Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Ukisikia kitu kinaitwa inferiority complex ndicho hiki. Wanasaikolojia wanasema dalili za inferiority complex ni mtu kuwa 'too sensitive and reactive'.
Unapokwenda baa wewe musilam unategemea nini?

Nyerere akisema haya '........mumejenga soko kubwa sana, ninachowaomba nguruwe ni marufuku msijenigombanisha na waswahili wangu'.
Sijui hapa anawakejeli au ana waheshimu.

Mbona kila jambo linalohusu majigambo ni la wahaya na wao huwasikii wakisema wanadhalilika hata siku moja. Mbona kuna utani wa wapemba akina nchuzi na nkate na huwasikii wakilalamika. Wala wanapoitwa 'duka la mpemba huwasikii wakisema wamedhalilika, sasa hili la waswahili unalifanyaje kuwa la waislam.

Alichosema mama Makinda ni msemo kama ule ''wewe wa kuja tu' hujui kula chapati n.k. Tena hapo kariakoo utasikia watu wakisema 'hiri ri jitu nitariweka ndani' wakimaanisha wakurya, hatujasikia polisi au wakurya wakisema wanadhalililka.

Unapomwambia mtu bahili kama mpare au mwizi kama mchaga hutasikii wakilalamika. Hawa wa kariakoo si kuwa wanatukanwa ni matokeo ya inferiority complex. Mohamed anajisifia kuwa yeye ni mswahili wa kariakoo( je nivute uzi wa kumnukuu)

? Mama Nkya ni mtu makini sana na nashukuru hakujishugulisha na ujinga kama huo. Tatizo la Watanzania si dini kama mnavyotaka lionekane ni umasikini na kutelekezwa kwa raia, wizi kama wa richmond n.k. Sio hijabu ya mtu kichwani kwasababu anaweza kuwa anayo kichwani kwake lakini je inamsaidiaje yule mtanzania masikini kabisa.

Hawa walio graduate wasikusumbue maana tayari wana taa mkononi, jishughulishe na ile shule ya Kilwa iliyofungwa kwa kukosa wanafunzi halafu angalia Kilwa wakazi ni watu wa aina gani.
Huko walikoendelea si serikali iliyohamasisha ni watu waliohamasika ikiwemo sehemu moja yenye waislam ambao walikuwa nyuma ya miaka 50 tangu ukristo uingie hapo, lakini sasa ngoma droo. Walihamasika hawakushikiwa kiboko au kengele. Jukumu la kuhamasisha ni langu mimi na wewe yule na wale na sisi sote, kwa bahati mbaya wewe umeamua kuunga mkono jitihada za Mohamed kuwadanganya waislam kuwa ufaulu wao unategemea namba za mitihani na kwa vile Malima amefariki basi wao wajikusanye kulalamika, na kwamba hata wafanye nini hawatafanikiwa kwasababu ya mfumokristo.

Njia nyepesi ni kuwahamasisha kushika majambia na si kusimamia fikra na maarifa. Wakati wengine wakijenga vinu vya umeme Mohamed anahimiza chuki na kutunga hadithi kwa kutumia majina ya waislam kana kwamba bila majina uislam hausimami.
Wakati shule na vyuo vikidorora Mohamed yupo bize aksimulia chuo kikuu cha EAMWS miaka 40+ iliyopita. Anasomesha historia ya wazee wake wa Gerezani katika mashule kama anavyodai, si nini cha kufanya kukabliana na Mchina, Mjapan au Mbrazili.

Nguruvi3,

Umeandika mengi nitakujibu moja tu kuhusu EAMWS.

Historia ya uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam katika vita ile isingeleta maana kamili bila ya kisa cha EAMWS.

Katika mkasa ule ndipo mkono wa Nyerere na Kanisa ulipojititokeza kupiga vita Uislam.

Sasa vitabu vilivyokuja baadae vya Bergen na Sivalon vilikuja kuthibitisha tu.

Umuhimu wa historia hii ni kuwa unaeleza upande wa pili wa Nyerere ulomtoa raha Prof. Haroub Othman na wasomi wengi duniani kwa kuonyesha kile ambacho hawakuwa wakikijua.

Baada ya pale sasa huku kote tunakopita sasa msingi wake ni ile historia ya uhuru na njama dhidi ya Uislam.

Mohamed
 
Hapana! sina haja ya kujua idadi kwasababu nazijua na wala sikuuliza idadi yake ni ngapi.
Swali ni kuwa katika hizo taasisi lukuki ni ipi inatoa kauli kwa niaba ya waislam wa Tanzania.

Nguruvi3,

Hiyo kauli unayokusudia ni ipi?
Nipe mfano tafadhali.

Ukiwa umekwenda kwenye "central authority" Uislam hauna "clergy" kama Ukristo.

Mohamed

 
Ndjabu,

Nguruvi3 ili aweze kukaa mkeka mmoja na sie tukala pamoja sharti na yeye aje kwa uchache na "paper" kwa kuwa kitabu hakiwezi.

Hata hivyo zidi kumtia moyo kwani mimi binafsi huwa sikumbuki "paper" zangu hadi mtu agusie jambo ndipo nakumbuka kuwa jambo hili nishapata kuliandikia.

Ananipa msaada.

Mohamed

Dah! With all due respect, Mohamed Said, I'm not quite sure what exactly you're talking about and/or appealing to right here.

Hivi kweli una maana gani kuja na kauli kama "sikumbuki "paper" zangu hadi mtu agusie jambo ndipo nakumbuka kuwa jambo hili nishapata kuliandikia?" Huku wakati huo huo ukidai kuwa yeyote anayepingana na maandiko yako potofu, batili na ya kutunga "aje kwa uchache na "paper" kwa kuwa kitabu hakiwezi"?

Hadi kufikia kuingiza "usahaulifu" wako kama kigezo kwenye hoja, kwa kweli nakuonea huruma, Mohamed Said, na nadhani umefikia wakati muafaka wa wewe siyo tu kujitoa kabisa kwenye debate hii bali pia kukiri kwamba majibu uliyokuwa ukiandika wakati wote kwenye mjadala huu ullifanya kwenye mazingira na vigezo duni kulingana na tafsiri ya kauli yako hapo juu.
 
Dah! With all due respect, Mohamed Said, I'm not quite sure what exactly you're talking about and/or appealing to right here.

Hivi kweli una maana gani kuja na kauli kama "sikumbuki "paper" zangu hadi mtu agusie jambo ndipo nakumbuka kuwa jambo hili nishapata kuliandikia?" Huku wakati huo huo ukidai kuwa yeyote anayepingana na maandiko yako potofu, batili na ya kutunga "aje kwa uchache na "paper" kwa kuwa kitabu hakiwezi"?

Hadi kufikia kuingiza "usahaulifu" wako kama kigezo kwenye hoja, kwa kweli nakuonea huruma, Mohamed Said, na nadhani umefikia wakati muafaka wa wewe siyo tu kujitoa kabisa kwenye debate hii bali pia kukiri kwamba majibu uliyokuwa ukiandika wakati wote kwenye mjadala huu ullifanya kwenye mazingira na vigezo duni kulingana na tafsiri ya kauli yako hapo juu.

N,

Si maskhara,

Paper na makala nilizoandika sijui hesabu yake.
Amini usiamini.

Ndugu yangu mbona wewe unapenda sana kuandika Kiingereza?

Mohamed
 
Nguruvi3,Hiyo kauli unayokusudia ni ipi?Nipe mfano tafadhali.Ukiwa umekwenda kwenye "central authority" Uislam hauna "clergy" kama Ukristo.Mohamed
Na wala uislam haupo bila mpangilio ndiyo maana kuna neno Amir lilliotupatia Amiri ambaye tunamwita amir jeshi mkuu. Ndiyo maana kuna ulamaa, kuna maimam n.k. Huwezi kutudanganya kuwa uislam hauna organization, kwa taarifa haya yote yameelezwa katika hadithi, sunna na Quran. Hayakuelezwa kuwa ni BAKWATA n.k. lakini yameelezwa katika msingi huo. Haiwezekani nchi fulani iseme ni dola ya kiislam bila kufuata mpangilio wa kiislam

Wewe umekiri ni kiongozi wa waislam, sasa kama hakuna organization unakuwaje kiongozi.
Sikusudii kusema kuwa kuna central authority lakini kila mara umekuwa ukisema kuhusu BAKWATA na EAMWS, zote zikiwa na structure na hiarachy, sasa unapoulizwa swali unasema uislam hauna organization ili kuficha sura isikabiliane na haya.

Kauli yangu ninayokusudia hapa ni kuwa kwa kuwa waislam hawaikubali BAKWATA kwa mujibu wa maneno yako, ni taasisi ipi sasa inayotoa kauli kwa niaba ya waislam safi. Ni lazima kutakuwa na taasisi kwasababu mara zote unasema waislam wameamua, wanakusudia au wanasema. Hawawezi kusema mmoja mmoja ukasema waislam wanasema.

Umetaja Jamiatul islam fi Tanganyika n.k ambazo unasema zilipigania uhuru kuanzia mwanzo. Umetaja viongozi wake na hivi karibuni kuwataja akina marhum Hussein, sasa unaposema hakuna organization ya leadership je hiyo iliyokuwepo kama EAMWS ilikuwa kundi la watu tu wanakutana bila mpangilio. Unakwepa lakini swali halikwepeki na linazidi kuku expose. Ushahidi wa kusema bila background au hoja za mashiko.


Tumeshuhudia matamko, je yale yanatoka kwa mtu mmoja au ni watu wanao organize hiyo shughuli na kama wapo je ndiyo wanazungumzia usilam kwa ujumla au kikundi chao. Kama hakuna organization basi usitumie neno waislam wanasema kwasababu huna data za jumuiya isiyokuwepo bali inayoundwa na mtu mmoja mmoja, jambo ambalo si kweli .

Yes! unaweza kuwa hauna central authrity lakini upo organized. Kwani anayeshika funguo za Mecca ni nani na utaratibu wa kumpata unakuwaje.
Kwani ansar wanapofuata mambo kama mifungo ya Ramadhani kwa kufuata matangazo ya Mecca ni nini, au nao sasa wanageuka kuwa si safi.

Tuambie, ni nani anyeweza kusema waislam kupitia abcd wanasema kadha wa kadha. Ni taasisi gani??? kama hakuna basi funga mdomo na kauli dhidi ya BAKWATA kwasababu huna mbadala. BAKWATA haifai lakini ipo na ni bora kuliko zisizokuwepo au zilizopo ambazo zimejikita katika kutetea kiwanja cha Chang'ombe, kuandika matamko, au vitabu na majarida kwa kukukuza mauzo!
 
Na wala uislam haupo bila mpangilio ndiyo maana kuna neno Amir lilliotupatia Amiri ambaye tunamwita amir jeshi mkuu. Ndiyo maana kuna ulamaa, kuna maimam n.k. Huwezi kutudanganya kuwa uislam hauna organization, kwa taarifa haya yote yameelezwa katika hadithi, sunna na Quran. Hayakuelezwa kuwa ni BAKWATA n.k. lakini yameelezwa katika msingi huo. Haiwezekani nchi fulani iseme ni dola ya kiislam bila kufuata mpangilio wa kiislam

Wewe umekiri ni kiongozi wa waislam, sasa kama hakuna organization unakuwaje kiongozi.
Sikusudii kusema kuwa kuna central authority lakini kila mara umekuwa ukisema kuhusu BAKWATA na EAMWS, zote zikiwa na structure na hiarachy, sasa unapoulizwa swali unasema uislam hauna organization ili kuficha sura isikabiliane na haya.

Kauli yangu ninayokusudia hapa ni kuwa kwa kuwa waislam hawaikubali BAKWATA kwa mujibu wa maneno yako, ni taasisi ipi sasa inayotoa kauli kwa niaba ya waislam safi. Ni lazima kutakuwa na taasisi kwasababu mara zote unasema waislam wameamua, wanakusudia au wanasema. Hawawezi kusema mmoja mmoja ukasema waislam wanasema.

Umetaja Jamiatul islam fi Tanganyika n.k ambazo unasema zilipigania uhuru kuanzia mwanzo. Umetaja viongozi wake na hivi karibuni kuwataja akina marhum Hussein, sasa unaposema hakuna organization ya leadership je hiyo iliyokuwepo kama EAMWS ilikuwa kundi la watu tu wanakutana bila mpangilio. Unakwepa lakini swali halikwepeki na linazidi kuku expose. Ushahidi wa kusema bila background au hoja za mashiko.


Tumeshuhudia matamko, je yale yanatoka kwa mtu mmoja au ni watu wanao organize hiyo shughuli na kama wapo je ndiyo wanazungumzia usilam kwa ujumla au kikundi chao. Kama hakuna organization basi usitumie neno waislam wanasema kwasababu huna data za jumuiya isiyokuwepo bali inayoundwa na mtu mmoja mmoja, jambo ambalo si kweli .

Yes! unaweza kuwa hauna central authrity lakini upo organized. Kwani anayeshika funguo za Mecca ni nani na utaratibu wa kumpata unakuwaje.
Kwani ansar wanapofuata mambo kama mifungo ya Ramadhani kwa kufuata matangazo ya Mecca ni nini, au nao sasa wanageuka kuwa si safi.

Tuambie, ni nani anyeweza kusema waislam kupitia abcd wanasema kadha wa kadha. Ni taasisi gani??? kama hakuna basi funga mdomo na kauli dhidi ya BAKWATA kwasababu huna mbadala. BAKWATA haifai lakini ipo na ni bora kuliko zisizokuwepo au zilizopo ambazo zimejikita katika kutetea kiwanja cha Chang'ombe, kuandika matamko, au vitabu na majarida kwa kukukuza mauzo!

Nguruvi3,

Kwetu ukimwambia mwenzako "funga mdomo" umemtukana.

Kipi kilichokupandisha hamaki ndugu yangu?
Basi tusubiri kwanza.

Mohamed
 
N,Si maskhara,Paper na makala nilizoandika sijui hesabu yake.
Amini usiamini.Ndugu yangu mbona wewe unapenda sana kuandika Kiingereza?Mohamed
Paper unazoandika zina ubora gani? unaweza kuandika paper kuwa uvunjaji wa mabucha ya nguruwe unatokana na umasikini wa Kigoma, kwa wzungu ni paper kwetu sisi ni upupu.

Unaweza kuandika paper za kuelezea kitoweo na soksi za Nyerere, kwa wageni ni kitu kipya kwetu ni uhuni wa maandishi.
Unaweza kuandika asilimia 17 inaonewa na 83, wasioijua Tanzania watasema naam msomi, JF watakuuliza kama ni hivyo wapiga madogori, wahindi , waarabu na waburushi wao wana asilimia ngapi na kama hawana ni daraja la ngapi la raia.

Quality yake ikoje kama huwezi kujibu maswali ya kawaida kaaaabisa. kwahiyo suala si kuwa umeandika paper suala ni paper au upupu? Quality ya hizo paper ikoje! Quantity vs Quality sijui kama unajua maana yake.

Msomi kama marhum Othman utakutana naye viwanja tu, na wala hujui anafanya nini. Utasikia BBC kateuliwa kusuluhisha nini n.k. Shivji hapigi kifua ila mambo zake zinampigia kifua. Wewe hujibu maswali unakazania nimekwenda Ibadan, Tonga,comoro, fiji na Vanuata, who cares hayo ni masimulizi ya chumbani kwako au gerezani na kipata barazni, usipotezee watu muda toa hoja jibu hoja.

Kujigamba ni dalili ya inferiority complex.
 
Shadhuly,

Amin Amin Amin.

Sheikh Nurdin Hussein huyu hapa hii ni 1954/55:

"Kipindi chama badiliko kutoka TAA kuwa TANU kilikwenda vizuri pale makao makuu.Hakukuwa na ya migongano kati ya viongozi wa makao makuu, ukitoa kikundi kidogo cha Waislamu wenye msimamo mkali waliokuwa wakipanga kumg'oa Nyerere kwa kuwa alikuwa Mkristo. Hii ilikuwa ni mara ya pili kwa suala la dini kuzuka tanguNyerere achukue uongozi wa chama kwa mara ya kwanza mwaka 1953.

Mzee Said ulijuaje kuwa kulikuwa na majaribio mawili ya kutaka kumng'oa Nyerere kwa sababu ya Ukristo wake? Kikundi hiki kidogo cha "Waislamu wenye msimamo mkali" kiliongozwa na nani?
 
Paper unazoandika zina ubora gani? unaweza kuandika paper kuwa uvunjaji wa mabucha ya nguruwe unatokana na umasikini wa Kigoma, kwa wzungu ni paper kwetu sisi ni upupu.

Unaweza kuandika paper za kuelezea kitoweo na soksi za Nyerere, kwa wageni ni kitu kipya kwetu ni uhuni wa maandishi.
Unaweza kuandika asilimia 17 inaonewa na 83, wasioijua Tanzania watasema naam msomi, JF watakuuliza kama ni hivyo wapiga madogori, wahindi , waarabu na waburushi wao wana asilimia ngapi na kama hawana ni daraja la ngapi la raia.

Quality yake ikoje kama huwezi kujibu maswali ya kawaida kaaaabisa. kwahiyo suala si kuwa umeandika paper suala ni paper au upupu? Quality ya hizo paper ikoje! Quantity vs Quality sijui kama unajua maana yake.

Msomi kama marhum Othman utakutana naye viwanja tu, na wala hujui anafanya nini. Utasikia BBC kateuliwa kusuluhisha nini n.k. Shivji hapigi kifua ila mambo zake zinampigia kifua. Wewe hujibu maswali unakazania nimekwenda Ibadan, Tonga,comoro, fiji na Vanuata, who cares hayo ni masimulizi ya chumbani kwako au gerezani na kipata barazni, usipotezee watu muda toa hoja jibu hoja.

Kujigamba ni dalili ya inferiority complex.

Sheikh Mohammed..pole kwa kejeli hizi toka kwa Nguruvi3. Tune ya reaction yake hii ni kielelezo tosha kama simulizi na tafiti hizi zimewashtua wengi. Nguvu anayojaribu kuitumia Al alkh huyu ni ishara kama hali si nzuri.

Imma kejeli kuwa habari hizi ulizozitafiti na kuziandika kuwa ni masimulizi ya chumbani..au porojo kama alivyogusia mtu mmoja wa pote lake ni dhihaka kubwa. Siamini maandishi ya siyo na quality na yenye quantity tu kama Nguruvi3 anavyozidi kukariri yangethubutu kufanyiwa reviews na kuwa references kwenye vyuo kadhaa duniani.

Msumari unaozidi kuwashindilia kama wao nao waandike tafiti zao wakizirudi tafiti hizi ulizoaandika nakupewa nafasi kwenye taasisi za kuheshimiwa duniani. Ikiwa hawawezi na maandishi yameshatoka na mibuku kila uchao inafunguliwa na khabari zako kusomwa sehemu mbalimbali. Hizi kauli za kejeli niliziona kitambo kabisa ndio maana mimi huwa sichangii..niligusia sheikh hawa watu watakupasua kichwa.

Waislamu wameshajua hali halisi ilivyo hata wakiviringa viringa maneno na kutia ufundi wa hoja na hata kupindisha ili ziweze kukidhi haja ...kamwe hawatafanikiwa.
 
Paper unazoandika zina ubora gani? unaweza kuandika paper kuwa uvunjaji wa mabucha ya nguruwe unatokana na umasikini wa Kigoma, kwa wzungu ni paper kwetu sisi ni upupu.

Unaweza kuandika paper za kuelezea kitoweo na soksi za Nyerere, kwa wageni ni kitu kipya kwetu ni uhuni wa maandishi.
Unaweza kuandika asilimia 17 inaonewa na 83, wasioijua Tanzania watasema naam msomi, JF watakuuliza kama ni hivyo wapiga madogori, wahindi , waarabu na waburushi wao wana asilimia ngapi na kama hawana ni daraja la ngapi la raia.

Quality yake ikoje kama huwezi kujibu maswali ya kawaida kaaaabisa. kwahiyo suala si kuwa umeandika paper suala ni paper au upupu? Quality ya hizo paper ikoje! Quantity vs Quality sijui kama unajua maana yake.

Msomi kama marhum Othman utakutana naye viwanja tu, na wala hujui anafanya nini. Utasikia BBC kateuliwa kusuluhisha nini n.k. Shivji hapigi kifua ila mambo zake zinampigia kifua. Wewe hujibu maswali unakazania nimekwenda Ibadan, Tonga,comoro, fiji na Vanuata, who cares hayo ni masimulizi ya chumbani kwako au gerezani na kipata barazni, usipotezee watu muda toa hoja jibu hoja.

Kujigamba ni dalili ya inferiority complex.


Nguruvi3,


Kuna tofauti kubwa sana baina yako na Mohamed Said kiupeo na kimtazamo. Siku zote mnyonge mnyongeni laakin haki yake mpeni. Kubali au kataa Mohamed Said yupo juu sana kwa kuandika paper nyingi sana na kuziwasilisha katika universities mbalimbali na kualikwa kwenye makongamano ya kitaaluma mbalimbali duniyani.


Sasa ukiwa kama msomi ni vizuri unapozungumza na mtu aliyefanya tafiti ni vizuri nawe uwe mtafiti ndipo utoe hoja.
Mimi nichokiona kwako kutokana na kuandika mambo mengi sana kiasi cha kutia usingizi katika kusoma ni vizuri utumie taaluma hiyo kuandika paper kutokana na kile ulichobaini kwa Mohamed said kisha kutuwekea hapa ili nasi tubainisha.

Sioni kama ni jambo la busara kuandika mistari 10 au 20 katika JF kutaweza kukidhi mahitaji au hamu ya waTz kujua historia hiyo kama ilivyobainishwa na kutungiwa kitabu na paper nyingi na Mohamed Said.

Nakuomba utafakari haya na kusikiliza nasaha hizi. Hakuna njia mkato zaidi ya kuandika ima iwe katika gazeti au kitabu kumjibu Mohamed said na kuiweka hadharani ili kila mtu ajue umahiri wako.


Huo ni ushauri wangu.


 
quote_icon.png
By Mohamed Said

Ndjabu,

Nguruvi3 ili aweze kukaa mkeka mmoja na sie tukala pamoja sharti na yeye aje kwa uchache na "paper" kwa kuwa kitabu hakiwezi.

Hata hivyo zidi kumtia moyo kwani mimi binafsi huwa sikumbuki "paper" zangu hadi mtu agusie jambo ndipo nakumbuka kuwa jambo hili nishapata kuliandikia.

Ananipa msaada.

Mohamed
Hivi mtu akiandika 'papers' ndiyo utakubali mapungufu ya papers zako?
 
Nguruvi3,


Kuna tofauti kubwa sana baina yako na Mohamed Said kiupeo na kimtazamo. Siku zote mnyonge mnyongeni laakin haki yake mpeni. Kubali au kataa Mohamed Said yupo juu sana kwa kuandika paper nyingi sana na kuziwasilisha katika universities mbalimbali na kualikwa kwenye makongamano ya kitaaluma mbalimbali duniyani.


Sasa ukiwa kama msomi ni vizuri unapozungumza na mtu aliyefanya tafiti ni vizuri nawe uwe mtafiti ndipo utoe hoja.
Mimi nichokiona kwako kutokana na kuandika mambo mengi sana kiasi cha kutia usingizi katika kusoma ni vizuri utumie taaluma hiyo kuandika paper kutokana na kile ulichobaini kwa Mohamed said kisha kutuwekea hapa ili nasi tubainisha.

Sioni kama ni jambo la busara kuandika mistari 10 au 20 katika JF kutaweza kukidhi mahitaji au hamu ya waTz kujua historia hiyo kama ilivyobainishwa na kutungiwa kitabu na paper nyingi na Mohamed Said.

Nakuomba utafakari haya na kusikiliza nasaha hizi. Hakuna njia mkato zaidi ya kuandika ima iwe katika gazeti au kitabu kumjibu Mohamed said na kuiweka hadharani ili kila mtu ajue umahiri wako.


Huo ni ushauri wangu.



Barubaru,

Ahsante sana.
Nguruvi aloweza kufanya kwangu ni kunitukana kunambia "nifunge mdomo."
Kapandwa na hamaki.

Huo ndiyo upeo wake masikini ya mungu.

Tuendelee na darsa Insha Allah:

Pambano kati ya Nyerere, Tewa na Bibi Titi, 1968
"Ili tume ya uchunguzi ya Waislam iweze kufanyakazi yake vyema na bila upendeleo, ilikuwa lazima ile tume ya Waislam iiombeserikali izuie propaganda iliyokuwa ikiendeshwa na wale waliokuwa wamejitengana EAMWS, wakitumia jukwa la radio ya serikali na magazeti ya TANU. Tume yaWaislam ilikutana na Waziri wa Habari na Utangazaji, Hasnu Makame, ofisinikwake tarehe 20 Novemba, 1968, kujadili tatizo lile. [1] Hii haukusaidia kitu.Propaganda dhidi ya uongozi wa EAMWS iliendelea kwa nguvu zote. Mashambulizikutoka pande tatu yaliyopangwa vyema yalikuwa kazini. Benjamini Mkapa akitumiagazeti la Nationalist ataandika habari yoyote ya Adam Nasibu, Martin Kiamaakitumia Radio Tanzania atatumia habari ile kama habari muhimu katika radio nahabari hiyo itatangazwa kutwa nzima huku ofisi ya rais ikiwa kimya kwa fitnaile. Lile kundi la waliojitenga na umma wa Waislam Adam Nasibu akiwa kamamsemaji wao mkuu wakawa wakati mwingine kwa mastaajabu makubwa wakawa wanakiukahata misingi ya akida ya Tanzania, wakitoa madai ya ubaguzi a rangi,wakikazania lazima EAMWS ivunjwe. Adam Nasibu alinukuliwa na The Nationalistakisema kuwa:Waislam lazima wafahamishwe kwa nini EastAfrican Muslim Welfare Society iwe na katiba ambayo inaendana na mwelekeo wanchi. Hatujui nafasi ya Aga Khan katika nchi yetu na ndiyo maana tunamkataa. [1]Lakini cha kushangaza zaidi ilikuwa ule ukimyawa serikali kuhusu matakwa ya kundi la Adam Nasibu lililokuwa likidai kuwaWaislam wachanganye dini na siasa katika suala hili, wakati ilikuwa ikijulikanawazi kuwa kufanya hivyo ni mwiko mkubwa katika siasa za Tanzania. Haya yote mbali, lile la kushangaza hasa nakitu ambacho kilikuwa kigeni katika Tanzania ilikuwa yale madai ya kuingizaubaguzi wa rangi katika siasa za Tanzania. Ilikuwa inastaajabisha kuonamagazeti ya TANU yaliyokuwa na sifa ya kuheshima haki za binadamu yakichapishana kuzipa uzito wa hali ya juu habari za kundi dogo la Waislam waliokuwawanawalaumu Waislam wenzao wa Kiismailia kwa kutozaliwa weusi. Miaka kumiiliyopita watu wa Tanganyika, Waislam wenyewe waliokuwa ndiyo walioanzisha nakuijenga TANU, walipambana vikali dhidi ya siasa za kibaguzi za Zuberi Mtemvuna chama chake cha African National Congress. Mtemvu alishindwa na matokeo yakeikawa Tanganyika kuwa na serikali ya watu wote isiyobagua rangi na ikitawalaraia wa rangi zote kwa misingi ya haki. Kwa ajili hii nchi ikawa haina msuguanokwa ajili ya ubaguzi wa rangi. Haya matokeo mapya yalikuwa hayaendani namisingi ya TANU.Ilipofikia hali hii, rais wa EAMWS, Tewa SaidTewa na makamo wake Bibi Titi Mohamed, waliamua kulipeleka suala hili kwaJuluis Nyerere, Rais wa Tanzania na mwenyekiti wa TANU, chama tawala. chanzocha uadui huu inatulazimu turudi nyuma hadi mwaka wa 1963, katika siku zamwanzo za uhuru, katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya TANU [1]uliofanyika Ukumbi wa Karimjee.Kama ilivyokwishaelezwa hapo mwanzoni kuwa mwaka1963 ulikuwa mwaka wa mambo mazito. Ilikuwa ndiyo mwaka ambao Kanisa Katolikililiteua wagombea wake wapambane na wagombea wa TANU waliokuwa Waislam katikauchaguzi wa serikali za mitaa kule Kigoma na Bukoba. Ulikuwa ndiyo mwaka ambaoRais wa TANU, Nyerere alipombana na EAMWS kupitia Bilali Rehani Waikela. Mwaka Watuhawa walikuwa wakichekeana jino pembe. Lakini ili tuelewa wa 1963 ndiyo ulikuwa mwaka ambao HalmashauriKuu ya TANU ilivunja Baraza la Wazee wa TANU lililokuwa limetawaliwa na Waislamkwa madai kuwa baraza hilo lilikuwa ëlikichanganya dini na siasaí. Mwaka 1963ulikuwa mwaka muhimu kwa Halmashauri Kuu ya TANU kwa sababu ilikuwa mwaka ambaoilifanya maamuzi nyeti ya kidini. Mwaka ule Bibi Titi na Nyererewalishambuliana kwa maneno ndani ya Halmashauri Kuu yA TANU kuhusu jambojingine tena la dini lililokuwa likihusu EAMWS.Wanakamati wawili wa Halmashauri Kuu ya TANU,Selemani Kitundu na Rajab Diwani, waliiomba Halmashauri Kuu ya TANU imjadiliAga Khan na nafasi yake kama patroni wa EAMWS. Kitundu na Diwani walidai kuwawana habari Aga Khan anataka kuitawala Tanganyika kupitia Waislam na EAMWS. Kwaajili hii basi wakapendekeza EAMWS ifungiwe. Nyerere aliwaunga mkono SelemaniKitundu na Rajab Diwani. Bibi Titi akasimama kishujaa dhidi ya Diwani, Kitunduna Nyerere, akasema hakuna kati yao aliyekuwa na haki ya kuifungia jumiayayoyote ya Waislam. Kama walikuwepo watu ndani ya EAMWS ambao walikuwawanakwenda kinyume na sheria basi watu hao wapelekwe mahakamani na sheriaichukue mkondo wake. Bibi Titi akaendelea na kusema kuwa EAMWS imekuwepo kablaya TANU na siku zote imekuwa ikitoa huduma kwa Uislam. Inasemekana hasirazilipanda na kukawa na kutoleana maneno kati ya Bibi Titi na Nyerere. Bibi Titiakamwambia Nyerere yeye hamuogopi yeyote ila Allah."

Mohamed
 
Paper unazoandika zina ubora gani? unaweza kuandika paper kuwa uvunjaji wa mabucha ya nguruwe unatokana na umasikini wa Kigoma, kwa wzungu ni paper kwetu sisi ni upupu.

Unaweza kuandika paper za kuelezea kitoweo na soksi za Nyerere, kwa wageni ni kitu kipya kwetu ni uhuni wa maandishi.
Unaweza kuandika asilimia 17 inaonewa na 83, wasioijua Tanzania watasema naam msomi, JF watakuuliza kama ni hivyo wapiga madogori, wahindi , waarabu na waburushi wao wana asilimia ngapi na kama hawana ni daraja la ngapi la raia.

Quality yake ikoje kama huwezi kujibu maswali ya kawaida kaaaabisa. kwahiyo suala si kuwa umeandika paper suala ni paper au upupu? Quality ya hizo paper ikoje! Quantity vs Quality sijui kama unajua maana yake.

Msomi kama marhum Othman utakutana naye viwanja tu, na wala hujui anafanya nini. Utasikia BBC kateuliwa kusuluhisha nini n.k. Shivji hapigi kifua ila mambo zake zinampigia kifua. Wewe hujibu maswali unakazania nimekwenda Ibadan, Tonga,comoro, fiji na Vanuata, who cares hayo ni masimulizi ya chumbani kwako au gerezani na kipata barazni, usipotezee watu muda toa hoja jibu hoja.

Kujigamba ni dalili ya inferiority complex.

Nguruvi3,

Unadhani najigamba.
Mie hayo nisemayo ndiyo nilofanya.

Nakupa taarifa ili tuelewane.
Na hayo ni madogo ningejigamba ningekupa khasa yale ya moyoni yanifurahishayo.

Umewataja Prof. Haroub na Prof. Shivji.
Khabari za Prof. Haroub na mie nishazieleza hapa jamvini bado Shivji.

Mara ya mwisho nimekutana na Shivji ilikuwa British Council sote waalikwa.
Shivji kaniuliza "Je, kipo kitabu kingine kinakuja?"

Sababu yake kaniuliza hivyo soma hapo chini:

"Katika miaka hii ya karibuni kumejitokeza hamu ya kutaka kuielewahistoria ya siasa katika Tanzania na jina la Abdulwahid limekuwa likijitokezamara kwa mara katika majarida, [1]magazeti, [1]magazeti ya kimataifa, [1]na katika vitabu. [1]Maandiko yote haya yanamtazama Abdulwahid kwa sura tofauti. Yapo yanasema kuwayeye ndiye alikuwa kinara katika kuunda TANU na kumtia Nyerere katika siasa.Katika maandiko haya Abdulwahid anaelezwa kama mzalendo na mwanamapinduzi.Tandon anamweleza Abdulwahid na wazalendo wengine katika Afrika ya Masharikikama Chege Kibachia, Makham Singh, Fred Kubai, James Kivu, I.K. Musazi, ErikaFiah na Gama Pinto kama ëviongozi maveterani wa watu wa Afrika yaMasharikiÖambao wanahistoria wetu wa sasa wamewasahauí. [1] Wapo waandishi wanaomuonaAbdulwahid kama ëkabaila uchwaraí kutokana na kuwa alikuwa mtoto wamfanyabiashara Mwafrika tajiri, Kleist Sykes.Profesa Shivji anamtuhumu Abdulwahid kwakushirikiana na wakoloni na anamchukulia kama kabaila uchwara ambae yeyemwenyewe hatoki katika tabaka la wafanyakazi. Akitafakari nafasi ya Abdulwahidkama kiongozi wa makuli katika bandari ya Dar es Salaam wakati wa ukoloni Shivji anasema:Öserikali ilipenyeza uongozi wa makabaila uchwara katika chama. Mwezi February 1948 Abdul Sykes, mtoto wa mfanya biashara Mwafrika maarufu, aliombwa na serikaliawe katibu wa chama cha makuli. Abdul Sykes hakuwa akifanyakazi bandarini walahakuwa anatoka katika tabaka la wafanyakazi.[1]Hapa Shivji alikuwa anaeleza jinsi Abdulwahidalivyochaguliwa kuwa katibu mkuu wa kwanza katika historia ya vyama vyawafanyakazi Tanganyika. Kwa kutoijua vyema historia ya maisha ya Abdulwahid navilevile kwa hamaki za misimamo ya mrengo wa kushoto ya Ki-Marx, Shivji ametumia vipimo visivyo sawa katika kumchambua Abdulwahid. Engels anasemabepari uchwara ni ëtabaka la makabaila wa kisasa ambao wanahodhi njia zote zauzalishaji mali za jamii na vilevile wanawaajiri na kuwalipaí.[1]Hata hivyo Sklar anasema kuwa dhana hiyo sasa imebadilika kwa hiyo hata ilemaana yake ya awali imebadilika: Hivi sasa neno hilo linatumiwa na wafuasi waMarx kuieleza tabaka lililo juu katika jamii ambazo linafuata soko huria nakuachia kuhodhiwa kwa mali kama matokeo ya mali binafsi katika uzalishaji wake.[1]Kama Shivji angeliyajua maisha ya Abdulwahid niwazi kuwa angetumia kipimo kingine kabisa katika kumweleza. Lakini kwa kuwakilichotumika ni kipimo kisicho sawa, matokeo yake hayakuweza kuwa barabara.Hakuna biashara ya Mwafrika wakati wa ukoloni inaweza kuitwa biashara ya beparina katika mkumbo wa kujumuishwa katika dhana ya ubepari, kama ubepariulivyokuwa ukifahamika huko Ulaya. Haya ndiyo matatizo yanayoikumba historia yaAbdulwahid na kwa kweli historia nzima ya taifa la Tanganyika."

Mohamed
PS: Umewataja BBC. Zaidi ya miaka 20 iliyopita BBC walinipa kazi. We si umewaona hao watu wakuuuubwa sana.
 

Barubaru,

Ahsante sana.
Nguruvi aloweza kufanya kwangu ni kunitukana kunambia "nifunge mdomo."
Kapandwa na hamaki.

Huo ndiyo upeo wake masikini ya mungu.

Tuendelee na darsa Insha Allah:

Pambano kati ya Nyerere, Tewa na Bibi Titi, 1968
"Ili tume ya uchunguzi ya Waislam iweze kufanyakazi yake vyema na bila upendeleo, ilikuwa lazima ile tume ya Waislam iiombeserikali izuie propaganda iliyokuwa ikiendeshwa na wale waliokuwa wamejitengana EAMWS, wakitumia jukwa la radio ya serikali na magazeti ya TANU. Tume yaWaislam ilikutana na Waziri wa Habari na Utangazaji, Hasnu Makame, ofisinikwake tarehe 20 Novemba, 1968, kujadili tatizo lile. [1] Hii haukusaidia kitu.Propaganda dhidi ya uongozi wa EAMWS iliendelea kwa nguvu zote. Mashambulizikutoka pande tatu yaliyopangwa vyema yalikuwa kazini. Benjamini Mkapa akitumiagazeti la Nationalist ataandika habari yoyote ya Adam Nasibu, Martin Kiamaakitumia Radio Tanzania atatumia habari ile kama habari muhimu katika radio nahabari hiyo itatangazwa kutwa nzima huku ofisi ya rais ikiwa kimya kwa fitnaile. Lile kundi la waliojitenga na umma wa Waislam Adam Nasibu akiwa kamamsemaji wao mkuu wakawa wakati mwingine kwa mastaajabu makubwa wakawa wanakiukahata misingi ya akida ya Tanzania, wakitoa madai ya ubaguzi a rangi,wakikazania lazima EAMWS ivunjwe. Adam Nasibu alinukuliwa na The Nationalistakisema kuwa:Waislam lazima wafahamishwe kwa nini EastAfrican Muslim Welfare Society iwe na katiba ambayo inaendana na mwelekeo wanchi. Hatujui nafasi ya Aga Khan katika nchi yetu na ndiyo maana tunamkataa. [1]Lakini cha kushangaza zaidi ilikuwa ule ukimyawa serikali kuhusu matakwa ya kundi la Adam Nasibu lililokuwa likidai kuwaWaislam wachanganye dini na siasa katika suala hili, wakati ilikuwa ikijulikanawazi kuwa kufanya hivyo ni mwiko mkubwa katika siasa za Tanzania. Haya yote mbali, lile la kushangaza hasa nakitu ambacho kilikuwa kigeni katika Tanzania ilikuwa yale madai ya kuingizaubaguzi wa rangi katika siasa za Tanzania. Ilikuwa inastaajabisha kuonamagazeti ya TANU yaliyokuwa na sifa ya kuheshima haki za binadamu yakichapishana kuzipa uzito wa hali ya juu habari za kundi dogo la Waislam waliokuwawanawalaumu Waislam wenzao wa Kiismailia kwa kutozaliwa weusi. Miaka kumiiliyopita watu wa Tanganyika, Waislam wenyewe waliokuwa ndiyo walioanzisha nakuijenga TANU, walipambana vikali dhidi ya siasa za kibaguzi za Zuberi Mtemvuna chama chake cha African National Congress. Mtemvu alishindwa na matokeo yakeikawa Tanganyika kuwa na serikali ya watu wote isiyobagua rangi na ikitawalaraia wa rangi zote kwa misingi ya haki. Kwa ajili hii nchi ikawa haina msuguanokwa ajili ya ubaguzi wa rangi. Haya matokeo mapya yalikuwa hayaendani namisingi ya TANU.Ilipofikia hali hii, rais wa EAMWS, Tewa SaidTewa na makamo wake Bibi Titi Mohamed, waliamua kulipeleka suala hili kwaJuluis Nyerere, Rais wa Tanzania na mwenyekiti wa TANU, chama tawala. chanzocha uadui huu inatulazimu turudi nyuma hadi mwaka wa 1963, katika siku zamwanzo za uhuru, katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya TANU [1]uliofanyika Ukumbi wa Karimjee.Kama ilivyokwishaelezwa hapo mwanzoni kuwa mwaka1963 ulikuwa mwaka wa mambo mazito. Ilikuwa ndiyo mwaka ambao Kanisa Katolikililiteua wagombea wake wapambane na wagombea wa TANU waliokuwa Waislam katikauchaguzi wa serikali za mitaa kule Kigoma na Bukoba. Ulikuwa ndiyo mwaka ambaoRais wa TANU, Nyerere alipombana na EAMWS kupitia Bilali Rehani Waikela. Mwaka Watuhawa walikuwa wakichekeana jino pembe. Lakini ili tuelewa wa 1963 ndiyo ulikuwa mwaka ambao HalmashauriKuu ya TANU ilivunja Baraza la Wazee wa TANU lililokuwa limetawaliwa na Waislamkwa madai kuwa baraza hilo lilikuwa ëlikichanganya dini na siasaí. Mwaka 1963ulikuwa mwaka muhimu kwa Halmashauri Kuu ya TANU kwa sababu ilikuwa mwaka ambaoilifanya maamuzi nyeti ya kidini. Mwaka ule Bibi Titi na Nyererewalishambuliana kwa maneno ndani ya Halmashauri Kuu yA TANU kuhusu jambojingine tena la dini lililokuwa likihusu EAMWS.Wanakamati wawili wa Halmashauri Kuu ya TANU,Selemani Kitundu na Rajab Diwani, waliiomba Halmashauri Kuu ya TANU imjadiliAga Khan na nafasi yake kama patroni wa EAMWS. Kitundu na Diwani walidai kuwawana habari Aga Khan anataka kuitawala Tanganyika kupitia Waislam na EAMWS. Kwaajili hii basi wakapendekeza EAMWS ifungiwe. Nyerere aliwaunga mkono SelemaniKitundu na Rajab Diwani. Bibi Titi akasimama kishujaa dhidi ya Diwani, Kitunduna Nyerere, akasema hakuna kati yao aliyekuwa na haki ya kuifungia jumiayayoyote ya Waislam. Kama walikuwepo watu ndani ya EAMWS ambao walikuwawanakwenda kinyume na sheria basi watu hao wapelekwe mahakamani na sheriaichukue mkondo wake. Bibi Titi akaendelea na kusema kuwa EAMWS imekuwepo kablaya TANU na siku zote imekuwa ikitoa huduma kwa Uislam. Inasemekana hasirazilipanda na kukawa na kutoleana maneno kati ya Bibi Titi na Nyerere. Bibi Titiakamwambia Nyerere yeye hamuogopi yeyote ila Allah."

Mohamed
Nakumbuka vitabu vya 'hadithi za kusisimua' vya Willy Gamba...Njama...Kikosi Cha Kisasi n.k .....(Elvis Musiba RIP).
 
Sheikh Mohammed..pole kwa kejeli hizi toka kwa Nguruvi3. Tune ya reaction yake hii ni kielelezo tosha kama simulizi na tafiti hizi zimewashtua wengi. Nguvu anayojaribu kuitumia Al alkh huyu ni ishara kama hali si nzuri.

Imma kejeli kuwa habari hizi ulizozitafiti na kuziandika kuwa ni masimulizi ya chumbani..au porojo kama alivyogusia mtu mmoja wa pote lake ni dhihaka kubwa. Siamini maandishi ya siyo na quality na yenye quantity tu kama Nguruvi3 anavyozidi kukariri yangethubutu kufanyiwa reviews na kuwa references kwenye vyuo kadhaa duniani.

Msumari unaozidi kuwashindilia kama wao nao waandike tafiti zao wakizirudi tafiti hizi ulizoaandika nakupewa nafasi kwenye taasisi za kuheshimiwa duniani. Ikiwa hawawezi na maandishi yameshatoka na mibuku kila uchao inafunguliwa na khabari zako kusomwa sehemu mbalimbali. Hizi kauli za kejeli niliziona kitambo kabisa ndio maana mimi huwa sichangii..niligusia sheikh hawa watu watakupasua kichwa.

Waislamu wameshajua hali halisi ilivyo hata wakiviringa viringa maneno na kutia ufundi wa hoja na hata kupindisha ili ziweze kukidhi haja ...kamwe hawatafanikiwa.

Kikwebo,

Ahsante ndugu yangu.
Muhimu ni kuwa sasa wanajua kuwa historia waliyolishwa miaka nenda miaka rudi haikuwa imekamilika.

Mohamed
 
Kikwebo,

Ahsante ndugu yangu.
Muhimu ni kuwa sasa wanajua kuwa historia waliyolishwa miaka nenda miaka rudi haikuwa imekamilika.

Mohamed
Tungejua kama hoja zetu zingekuwa zimejibiwa...lakini kwa sababu hutaki kuzijibu hoja zetu hii inabaki kuwa masimulizi tu ya gerezani!
Mwalimu gani anayetoa 'Darsa' lakini akiulizwa maswali na wanafunzi anashindwa kujibu? Cha kushangaza unajivunia kwamba wamejua ilihali wana maswali mengi ambayo hayajajibiwa!
 
Tungejua kama hoja zetu zingekuwa zimejibiwa...lakini kwa sababu hutaki kuzijibu hoja zetu hii inabaki kuwa masimulizi tu ya gerezani!
Mwalimu gani anayetoa 'Darsa' lakini akiulizwa maswali na wanafunzi anashindwa kujibu? Cha kushangaza unajivunia kwamba wamejua ilihali wana maswali mengi ambayo hayajajibiwa!

Sweke.


Kitendo cha kuuliza suala maana yake umesoma na kuelewa na pale ulipoona mush'kira ndio ukauliza suala na hii inadhihirisha wazi kuna athari katika akili yako kuhusu masuala yaliyoelezwa japo unajifanya sintofahamu. Lakini pia kuna vitabu maalum vinauzwa na paper mbalimbali zinakuwa presented kwenye universities mbalimbali kwa wana taaluma na hivyo watu kuelewa na kujadili.


Nazidi kukushauri Sweke, Huwezi hata siku moja kujibu hoja za Mohamed kwa kusoma tu humu jamvini bali kwa kufanya utafiti na kuuliza masuala yaliokuwa constructive na sio ya kejeli na mas'khara.

Kumbuka nia kuu yya Mohamed Said ni kutupa upande wa pili wa Historia ya Tanganyika ambayo ilisahaulika. Na yeye hakufanya ajizi amefanya utafiti na ametunga kitabu na papers kibao.

Ni jukumu lako na wewe kuweka mambo hadharani kwa kutoa makala maalum kuonyesha wapi Mohamed said amepotoka na wewe kusasahihisha. Kwa kutumia Jf huwezi Abadan.
 
NARUDIA KUBANDIKA TENA HILI BANDIKO KWANI SIELEWI NI KWANINI FAIZAFOXY NA MOHAMED SAID HAWATAKI KUNIJIBU SWALI LANGU HILI.

Waislamu wana Nguzo zao tano wanazoziamini kama ndiyo msingi wa dini yao. Kama kweli waislamu wa Tanzania tangu Tanganyika walikuwa wanakandamizwa, ni nguzo ipi kati ya hizi tano ambayo waislam wa Tanzania wanakatazwa kuitimiza na Serikali kwa sababu serikali inadhibitiwa na MfumoKristu?

1. Kushahadia

2. Kuswali swala tano

3. Kufunga

4. Kutoa zaka

5. Kuhiji kwa mwenye uwezo

Kama waislamu wangekuwa wanakandamizwa katika hizo nguzo tano za uislamu ningeelewa hoja za MS. MS na wenzake watuambie ni wapi na ni lini waslamu walikatazwa kwenda kuhiji, kuswali. kufunga kwa Sunnah na Kufunga Ramadhani, kutoa zaka au kushahadia. Sijawahi kuona mfumo wa serikali ukikataza wakristo kusilimu au waislamu kujenga misikiti au kuadhini. Naijua misikiti ambayo iko katikati ya makazi ya watu kwenye mchanganyiko wa wakristo na waislamu na sijawahi kusikia serikali ikikataza waislamu kuadhini kwa sababu 'wanawasumbua" wasio waislamu kwa adhana zao.

Waislamu wanapotaka kwenda Mecca kuhiji hakuna siku walikatazwa kwenda badala yake serikali mara kadhaa imewahi kutoa fedha kusaidia waislamu kwenda kuhiji, sasa hapo waislamu wanakandamizwaje na huo mfumokristu na inakuwaje mfumokristu unashindwa kuzuia waislamu kuhiji, kusilimisha wakristo au kuadhini?

Hivi karibuni serikali si ilishawahi kutoa zaidi ya Shilingi Bilioni 2 kusafirisha mahujaji kwenda Mecca kuhiji? Kanisa lilikuwa wapi kuizuia serikali kutoa fedha hizo??

KUJIBU HOJA HAMTAKI BADALA YAKE MNALETA BLAH BLAH NA KUPIGIANA CHAPUO
 
Nguruvi3 nakutunuku shahada ya uchambuzi na usambaratishaji wa hoja GoiGoi na dhaifu huku ukichombeza na "Darsa" la ukweli.

Mambo ya kizamani haya..unaandika mwenyewe na unajipigia makofi mwenyewe................
 
Back
Top Bottom