now stand iko inajengwa kyakairabwa
Ungeleta hizi hizo data zenye hiyo fact tungekuelewa zaidi ndg umezungumia Habari ya hotel kutokuwepo Hivi umefika koloping hotel hiko juu mlimani kashura, wapi Victoria hotel,walkgard annex hotel, oxygen hotel, nyingine hiko nyamkazi vile kama sikosei hiko jirani Na kanisa la eagt nimeisahau jina coz kitambo nimetokaacha povu
mnajitia mbwembwe wakati mkoa wenu n wa tatu kwa umaski
Hapo ndo nashangaa sijui wahaya waliwafanyia nini atuelewi kabisaaaaaaaa Hivi kama umepita Dodoma (acha pale mjini kuzunguka viunga vya bunge) pako hovyo nyumba utadhani wanaishi wakongo fupi kama nini then ni Za nyasi, singida hovyo tabora Nayo Yale Yale Sasa njoo hapa morogoro nilipo huu ukanda wa Kikaguru kuanzia gairo mpaka dumila aseeeeeee kuna Hali mbaya kwanza Mtandao Shida, miundombinu hovyo Mvua ikinyesha kama Huko Na Safari sahau kabisaaaaaaaa, Jamani mbna hawa huwa amsemi!!!!Hv nyie watz wahaya waliwafanyia nn? Mbn huwa mnatokwa sana povu kwa kuwaponda wahaya?
Pamoja na mapungufu waliyonayo huwa hamwoni mazuri yao? Au ni jamii/kabila gn hapa tz halina mapungufu?
Kama mnataka kuitwa great thinkers try to judge logically my men.
unahangaika bure kujitetea we muhaya,umasikini bukoba upon palepale na kinachotufanya tupige kelele hapa ni hizi mbwembwe zenu za mjini,hemu muwe mnakumbuka nyumbani kwenuDaladala Zipo,,, Angalia upande zilipo gari zilizoangaliana Na jengo la airtel,pembeni kuna jengo la TTCL Zipo Za kwenda rwamishenye, custom n. K kinachofanya Usione Daladala nyingi ni kwa kuwa root nyingi zinaungwa Na magari yaendayo ndani mfano naenda katoma lazima ntapanda gari Za kanyigo/kyaka/mutukula/karagwe/kashasha/bwanja/mgana/gera/ruzinga/buyango n.k pia kama naenda muutwe ntapanda Za muleba /katoro/biharamulo
Ujue mfumo wa usafiri wa bukoba mjini Sio Sawa Na mikoa mingine,,,, kuhusu stand: kumekuwepo na mgogoro mrefu juu ya uboreshwaji wa stand kwa muda mrefu tangu 2010 but Mpk now stand iko inajengwa kyakairabwa
Sasa aachane na Kyakailabwa vipi na wakati stand inajengwa hapo? wewe kwenu ni wapi na wewe sema ili tuuangalie mkoa wako. Kyakailabwa ndo stand mpya labda kama una jingine sema nalo.achana na ya kyakairabwa
hivi pale stand kuu jins palivyo hovyo bado mnajitia kujisifia Sifia?
muleba kule kuna hali ngumu,miseny nyumba za nyasi shaz,karagwe usiseme achen misifa boreshen makaz,heshima ya MTU n nyumba
Wewe kwenu wapi mkoa gani mkuu tunatamani tupafahamu na sieunahangaika bure kujitetea we muhaya,umasikini bukoba upon palepale na kinachotufanya tupige kelele hapa ni hizi mbwembwe zenu za mjini,hemu muwe mnakumbuka nyumbani kwenu
Wanataka hotel tu? hawa jamaa hmnazo na ukiona wanaokubishia hata barabara ya luelekea mkoani Kagera hawaijui iko wapi, sasa itakuwaje ubishane na mtu wa hivi?Ungeleta hizi hizo data zenye hiyo fact tungekuelewa zaidi ndg umezungumia Habari ya hotel kutokuwepo Hivi umefika koloping hotel hiko juu mlimani kashura, wapi Victoria hotel,walkgard annex hotel, oxygen hotel, nyingine hiko nyamkazi vile kama sikosei hiko jirani Na kanisa la eagt nimeisahau jina coz kitambo nimetoka
Angalia hiyoNa labda ngoja niulize, tuutoe mkoa wa Kilimanjaro ambao bado naona unatajwa hapa na sijui kwanini umetajwa wakati ishu ilikuwa ni Kagera. Tunaombwa mtwambie Mikoa gani mingine ya maana ambayo mnafikiri mnataka kuipambanisha na mkoa wa Kagera? itajeni hiyo mikoa yenu hapa.
Hv nyie watz wahaya waliwafanyia nn? Mbn huwa mnatokwa sana povu kwa kuwaponda wahaya?
Pamoja na mapungufu waliyonayo huwa hamwoni mazuri yao? Au ni jamii/kabila gn hapa tz halina mapungufu?
Kama mnataka kuitwa great thinkers try to judge logically my men.