Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Hosotali ni nini mkuuMarehemu mama yangu alikua ananiambia hosotali ilianzia pale station
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hosotali ni nini mkuuMarehemu mama yangu alikua ananiambia hosotali ilianzia pale station
Safi sanaView attachment 533360
Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa,
Ktk Mji Wa Mzizima
{ Leo Inaitwa Dar es Salaam}. Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji
Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo
February 1897 Sheikhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi
Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji
Aliependwa Sana, Baada Ya Kufa Kwake
Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema
credit @issamichuzi
Mbona swali lako gumu.Sasa hao wakoloni walibadili hilo jina la mjengaji ili iweje..
Unamjua kivp au ulisoma kwenye historianamjua huyu daaah kitambo sana r. i. p my muarabu
Hiyu sio muarabu, ni muhindi.namjua huyu daaah kitambo sana r. i. p my muarabu
Huyu ni muhindi,hajawahi kufanya Biashara ya utumwa.Huyo mpuuzi aliuza watumwa wangapi
Marehemu mama yangu alikua ananiambia hosotali ilianzia pale station
Sir Mohamed said Upo wapi?hii habari bila gwiji la historia ya jiji "daresilamu" mzee Mohammed Said kuongeza nyama,itakuwa haija noga.
Hospital ya Sewa Haji ilikua karibu na Central Police na Traffic PoliceView attachment 533360
Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa,
Ktk Mji Wa Mzizima
{ Leo Inaitwa Dar es Salaam}. Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji
Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo
February 1897 Sheikhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi
Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji
Aliependwa Sana, Baada Ya Kufa Kwake
Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema
credit @issamichuzi
Jina la kwanza Iliitwa sewahaji hospital kutoka na aliyejenga ndo jina lake.. Wakoloni walivyokuja wakabadili na kuitwa princess Magreth hospital.. Sasa hiyo muhimbili ilitokana na nin?
Asante kwa ufanunuzi huu.. Sikuwa najua hili kablaView attachment 533793
Neno Muhimbili limetokana kwa kizaramo "mibili" likimaanisha kiungo cha mtoto tumboni na mama yake (plasenta) Hospitali ilipoanza wazaramo walisema "hapo ndipo wanawake wanapoenda kuacha mibili yao". Neno Muhimbili likazaliwa nalo ladumu hadi leo.