Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Inamaana ww una fact nyingi kuliko UN na jumuia za kimataifa wanaoita Tutsi genocide au ndo unasukumwa na chuki zenu za kikabila? Ushauri wangu kulalamika mitandaoni hakutasaidia rudini Rwanda muungane na kagame kujenga nchi
UN si walisema sadam ana silaha za nyuklia?? Ama umesahau na baadae wakakuta hana?? UN si walikubali saddam amalizwe ilihali hours kabla hajafa walikiri kutuma barua ya kuzuia asinyongwe?? Yaani ikimaanisha they do make mistakes pia kma wanadamu if they are perfect kma unavyodai unafkiri kwanini hawakuzuia genocide ya 1994 mpaka watu 1 million wakafa??

To hell with UN.... Rwandan history ielezewe na Rwandans sio na mzungu mmoja kutokea Geneva tena baada ya kuhoji serikali ya RPF!!
 
Swali lako ni gumu sana, kuna baadhi ya watutsi niliwahi kuwahoji hilo swali mitaa fulani pale Kanombe karibu na airport .
Walikili wazi kwamba ukweli unapindishwa, waliokufa wengi ni wahutu na siyo wao.

Facta walizonipa ni
1. Mapinduzi yaliandaliwa na Jeshi la RPF chini ya wanajeshi wa kinyarwanda waliokuwa jeshi la Uganda wakiongozwa na Kagame, Fred na Musitu, pila kupepesa macho walikiri kwamba waliovamili bila kujiandaa (hutu )waliuwawa zaidi

2. Idadi ya watutsi waliokuwepo Rwanda wakati huo haikuwa inafika million moja, walidai miaka ya 1952 watutsi walitimuka Rwanda wakatimukia Uganda na nchi za jirani wakati wa cold war kati yao na watutsi.
 
No more hate. Learn to live like 21st century human beings. Ubora wa binadamu hauwezi kupimwa kwa urefu au ubapa wa pua yake, wala hauwezi kupimwa kwa weupe au weusi wa ngozi yake
 
Mkuu habib anaekuharibia uzi ni mtu mmoja na wewe unamfahamu... na mnaongeaga kama vile ni mtu mwenye matendo mema...asingekuwepo hakuna ambae angelumbana hapa

amepata Ban utaona kama kuna m2 atauharibu uzi wako
Mh!!!!! kumbe kale ka mutu wamekatoa asee yaan kalikuwa kama virus kwenye local c tena wengekapiga na viboko make matusi yale si ya nchi hii alafu kalikuwa kana kaa stand by yaan ukikoment tu kana wewe
 
Nipe hizo data Za ibuka nione labda ibuka unayosema wewe unaisema tuuu!!! Nipe link yake
 
Nipe hizo data Za ibuka nione labda ibuka unayosema wewe unaisema tuuu!!! Nipe link yake

But, a significant number of Tutsi survived the hundred days of killing. Tutsi survivors’ umbrella group IBUKA (“Remember”) initially concluded that 300,000 survived the genocidal killings, which they later increased to “nearer to 400,000.”

Source:
IBUKA wants role in Genocide survivors’ census

Soma hapa tena uone uongo wa watutsi yaani mnasema mmepona laki 4 alafu mnadai walikufa wanyarwanda 1 million ikiwa na maana mlikufa watusi laki 3 pekee? Y call it tutsi genocide

Its simple linganisha tutsi survivors na tutsi population ndio utajua walikufa wangapi

Yaani 700000 tutsi - 400000 survivors= 300,000 deaths

Hivyo 300,000 deaths - 1 million total genocide deaths= 700,000 Hutus deaths

Cjui naeleweka

Statistics, damn lies and the truth about Rwanda genocide
 
Walipona ndio ila kumbuka kasema wanyarwanda!! Hakusema watutsi.
Amesema walikufa wanyarwanda 1m. Alafu ujue wahutu waliokufa ni wale waliokuwa wamejiingiza kwenye majeshi!! So walikufa wakigombana!!
Hawakufa kwa machetes kama ilivyokuwa kwa watutsi
 
Ina maana wahutu walikuwa na jeshi la watu 700,000?? Get real.... Watutsi kma wahutu wote walichinjana kwa machette mkuu na nlishakupa ushahidi hapa wa RPF general akikiri pale ICTR kupewa command na kagame kuchinja wahutu wote wanaokutana nao na mfano ni ruhengeri walichinja wahutu 40,000 kwa mashoka na mapanga sasa hiyo siyo genocide pia

https://www.google.com/amp/s/www.gl...s-behind-the-1994-rwanda-genocide/5406344/amp

Soma hapa pamoja na ile research ya davenport & miller nliokuwekea hapo jûu
 
Weka Reference za andiko lako, tukazisome na kuchambua ukweli na uongo maana WATUTSI wameendelea kuudanganya ulimwengu kuhusu Rwanda Genocide huku wakibadili jina na kuiita Tutsi Genocide. Utafikiri walikufa wa tutsi tu!!!
 


Ukifanya utafiti huru kuhusiana na huu uzi hautaenda mbali sana na mwandishi,ni ukweli kagame alikuwa anazuia wanajeshi wake kufanya mambo sawa na yaliyokuwa yanafanywa na serikali i.e mauaji na ukandamizaji wa kikabila,rpf hawakuchukua nchi kwa mapambio hiyo inamaanisha pia waliua lkn sidhani kama tunapoizungumzia genocide ya rwanda tunazungumzia mauaji waliyofanyiwa interahamwe au wanajeshi wa rpf au wa serikali ya wakati huo, nafikiri tunazungumzia mauaji ya raia wasio na hatia yenye mlengo wa kufuta uwepo wa kizazi flani kwa misingi ya kikabila,sasa jiulize ni wakina nani waliopanga na kutekeleza mauaji ya aina hiyo rwanda?Halafu kuna watu humu wanasema wahutu ni wauaji wakati si kila mhutu alishiriki kuua watusi,wanasahau kuwa kuna wahutu waliuawa kwasababu waligoma kushiriki huu unyama na kuna raia wa kitusi walipona kwa kuokolewa na wahutu,unyama huu ulifanywa na watu wenye misimamo mikali sana kwa kutaka kuendelea kutawala na wengine kwa ujinga hasa wale raia wa vijijini.Naambatanisha link ya video ya kagame akizungumza na wanajeshi wake kutoshiriki vitu vya namna hiyo,tena anazungumza kiswahili


 

Mkuu hiyo statistics unayoizungumzia nafikiri ni ya 1990 ambayo ina mapungufu kadhaa kama nilivyowahi kukwambia,lakini pia kwa upande mwingine nashindwa kukuelewa unapoamini kuwa idadi ya watusi 1990 iliendelea kuwa ileile mpaka 1994 kwani watusi ni mawe?hawakuwa wakizaliana?halafu jiulize tu kama watusi wangekuwa kweli 700,000 kwenye raia zaidi ya milioni 7 waliokuwepo rwanda kipindi hicho wangekuwa na jeuri ya kuitikisa rwanda kwa kiwango walichokifanya?na kwa idadi hiyo baada ya mauaji ya kimbari kungekuwa kuna mtusi rwanda?Halafu ukitembelea sehemu za kumbukumbu za mauaji ya kimbari ya rwanda kuna hadi picha za waliouawa kwa hiyo hata hizo picha nazo zimetengenezwa?Pia bado ni kama hukuelewa maana ya genocide,genocide haiusiani na namba mkuu tunazungumzia nia ya mauaji yenyewe,hatuwezi kupinga uwepo wa genocide rwanda ila nafikiri ingekuwa vizuri zaidi iitwe rwandan genocide japo ni kweli kwa maana ya genocide na kilichotokea ni kweli kililenga kufuta uwepo wa kizazi cha watusi rwanda.
 
mkuu umenisahau kabisa kunitag
 
Mkuu nakubaliana na wwe umeongea hoja nzito sana ila inaweza kuwa kagame alivipinga hivi vitendo hadharani lakini kwenye uwanja wa vita hatuwezi kuwa na uhakika kama alitii maneno yake haya na tunaweza kuona mifano michache kauli za kagame zisivyoaminika

A.Amekataa kutungua ndege ya habyarimana ila utafiti wa mahakama mbili moja ya ufaransa na moja ya hispania imefikia conclusion kuwa kagame ndio alitungua ndege ile sababu ya aina ya silaha iliyotumika kutungua ndege ilikuwa mikononi mwa RPF je kagame anaaminika??

B. Kagame alikataa hadharani kuhusika na vita ya congo ila UN baada ya kutafiti ikagundua wanajeshi wa M23 wanapewa silaha na serikali ya kagame!! Je anaaminika maneno yake??

1.Mkuu nachokubaliana na wewe kwamba wahutu kweli kwa kiasi chao waliwakata kata mapanga watutsi ili kuwafuta ila hoja yangu ni kwamba pia Watutsi walishiriki kwenye hii chinja chinja ingawa mauaji haya yalitekelezwa na RPF na chini nimeambatanisha confession pale mahakama ya mauaji ya kimbari ICTR ambapo mwanajeshi wa RPF alikiri walipewa orders KUCHINJA muhutu yeyote wanayemuona mbele

2. Pia hoja hii imeongelewa kwenye utafiti wa davenport na miller ambao ndio walitumiwa na ICTR kutafuta ukweli wa kilichotokea.... Baada ya tafiti zao wakagundua kwamba kukatana mapanga ili kufuta kizazi cha mwenzio ilifanywa na pande zote mbili kwa mfano walisema Ruhengeri na Butare wanajeshi wa RPF walikiri kutumia mapanga na mashoka kuua wahutu zaidi ya elfu 40..... Kilichotokea walitimuliwa ICTR sababu walidai itasababisha serikali nzima ya Rwanda kuanguka !!! Nmeambatanisha article yao kuhusu huo utafiti utagundua watutsi walichinja wahutu pia
 

Attachments

1. Kuhusu statistics nimetoa link ya taasisi ya IBUKA ambayo ni ya watutsi na imesema watutsi walikuwa laki 7 na ikaenda mbali kusema waliopona ni laki 3 hivyo kwa mahesabu hayo hayo ndio nmetumia hapa kuhalalisha kuwa watutsi walikufa wachache kuliko inavyosemwa

Na hoja ya kusema inakuaje population iwe hiyo hiyo kuanzia 1990-1994 labda ningekuuliza pia kwamba imekuaje Rwanda wakati wa vita ya kimbari inaanza statistic zilisema wahutu 85% alafu watutsi 14% na leo mwaka 2017 statistics zinasema vilevile wahutu 85% na watutsi 14% je kama asilimia ni zile zile kwa miaka 20 kwanini huamini kuwa miaka 4 zinaweza kuwa zilezile au ongezeko dogo sana

Source:
: 2017 Demographics of Rwanda - Wikipedia
:1994
Outreach Programme on the Rwanda Genocide and the United Nations

2. Unaposema watutsi hawakuwa wachache ndio maana walikuwa na ubavu wa kupambana!! Naweza kubali kuwa watutsi hawakuanzisha vita ila RPF ndio walileta genocide.... Kma wasingevamia Rwanda na kuanza kuchinja wahutu basi watutsi wasingechinjwa na interehamwe.... Hivyo watutsi kma watutsi naweza kukiri hawakua na sababu ya kuchinja wahutu ila RPF kma jeshi lilitekeleza mauaji ya kimbari kma ambavyo wahutu wakawaida hawakuwa na sababu ila interehamwe walitekeleza majority ya vifo...... Na kuhusu namba yao source yangu ni taasisi ya watutsi IBUKA ambayo inadai watutsi walikuwa laki 7 sasa sitegemei watutsi wasushe namba yao!!

3. Naelewa maana ya genocide ndio maana nmekufa mfano kuna mass graves zilikutwa huko butare na rubavu wahutu wamekatwa katwa mapanga wametupwa kwenye mashimo ambayo yalifanywa na RPF na ripoti nyingi tu ikiwemo ya UN 1998 na human rights watch ya mwaka 2004 inadai RPF ilichinja watoto na wanawake wa kihutu wasio na hatia waliokuwa wanakimbilia mpakani kuingia mashariki ya congo

Source:Leaked UN report accuses Rwanda of possible genocide in Congo

Hitimisho langu ni kwamba wote wahutu na watutsi walitaka kufutana kutoka uso wa dunia hivyo iitwe RWANDAN GENOCIDE sio TUTSI GENOCIDE irrespective ya nani alikufa kuliko mwenzake

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…