Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Sheikh MS,

Mada yako ilikuwa nzuri sana kama USINGELIINGIZA HARUFU YA UDINI..Hapo ndipo ulipochafua.
Ukishaanza tu kubagua kati ya UISLAMU na UKRISTO basi kwa Watanzania tulio wengi umeshapoteza mwelekeo.
Tungelikusoma vizuri sana kama usingeleta hoja za ubaguzi wako wa kidini.

Labda ufute kauli zako za Kidini ndipo tutaanza kukusoma vizuri na kukupa miji na majiji.
Kwa sasa mimi nasema I am sorry!

Makoye,

Hakika ni bahati mbaya kuwa unaona kueleza habari za Waislam na mchango wao katika siasa ni udini.

Mimi nimesomeshwa sana mchango wa Kanisa katika kuzuia biashara ya utumwa na katika kueneza elimu Tanganyika na wala sichukulii kama huo ni udini nachukulia kama somo linalohitaji kusomeshwa ili watu wajue nini wameshionari wamefanya katika nchi yetu.

Nyie mmetiwa hofu kuu kuhusu Uislam kiasi hata mtu mkubwa kama Nyerere alikuwa na hofu kuu ya Uislam.

Mohamed
 
Swadakta Mohamed Said, wazi kama jua la saa sita mchana.

Sasa sijui hawa wenzetu inawauma sana kutajwa hawa kina Abdulwahid na wazee wengine wa Dar Es Salaam? Wao kama wanayajuwa ya historia ya wazee wengine wasio wa Dar es Salaam, kwanini hawaandiki? Na kama kuna mzee wa Dar Es Salaam katajwa ndivyo sivyo au sivyo ndivyo hawasemi? Labda wanataka tukubali kuwa "chama" maana yake ni "one man show"?
 
MS kila ukibanwa inakuwa umetukanwa!! Mimi pia ni muungwana hebu nielewesha ni wapi nilikosa adabu kiasi cha kumtusi babu yako ili nami niombe radhi kama waungwana wote wafanyavyo. Lakini swali langu lipo palepale, hao wazee wa Gerezani wana asili (wazawa) ya Gerezani au ni Wamanyema, wanubi na Wanyamwezi waliokuja Dar es salaam wakiwa ni wapagazi wa wajerumani?

Maana siye ambao tunajua Historia ya Kariakoo tunajua hata jina lenyewe, kuna baadhi ya maandiko yanasema linahusiana na kutoholewa kwa neno la Kiingereza "Carrier Call" kwani kariakoo si Kizaramo wala si Kimanyema. Kwa hiyo wazee wa Gerezani bila shaka walikuwa ni wapagazi wa Kimanyema, Kinubi na Kinyamwezi walioletwa pwani na wajerumani.

Kama unakumbuka kwenye bandiko langu moja niliuliza kama wewe na Sheikh ponda mna undugu, FaizaFoxy akakujibia kwamba undugu wenu unajengwa kwa kuwa wewe ni pia ni MUislamu na Ponda hali kadhalika. Lakini swali langu lilikuwa ni kuhusu Umanyema.

Naomba kuwa Muungwana, swali ulilomuuliza MS kuhusu udugu wake na Ponda mimi sikumjibia ila nilijibu kwa mtazamo wa Kiislaam nikiwa Muislaam na Mohamed Said alilijibu mwenyewe hilo swali, rejea posts utalikuta.

Mimi kama Muislaam ni ndugu wa kila Muislaam mwenzangu awe Mmanyema au Mgiriama awe Mmerekani au Mlebanoni, haijalishi.

Jee umesahau undugu wa Nyerere aliotuletea? Ndugu yangu akamchaguwa kuingia sekondari wakati mimi akaniacha. Huyo ndugu yangu hajawahi hata siku moja kuwa juu ya mtu wa kumi darasani na mimi nilioachwa sijawahi kuwa chini ya mtu wa tatu darasani. Attendance yangu ya shule na ya ndugu yangu aliochaguliwa ni kama ardhi na mbingu, sijawahi kukosa darasa hata nilipoumwa, ndugu yangu alikuwa kwa mwaka haonekani zaidi ya siku 15. Wazee wangu walipokwenda wizara ya elimu kulalamika, wakaambiwa ni kweli huyu anastahili kwenda Sekondari lakini bahati mbaya nafasi kwa mwaka huu zimejaa mwacheni a "repeat" kwa uwezo wake atafanikiwa mwakani. Ndugu yangu huyo alikuwa anaitwa Elizabeth mimi naitwa Faiza. Huo ndio udugu wa Nyerere.
 
Kuna huyu Mzee wangu BOGOHE, Lameck Makaranga, ambaye na yeye alihusika sana kwenye kuanzisha TANU, NA WALA HAKUWA MWISLAMU WALA MMANYEMA
pia sipati picha unaposema kuwa Nyerere aliandikiwa Hotuba ya UNO, hebu tusome maneno ya Kandoro:

Kuhusiana na kuzaliwa kwa TANU, ukweli huu kuwa Mzee Bogohe ndiye aliyekipa chama cha TANU jina lake unaungwa mkono na mwandishi Saadani Abdul Kandoro ndani ya kitabu chake cha MWITO WA UHURU ambacho kimeeleza historia ya TANU kwa kina. Katika ukurasa wa 72 wa kitabu hicho, hayati kandoro ambaye alikuwa [ia mmoja wa waasisi 17 wa TANU, mwakilishi wa jimbo la Ziwa kama alivyokuwa Bogohe na pia rafiki wa karibu wa Bogohe, anaandika hivi:
“Bwana Lameck Bugohe Makaranga ndiye aliyetoa jina la ‘TANU’ likapata msaada kwa Bwana Kandoro. Majina mengine yakawekwa mezani na jina la “TANU” likapata kura zaidi na ndipo chama chetu kikawa ‘TANU’ tangu tarehe 7/7/54. Ndipo Bwana Rais Julius K. Nyerere akatunga sheria za chama na zikajadiliwa na kukubaliwa.”

Bwana Mohamed Said, unaweza kuwa na ufafanuzi katika haya?
 
Kuna huyu Mzee wangu BOGOHE, Lameck Makaranga, ambaye na yeye alihusika sana kwenye kuanzisha TANU, NA WALA HAKUWA MWISLAMU WALA MMANYEMA
pia sipati picha unaposema kuwa Nyerere aliandikiwa Hotuba ya UNO, hebu tusome maneno ya Kandoro:

Kuhusiana na kuzaliwa kwa TANU, ukweli huu kuwa Mzee Bogohe ndiye aliyekipa chama cha TANU jina lake unaungwa mkono na mwandishi Saadani Abdul Kandoro ndani ya kitabu chake cha MWITO WA UHURU ambacho kimeeleza historia ya TANU kwa kina. Katika ukurasa wa 72 wa kitabu hicho, hayati kandoro ambaye alikuwa [ia mmoja wa waasisi 17 wa TANU, mwakilishi wa jimbo la Ziwa kama alivyokuwa Bogohe na pia rafiki wa karibu wa Bogohe, anaandika hivi:
"Bwana Lameck Bugohe Makaranga ndiye aliyetoa jina la ‘TANU' likapata msaada kwa Bwana Kandoro. Majina mengine yakawekwa mezani na jina la "TANU" likapata kura zaidi na ndipo chama chetu kikawa ‘TANU' tangu tarehe 7/7/54. Ndipo Bwana Rais Julius K. Nyerere akatunga sheria za chama na zikajadiliwa na kukubaliwa."

Bwana Mohamed Said, unaweza kuwa na ufafanuzi katika haya?

HAYO NI MANENO YA KANDORO ALIYEKUWA MWASISI WA TANU NA ALIKUWEPO NDANI YA WATU KUMI NA SABA WALIOANZISHA TANU

Tusipotoshe Historia kwa maslahi binafsi, michango ya Wazee wa Gerezani ilkuwepo kama michango ya watu wengine wa Bara kama Mzee wangu Bogohe, Kandoro ect
 
Swadakta Mohamed Said, wazi kama jua la saa sita mchana.

Sasa sijui hawa wenzetu inawauma sana kutajwa hawa kina Abdulwahid na wazee wengine wa Dar Es Salaam? Wao kama wanayajuwa ya historia ya wazee wengine wasio wa Dar es Salaam, kwanini hawaandiki? Na kama kuna mzee wa Dar Es Salaam katajwa ndivyo sivyo au sivyo ndivyo hawasemi? Labda wanataka tukubali kuwa "chama" maana yake ni "one man show"?

FF,

Unajua ikiwa mtu utaishi karibu na hawa watu utajua jinsi walivyokuwa hawatujui kabisa. Mimi binafsi mara chungu mzima nimejitahidi kuwaleza Dar es Salaam ilivyokuwa, wazee wetu walikuwa watu wa namna gani. Nini ustaarabu wa watu wa pwani na dini ya Kiislam. Mengi mengi sana.

Wameaminishwa kuwa Waswahili hawawezi kitu ndiyo sasa hiyo historia ya "superman" sasa leo kusikia kumbe mambo hayakuwa kama walivyoelezwa mshtuko waliopata ni mkubwa sana. Mimi hili nimelishuhudia hapo Dar es Salaam University nawaambia babu yangu alikuwa katika harakati hizi miaka mingi sana kabla. Nawaeleza habari za Mzee Kleist wamepigwa na butwaa.

Basi hiyo imekwenda hadi katika uhusiano wa mtu kwa mtu. Nimeweka hapa uzi wa yule CEO aliyedhani anaweza kunitisha kwa lugha ya Kiingereza. Kibri chake kikesha baada kuona mimi nazunguma Kiingereza kizuri kumshinda, intonation, structure na hii accent yetu tuliyonayo kutokana na kusoma Qur'an.

Haya mie nakutananayo kila siku. Umeshuhudia humu ukumbini wewe mwenyewe shida walizonazo hawa ndugu zetu.

Mohamed wewe hujui habari za Sablak, Kiliro...Kiliro anakuja Dar es Salaam 1952 mwenyeji wake Abdulwahid Sykes.

Chief Kidaha Makwaia anakuja kuhudhuria Legco chakula cha jioni anakula kwa Abdulwahid Sykes mpishi mama
yangu Bi Mwamvua bint Masha.

Haya mbona ni mambo madogo tu sasa vipi hawa yanawatisha? Nyerere katoka Musoma kumuoa Mama Maria,
Mama Maria mtu wa kwanza kujuananae ni Bi Mwamvua na Bi Mluguru. Haya Mama Maria kayasema mwenyewe
Ukumbi wa Diamond mbele ya Bi Mwamvua na akina mama wengine wengine. Mama yake Nyerere Bi Mugaya
anashinda nyumbani kwa Bi Mluguru analala pale, wanapika na kupakua na kula pamoja pale Kirk Street. Watoto
wao wako pamoja katika ukombozi wa Tanganyika. Cha ajabu nini khasa?

Leo kuhadithia habari hizi zishakuwa ati ni "porojo."

Hawa wakiishi na watu na watu hawa ndiyo wazee wetu sisi.

Mohamed
 
Naomba kuwa Muungwana, swali ulilomuuliza MS kuhusu udugu wake na Ponda mimi sikumjibia ila nilijibu kwa mtazamo wa Kiislaam nikiwa Muislaam na Mohamed Said alilijibu mwenyewe hilo swali, rejea posts utalikuta.

Mimi kama Muislaam ni ndugu wa kila Muislaam mwenzangu awe Mmanyema au Mgiriama awe Mmerekani au Mlebanoni, haijalishi.

Jee umesahau undugu wa Nyerere aliotuletea? Ndugu yangu akamchaguwa kuingia sekondari wakati mimi akaniacha. Huyo ndugu yangu hajawahi hata siku moja kuwa juu ya mtu wa kumi darasani na mimi nilioachwa sijawahi kuwa chini ya mtu wa tatu darasani. Attendance yangu ya shule na ya ndugu yangu aliochaguliwa ni kama ardhi na mbingu, sijawahi kukosa darasa hata nilipoumwa, ndugu yangu alikuwa kwa mwaka haonekani zaidi ya siku 15. Wazee wangu walipokwenda wizara ya elimu kulalamika, wakaambiwa ni kweli huyu anastahili kwenda Sekondari lakini bahati mbaya nafasi kwa mwaka huu zimejaa mwacheni a "repeat" kwa uwezo wake atafanikiwa mwakani. Ndugu yangu huyo alikuwa anaitwa Elizabeth mimi naitwa Faiza. Huo ndio udugu wa Nyerere.
Sikujua kuwa Nyerere alikwa anachagua watu kwenda sekondari school. Kuna mengi sana ya kujifunza hapa.
 
FF,

Unajua ikiwa mtu utaishi karibu na hawa watu utajua jinsi walivyokuwa hawatujui kabisa. Mimi binafsi mara chungu mzima nimejitahidi kuwaleza Dar es Salaam ilivyokuwa, wazee wetu walikuwa watu wa namna gani. Nini ustaarabu wa watu wa pwani na dini ya Kiislam. Mengi mengi sana.

Wameaminishwa kuwa Waswahili hawawezi kitu ndiyo sasa hiyo historia ya "superman" sasa leo kusikia kumbe mambo hayakuwa kama walivyoelezwa mshtuko waliopata ni mkubwa sana. Mimi hili nimelishuhudia hapo Dar es Salaam University nawaambia babu yangu alikuwa katika harakati hizi miaka mingi sana kabla. Nawaeleza habari za Mzee Kleist wamepigwa na butwaa.

Basi hiyo imekwenda hadi katika uhusiano wa mtu kwa mtu. Nimeweka hapa uzi wa yule CEO aliyedhani anaweza kunitisha kwa lugha ya Kiingereza. Kibri chake kikesha baada kuona mimi nazunguma Kiingereza kizuri kumshinda, intonation, structure na hii accent yetu tuliyonayo kutokana na kusoma Qur'an.

Haya mie nakutananayo kila siku. Umeshuhudia humu ukumbini wewe mwenyewe shida walizonazo hawa ndugu zetu.

Mohamed wewe hujui habari za Sablak, Kiliro...Kiliro anakuja Dar es Salaam 1952 mwenyeji wake Abdulwahid Sykes.

Chief Kidaha Makwaia anakuja kuhudhuria Legco chakula cha jioni anakula kwa Abdulwahid Sykes mpishi mama
yangu Bi Mwamvua bint Masha.

Haya mbona ni mambo madogo tu sasa vipi hawa yanawatisha? Nyerere katoka Musoma kumuoa Mama Maria,
Mama Maria mtu wa kwanza kujuananae ni Bi Mwamvua na Bi Mluguru. Haya Mama Maria kayasema mwenyewe
Ukumbi wa Diamond mbele ya Bi Mwamvua na akina mama wengine wengine. Mama yake Nyerere Bi Mugaya
anashinda nyumbani kwa Bi Mluguru analala pale, wanapika na kupakua na kula pamoja pale Kirk Street. Watoto
wao wako pamoja katika ukombozi wa Tanganyika. Cha ajabu nini khasa?

Leo kuhadithia habari hizi zishakuwa ati ni "porojo."

Hawa wakiishi na watu na watu hawa ndiyo wazee wetu sisi.

Mohamed

Usichoke sheikh Mohammed,

kati yao kuna waungwana pia wataelewa

Pia kuna wali kwisha "Progrmmed and conditioned" kuamini kuwa waswahili hivi na vile...

Wanasahau uungwana wa wazee wetu (hawana choyo, wako humble kwasababu ya uislam ndio raha ya uislam lakini..

Mimi huwa najiuliza hivi "Dar ingekuwa ya wachaga makabila mengine yangeishi kweli kwa choyo zao ??
 
Sikujua kuwa Nyerere alikwa anachagua watu kwenda sekondari school. Kuna mengi sana ya kujifunza hapa.

Nyerere si udini unamsumbua alifikiri kwamba kwa kubagua waislamu na kuwapendelea wakristo ataenda peponi maskini ya mungu
 
Usichoke sheikh Mohammed,

kati yao kuna waungwana pia wataelewa

Pia kuna wali kwisha "Progrmmed and conditioned" kuamini kuwa waswahili hivi na vile...

Wanasahau uungwana wa wazee wetu (hawana choyo, wako humble kwasababu ya uislam ndio raha ya uislam lakini..

Mimi huwa najiuliza hivi "Dar ingekuwa ya wachaga makabila mengine yangeishi kweli kwa choyo zao ??
Daah! Naendelea kupata somo hapa. Sikujua kuwa Wachaga ni wabaguzi. Nimeoa uchagani.
 
Naomba kuwa Muungwana, swali ulilomuuliza MS kuhusu udugu wake na Ponda mimi sikumjibia ila nilijibu kwa mtazamo wa Kiislaam nikiwa Muislaam na Mohamed Said alilijibu mwenyewe hilo swali, rejea posts utalikuta.

Mimi kama Muislaam ni ndugu wa kila Muislaam mwenzangu awe Mmanyema au Mgiriama awe Mmerekani au Mlebanoni, haijalishi.

Jee umesahau undugu wa Nyerere aliotuletea? Ndugu yangu akamchaguwa kuingia sekondari wakati mimi akaniacha. Huyo ndugu yangu hajawahi hata siku moja kuwa juu ya mtu wa kumi darasani na mimi nilioachwa sijawahi kuwa chini ya mtu wa tatu darasani. Attendance yangu ya shule na ya ndugu yangu aliochaguliwa ni kama ardhi na mbingu, sijawahi kukosa darasa hata nilipoumwa, ndugu yangu alikuwa kwa mwaka haonekani zaidi ya siku 15. Wazee wangu walipokwenda wizara ya elimu kulalamika, wakaambiwa ni kweli huyu anastahili kwenda Sekondari lakini bahati mbaya nafasi kwa mwaka huu zimejaa mwacheni a "repeat" kwa uwezo wake atafanikiwa mwakani. Ndugu yangu huyo alikuwa anaitwa Elizabeth mimi naitwa Faiza. Huo ndio udugu wa Nyerere.

Faiza,

Umenitoa machozi. Nami yamenikuta wakati wa kwenda High School.
Nikaachwa wakapelekwa wenye credit 3.

Kila ofisi nilokwenda kuomba kazi wakiangalia transcript yangu wanashangaa
vipi sikuchaguliwa High School.

Mtu mmoja anaitwa Vulu akanionea huruma alikuwa Muislam akanifanyia mpango nikapata
kazi katika shirika la umma. Wala hakuwa ananijua.

Mama yangu Mungu amrehemu kila akienda sijda alikuwa anamshtakia Allah kwa dhulma
aliyofanyiwa mwanae.

Allah alilipokea chozi la mama yangu...

Leo niko hapa nawaeleza dhulma zao dhidi ya Waislam.

Mohamed
 
Usichoke sheikh Mohammed,

kati yao kuna waungwana pia wataelewa

Pia kuna wali kwisha "Progrmmed and conditioned" kuamini kuwa waswahili hivi na vile...

Wanasahau uungwana wa wazee wetu (hawana choyo, wako humble kwasababu ya uislam ndio raha ya uislam lakini..

Mimi huwa najiuliza hivi "Dar ingekuwa ya wachaga makabila mengine yangeishi kweli kwa choyo zao ??

Watu kama wewe ndio mnaaibisha dini yenu.

Sasa waislam amabao ni wachaga wakueleweje?
 
Sikujua kuwa Nyerere alikwa anachagua watu kwenda sekondari school. Kuna mengi sana ya kujifunza hapa.

Udini wa Nyerere ulivuka mipaka hadi kujikuta kila kitu anafanya yeye mwenyewe!

Hawa ndugu zetu wameshajenga chuki dhidi ya Nyerere kwamba lolote baya ilikuwa kazi ya Nyerere,hata kama muislamu ndiye kafanya.

Faiza anamhukumu Nyerere kwa kukosa kuchagulliwa secondary, kaweka udini. Nitamwambia hata mimi sikuchaguliwa sekondari wakati darasani nacheza moja na mbili. Mzazi wangu alipofuatilia akakuta nimefaulu lakini ofisa elimu mkoa ndiye kachakachua. Baada ya kumkalia kooni nikachaguliwa second selection. Sasa na mimi niseme Nyerere ndo alichakachua jina langu?

Kinachodhihiri hapa ni kwamba wanaomtuhumu Nyerere kuwa mdini ndio WADINI! period
 
Mag3,

Naomba nikusahihishe. Nyerere na Nkrumah hawakupata kukutana masomoni. Wazee wangu hawahadithii porojo. Walichokijua kuhusu Nyerere si siri kwa watu walioishi miaka ile ni vitu ambavyo vikijulikana na kila mtu. Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdulwahid Sykes hili kwa wakati ule wala halikuwa jambo nyeti wala haikuwa jambo nyeti kusema kuwa Al Jamiatul Islamiyya ilitoa fedha kuchangia safari ya Nyerere UNO. Haya yote yalikuwa mambo ya kawaida na watu wakiyajua. Kamati ya ndani ya TAA ilikuwa ikiwajua "intellectuals" wake wa ni Abdu, Steven Mhando, Mwapachu, Sheikh Hassan bin Amir... Siku hizo Nyerere hajafika Dar es Salaam na hizo nyaraka zipo na ndizo nilizotumia kuandika kitabu.

Sasa tuje Tabora. Nyerere hakuasisi African Association Tabora na wala sitokuita muongo kwa kusema hivyo najua ni kosa la kawaida hukuwa na nia mbaya na hujui kwa undani historia ya Tanganyika. Hebu soma hii hapa chini:

"Tarehe 3 Machi, 1945 African Associationmjini Tabora ilifungua ofisi yake ikiwa na na viongozi wafuatao: Hamisi Simbe (Rais), Ramadhani Nasibu (Makamu waRais), M. K. Hemed (katibu), Chamngíanda Usingizi (Mwenyekiti), Fimbo Mtwana(Mweka Hazina) na Rashidi Mussa (Mkaguzi wa Hesabu). African Association, kamailivyokuwa asili ya kilabu iliyotokana nayo, ilishikwa na Wamanyema. Hivyindivyo Wamanyema walivyokuja kuongoza siasa Tanganyika. Julius Nyerere, wakatihuo akifundisha St. Maryís School, alishuhudia sherehe za uzinduzi wa AfricanAssociation.[1]Nyerere hakutambua hata kidogo wakati huo kuwa alikuwa akishuhudia sehemu yahistoria kazi yake mwenyewe ikijifungua mbele ya macho yake."

Mwaka 1947 palitokea mgomo mkubwa hapo Tabora na Nyerere hakuoenekana popote. Viongozi hawa wa mgomo huu wengi walikuwa katika AA na babu yangu, Salum Abdallah ndiye aliyeongoza huo mgomo. Sasa hapa uongo uko wapi? Uongo utakuja tu kama mtu atasema Nyerere alijihusisha na harakati hizi za wananchi na aliongoza mgomo dhidi ya wakoloni.

Umeandika vitu vingi lakini naamini kwa haya niliyoweka hapa wanaukumbi weshapata picha zetu.

Insha Allah nasubiri mengine na nitachangia pale inapobidi.

Mohamed

MashAllah, haya Mag3 tueleze nani wa kweli katika hili wewe au Mohamed Said?
 
Udini wa Nyerere ulivuka mipaka hadi kujikuta kila kitu anafanya yeye mwenyewe!

Hawa ndugu zetu wameshajenga chuki dhidi ya Nyerere kwamba lolote baya ilikuwa kazi ya Nyerere,hata kama muislamu ndiye kafanya.

Faiza anamhukumu Nyerere kwa kukosa kuchagulliwa secondary, kaweka udini. Nitamwambia hata mimi sikuchaguliwa sekondari wakati darasani nacheza moja na mbili. Mzazi wangu alipofuatilia akakuta nimefaulu lakini ofisa elimu mkoa ndiye kachakachua. Baada ya kumkalia kooni nikachaguliwa second selection. Sasa na mimi niseme Nyerere ndo alichakachua jina langu?

Kinachodhihiri hapa ni kwamba wanaomtuhumu Nyerere kuwa mdini ndio WADINI! period

Nakushangaa ikiwa mpaka leo hujuwi kuwa Nyerere alikuwa Superman anaefanya kila kitu peke yake. Unafikiri muujiza wa utakatifu anaotaka kupewa ni upi? Kama hujui, ni u superman.
 
Mag3,

Naomba nikusahihishe. Nyerere na Nkrumah hawakupata kukutana masomoni. Wazee wangu hawahadithii porojo. Walichokijua kuhusu Nyerere si siri kwa watu walioishi miaka ile ni vitu ambavyo vikijulikana na kila mtu. Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdulwahid Sykes hili kwa wakati ule wala halikuwa jambo nyeti wala haikuwa jambo nyeti kusema kuwa Al Jamiatul Islamiyya ilitoa fedha kuchangia safari ya Nyerere UNO. Haya yote yalikuwa mambo ya kawaida na watu wakiyajua. Kamati ya ndani ya TAA ilikuwa ikiwajua "intellectuals" wake wa ni Abdu, Steven Mhando, Mwapachu, Sheikh Hassan bin Amir... Siku hizo Nyerere hajafika Dar es Salaam na hizo nyaraka zipo na ndizo nilizotumia kuandika kitabu.

Sasa tuje Tabora. Nyerere hakuasisi African Association Tabora na wala sitokuita muongo kwa kusema hivyo najua ni kosa la kawaida hukuwa na nia mbaya na hujui kwa undani historia ya Tanganyika. Hebu soma hii hapa chini:

"Tarehe 3 Machi, 1945 African Associationmjini Tabora ilifungua ofisi yake ikiwa na na viongozi wafuatao: Hamisi Simbe (Rais), Ramadhani Nasibu (Makamu waRais), M. K. Hemed (katibu), Chamngíanda Usingizi (Mwenyekiti), Fimbo Mtwana(Mweka Hazina) na Rashidi Mussa (Mkaguzi wa Hesabu). African Association, kamailivyokuwa asili ya kilabu iliyotokana nayo, ilishikwa na Wamanyema. Hivyindivyo Wamanyema walivyokuja kuongoza siasa Tanganyika. Julius Nyerere, wakatihuo akifundisha St. Maryís School, alishuhudia sherehe za uzinduzi wa AfricanAssociation.[1]Nyerere hakutambua hata kidogo wakati huo kuwa alikuwa akishuhudia sehemu yahistoria kazi yake mwenyewe ikijifungua mbele ya macho yake."

Mwaka 1947 palitokea mgomo mkubwa hapo Tabora na Nyerere hakuoenekana popote. Viongozi hawa wa mgomo huu wengi walikuwa katika AA na babu yangu, Salum Abdallah ndiye aliyeongoza huo mgomo. Sasa hapa uongo uko wapi? Uongo utakuja tu kama mtu atasema Nyerere alijihusisha na harakati hizi za wananchi na aliongoza mgomo dhidi ya wakoloni.

Umeandika vitu vingi lakini naamini kwa haya niliyoweka hapa wanaukumbi weshapata picha zetu.

Insha Allah nasubiri mengine na nitachangia pale inapobidi.

Mohamed

Sheikh Mohamed Said Nakupa mji maana hapa umemaliza Mag3 na historia yake ya kuunga unga. Chukua mji sheikh nenda Muscat ukafanye shopping ya kanzu ya msikitini duh unatisha mno kwa data!!!!
 
m said na FF sasa huu mnakash mnaugeuza kuwa "Laurel and Hardy show" mnalizana machozi,mwageni nondo tupate elimu,hayo mengine si wakti wake huu
 
Sheikh Mohamed Said Nakupa mji maana hapa umemaliza Mag3 na historia yake ya kuunga unga. Chukua mji sheikh nenda Muscat ukafanye shopping ya kanzu ya msikitini duh unatisha mno kwa data!!!!

M,

Mimi nimeishi na watu hawa mimi ni mjukuu wa Salum Abdallah, huyu babu yangu na Kleist Sykes walikuwa majirani hapo Kipata na wakifanya kazi Tanganyika Railways pamoja.

Abdu Sykes na baba yangu walikuwa marafiki toka udogo wao wakisoma darasa moja hapo Al Jamiatul Muslim School, mama zao mashoga.

Hii historia ni maisha yangu. Nimeipata kwa wenyewe waliozungusha guruduma la historia.

Kwa ule uhasama uliokuwapo siku zile mtu yeyote yule asingeweza kukabidhiwa zile nyaraka za kina Sykes azipitie.

Mimi niliaminika kwa kuwa nafahamika hadi wazee walionizaa.

Nachukua Muscut nikajimwage na makanzu na vilemba vya Kiomani pamoja na aloud za bei kali.

Ahsante sana.

Mohamed
 
Back
Top Bottom