Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Usichoke sheikh Mohammed,

kati yao kuna waungwana pia wataelewa

Pia kuna wali kwisha "Progrmmed and conditioned" kuamini kuwa waswahili hivi na vile...

Wanasahau uungwana wa wazee wetu (hawana choyo, wako humble kwasababu ya uislam ndio raha ya uislam lakini..

Mimi huwa najiuliza hivi "Dar ingekuwa ya wachaga makabila mengine yangeishi kweli kwa choyo zao ??

zing said:
Watu kama wewe ndio mnaaibisha dini yenu.

Sasa waislam amabao ni wachaga wakueleweje?

Lugha za mfano zinakupa tabu sana kuelewa..

Jifunze

Ebu endelea kunifundisha kwa mifan nitaelewa. Elezea wagogo, au wangoni, au wanyamwezi, au wahaya na wangoni . Wana tabia gani na Dar ingekuwa yao ingekuwaje?
 
M,

Mimi nimeishi na watu hawa mimi ni mjukuu wa Salum Abdallah, huyu babu yangu na Kleist Sykes walikuwa majirani hapo Kipata na wakifanya kazi Tanganyika Railways pamoja.

Abdu Sykes na baba yangu walikuwa marafiki toka udogo wao wakisoma darasa moja hapo Al Jamiatul Muslim School, mama zao mashoga.

Hii historia ni maisha yangu. Nimeipata kwa wenyewe waliozungusha guruduma la historia.

Kwa ule uhasama uliokuwapo siku zile mtu yeyote yule asingeweza kukabidhiwa zile nyaraka za kina Sykes azipitie.

Mimi niliaminika kwa kuwa nafahamika hadi wazee walionizaa.

Nachukua Muscut nikajimwage na makanzu na vilemba vya Kiomani pamoja na aloud za bei kali.

Ahsante sana.

Mohamed

Nafahamu sheikh na umeshusha nondo ambazo mie nazifahamu kupitia kwa wazee wetu wa karibu. Habari hizo nimezipata kwa wazee ambao walikamatwa pamoja na Sheikh Hassan Bin Ameir wakaitwa wahaini na Nyerere. Kama unanikumbuka kisa cha BaMkwe na masheikh waliopelekwa huko kuteswa ilikuwa hatari kubwa!!! Mmungu awasamehe wote waliozua fitina hizo.
 
Shehe Mohamed Saidi
Kwa mujibu wa Kandoro ambaye alikuwepo katika Jopo la watu 17 walioanzisha TANU, Anazungumza kwamba Mapendekezo ya jina la chama yalikuwa Mengi na wajumbe walileta majina tofauti na yaliwekwa Mezani na jina lililopita (TANU) lililetwa na Lameck Bogohe na sheria za Kwanza/Katiba ya chama zilitengenezwa/zilitungwa na Mwalimu Nyerere na zililetwa kwenye Baraza la TANU kujadiliwa na kupitishwa

Swali langu ni pale unaposema Sykes (wote wawili) ndio waanzilishi Haswa wa Hicho chama wakati Kandoro anazungumza walikuwa ni Jopo la watu 17 na jina TANU alikutoka kwa Sykes bali Lameck Bogohe,

La pili ni pale ulipokanusha Hoja ya Mwanakijiji kuwa Nyerere sie aliyeandika Katiba ya TANU, Lakini aliyekuwepo (Saadan Kandoro) anasema hilo jukumu walimpa MWalimu Nyerere, (swali ni kwa nini?)

Sheikh Mohamed huoni kuwa Wazee wako wa Gerezani walikupotosha na kukupa historia ya chuki na ubinafsi (Udini na Ukabila)?, KAndoro alikuwa ni Mwislamu na Kaliezea vizuri mno hilo tukio la kuundwa kwa TANU bila kujali dini wala Kabila ya Mtu, lakini maelezo yake yapo tofauti sana na Wazee wako wa Gerezani

Narudia tena Sheikh Mohamed Saidi, una hoja nzuri sana ila unaiharibu unapotumbukiza UDINI humo ndani
 
Shehe Mohamed Saidi
Kwa mujibu wa Kandoro ambaye alikuwepo katika Jopo la watu 17 walioanzisha TANU, Anazungumza kwamba Mapendekezo ya jina la chama yalikuwa Mengi na wajumbe walileta majina tofauti na yaliwekwa Mezani na jina lililopita (TANU) lililetwa na Lameck Bogohe na sheria za Kwanza/Katiba ya chama zilitengenezwa/zilitungwa na Mwalimu Nyerere na zililetwa kwenye Baraza la TANU kujadiliwa na kupitishwa

Swali langu ni pale unaposema Sykes (wote wawili) ndio mwanzilishi Haswa wa Hicho chama wakti Kandoro anazungumzia Jopo la watu 17 na jina TANU alikutoka kwa Sykes,
La pili ni pale ulipokanusha Hoja ya Mwanakijiji kuwa Nyerere sie aliyeandika Katiba ya TANU, Lakini aliyekuwepo (Kandoro) anasema hilo jukumu alipewa MWalimu Nyerere

Sheikh Mohamed huoni kuwa Wazee wako wa Gerezani walikupotosha na kukupa historia ya chuki na ubinafsi (Udini na Ukabila)?, KAndoro alikuwa ni Mwislamu na Kaliezea vizuri mno hilo tukio la kuundwa kwa TANU bila kujali dini wala Kabila ya Mtu, lakini maelezo yake yapo tofauti sana na Wazee wako wa Gerezani

Narudia tena Sheikh Mohamed Saidi, una hoja nzuri sana ila unaiharibu unapotumbukiza UDINI humo ndani

K,

Hilo la udini nishalijibu huko nyuma nimesema mimi nimesomeshwa jinsi Kanisa lilivyosaidia kukomesha biashara ya utumwa na jinsi Kanisa lilivyosaidia kuleta elimu wala sijasema huo ni udini.

Sasa iweje mimi kuandika mchango wa Waislam katika uhuru wa Tanganyika iwe udini?

Sasa tuje katika somo letu.

Katika wale watu 17 walioaasisi TANU kila mtu ana "version" yake ya tukio hilo na jina la TANU. Mzee Lameck Bugohe na yeye anasema hivyohivyo kuwa juina katoa yeye. Mimi siwezi kuwakatalia inawezekana kuwa kila mmoja wao alikuwa na jina hilo katika fikra yake. Ila mimi katika kitabu niemeandika asili ya TANU kama nilvyoona katika n yaraka za akina Sykes na wala hili halina ulazima wa kuwa ndiyo "the only credible version." Soma hapa chini na utafanya uamuzi wako mwenyewe:

"Baada ya kufika Chitagong walikaa hapokwa siku chache kisha wakasafirishwa kwenda Imphal, Burma, kwa malori ya Jeshila India. Imphal ina umuhimu mkubwa kwa askari wa Burma waliotoka Tanganyika.Ilikuwa ni hapa, siku ya mkesha wa Krismas mwaka 1945, ambapo Abdulwahid naaskari wengine, pamoja na mdogo wake Ally na James Mkande, walifanyamakubaliano ya kuunda chama cha siasa kudai uhuru wa Tanganyika mara tuwatakaporudi nyumbani baada ya vita. Imphal ilikuwa ndiyo "command centre"ya askari wa Burma. Ilikuwa ukanda wa hatari ambapo Wajapani walikuwa wakipigana hasa naWaingereza. Askari wengi kutoka Afrika waliuawa Burma wakimtumikia Mfalme ilijua lisitue katika Dola ya Waingereza. Watanganyika wengi walipotezea maishayao huko wakipigania kuiokoa Dola ya Waingereza chini ya Mfalme George.Kulikuwa na mwimbo wa kuisifu dola ya Mwingereza uliokuwa ukiimbwa hasamashuleni, baadhi ya maneno yake yakiwa haya:"Dola ya Mwingereza,Imetuletea uhuru,Tunamsifu Baba Marehemu Kingi Joji".
Ilikuwa ni pale Anfal ambapo, huku vitavinafikia ukingoni, Abdulwahid na askariwenzake wa Burma walikaa kitako kutafakari mambo yaliyowasibu katika vita nakuufikiria mustakbal wa Tanganyika. Iliamuliwa kuwa askari wa Burma kutokaTanganyika waliokuwa batalioni ya sita wawe ndio chanzo cha chama cha siasa kupigania uhuru wa Tanganyika kwakuuhamasisha umma. Wote waliafiki wazohilo. Jina lililochaguliwa kukitambulisha chama hicho lilikuwa TanganyikaAfrican National Union (TANU). Ally Sykes anamkumbuka Abdulwahid aliandikajina la chama hicho kilichokusudiwa ndani ya shajara yake. Hawa askari wa Burmawalikuwa wakifahamu vyema kuwa tayari huko nyumbani kulikuwapo na AfricanAssociation, chama ambacho kilikuwa kikipigania haki za Waafrika. Abdulwahidalitarajiwa afahamu hili zaidi ya wenzake kwa sababu baba yake ndiye aliyekianzisha chama hicho akiwa katibuwake wa kwanza. Lakini suala la jinsi wangelivyokiunganisha chama hicho kipyacha TANU na kile cha African Associationili kudai uhuru, halikujadiliwa."

(Nasikitika kusema kuwa hadi sasa watoto wa Abdulwahid Sykes hawajazitoa shajara (diary) za baba yao ziwezi kusomwa na watafiti).

Mohamed
 
Sheikh Saadan Kandoro, ni mwandishi aliyebobea na mwenye Heshima kubwa Tanzania Na East Africa kwa ujumla


Hivi anaweza kuandika kwa mkono wake Mambo ya Uongo? (anaweza kwa sababu ni Binadamu)
1) Alikuwa anataka sifa gani kuelezea kuwa JIna TANU lililetwa na Lameck Bogohe
2) Alikuwa anataka nini aliposema kuwa Sheria za kwanza za Chama zilitengenezwa na JK Nyerere?

Sheikh Mohamed wewe ni mwandishi Mkubwa
Wazee wako wa Gerezani wamekuleza historia ya jina la TANU Lilipoanzia, lakini na Lameck Bogohe na Sheikh Saadan Kandoro pia wameeleza Hilo jina lilipotoka, Cha ajabu wewe ukaamua kusimama upande mmoja tu wa Wazee wa Gerezani

Saadani yeye aliweka kwenye maandishi muda mrefu na hao Wazee wako wa Gerezani walikisoma hiko kitabu cha Saadan na wala Hakukuwahi kuwa na kanusho lolote, iweje wewe uwe upand mmoja tu? (Wazee wa Gerezani)
 
Mzee Mwanakijiji;2690367]Bw. Said, Nyerere alikuja Dar-es-Salaam kwa mara ya kwanza mwaka gani?

Mag3;2690168]Ndugu yangu Nguruvi3, ningekuwa FaizaFoxy ningemwambia huyu Mohamed Said kuwa "ananchekesha". Naanza kuamini kabisa kuwa Mohamed Said hakumfahamu kabisa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wala historia yake zaidi ya porojo alizosimuliwa na Wazee wake. Kabla sijaingia kwa undani katika historia historia ya Mwalimu Nyerere ambayo kama Mohamed Said angefanya utafiti japo kidogo wa kutaka kuijua hiyo historia katu hangetoa hiyo kashfa kwamba Mwalimu alisoma tu hotuba aliyoandikiwa !
1.Kwa nini kabla ya kuanzishwa TANU na licha ya kipindi kifupi walichomfahamu Mwalimu, wazee wa Mohamed walikubali awe nahodha wao na kumkabidhi chombo chao TAA akiongoze kama Raisi wake mwaka 1953 ? Walikuwa hawana mwenye sifa na uzoefu zaidi yake ?

2. Katika huo uchaguzi bila shaka wagombea walipewa nafasi ya kujieleza, je hali likuwaje baada ya Mwalimu Nyerere kujieleza ?

3.Baada ya kuanzishwa kwa TANU mwaka 1954, uchaguzi wa Raisi wa kwanza wa TANU uliwahusisha akina nani kama wagombea au Nyerere alikosa mpinzani ? Je wajumbe waliomkataa Mwalimu Nyerere walikuwa wangapi na ni akina nani ?

4.Je yawezekana kuwa kweli kwamba Wazee wa Mohamed hawakuwahi kumsikia Mwalimu Nyerere kabla ya 1952

Kwa mtu anayejua historia ya Nyerere hawezi kuthubutu kutoa madai ya kipuuzi kama anavyofanya Mohamed Said, madai potofu ambayo hakuna namna ya kuyaelezea zaidi ya chuki za kidini zinazotokanana na simulizi za wazee zisizokuwa na msingi wowote. Mwalimu alikuwa na uwezo mkubwa wa kujieleza na ndiye kiongozi barani Afrika aliyeweza kuwakabili viongozi wa mataifa makubwa on one to one basis. Na wote kuanzia Indira Gandhi wa India, Mao Tse Tung wa China, Olof Palme wa Scandinvia, John Kennedy wa Marekani, Malkia Elizabeth wa United Kingdom na kutoka kila pembe ya dunia aliweza kukabiliana nao hoja kwa hoja na wakamkubali. Sasa hawa Wazee wa Gerezani wanapata ujasiri gani wa kupandikiza hizi mbegu za chuki kwa mtoto wao dhidi ya Baba wa Taifa ! Wangekuwa hai tungewahoji but ... how convenient kwa Mohamed Said !
Nitarejea katika hotuba ya uhuru iliyoandikwa 1950 ili kujua ni chama gani cha kisiasa kilikuwa kiiwakilishe UNO.

Mzee Said, Ili kutokuchanganya mambo, kuna maswali hayo hapo juu ambayo hujayajibu. Tafadhali tujibu ili tuendelee na mnakasha inshallah.
 
Nafahamu sheikh na umeshusha nondo ambazo mie nazifahamu kupitia kwa wazee wetu wa karibu. Habari hizo nimezipata kwa wazee ambao walikamatwa pamoja na Sheikh Hassan Bin Ameir wakaitwa wahaini na Nyerere. Kama unanikumbuka kisa cha BaMkwe na masheikh waliopelekwa huko kuteswa ilikuwa hatari kubwa!!! Mmungu awasamehe wote waliozua fitina hizo.

M,

Kinara wa kwanza kwa fitna ile alikwenda Unguja akamuangukia Sheikh Hassan bin Amir. Msafara uliotoka Dar es Salaam kwenda kwa Sheikh ulikuwa ndani yake yuko Sheikh Maulid Digila na Sheikh Ramadhani Abbas. Unguja ukaungana na Sheikh Amir Tajo na Sheikh Issa Fatawi wote hao kutoka Dar es Salaam na Zanzibar ni wanafunzi wa Sheikh Hassan bin Amir.

Wakaenda kwa Sheikh Hassan. Mzungumzaji alikuwa Sheikh Issa Fatawi. Alimshika miguu Sheikh Hassan akilia na Sheikh Hassan vilevile wakati ule miaka 100 na yeye alilia sana. Sheikh akamsamehe akamwambia, "Wewe unajua wewe sasa ukirudi Daresalama uende ukasomeshe kitabu cha Allah."

Ile ikawa kama vile sasa Sheikh kampa ijaza na Sheikh hadi anakufa akawa anasomesha darsa Msikti wa Mtoro. Mimi nikihudhuria darsa yake ya tafsir ya Qur'an baada ya L' Asr.

Mohamed
 
m said na FF sasa huu mnakash mnaugeuza kuwa "Laurel and Hardy show" mnalizana machozi,mwageni nondo tupate elimu,hayo mengine si wakti wake huu

Ukiisoma post iliyoniliza machozi si iliyoandikwa na Mohamed Said, rejea posts.

Mohamed Said MashAllah Mwenyeezi Mungu amzidishie kila la kheri, anayotuletea humu yameniliza zamani, hao anaowaandika wengi wao nimewaona machoni na wengi wa watoto zao nimecheza na kusoma nao na wengi wao ni marafiki zangu sana tu. Kwa mfano amemtaja Sisso, huyu Marehem Sisso alikuwa hatoki nyumbani kwetu, kutwa yupo hapo na vituko na habari zake nyingi sana nazikumbuka na alikuwa akiingia nyumbani tukimuona tu tunaanza kucheka, kumbuka, nyumbani kwetu na ofisi za TANU ni ubavu kwa ubavu. Hata Nyerere alikuwa na kawaida ya kuja kusalimia mara kwa mara alipokuja ofisi za TANU. Nalia na nawaombea Dua huko walipo Mwenyeezi Mungu awarehem na awasameh, kila wanapotajwa kwani nawaona machoni.
 
Ukiisoma post iliyoniliza machozi si iliyoandikwa na Mohamed Said, rejea posts.

Mohamed Said MashAllah Mwenyeezi Mungu amzidishie kila la kheri, anayotuletea humu yameniliza zamani, hao anaowaandika wengi wao nimewaona machoni na wengi wa watoto zao nimecheza na kusoma nao na wengi wao ni marafiki zangu sana tu. Kwa mfano amemtaja Sisso, huyu Marehem Sisso alikuwa hatoki nyumbani kwetu, kutwa yupo hapo na vituko na habari zake nyingi sana nazikumbuka na alikuwa akiingia nyumbani tukimuona tu tunaanza kucheka, kumbuka nybani kwetu na ofisi za TANU ni ubavu kwa ubavu. Hata Nyerere alikuwa na kawaida ya kuja kusalimia mara kwa mara alipokuja ofisi za TANU. Nalia na nawaombea Dua huko walipo Mwenyeezi Mungu awarehem na awasameh, kila wanapotajwa kwani nawaona machoni.
EMOTIONS sio wakati wake huu,hapa there is a lot at stake!!! Shujaa wa nchi,watu wamemsubiri aitwe mbele ya haki ndio wam crucify akiwa hai these voices were numb
 
EMOTIONS sio wakati wake huu,hapa there is a lot at stake!!! Shujaa wa nchi,watu wamemsubiri aitwe mbele ya haki ndio wam crucify akiwa hai these voices were numb

Namwachia Mohamed Said, nnajuwa jibu lake kwa reference.
 

M,

Kinara wa kwanza kwa fitna ile alikwenda Unguja akamuangukia Sheikh Hassan bin Amir. Msafara uliotoka Dar es Salaam kwenda kwa Sheikh ulikuwa ndani yake yuko Sheikh Maulid Digila na Sheikh Ramadhani Abbas. Unguja ukaungana na Sheikh Amir Tajo na Sheikh Issa Fatawi wote hao kutoka Dar es Salaam na Zanzibar ni wanafunzi wa Sheikh Hassan bin Amir.

Wakaenda kwa Sheikh Hassan. Mzungumzaji alikuwa Sheikh Issa Fatawi. Alimshika miguu Sheikh Hassan akilia na Sheikh Hassan vilevile wakati ule miaka 100 na yeye alilia sana. Sheikh akamsamehe akamwambia, "Wewe unajua wewe sasa ukirudi Daresalama uende ukasomeshe kitabu cha Allah."

Ile ikawa kama vile sasa Sheikh kampa ijaza na Sheikh hadi anakufa akawa anasomesha darsa Msikti wa Mtoro. Mimi nikihudhuria darsa yake ya tafsir ya Qur'an baada ya L' Asr.

Mohamed
Sintamlaumu dobi Kaniki ndiyo Rangi yake!!
 
FF,Unajua ikiwa mtu utaishi karibu na hawa watu utajua jinsi walivyokuwa hawatujui kabisa. Mimi binafsi mara chungu mzima nimejitahidi kuwaleza Dar es Salaam ilivyokuwa, wazee wetu walikuwa watu wa namna gani. Nini ustaarabu wa watu wa pwani na dini ya Kiislam. Mengi mengi sana.

Wameaminishwa kuwa Waswahili hawawezi kitu ndiyo sasa hiyo historia ya "superman" sasa leo kusikia kumbe mambo hayakuwa kama walivyoelezwa mshtuko waliopata ni mkubwa sana. Mimi hili nimelishuhudia hapo Dar es Salaam University nawaambia babu yangu alikuwa katika harakati hizi miaka mingi sana kabla. Nawaeleza habari za Mzee Kleist wamepigwa na butwaa.

Basi hiyo imekwenda hadi katika uhusiano wa mtu kwa mtu. Haya mie nakutananayo kila siku. Umeshuhudia humu ukumbini wewe mwenyewe shida walizonazo hawa ndugu zetu.Leo kuhadithia habari hizi zishakuwa ati ni "porojo."Hawa wakiishi na watu na watu hawa ndiyo wazee wetu sisi.Mohamed
Mzee Said unapoteza uelekeo na pengine vijana wamekuvuta na kuingia katika mtego wao.
Sidhani kuwa umeweka makala hapa ili watu wasome tu, vinginevyo wangesoma vitabu na magazeti. Elewa kuwa kuulizwa maswali au hoja si matusi wala upungufu wa kuelewa ni weledi wa fikra na tashwishi ya kufahamu.

Watu wamesema makala zako zina lengo la udini, umejaribu kukanusha mara nyingi bahati mbaya unajisahau vijana wanapokushangilia na kujikuta unatoa siri za moyoni. Hiyo haina shida na ni haki kabisa kwa mtazamo wa kila mmoja, lakini inaondoa thamani ya kile unachotaka kukilingania kwa wasomaji.

Unaposema hawa watu, ni akina nani? makala zako inawezekana hazijasomwa na waislam na hata kama wamesoma pengine hawakuweza kuzielewa kuliko watu wengine. Kwahiyo si haki kusema hawa watu, hiyo ni kuligawa taifa na sijui kama ndio lengo la vitabu vyako.
Wale wanaosema porojo wana hoja kwasababu hutaki kujibu maswali yanayoonekana kukinzana na uandishi au dhima yako.

Umesema(ushahidi upo) kwa maneno yako siyo 'only credible version' na ukaongezea kuwa 'una mapungufu uliyoyafanya' sasa unapoelewa hivyo kwanini usiwe tayari kukubaliana au kutokubaliana kwa hoja? badala ya name calling, despise na matusi ya kifasihi ingawa wewe hupendi kutusiwa hata kidogo. This kind of narcism and hatred haipo katika uislam.

Kupitia mnakasha huu watu wamejifunza mengi si kutoka kwako bali kwa kila mmoja alivyojaaliwa. Haina maana waliochangia sio waislam au ni waislam tu bali ni watanzania. Kwa kauli zako ni uungwana kama utaomba radhi kwa jitihada za kuwagagawa watu 'wale na sisi'

Mzee Said, kama maswahaba walitofautina, maimam wakatofautiana hadi kukatokea akina Shafi, Hanafi, Hambali, Maliki n.k lakini bado hawakudhihakiana au kutengana kwa' wale na sisi', vipi jamii iliyojaa mchanganyiko kama yetu ishindwe kuwa na tofauti?
Najaribu kufuatilia communication skills yako halafu nailinganisha na ya akina marhum Didat, with all due respect I draw a clear contrast.

Na mwisho naomba usiamnishe watu kuwa unawaambia ukweli, ukweli mtupu. Ni vema usema unaandika unachokifahamu. Kama maneno yako ni kweli tupu inakuwaje useme'not only credible version' na kukubali mapungufu?

Tafadhali jibu maswali unayoulizwa na si kuzunguka zunguka. Unapokataa kujibu maswali unazidi kuondoa credibility ya makala zako na ikifika hapo tunajiuliza kwanini vitabu vyako vitumike katika mtaala wa shule yoyote!

Ni mwalimu au profesa gani anayeweza kutumia reference ya mwandishi ambayo imeficha baadhi ya ukweli,ina hisia za chuki, inatuhuma zisizothibitika na kwa upande mwingine mwandishi ima hataki au hawezi na pengine hajui kwanini ameandika kifungu fulani.

Ahsante
 
Mzee Said unapoteza uelekeo na pengine vijana wamekuvuta na kuingia katika mtego wao.
Sidhani kuwa umeweka makala hapa ili watu wasome tu, vinginevyo wangesoma vitabu na magazeti. Elewa kuwa kuulizwa maswali au hoja si matusi wala upungufu wa kuelewa ni weledi wa fikra na tashwishi ya kufahamu.

Watu wamesema makala zako zina lengo la udini, umejaribu kukanusha mara nyingi bahati mbaya unajisahau vijana wanapokushangilia na kujikuta unatoa siri za moyoni. Hiyo haina shida na ni haki kabisa kwa mtazamo wa kila mmoja, lakini inaondoa thamani ya kile unachotaka kukilingania kwa wasomaji.

Unaposema hawa watu, ni akina nani? makala zako inawezekana hazijasomwa na waislam na hata kama wamesoma pengine hawakuweza kuzielewa kuliko watu wengine. Kwahiyo si haki kusema hawa watu, hiyo ni kuligawa taifa na sijui kama ndio lengo la vitabu vyako.
Wale wanaosema porojo wana hoja kwasababu hutaki kujibu maswali yanayoonekana kukinzana na uandishi au dhima yako.

Umesema(ushahidi upo) kwa maneno yako siyo 'only credible version' na ukaongezea kuwa 'una mapungufu uliyoyafanya' sasa unapoelewa hivyo kwanini usiwe tayari kukubaliana au kutokubaliana kwa hoja? badala ya name calling, despise na matusi ya kifasihi ingawa wewe hupendi kutusiwa hata kidogo. This kind of narcism and hatred haipo katika uislam.

Kupitia mnakasha huu watu wamejifunza mengi si kutoka kwako bali kwa kila mmoja alivyojaaliwa. Haina maana waliochangia sio waislam au ni waislam tu bali ni watanzania. Kwa kauli zako ni uungwana kama utaomba radhi kwa jitihada za kuwagagawa watu 'wale na sisi'

Mzee Said, kama maswahaba walitofautina, maimam wakatofautiana hadi kukatokea akina Shafi, Hanafi, Hambali, Maliki n.k lakini bado hawakudhihakiana au kutengana kwa' wale na sisi', vipi jamii iliyojaa mchanganyiko kama yetu ishindwe kuwa na tofauti?
Najaribu kufuatilia communication skills yako halafu nailinganisha na ya akina marhum Didat, with all due respect I draw a clear contrast.

Na mwisho naomba usiamnishe watu kuwa unawaambia ukweli, ukweli mtupu. Ni vema usema unaandika unachokifahamu. Kama maneno yako ni kweli tupu inakuwaje useme'not only credible version' na kukubali mapungufu?

Tafadhali jibu maswali unayoulizwa na si kuzunguka zunguka. Unapokataa kujibu maswali unazidi kuondoa credibility ya makala zako na ikifika hapo tunajiuliza kwanini vitabu vyako vitumike katika mtaala wa shule yoyote!

Ni mwalimu au profesa gani anayeweza kutumia reference ya mwandishi ambayo imeficha baadhi ya ukweli,ina hisia za chuki, inatuhuma zisizothibitika na kwa upande mwingine mwandishi ima hataki au hawezi na pengine hajui kwanini ameandika kifungu fulani.

Ahsante

Nguruvi,

Ndugu yangu wewe hodari wa kunifanyia majumuisho.
Nimesoma uzi wote sikuweza kukuelewa.
Si kitu.

Nimenyanyambua kitu kimoja tu humo nacho kuwa "nina udini."

Hii nishajibu mara nyingi sana na nitajibu tena.

Mimi nimesomeshwa jinsi kanisa lilivyoleta elimu na kusaidia kukomesha
biashara ya utumwa.

Mabuku na mabuku yameanidikwa kuhusu hayo.

Sijasikia popote kuwa huo ni udini.

Udini ni pale ninapoandika kitabu kinachorekebisha kupotoshwa
kwa historia ya kweli na mchango wa Waislam katika kupambana
na ukoloni.

Natoa fikra.

Tukubaliane kutokubaliana na tujikite katika historia yenyewe
tusomeshane wanaukumbi wanufaike na elimu hii.

Tusijikwamishe kama santuri ikifika kwenye shimo haiendi mbele.


Mohamed
 
Namwachia Mohamed Said, nnajuwa jibu lake kwa reference.

Yawezekana sikuipata vizuri. Ikiwa nimekosea utaniwia radhi.

Una maana nimeandika kitabu Nyerere kesha kufa?

Tafadhali nijibu ili nikueleze mambo yote yalivyokuwa Insha Allah
ikiwa umekusudia kuwa nimesubiri Nyerere hayupo ndiyo nasahihisha
historia.

Mohamed
 
Mohamed Said;2694508]Nguruvi, Nimenyanyambua kitu kimoja tu humo nacho kuwa "nina udini."
Udini ni pale ninapoandika kitabu kinachorekebisha kupotoshwa kwa historia ya kweli na mchango wa Waislam katika kupambana
na ukoloni. Natoa fikra
Hii ndiyo lugha ya marekebisho ya historia mzee Said
Mohamed Said;2692569]FF,Unajua ikiwa mtu utaishi karibu na hawa watu utajua jinsi walivyokuwa hawatujui kabisa. Mimi binafsi mara chungu mzima nimejitahidi kuwaleza Dar es Salaam ilivyokuwa, wazee wetu walikuwa watu wa namna gani. Nini ustaarabu wa watu wa pwani na dini ya Kiislam. Mengi mengi sana. Wameaminishwa kuwa Waswahili hawawezi kitu ndiyo sasa hiyo historia ya "superman" sasa leo kusikia kumbe mambo hayakuwa kama walivyoelezwa mshtuko waliopata ni mkubwa sana. Nawaeleza habari za Mzee Kleist wamepigwa na butwaa Tukubaliane kutokubaliana na tujikite katika historia yenyewe
tusomeshane wanaukumbi wanufaike na elimu hii. Tusijikwamishe kama santuri ikifika kwenye shimo haiendi mbele. Mohamed
Nakubaliana nawe, tukwamue santuri iliyokwama hapa
Mag3;2690168]1.Kwa nini kabla ya kuanzishwa TANU na licha ya kipindi kifupi walichomfahamu Mwalimu, wazee wa Mohamed walikubali awe nahodha wao na kumkabidhi chombo chao TAA akiongoze kama Raisi wake mwaka 1953 ? Walikuwa hawana mwenye sifa na uzoefu zaidi yake ?

2. Katika huo uchaguzi bila shaka wagombea walipewa nafasi ya kujieleza, je hali likuwaje baada ya Mwalimu Nyerere kujieleza ?

3.Baada ya kuanzishwa kwa TANU mwaka 1954, uchaguzi wa Raisi wa kwanza wa TANU uliwahusisha akina nani kama wagombea au Nyerere alikosa mpinzani ? Je wajumbe waliomkataa Mwalimu Nyerere walikuwa wangapi na ni akina nani ?

4.Je yawezekana kuwa kweli kwamba Wazee

Mzee Mwanakijiji;Bw. Said, Nyerere alikuja Dar-es-Salaam kwa mara ya kwanza mwaka gani?
 

Faiza,

Umenitoa machozi. Nami yamenikuta wakati wa kwenda High School.
Nikaachwa wakapelekwa wenye credit 3.

Kila ofisi nilokwenda kuomba kazi wakiangalia transcript yangu wanashangaa
vipi sikuchaguliwa High School.

Mtu mmoja anaitwa Vulu akanionea huruma alikuwa Muislam akanifanyia mpango nikapata
kazi katika shirika la umma. Wala hakuwa ananijua.

Mama yangu Mungu amrehemu kila akienda sijda alikuwa anamshtakia Allah kwa dhulma
aliyofanyiwa mwanae.

Allah alilipokea chozi la mama yangu...

Leo niko hapa nawaeleza dhulma zao dhidi ya Waislam.

Mohamed


Hizi TRUE STORY zinasikitisha sana kuhusu hii Dhulma iliyofanywa na Mzee Nyerere na Wafuasi wake. Ni wajibu wa kila MTZ na wale wasiopenda dhulma kuzungumzia na kuelezea mabaya makubwa yaliyofanywa na Dictator Nyerere.
 

Yawezekana sikuipata vizuri. Ikiwa nimekosea utaniwia radhi.

Una maana nimeandika kitabu Nyerere kesha kufa?

Tafadhali nijibu ili nikueleze mambo yote yalivyokuwa Insha Allah
ikiwa umekusudia kuwa nimesubiri Nyerere hayupo ndiyo nasahihisha
historia.

Mohamed

Hii hapa historia yangu kwa muhtasari pamoja na filosofi yangu:
"Mwaka 1988, katika sherehe ya kuadhimishamiaka thelathini ya Azimio la Tabora, Nyerere aliwasifu wanachama wa mwanzo waTANU ambao walijiunga na chama kati ya mwaka 1954 na mwaka 1958. Nyererealisema: ëHicho kilikuwa kipindi kigumu sana katika historia ya Chama chetu nani watu wachache sana walikuwa na ujasiri wa kujiunga na chama na kukifanyikakazií. [1]Jambo la kustaajabisha katika kauli ya Nyerere ni kuwa wakati yeye anawasifuwatu waliojiunga na TANU katika ya mwaka wa 1954 na 1958 yeye binafsihajawaenzi wale ambao siyo tu walijiunga na TANU bali ndiyo waasisi wa TANUyenyewe. Kwa hali hii inakuwa vigumu kuamini kama kauli yake ilikuwa inatokakwenye dhati ya nafsi yake.
Katika kuunga mkono kauli ya Nyererekuhusu kuwakumbuka mashujaa wa uhuru wa Tanganyika, na kwa kutaka kuitikia ilechangamoto yake ya kutaka historia ya kweli ya TANU iandikwe kama alivyosemamwaka wa 1974 na 1985, niliandika na ilichapwa katikaAfrica Events (March/April 1987) [1]ambayo Abdulwahid na wazalendo wengine wa TANU zilielezwa habari zao. Katikamakala yale mwandishi alifanya jambo ambalo kabla yake lilikuwa halijafanywa namwandishi yeyote. Mwandishi alisema kuwa Waislam ndiyo walikuwa mstari wa mbalekatika kupigania uhuru. Wakati ule ilikuwa mwiko kabisa kunasibisha Uislam auWaislam na harakati za kudai uhuru. Mwandishi alipewa kemeo kali kutoka kwamwanahistoria wa CCM, Dr Mayanja Kiwanuka,[1] kiongozi wa jopo lililoandikaHistoria ya Chama Cha TANU 1954-1977, kitabu kinachoeleza historia rasmi yaChama. Mwanahistoria wa Chama ChaMapinduzi alikuwa na haya ya kusema dhidi ya mwandishi: "makala inadai kuwa ingawa WaislamTanzania walitoa mchango muhimu katika harakati za kudai uhuru, zipo juhudi zamakusudi za kufifilisha mchango wao. Kutokana na hayo, makala nzima ina nganoili kuipa nguvu fikra zake, zaidi kwa kutaja majina ya wazalendo wa TANU ambaoimetokea kuwa ni WaislamÖ Ukuu wa TANU, na hasa ukuu wa kiongozi-muasisi wake,Mwalimu Nyerere, ni kuwa, baada ya muda mfupi tu toka kuasisiwa (TANU), ikawezakuwaunganisha watu katika vuguvugu la utaifa lenye nguvu, lau kama watu haowalikuwa tofauti kwa kabila, utamaduni na dini zao. Nia ya Said ni kupandiza chuki,kwa bei yoyote ile, ukweli kwake yeye si kitu muhimu."[1]
Hizi ndizo fikra za Kiwanuka, ambaealiaminiwa na CCM kusimamia utafiti na uandishi wa historia mahsusi ya TANU.Kilichomkera ni kusema kuwa Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katikakudai uhuru wa Tanganyika. Kwa ajili ya kuwataja Waislam, makala ya utafitiikawa sawasawa na ngano, yaani hadithi. Mwandishi akatuhumiwa kusema uongo.Kiwanuka hakuweza kuuepuka msimamo wa Chama wa kutia mkazo katika kumsifu mtummoja, Nyerere peke yake katika kuasisi TANU - "Ukuu wa TANU, na hasa ukuu wakiongozi-muasisi wake, Mwalimu Nyerere" Wakati akiandika maneno haya Kiwanukaalikuwa Katibu Msaidizi katika Idara ya Propaganda na Uhamasishaji Umma katikaChama Cha Mapinduzi. Mwandishi alijibu mashambulizi ya Kiwanuka kwa kuelezakuwa yote aliyoyaandika ni matokeo ya utafiti.[1] Kufuatia majibu hayaKiwanuka aliandika fedhuli kwa kumuita mwandishi ëmwanahistoria asiye kuwa nakimoí na akamtisha mwandishi kwa kuapa kuwa endapo atajaribu kuibadishahistoria ya Tanzania atamwandama yeye na ndugu zake.[1] Baada ya mjadala huu bainaya mwandishi na Kiwanuka, watu wengi walijitokeza kumuunga mkono mwandishi nahuo ndiyo ukuwa mwisho wa ubishi. Kingine cha kustaajabisha ni kuwa anaeiweka historia kwa kufanya utafitina kuiandika sawa, ndiyo anayetishwa na wale waliopotosha historia wanaachiwawaendelee kuipotosha historia na kuifanyia fisadi kadri watakavyo. Kiwanukaakiwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, aliandika tasnifu kuhusuuhusiano wa Waislam na Wakristo Tanzania. Tasnifu hii ni muhimu kwa kilamwanafunzi wa historia ya uhuru wa Tanzania, hasa miaka kumi ya mwanzo baada yauhuru. [1]
Kutokana na makala za mwandishizilizokuwa zinaitafsiri upya historia ya Tanzania kwa kuuweka mbele Uislam kamaitikadi ya kupinga dhulma ya aina yoyote pamoja ukoloni, Fr. Peter Smith,mtaalamu wa uhusiano kati ya Waislam na Wakristo katika Kanisa Katoliki, katikajuhudi za kupinga ukweli huo, alijibu kwa makala mbili.[1] Katika makala mojaalisema: "Kuna historia mpya zinazoandikwa hivisasa zinazojaribu kuonyesha kuwa vuguvugu la mwanzo kuiunga mkono TANU lilikuwavuguvugu la Kiislam. Ukweli ni kuwa Waislam walihusika, halikadhalika Wakristoñ vuguvugu lilikuwa la utaifa, ingawa halikuwa la kupinga dini, lilikuwa nivuguvugu la kisekula."[1]
Father Smith wa Kanisa Katoliki na CCMinaelekea wote wana mawazo sawa katika utata huu wa historia ya Waislam nauhuru wa Tanganyika.[1]Wote wawili, Kiwanuka, mwanahistoria wa CCM na Padri Smith, mtaalamu wa Uislamkatika Kanisa Katoliki wanatoa mawazo yao binafsi. Hawaangalii historiaunadhihirisha ukweli gani. Hakuna anaekataa kuwa Wakristo walikuwepo. Ukweli nikuwa majina ya Kikristo yapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika. Lakiniwalikuwa ni wachezaji wa pembeni si katikati ya jukwaa. Kitabu hiki kimeonyeshanafasi ya Waislam na Uislam katika kupambana na ukoloni, mchango wao katikakuunda TANU, kukipa chama wanachama na katika kuutumia Uislam wenyewe kamaitikadi ya mapambano. Baraza la Wazee wa TANU Jimbo la Dar es Salaam chini yamwenyekiti wake wa kwanza Sheikh Suleiman Takadir lilikuwa na wajumbe mia mmojana sabini na tatu, wote Waislam.[1]
Kutokana na Kiwanuka, mwandishi katikakumbukumbu ya miaka ishirini toka Abdulwahid afariki dunia, aliamua kuandikahistoria fupi ya maisha yake.[1] Abdulwahid ili kukomesha upinzani wote kwawakati ule na hapo baadae kuhusu nafasi ya Abdulwahid katika kuasisi TANU nakudai uhuru wa Tanganyika. Makala hii ilifuatiwa na kumbukumbu iliyotolewa nawatoto wake katika gazeti la CCM - Uhuru, na gazeti la serikali ñ Daily News. [1]Wahariri wa magazeti ya Chama na serikali waliposoma wasifu wa Abdulwahidtayari wakawa wameshatatizwa na habari zilizokuwa katika kumbukumbu ile. Tatizokubwa lilikuwa habari zilizoandikwa katika kumbukumbu ile zilizokuwazinahusisha jina la Abdulwahid na matukio muhimu katika historia ya Tanganyika.Mhariri wa Daily News, Reginald Mhango, alimpigia simu mtoto wa Abdulwahid,Kleist na kumweleza kuwa hatoweza kuchapisha kumbukumbu ile hadi amepata idhinikutoka Dodoma, Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi. Hakijulikani kilichofanyikalakini kwa bahati nzuri kumbukumbu zote mbili zilichapishwa na kutokea katikamagazeti yote, ya chama na serikali siku ya pili yake.
Mwaka a 1986, miaka miwili kabla, baadaya takriban miaka ishirini na tano ya ukimya, Ally Sykes alikubali kufanyamajadiliano na mwandishi wa Kiingereza Paula Park. Park akachapisha majadilianoaliyofanya na Ally Sykes kuhusu ukoo wa Sykes na mchango wao katika historia ya uhuru wa Tanganyika.[1]Makala ile iliposomwa Ally Sykes akawa anapata simu kutoka kwa marafiki zake nakwa wafanyabiashara wenzake wakitaka uhakika kama yale yaliyoandikwa katikagazeti lile kweli yeye ameyasema. Haukupita muda mrefu, maofisa wa Idara yaUhamiaji walimtembelea Park na kumuomba aondoke nchini.
Hivi ndivyo mambo yalivyo na mwandishiamekuwa akiulizwa maswali mengi na watu mbalimbali kuhusu ukweli ya yalealiyokuwa akiyaandika katika mchango wa Abdulwahid katika uhuru wa Tanganyika.Wasiwasi huu umekuwapo lau kama mwandishi amefanya rejea nyingi na za kutoshakutoka magazeti ya zamani, vitabu,majarida na kumbukumbu zingine za wakati waukoloni. Juu ya wasiwasi wote uliokuwapo hakuthubutu kujitokeza yeyote kupingayake mwandishi aliyoandika kuhusu historia ya Abdulwahid katika TANU na uhuruwa Tanganyika. Hata mwanahistoria wa CCM hakunyanyua kalamu yake. Hali hii yaCCM kuikataa historia yake na wakati huo huo ikidai kuwa haijaweza kuihifadhihistoria yake inatoa mvuto fulani kwa watafiti kutaka kujua kulikoni. Ukweli wakuwa CCM imeandika historia yake lakini hapo hapo imeonekana upo upungufumkubwa unaweka wazi suala la utafiti ufanywe na watafiti huru ili ukweli upatekujitokeza. Somo la historia ya uhuru wa Tanganyika bado lipo wazi kwa utafitizaidi.
Ni kitu gani kimesababisha haya yote. Huuukweli unafichwa ni mpango maalum wa viongozi walioingia TANU katika sikuzamwisho za mapambano kuanzia mwaka 1958 baada ya Mkutano wa Tabora ? Kwa ninijina la Abdulwahid na majina ya wazalendo wengine yamefutwa katika historia?Hao wanaofanya hivi wanataka wapate nini na kwa manufaa ya nani? Unapoingiamlango mkuu wa Makao Makuu ya CCM Dodoma huwezi kukosa kuiona picha kubwa sanailiyotundikwa juu ya ukuta ikitazama mlango. Picha hii ni ile picha ya waaasisiwa TANU iliyopigwa tarehe 7 Julai, 1954 na mpiga picha maarufu wa wakati uleGomez. Abdulwahid anaonekana akiwa amevaa miwani ya jua akiwa amesimama kushotokwa Dossa Aziz; wote wamevaa suti na tai. Abdulwahid anaiangalia kamera. Raismstaafu Julius Kambarage Nyerere amevaa kaptura na soksi ndefu hadi magotiniamekalia benchi mkono wa kushoto wa John Rupia. Aliyesimama nyuma ya Nyerere,Saadani Abdu Kandoro. Picha hii ndiyo kumbukumbu ya Abdulwahid iliyobaki katikaChama. Jina lake litaandikwa katika orodha ya jumla pale inapobidi kuorodheshwamajina ya wale waasisi kumi na saba wa TANU.
Haiwezekanikabisa mtafiti akafanyautafiti kuhusu TANU na asimtaje Abduwahid. Haiwezekani kabisa akatajwaAbdulwahid na ikaachwa kutajwa Al Jamiatul Islamiyya. Haiwezekani kabisaikatajwa Al Jamiatul Islamiyya na ikaachwa kutajwa TANU na kinyume chake nihivyo hivyo. Haiwezekani akasifiwa Abdulwahid kwa yale yote aliyoifanyia nchiyake na baba yake asitajwe pamojanae. Hakuna mtafiti yeyote atakaeweza kuandikamaisha ya Nyerere na akaacha kumtaja Abdulwahid na wale waliokuwanao wakati ulena jinsi walivyomsaidia kufika pale alipofika. Wengi wanahofu kuwa katikakufanya hivyo ni sawa na kutonesha kidonda kutoka kwa jamii ya Waislam. IngawaWaislam ndiyo walioleta uhuru wa Tanganyika, manufaa ya uhuru ni madogo sanakwao. Ni vyema kama simanzi katika kumbukizi hizi zikabaki zimesahaulika.Njia iliyobaki kuziacha ziwezimesahaulika ni kujaribu kufuta historia ya uhuru wa Tanganyika."

Muda huu wote haya yanatendeka na minakasha inaendelea Nyerere yu hai.

Sasa nakuhutimishia na hii hapa chini:

"The late Prof. Haroub Othman after reading Sheikh Ali Muhsin's book Conflict and Harmony in Zanzibar and thewriter's book The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 -1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialismin Tanganyika, Minerva Press, London 1998 andhaving come across hitherto unknown information on Nyerere was devastatedbecause he was a great admirer of Nyerere as a patriot and a nationalist. Thetwo books had painted him differently. Prof. Haroub confronted Nyerere and toldhim that the allegations in those two works have tarnished his image and headvised him to respond to them. Nyerere never did. Christian lecturers at Dares Salaam University are discouraging students from making references to thosetwo books. Dr. Harith Ghassany's book KwaheriUkoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Nyererehitherto unknown in the Zanzibar Revolution and the bloodbath which followed."

Mohamed
 
Prof. Haroub confronted Nyerere and toldhim that the allegations in those two works have tarnished his image and headvised him to respond to them. Nyerere never did. Christian lecturers at Dares Salaam University are discouraging students from making references to thosetwo books. Dr. Harith Ghassany's book KwaheriUkoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Nyererehitherto unknown in the Zanzibar Revolution and the bloodbath which followed."

Mohamed

a. Ni lini Prof. Othman alimconfront Nyerere kumtaka ajibu hoja za zilizokuwa zikiibuliwa dhidi yake?
b. Kitabu chako cha Kiingereza kuhusu Sykes ulianza kuandika lini na kilikamilika lini ukijumlisha utafiti hadi uandishi?
 
Udini wa Nyerere ulivuka mipaka hadi kujikuta kila kitu anafanya yeye mwenyewe!

Hawa ndugu zetu wameshajenga chuki dhidi ya Nyerere kwamba lolote baya ilikuwa kazi ya Nyerere,hata kama muislamu ndiye kafanya.

Faiza anamhukumu Nyerere kwa kukosa kuchagulliwa secondary, kaweka udini. Nitamwambia hata mimi sikuchaguliwa sekondari wakati darasani nacheza moja na mbili. Mzazi wangu alipofuatilia akakuta nimefaulu lakini ofisa elimu mkoa ndiye kachakachua. Baada ya kumkalia kooni nikachaguliwa second selection. Sasa na mimi niseme Nyerere ndo alichakachua jina langu?

Kinachodhihiri hapa ni kwamba wanaomtuhumu Nyerere kuwa mdini ndio WADINI! period

Mwita. Umeiona tofauti? Wewe ulipowakalia kooni ukachukuliwa 2nd take. Mimi wazee wangu hawakuwa na uwezo wako wa "kuwakalia kooni" walienda kiungwana na walichojibiwa ndio hicho, ni "repeat". Hapo sasa panakuonesha tofauti ukiwa Muislaam unakuwa treated vipi.

Lakini, kwa sasa nashkuru kuwa sikupelekwa walipopataka wao na siku "repeat" na nikaipata hiyo elimu kwingine tena nna uhakika kwa ubora zaidi. AlhamduliLlah.
 
Sheikh Mohamed Said Nakupa mji maana hapa umemaliza Mag3 na historia yake ya kuunga unga. Chukua mji sheikh nenda Muscat ukafanye shopping ya kanzu ya msikitini duh unatisha mno kwa data!!!!

MashaAllah, akifika huko asikose kwenda kula tende kwa Barubaru na nnauhakika Barubaru atamkirim kwa "shuwa", maana ukarim wa wa Oman umejuwa haswa mji wa kumpa. Mimi nampa Makkah akitoka Muscat apitie huko akafanye "Umrah", hapo atakutana na ndugu yetu Hussein "shaft", kijukuu cha Bi Hawa na Bi Masha na rafiki Mkubwa wa Kleist Sykes na Wendo Mwapachu, nna uhakika Sheikh Hussein atakupokea na kukupeleka vilima vya Hira.
 
Back
Top Bottom