Historia ya Kiwanda cha Tanganyika packers mpaka kuja kuwa Kanisa la maombi

Mada nzuri ila sijaona umuhimu wa kumchomeka Mwamposa!!
Umuhimu upo, to get the mass notified of the current status of Tanganyika parkers! Kwamba badala ya kukifufua kiwanda wanamkodisha/walimpa Mwamposa.
 
Wabongo wote sio serikali tu. Hao serikali wanaonekana sababu wapo kwenye spotlight ila hata kwenye private sector wabongo wanazingua sana.
Inategemea na private ipi kaka kuna zile private ambazo wenye kampuni wako kiwanja hao atleast bizness wanaziwekea mkazo ila kampuni mama imezaliwa hapa hapa mtaimba haleluya
 
Zombie linapokurupuka kumtetea mfugaji wao .... Hii nchi Ina wajinga wengi sana.... unauziwa udongo wa upako ambao yeye hatumii.... Anakuuzia mafuta ya upako,mara keki ya upako ...aseee wajinga ni wengi sana....
 
Tuliyoambulia kula nyama zile za kwenye kikopo za mwisho mwisho
Hapo tanganyika packers hebu like hapa
Nakumbuka kile kikopo kilikuwa na kama kiufunguo unakinyonga dah

Ova
Afu wakaja wazeee wa mazingaombwe Tanzania ya viwonder tukawa tunachora as if waliua hvyo viwanda ni watu wa mongolia
 
Kama hilo ndio wazo lake basi pale Mwamposa haondoki leo wala kesho ana watu wengi na serikali inawaheshimu na kuwategemea sana watu wanaoheshimika na jamii.

Mwamposa ana media anafuatiliwa nchi nyingi na Tanzania nzima, halafu hana bifu na serikali na mama Samia huwa anapeleka sadaka yake.
 
Waooooh,,
 
Zombie linapokurupuka kumtetea mfugaji wao .... Hii nchi Ina wajinga wengi sana.... unauziwa udongo wa upako ambao yeye hatumii.... Anakuuzia mafuta ya upako,mara keki ya upako ...aseee wajinga ni wengi sana....
Mjinga ni wewe unaepakwa majivu usoni,na kubebeshwa misalaba shingoni na kuzisujudia sanamu za akina maria ,huku mkipewa maji yenu mnayoyaita ya baraka !! Tafuta hela acha wivu WA kimaskini !!
 
(Liebig’s Extract of Meat Corporation) l
Mazungumzo yaanze waitwe, Tukae meza moja, tuone tu nafanyaje!,
°mwekezaji aje na program za kuprocess,
-ngozi
-Kwato
-pembe
-chakula cha mifugo (kuku), kwa damu za ngombe!
-vyakula vya mbwa na paka!
Acha tu, hizo habari za wawekezaji ni rahisi kuziandika mitandaoni. Serikali ikija na mipango hiyo wewe mwenyewe utakuwa wa kwanza kupinga na wengi tu.

Rais Ali H Mwinyi alikuja na mipango hiyo, alipigwa mawe mpaka akaingia mtini. Mashariki ya kati inaagiza nyama toka Ulaya na Brazil ni ghali kwao. Wameomba mara nyingi kuwekeza katika sekta hiyo TZ, lakini kila serikali inayotaka kushughulikia hilo wanakumbana na watanzania vichwa ngumu na mpango unatafuta kaburi.

Tatizo kubwa sio CCM bali watanzania wenyewe wepesi wa kulalamika lakini wagumu wa kukubaliana na ufumbuzi wa matatizo. Fikiria mwenyewe toka tufungue nchi mwaka 1991 mpaka leo katika sekta muhimu kama hiyo, kweli asipatikane mwekezaji hata mmoja makini toka nje kuwekeza katika eneo hilo.

Mpaka watanzania hawajafunguka macho, CCM haiwezi kufanya miujiza yeyote.
 
Mjinga ni wewe unaepakwa majivu usoni,na kubebeshwa misalaba shingoni na kuzisujudia sanamu za akina maria ,huku mkipewa maji yenu mnayoyaita ya baraka !! Tafuta hela acha wivu WA kimaskini !!
Kanunue udongo Mama.... Hivyo vyote tunapewa bure .... Shida ni nyie mnaouziwa mafuta na udongo wa upako.....
 
Hawa wazaramo jau sana isee yaani badala ya cow way wakaita kaww😂😂🤣
 
Badala ya ng'ombe kupelekwa kuchinjwa ni watu wananjichwa kiimani. Ukiowaona watu wanavyotaabika na jua na usafiri ndio machinjo yenyewe. Kuwa na umati mkubwa kiasi hicho ni ",ushirikina " uliokubuhu.
 
Wakenya wametupita sana kwa maamuzi kama hayo ya utaifishaji. Kitu cha kushangaza, "unataifisha unawapa wapigaji". Wapigaji wa enzi hizo ndio matajiri wa leo. Chunguza makampuni ya biashara ya wakati ule, mafisadi walivyokula kilaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…