Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Currently...



Previously on this thread...





Need I say more?

Hahahahahah, ustake ncheke! hujui nilikuwa nasema nini? nilikuwa nawakumbusha kwanza ni Qur'an na kaja mgaltia mmoja humu kaiandika isivyo, wakajuwa kuwa atarudi na kuomba msamaha hajaja, nikawakumbusha tena, walipotowa kauli kwa hilo, mgalatia akarudi kuomba msamaha, au hujaona? Mohamed Said kaandika Historia na hilo halipingiki iwe ni mimi awe ni mwingine na Qur'an ikichezewa ndivyo sivyo ataacha yote kwanza amsulubu aliyeichezea Qur'an, matokeo unayajuwa, haina haja ya kuyarudia. Darsa Linaendelea na bado mpaka sasa hamjaja na kimoja cha kupinga yaliyandikwa, hapo sasa. Nyie mrukieni Faiza, mrukieni sijui kasema nini, kwanini, lakini hoja ipo pale pale.
 
Hapo Mgalanjuka mwenzio alitaka ku- twist mjadala kuhalalisha kwamba Mohamed lengo lake ni kuwa enzi wazee wake kama wapigania Uhuru wa Tanganyika na wala si kwa sababu ya udini wakati makala nzima imejaa maneno yenye kuonyesha utengano wa kidini.

Huwezi kabisa kutenganisha Waislaam na harakati za kutafuta madaraka. Hilo ukipenda usipende. Wale waliompokea Nyerere Dar. walikuwa dini ipi?
 


Si ukweli kuwa Nyerere alipokelewa na Abdul Wahid? si ukweli kuwa Nyerere hakuwa muasisi wa TAA? si ukweli kuwa Abdul Wahid ndio alitoa jina la TANU? ni kipi ambacho si ukweli? tuoneshe nukuu ya Mohamed Said ambayo si ukweli halafu wewe tupe iliyokweli, si kuandikia mate na wino upo. "si ukweli" huoneshi hilo "si ukweli" liko wapi, "si ukweli" huoneshi ukweli uko wapi.
 
Huyo aliniuliza kama najua maana ya "contradictions" hivyo nashangaa mara kawaita watu "wanafik wakubwa" then anawaambia "kazi yao imeota mizizi"

Sasa hiyo ni "contradiction"? wewe ya Faiza Foxy huyawzi, mambo yako wazi hapa ukumbini tupe nukuu za kusema hii si sawa, sawa hii hapa. Achana na Faiza Foxy kasema nini, mimi nimeandika historia? unanchekesha!
 
We acha tu! Natamani ningeweza kupata mkalimani awatafsirie wadau wote wa nje ya nchi alikopita MS vilivyomo kwenye hii thread!

"naatamaaaani na kujariiiibu siwezi".

Hapo sasa, nimesema Hamuwezi kuandika japo "credible paper" tu wacha historia. Mtabaki "natamani", "natamani", "kwanini", "kwanini", "Faiza Foxy kasema hivi", "Ritz kasema vile". Lakini kuja na kuonesha nukuu ya Mohamed Said ya vitabu na "paper" zake kuwa hii hapa haikuwa kama ulivyoandika, mpaka sasa hata mmoja wenu hajaweza. Vipiiiiii?
 

Mimi hoja yangu ni kwamba hakuna "Historia kamili" kama kungekuwa na hilo basi dunia nzima labda vitabu vya historia visingezidi mia!!

Hayo aliyoyaandika ndiyo "usomi" wenyewe eeenh!!?? Kweli mfumoKristu ulifanya kazi!!
 
Mimi hoja yangu ni kwamba hakuna "Historia kamili" kama kungekuwa na hilo basi dunia nzima labda vitabu vya historia visingezidi mia!!

Hayo aliyoyaandika ndiyo "usomi" wenyewe eeenh!!?? Kweli mfumoKristu ulifanya kazi!!

Tuletee nukuu za Mohamed Said kutoka kwenye kazi zake ulizosoma uje hapa utuambie hii siyo sawa na badala yake ni hii hapa. This is a challenge to you. Nakupa mwezi mzima, uje na mambo matatu tu ambayo yapo kwenye kazi za Mohamed Said ambayo siyo kweli na wewe utuoneshe mbadala ambayo ni ukweli. Ukiweza hilo ntajuwa kweli Kigarama ni mkweli, Tena jumuika na wenzako, Nguruvi, Mwana Kijiji, Mag3, Jasusi, Sweke34 na wengineo uwajuwao wewe wote kwa pamoja. Nakuambia "in advance" hamuwezi.
 
Sasa hiyo ni "contradiction"? wewe ya Faiza Foxy huyawzi, mambo yako wazi hapa ukumbini tupe nukuu za kusema hii si sawa, sawa hii hapa. Achana na Faiza Foxy kasema nini, mimi nimeandika historia? unanchekesha!

Achana na Faiza kasema nini?? Oh! ilikuwa sio part ya hii thread? Hiki ndo kichekesho haswaa... By the way nani ni mwongo/mnafiki kati ya cousin wako Zomba aliye ku-PM au MS uliyedai anacheza shere? ulisha-apologize kwa mmoja wao?

Sasa inanifanya niamini maneno ya Zomba (my cousin) ameni PM na kuniambia hakuna cha Mohamed Said wala Mwanakijiji wote hao ni system na wanawacheza shere
 
Achana na Faiza kasema nini?? Oh! ilikuwa sio part ya hii thread? Hiki ndo kichekesho haswaa... By the way nani ni mwongo/mnafiki kati ya cousin wako Zomba aliye ku-PM au MS uliyedai anacheza shere? ulisha-apologize kwa mmoja wao?
Mkuu, umemshika pabaya FaizaFoxy. Hatoki.....lol.
 
MM,

......Unadhani haya maswali katika JF itasaidia kitu?

Mohamed

Mtafiti halisi au Wanataaluma hawawezi kuwa na mtizamo kama huo hapo juu.......naendelea kukusanya UDHAIFU wa misingi ya mitizamo yako na kudhihirisha wepesi wa maandishi/simulizi zako
 

Hapana. Mimi ninachotaka ni ushahidi kwa kila allegation unayoitoa. Ukishajipachika "urasmi" wa kila unachokisema unabeba mzigo mzito wa kutoa ushahidi wa allegations zako. Bila ushahidi nitaendelea kuamini kuwa hizi ni simulizi za kijiweni.
allegation kama hii:

Kwa fikra yake alidhani mambo yangeanza na yeye 1954 anakuta historia inarudi nyuma miaka ya 1920.

kwanza a/ ulikuwepo katika kikao hicho au uliwahi kuzungumza na Dr Klerru? na b/ Uliwahi kuzungumza na Abdulwahid na hii unanukuu kutoka kinywani mwake? Na hii ndiyo unayoita historia rasmi? na c/ uliwezaje kuingia kwenye fikra za Nyerere na kujua alichokuwa anakifikiria? Nenda Butiama ukatupigie picha kile kitabu ambacho umedai hapa kimo miongoni mwa collections za Nyerere.
 
Ndio hulioni. Sasa wewe kama unayajuwa ya huyo unaemtaja si utuletee hapa tufaidike, kwanini umngoje Mohamed Said?

kwa hiyo unakubali kuwa Brother MS anafanya kosa lile lile analodai wengine kulifanya?.......kuandika historia upya na kuacha kutaja washiriki wengine wa harakati za uhuru....
 

Ungeelewa kinachokosolewa hapa...wala usingeandika hayo hapo juu....hebu jaribu kumuambia ajibu hoja/maswali anayoulizwa.......usiwe kama wajumbe wa gogovivu
 
Siku moja nilimuuliza Mohamed kwamba mbona kwenye masimulizi yake sioni jina la MARTIN KAYAMBA? Mpaka leo Kimyaaa!!


Huu ndio ukwepaji wa kujibu maswali......Brother MS jibu swali!
 
By FaizaFoxy


Sasa inanifanya niamini maneno ya Zomba (my cousin) ameni PM na kuniambia hakuna cha Mohamed Said wala Mwanakijiji wote hao ni system na wanawacheza shere
Labda ....Zomba(her cousin) alim PM tena FF na kumuambia MS hayupo kwenye system.....ilikuwa ni false alarm tu..!
UNAFIKI huu ni kielelezo cha kwanini baada ya miaka 50 ya uhuru bado kuna watu wanasema kuna mfumo Kristo.
 
Huu ndio ukwepaji wa kujibu maswali......Brother MS jibu swali!
Yeye atakuambia andika 'paper ' na wewe......ila wale wa mihadhara ya nje ya nchi huwa anawajibu eti kwa sababu hawaulizi maswali kama ya humu ndani! sijawahi kuona 'scholar' aliye bogus kama Mohamed Said. Utaandikaje makala halafu ukashindwa kui defend kwa hoja?
 
Faiza wewe unapiga makelele wala hujui kujenga hoja, tafadhari acha makelele yako na sifa za kijinga hapa jamvini, mzee Mohamedi Said aliliona bandiko langu akalijibu kabla ya wewe kuweka upupu wako hapa. Rudi usome jibu la mzee wako.Hao wazee unaowaorodhesha hapa na mchango wao hakuna anayeukataa, tunachokikataa hapa ni huo mtazamo finyu wa mzee wako kwamba wao ndio pekee walioleta ukombozi na kwamba Nyerere hakufanya chochote kuwaendeleza waislam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…