Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

View attachment 533360

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa,
Ktk Mji Wa Mzizima
{ Leo Inaitwa Dar es Salaam}. Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji
Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo
February 1897 Sheikhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi
Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji
Aliependwa Sana, Baada Ya Kufa Kwake
Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema

credit @issamichuzi
Safi sana
 
Hii historia haijaandikwa hata kwenye introduction page ya MNH kuna haja ya kufanya hivyo...
 
Jina la kwanza Iliitwa sewahaji hospital kutoka na aliyejenga ndo jina lake.. Wakoloni walivyokuja wakabadili na kuitwa princess Magreth hospital.. Sasa hiyo muhimbili ilitokana na nin?
 
View attachment 533360

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa,
Ktk Mji Wa Mzizima
{ Leo Inaitwa Dar es Salaam}. Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji
Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo
February 1897 Sheikhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi
Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji
Aliependwa Sana, Baada Ya Kufa Kwake
Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema

credit @issamichuzi
Hospital ya Sewa Haji ilikua karibu na Central Police na Traffic Police
 
Jina la kwanza Iliitwa sewahaji hospital kutoka na aliyejenga ndo jina lake.. Wakoloni walivyokuja wakabadili na kuitwa princess Magreth hospital.. Sasa hiyo muhimbili ilitokana na nin?


Muhimbili ni eneo hospitali ilipo sasa hivi ambapo majengo mengi yalijengwa kwa hisani ya dada wa Malkia Lizabeti aitwaye Magareti. Awali Sewa Hajj ambaye ni muajemi alijenga hospitali hapo opposite na station ya treni kabla haijahamishiwa eneo la Muhimbili. Hata wodi ya Sewa Hajj ya sasa ni jengo lililojengwa na mkoloni na likapewa heshima ya huyu bwana.
 
upload_2017-7-2_2-56-8.jpeg


Neno Muhimbili limetokana kwa kizaramo "mibili" likimaanisha kiungo cha mtoto tumboni na mama yake (plasenta) Hospitali ilipoanza wazaramo walisema "hapo ndipo wanawake wanapoenda kuacha mibili yao". Neno Muhimbili likazaliwa nalo ladumu hadi leo.
 
Back
Top Bottom