Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Mkuu Barubaru, kwani Nyamagana sio sehemu ya Tanzania?kwahiyo unapendekeza kwamba tuache desturi za kisomi tuingie kwenye koo, kabila, dini na makundi ya kuandika historia?"Objectivity" itasimama wapi hapo?Tuandike historia ya kweli na sio ya hisia!
 
Mkuu Barubaru, kwani Nyamagana sio sehemu ya Tanzania?kwahiyo unapendekeza kwamba tuache desturi za kisomi tuingie kwenye koo, kabila, dini na makundi ya kuandika historia?"Objectivity" itasimama wapi hapo?Tuandike historia ya kweli na sio ya hisia!

Gwalihenzi,

Ujumbe tulokusudia kufikisha tumefikisha hayo mengine kwetu sisi hayana maana sana.
Tunaisubiri serikali.

Mohamed
 
Mgalanjuka,

Tatizo la udini wahusika wamelisikia kutoka umma wa Waislam hatukujificha tumeeleza bayana.
Hilo ndilo muhimu kwetu Waislam.

Mohamed
 
Hebu nikuulize ndugu yangu. Kama kuna sherehe sharti lake ni watu wote wanaotakiwa kuingia ni lazima wawe na meno yote 32, lakini akakutikana na kibogoyo, jee uwepo wake hautakuwa batili kutokana na mapungufu hayo? Kama kitu kina dosari basi si sahihi na kama si sahihi hakifai kutegemewa na kama hakitegemewi basi bila shaka ni batili!!
 

Gwalihenzi,

Labda unajifanya hamnazo.

Bakwata hakuna kitu.
Serikali na wao wenyewe Bakwata hilo wanalifahamu.

Mohamed
 
 

Sweke34,

Ninachosema nakiamini.
Huwezi kupambana na mimi katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Mwisho ni kutukana basi.

Mohamed

Sweke34,

Huu ndio ukweli.
Haya yote Waislam tumefanyiwa na Nyerere:

Sweke34,

Ushahamaki unatokwa na matusi.
Sisi tushakuwa "majitu."

Sisi tuna "inferiority complex."ma?
Nani kasema?

Hivi wewe unavyosoma nyuzi zetu sie tumeelekea kuwa na "complex?"
Hebu pitia nyuzi zangu na niambie wapi na kitu gani kimekupa hisia hiyo.

Huwezi kutupa sisi maneno ya Nyerere.

Nyerere kasema hiki Nyerere kasema kile.
Mie?

Wewe ushafanya uchunguzi kwa Waislam ujue hivi sasa ana hadhi gani?
Uliza.

Sisi tumeshindwa kuunda chombo?
Kwani wewe huudhurii darsa zangu?

Unadhani sisi wajinga turudi kwenye enzi ya chombo kimoja kihujumiwe kirahisi.
Wewe ulipata kunijua mimi kama kiongozi wa Waislam kwa takriban miaka 20?

Basi tuko wengi na huwezi kuwajua utaona mambo yanakwenda tu.

East African Muslim Welfare Society (EAMWS) aliunda nani?
Al Jamiatul Islamiyya aliunda nani?

Au hujui kuwa ilihujumiwa na Nyerere akiwatuma akina Geofrey Sawaya mikoani kutoa milungura ili BAKWATA ipate viongozi?
Au hujui Rashid Kayugwa wa Usalama wa Taifa ndiyo alikuwa kiongozi wa fitna ile?
Au hujui Benjamin Mkapa na Martin Kiama ndiyo walikuwa wakitumia vyombo vya habari vya taifa kuipiga vita EAMWS?

Mie hapa nazungumza na watu wenye akili na tafakuri.
Wanatambua kwa dhati ya nafsi yao kuwa nisemayo yote ni kweli.
Haya yote ni katika historia ya Waislam wa Tanganyika.

Waambie wajitokeze wahusika wafanye mnakasha na mimi.
Jina langu si unaliona hapo chini?
Kitabu changu si hicho leo ndicho kinachotamba katika histroria ya uhuru wa Tanganyika.

Unatusimanga kwa shule mnazoziendesha kwa hela ya serikali (MoU)?
Huna hata soni kidogo ndugu yangu.

Unamsimanga yatima asiye na baba wala mama kwa nini siku ya Eid hana nguo za kuvaa akenda Mnazi Mmoja kucheza kama wenzake?
Hivyo si ndiyo unamkumbusha wazazi wake waliotangulia mbele ya haki?

Unategemea huyu mtoto atakujibu kuwa mie yatima sina wa kuninunulia nguo?
Sana sana atajiinamia alie kwa huzuni.

Wajerumani Manazi waliwaweka Wayahudi katika "ghetto" Poland Vita Kuu ya Pili.
Ghetto hakuna maji, choo wala umeme.

Kisha Wajerumani haohao wakawa wanawasema Wayahudi kuwa wachafu.

Nimetoa ushahidi wote jinsi Nyerere alivyotumia nafasi yake kama rais kutuhujumu Waislam tusiwe na maendeleo, tusijenge shule wala Chuo Kikuu halafu nawe unakuja na hoja hiyo hiyo mbona Waislam hamna hiki hamna kile...

Mohamed


Edit Post
Reply
Reply With Quote



Ogah

Today 16:19
#2259

JF Premium Member
 

Mgalanjuka,
Hii nimemwekea Sweke34.

Sweke34,

Ushahamaki unatokwa na matusi.
Sisi tushakuwa "majitu."

Sisi tuna "inferiority complex."ma?
Nani kasema?

Hivi wewe unavyosoma nyuzi zetu sie tumeelekea kuwa na "complex?"
Hebu pitia nyuzi zangu na niambie wapi na kitu gani kimekupa hisia hiyo.

Huwezi kutupa sisi maneno ya Nyerere.

Nyerere kasema hiki Nyerere kasema kile.
Mie?

Wewe ushafanya uchunguzi kwa Waislam ujue hivi sasa ana hadhi gani?
Uliza.

Sisi tumeshindwa kuunda chombo?
Kwani wewe huudhurii darsa zangu?

Unadhani sisi wajinga turudi kwenye enzi ya chombo kimoja kihujumiwe kirahisi.
Wewe ulipata kunijua mimi kama kiongozi wa Waislam kwa takriban miaka 20?

Basi tuko wengi na huwezi kuwajua utaona mambo yanakwenda tu.

East African Muslim Welfare Society (EAMWS) aliunda nani?
Al Jamiatul Islamiyya aliunda nani?

Au hujui kuwa ilihujumiwa na Nyerere akiwatuma akina Geofrey Sawaya mikoani kutoa milungura ili BAKWATA ipate viongozi?
Au hujui Rashid Kayugwa wa Usalama wa Taifa ndiyo alikuwa kiongozi wa fitna ile?
Au hujui Benjamin Mkapa na Martin Kiama ndiyo walikuwa wakitumia vyombo vya habari vya taifa kuipiga vita EAMWS?

Mie hapa nazungumza na watu wenye akili na tafakuri.
Wanatambua kwa dhati ya nafsi yao kuwa nisemayo yote ni kweli.
Haya yote ni katika historia ya Waislam wa Tanganyika.

Waambie wajitokeze wahusika wafanye mnakasha na mimi.
Jina langu si unaliona hapo chini?
Kitabu changu si hicho leo ndicho kinachotamba katika histroria ya uhuru wa Tanganyika.

Unatusimanga kwa shule mnazoziendesha kwa hela ya serikali (MoU)?
Huna hata soni kidogo ndugu yangu.

Unamsimanga yatima asiye na baba wala mama kwa nini siku ya Eid hana nguo za kuvaa akenda Mnazi Mmoja kucheza kama wenzake?
Hivyo si ndiyo unamkumbusha wazazi wake waliotangulia mbele ya haki?

Unategemea huyu mtoto atakujibu kuwa mie yatima sina wa kuninunulia nguo?
Sana sana atajiinamia alie kwa huzuni.

Wajerumani Manazi waliwaweka Wayahudi katika "ghetto" Poland Vita Kuu ya Pili.
Ghetto hakuna maji, choo wala umeme.

Kisha Wajerumani haohao wakawa wanawasema Wayahudi kuwa wachafu.

Nimetoa ushahidi wote jinsi Nyerere alivyotumia nafasi yake kama rais kutuhujumu Waislam tusiwe na maendeleo, tusijenge shule wala Chuo Kikuu halafu nawe unakuja na hoja hiyo hiyo mbona Waislam hamna hiki hamna kile...

Mohamed
 
Unadhani sisi wajinga turudi kwenye enzi ya chombo kimoja kihujumiwe kirahisi.

Kwa kweli mimi mara zote nilikuwa nadhani wanaodai wewe una "frustration" na hizo frustration unazifanya kuwa ni za waislam wote. Kuna waislam wengi tu ambao wanaamini katika kuwu na chombo kimoja tu kinachowawakilisha ambacho kinayajua mahitaji ya waislam, lakini wewe unadhani mkiwa mbalimbali ndiyo mtakuwa "salama"

Wewe ulipata kunijua mimi kama kiongozi wa Waislam kwa takriban miaka 20?

Sijui tafsiri ya waislam kwako ni ipi? Maana humu mara kadhaa tumekuona ukikataa baadhi ya watu kuwa wao si "waislam" wakati sisi sote tunawafahamu kwamba ni waislam.
Basi tuko wengi na huwezi kuwajua utaona mambo yanakwenda tu.

Mambo gani tena hayo. Hatuoni ukihamasisha kujenga shule wala Hospitali sasa wewe "mambo' gani unayotaka tuone yanakwenda?


Au hujui kuwa ilihujumiwa na Nyerere akiwatuma akina Geofrey Sawaya mikoani kutoa milungura ili BAKWATA ipate viongozi?

Iliwezekanaje wakristu wawili tu kuihujumu jumuiya ya waislam?

Au hujui Rashid Kayugwa wa Usalama wa Taifa ndiyo alikuwa kiongozi wa fitna ile?

Kayugwa!! Haya tena, huyu naye ni Mkristu au ni Yahudi?

Au hujui Benjamin Mkapa na Martin Kiama ndiyo walikuwa wakitumia vyombo vya habari vya taifa kuipiga vita EAMWS?

Kwa hiyo unadhani ni wao tu waliokuwa na msimamo tofauti kuhusu EAMWS

Mie hapa nazungumza na watu wenye akili na tafakuri.
Wanatambua kwa dhati ya nafsi yao kuwa nisemayo yote ni kweli.
Haya yote ni katika historia ya Waislam wa Tanganyika.

Kweli kuhusu nini?

Waambie wajitokeze wahusika wafanye mnakasha na mimi.
Jina langu si unaliona hapo chini?

Wajitokeze kufanya nini wakati sisi tuliojitokeza maswali yetu hujibu?

Kitabu changu si hicho leo ndicho kinachotamba katika histroria ya uhuru wa Tanganyika.


 
Gwalihenzi,

Ujumbe tulokusudia kufikisha tumefikisha hayo mengine kwetu sisi hayana maana sana.
Tunaisubiri serikali.

Mohamed
Ujumbe upi mzee Mohamed? sijauona hata kidogo sana sana ungesema chuki ya kidini mliyokusudia kuipandikiza ambayo nayo hamjafanikiwa. Shangazi yangu Zena ataendelea kunipenda hata kama anajua mimi ni "atheist". Amekuwa akisikiliza hotuba zako na sasa anakuogopa ile mbaya. Ulivyo mwepesi kutoa hukumu na jua utakataa uislam wake.
 
 
Huu mnakasha sasa unachosha. Ngoja nikachukue jembe nikalime.

Jasusi,

Nilimwambia mtu hapa jamvini.
Ukitaka kupambana na mimi ule kwenu ushibe na uage.

Kahamaki.
Kanitukana.

"Option" ya kulima ni nzuri lakini sioni Canada mahali pa kutia jembe.


Mohamed
 

Mzee,

Uliza wenye kufanya utafiti wakuambie utafiti wowote una limitation na dosari zake. Kama sio dosari ya kimtazamo basi itakuwa na dosari ya data zenyewe. Kama hakuna dosari ya data basi kuna dosari ya muda wa kufanya utafiti. Ukitaka kujua kila utafiti una dosari utafiti wa professor Albert Einstein umedumu miaka kadhaa mpaka sasa masaa tunayotumia kila siku na tarehe tunatumia utafiti wake. Umekuja kukosolewa last month na timu ya watafiti 10 kutoka US, UK, Germany, Norway baada ya kugundua kuna particles nyengine zinasafiri haraka kuliko mwanga.

Katika dosari hizo ndio wengine huendeleza pale walipoishia watafiti waliotangulia sasa Kigarama anzia hapo uendeleze dosari za Mohamed Said. Vyenginevyo huna pa kuita eti utafiti wa Mohamed Said ni batili kwani huna evidence to prove kama utafiti huo ni batili.

Professor Suzanne wa University of Maryland alifanya utafiti wa mwanamke katika harakati za kupigania uhuru Tanganyika kwa kuandika maisha ya Bibi Titi tu. Kuna mama mmoja anaitwa Katheryn amemcriticise nafuatilia research yake nataka kuona amekuja na nini ijapokuwa bado research yake haijakamilika. Ndio majibu ya utafiti yanavyokuwa sio wewe au akina Mag3 mnatafuta pakutokea fanyeni kazi yenu tuisome wakuu tatizo liko wapi jamani.
 
Gwalihenzi,

Ujumbe tulokusudia kufikisha tumefikisha hayo mengine kwetu sisi hayana maana sana.
Tunaisubiri serikali.

Mohamed

Serikali hii inayoongozwa na Kanisa? au Mnalisubiria Kanisa liamue!.. mwenzenu huu mjadala ulishanichosha maana tumekuwa kweli kama santuri iliyokwama inajirudia tu pale pale. Tumekuwa kama gari lililokwama kwenye matope. Kelele nyingi, moshi na kucheza cheza tu kutoka halitoki.

Bw. Said ameshindwa kuonesha kanuni za utafiti wa kihistoria ambazo anadai amezifuata baada ya kuonesha kuwa hajafuata hata kanuni moja ya msingi. Kwamba alichoandika ni masimulizi ya wazee wake hilo halina shaka na yeye mwenyewe kalikubali. Kwamba hakuna ushahidi wa historia (unaoweza kusimama huru) kuhusu dhulma ya Nyerere kwa Waislamu nalo halina shaka. Kilichobakia ni hisia kutumiwa kama ushahidi wa historia.

Bahati mbaya ni kuwa wapo watu wanaomini kabisa hizi hisia na kuwataka wengine waamini. Uzuri wa maisha ya sasa ni kuwa hisia siyo ushahidi. Tafsiri ya hisia hizo siyo ushahidi. Hakuna tamko, agizo, amri, au neno lolote ambalo linaweza kuoneshwa kuwa lilitolewa na Nyerere dhidi ya Uislamu au Waislamu - NONE! Nyerere hajawahi kusema jambo lolote baya hadharani dhidi ya Waislamu au hata Uislamu na hakuna mtu yeyote ambaye ameweza kusimama na kudai kuwa amemsikia Nyerere akisema jambo bada dhidi ya Uislamu au Waislamu kwa siri!

Mjadala huu msingi wake ni udini na kutaka kuendeleza hisia ya kuwa Waislamu ni duni, wameonewa na kudhulimiwa katika nchi yao. Wakati wapo wanaosema hivi ukweli uko wazi kwa mtu yeyote kuuona Watanzania Waislamu wapo wananufaika na matunda ya uhuru kama walivyo Watanzania wengine. Wakisoma hadi kikomo cha elimu yao na kushika nafasi mbalimbali kwa fahari. Hili halikuanza wakati wa Mwinyi au Kikwete. Tangu siku ya kwanza ya Uhuru Watanganyika Waislamu wameshiriki bega kwa bega kuijenga nchi yao kama walivyofanya hivyo kabla ya uhuru. Wameshirikiana na ndugu zao Wakristu na Wahindu na hata wasio na dini kujenga taifa lao na sisi sote leo tunafurahia na kuvuna walichopanda hawa wazee wetu kwa jasho lao. Sisi wengine tunaona fahari kuwa tunasimama leo hii juu ya majabali wa historia yetu ambapo wakishirikiana na Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere - kiongozi wa viongozi, shujaa miongoni mwa mashujaa na kinara kati ya vinara - waliliongoza taifa letu kuelekea uhuru, Muungano na kutupa nafasi leo hii kuzungumza kama watu huru na kuishi kwa pamoja katika kujenga taifa la kisasa.

Wanaoendeleza siasa za udini watajikuta wamekwama kwenye mfereji wa historia huku maji ya mfereji huo yakiwapita huku wao wamebakia kulia "Nyerere Nyerere"! Wakija kuzinduka watajikuta peke yao wameachwa kwenye giza lisilosamehe la upande mbaya wa historia.
Asante Nyerere!
Asante Waasisi!
 
Kama kawaida Mohamed anataka kukwepa swali la msingi. Swali ni kuwa, kwa vile waislam waliikataa BAKWATA kuanzia enzi hizo(ingawa imekubalika miaka yote na wengi) Je ni chombo gani kinawakilisha waislam sasa hivi nje ya BAKWAT. Hili ndilo swali analopaswa kulijibu.

Pili, Mohamed usidanganye watu au kufanya propaganda. Majuzi Kikwete alipohudhuria baraza la Idd, lilikuwa limeandaliwa na BAKWATA. Watu wameona. Shughuli za BAKWATA bado zipo na hili la kusema Mohamed Said yupo starlight ni majigambo.
Ni ukweli kwa kuwa watakaohudhuria ni watu wa Gerezani na Tandamti kama ambavyo walikwenda kumuangalia George Weah shule ya uhuru akifanya mazoezi. Sasa sijui na hiyo tusemeje.

Ni nani huko Kilwa anamjua Mohamed Said? Watu wamepigwa na dhiki na wanachotaka ni kujiondoa na balaa hilo la umasikini. Ukimwambia anunue mwananchi ni tusi, sasa leo Mohamed anasema waislam wa Tanzania. Ni hadithi ile ile ya wapigania uhuru wa Tanganyika wasiojua Iringa au Moshi.

Anyway, turudi kwenye swali la msingi la taasisi inayowakilisha waislam. Haitoshi kusema sisi, sisi ni akina nani.
 
Wakati wewe ukiwaaccuse waislamu being inferior perhaps you should asked yourself why? Are they second class citizen in their own country? Jibu unalo mwenyewe.
Haya ndiyo matunda ya Mohamed Said. Anafundisha watu maneno halafu wanaimba bila kujua maana yake. Kwa taarifa Mohamed ndiye muasisi wa neno mfumokristo ambalo halijatolewa maana na waimbaji.

Mara nyingi sana Mohamed akisema waislam ni second citizen. Well,labda kuna ukweli kama alivyosema ndugu yetu Mdondoaji. Sisi wasomaji tuna muuliza na tunategemea atatujibu. Je, kwa vile waislam ni 'second citizen' kuna madaraja mangapi ya citizenship Tanzania na ni yapi hayo kwa kigezo alichotumia kufikia second citizenship ya waislam?
 

Swali labda lipelekwe mbele zaidi. Wanapowaita ni "second class citizens" wanawapimia nini? Dini yao, hali yao ya maisha, elimu yao, utajiri au kitu gani?

a. Haiwezi kuwa dini - kwa sababu hakuna nafasi yoyote nchini ambayo Muislamu amewahi kukataliwa kuishika. NONE.
B. Haiwezi kuwa elimu - kwa sababu wapo Waislamu wengi waliosoma na wanaoendelea kusoma nchini na hakuna shule yoyote ambayo inakataza - kama kanuni au mfumo - Waislamu kuingia isipokuwa zile ambazo zimetengwa kwa ajili ya mafunzo ya kiroho ya waumini wa dini hizo.
c. Haiwezi kuwa hali - kwa sababu hali ya maisha inawakuta Wakristu sawasawa na Waislamu, Wapagani sawasawa na wenye kuamini imani nyingine.
d. Haiwezi kuwa utajiri - kwa sababu hakuma Muislamu tajiri ambaye amenyang'anywa utajiri wake au kukatazwa asiwe tajiri kwa sababu ni Muislamu.

Kwa hiyo, huu 'usecond class' tunaoambiwa ambao unaimbwa kuwafanya Waislamu watembee kwa aibu kwenye nchi yao au kujiona kuwa 'hawalingani' unatokana na nini? Utaona kuwa karibu mara zote ni viongozi wa Kiislamu au Waislamu viongozi ambao hutoa kauli zenye kuwafanya Waislamu wajione duni.

"Waislamu someni kama Wakristu"
"Waislamu tukuzeni elimu"
"Waislamu kwanini nyini nanyi msiombe MoU kama Wakristu"
"Waislamu... "

Hakuna kiongozi Mkristu ambaye amewahi kutoa kauli za namna hii. Cha kushangaza viongozi wanaosema hivyo ni Waislamu! Sasa kwanini wanataka wenzao wajione duni?
 
Tanzania na Tanganyika kuna madhehebu mbalimbali ya Kiislamu, Kihindu na Kikristu ambayo yalitofautiana kimtazamo na kimchango wakati wa enzi za Tanganyika kudai uhuru. Kuna madhehebu ya Kiislamu kama Dawood Bohra, Shia Ithnasheri, Ismailia, n.k. ambayo Waumini wake wengi walipinga Tanganyika kupewa uhuru kutokana na faida za mfumo wa upendeleo uliokuwapo enzi hizo ambapo Wahindi walikuwa juu ya Waafrika kwenye nyanja zote za kijamii, kisiasa, kiutamaduni, n.k., lakini JKN alikuwa na busara tosha za kuwajumuisha watu kama Al Noor Kasoom na Amir Jamal, ambao walikuwa Wai-Ismailia (kama sikosei) kwenye serikali yake baada ya uhuru. Jee, Mohamed Said ana hoja gani kuhusu hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…