Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Mbona maelezo yanajichanganya kwamba kazaliwa 1851 lakini maelezo mengine yanaonesha kaanza kufanya biashara kwa kufungua duka znz 1852 sasa inakuwaje aanze biashara akiwa na mwaka mmoja?
potelea mbali, hata kama hayo mambo aliyafanya akiwa na miezi 6 tunachoangalia ni kama kweli yamefanyika na ameyafanya yeye, itakuwa ni waleta uzi wamechanganya mi a.k.a.
 
Niliwahi kusoma kwenye kitabu kimoja kikimuelezea Sewa Haji kama mtu mjanja mjanja sana. wanasema kuna mzungu mmoja alifika Unguja miaka hiyo na jamaa kwa kutumia mbinu zake aliweza 'kumzunguka' na kuchukua kiasi kama cha Dola $2,000 miaka hiyo. Na yule mzungu (sijui ni wale explorers wa mwanzo) alipokuja kustuka ndipo alikubali kuwa alikuwa na 'kipaji'.
Naendelea kufuatilia huu uzi kumjua hasa huyu mtu alikuwa wa namna gani.
 
Mhindi mwingine aliyemrithi hiyo roho ni Mzee wetu Sabodo, Munguakupe maisha marefu, sio mbaguzi haangalii wewe Chama gani, anaangalia nani ana nia ya dhati kuleta maendeleo kwa wananchi.
 
Darul salaam - City of peace
Mussa Hassani - Msasani.

Muhimbili ni spitali iliojengwa na wazee wetu waliothamini utu na taifa lao. Tanganyika ilikuwa ni taifa la kuheshimika na wazee wetu ndio waliopigania UHURU wa taifa letu.

Baada ya UHURU walioshika hatamu walihakikisha UISLAMU unadhibitiwa kwelikweli.

Wengi wenu ni watu wakuja hapa daresalaam na hata historia hamuijui ndio maana munajisemea maneno ovyo. Nyerere alitaka kuufanya mji mkuu kuwa DODOMA lakini imeshindikana.

Historia haifutiki na itabaki pale pale. Walioijenga nchi hii ni waislamu.

fine hatubishi ila hapo kwenye bold what does it help you if so? does it put food on the table
 
Mmeshindaje?

Nimei-copy na kui-paste kama nilivoikuta FB!

Huyu (picha baadae) Ndie Mtu Aliejenga MUHIMBILI HOSPITAL, Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch.

Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza.

Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa, Ktk Mji Wa Mzizima { Leo Inaitwa Dar Es Salaam} Alijenga Hospitali Aliita Sewahaji Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo February 1897 Shekhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Shekhe Sewa Haji Aliependwa Sana.

Baada Ya Kufa Kwake Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI.

Shekhe Sewa Haji Alale Mahali Pema.

Ni kweli alijenga hospitali lakini sio Muhimbili ya sasa bali Hospitali ya Sewa Haji ilikuwa katika majengo ambamo kwa sasa ndo makao makuu ya Traffic barabara ya Sokoine.

Kwa kweli anastahili heshima kubwa na kuenziwa sana.
 
asante mkuu kwa historia nzuri,yapo mambo mengi mazuri ya kujifunza kutoka kwa huyu mtu.
 
Back
Top Bottom