Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kuliko unavyoweza kufikiria.
Mwanangu mmoja (mtoto wa kaka yangu) alikuwa anaoa.
Mmoja wa waliotoa hotuba katika harusi ile ni mtoto wa Mzee John Rupia na yeye na mkewe walikuwa meza kuu.
Mohamed
MS
Hao unaojidai upo nao karibu hao ndio wamempa Mohamed Said nyaraka nyingi tu za kitabu chake. Leo nani asiyetaka Baba'ke ajulikane mchango wake katika Historia? unashangaza sana.
Jihad (strive hard in any good cause) ni kujitahidi ni nani asiyependa kujitahidi? wewe?
sasa hapa inakuwa kazi kwa sababu swali langu ni jepesi sana na hujalijibu na umelikwepa kimtindo kabisa - aliyeoa ni mtoto wa kakako (mwanao) na mtoto wa John Rupia alikuwa meza kuu! Haijibu kama unamuona mzee John Rupia mwenyewe kuwa ni miongoni mwa "wazee wako". Sijui niliwekeje ili swali lipate jibu la "ndio" au "hapana" au "kwa kweli sitaki kujibu" au "sijui".
Mohamed,
Wa kutusimulia ili tuandike kama wewe hayupo. Hatuna wazee wetu "Wakristo" waliokuwa TAA ambao wako hai sasa. Mimi ni mmoja wa wanaoogopa sana kuwasemea marehemu. Pili, ukianza simulizi kwa kutumia DINI, KABILA, JINSIA,......, inakuwa sio historia tena.
Halafu, wazee wako hawa, Mohamed hawakuwa na mapungufu hata kidogo kama ulivyomwanika Mwalimu?
Kuliko unavyoweza kufikiria.
Mwanangu mmoja (mtoto wa kaka yangu) alikuwa anaoa.
Mmoja wa waliotoa hotuba katika harusi ile ni mtoto wa Mzee John Rupia na yeye na mkewe walikuwa meza kuu.
Mohamed
PS: Mwanakijiji hebu niulize maswali ya chemsha bongo haya sasa hayana muhimu katika historia au umechoka? Kama "fatigue" inakunyemelea basi tupumzike sote. Tulochangia hapa jamvini si haba. MS
Kama muislamu anaongoza nchi na unalalamika itakuwaje akiwa mkristu?
Mwanakijiji,
You are pretending you cant be this dull.
Or you want to urge for the sake of urguing.
Nguruvi3 nimemshauri apate darsa la "the standard of the reasonable man." Wanaukumbi kama kuna mwanasheria humu please SOS tunahitaji msaada.
Mohamed
Hii ya Mohamed ukiisoma vizuri na kama fasihi yako ya kidato cha nne itakusaidia agenda kubwa hapa ni WAISLAMU na UISLAMU wa Tanzania. Kila tukijaribukumwelesha humu kuwa historia ya nchi hii inaweza ikajisimamia yenyewe bila DINI mzee wetu hataki kuelewa. Anataka WAISLAMU watajwe kwa majina yao matamu ya Kiislamu kama YESU au MTUME MOHAMED( S.A.W,) wanavyotajwa kwenye vitabu vitukufu/vitakatifu.Ahali yangu si vizuri kudandia treni kwa mbele.
Ni vizuri umsome vizuri sana Sheikh Mohamed said katika maandiko yake na nia yake likuwa ni nini.
Lakini kwa kukusaidia nia na dhumuni ya kundika historia hii ni si kubadilisha historia iliyokuwepo ya tanganyika BALI NA KUANDIKA ILE HISTORIA ILIYOFICHWA NA KUJIFICHA iwe kwa makusudi maalum au kwa bahati mbaya.
Lakini msingi mkuu ni kutujuza.
Mohamed,
Wa kutusimulia ili tuandike kama wewe hayupo. Hatuna wazee wetu "Wakristo" waliokuwa TAA ambao wako hai sasa. Mimi ni mmoja wa wanaoogopa sana kuwasemea marehemu. Pili, ukianza simulizi kwa kutumia DINI, KABILA, JINSIA,......, inakuwa sio historia tena.
Halafu, wazee wako hawa, Mohamed hawakuwa na mapungufu hata kidogo kama ulivyomwanika Mwalimu?
Hii ya Mohamed ukiisoma vizuri na kama fasihi yako ya kidato cha nne itakusaidia agenda kubwa hapa ni WAISLAMU na UISLAMU wa Tanzania. Kila tukijaribukumwelesha humu kuwa historia ya nchi hii inaweza ikajisimamia yenyewe bila DINI mzee wetu hataki kuelewa. Anataka WAISLAMU watajwe kwa majina yao matamu ya Kiislamu kama YESU au MTUME MOHAMED( S.A.W,) wanavyotajwa kwenye vitabu vitukufu/vitakatifu.
atajilipua kwa mabomu kwa hasira, napendekeza Mohamed Said achukue fomu za kugombea urais 2015 ili aweze kuyatatua matatizo haya anayosema maana waislamu wenzako hawaamini.
Hahahahah "Nyundo" zimemlewesha, anaona nyota nyota, si unaona huko juu, mara hii sio historia ni simulizi mara hii ni historia. Ana-haha.
Unajuwa Sheikh Mohamed Said, hii shock si wao tu inaowapata hata sisi Waislaam imetupata kwa kiasi fulani labda sisi imetupata kivingine. Ngoja nikuelezee kwa upande wangu kwa ufupi sana:
Kwanza nnapokisoma ulichokiandika, huwa nnasema hakika Mwenyeezi Mungu ni mwingi wa rehema na shani zote ni zake, huwa nnasema leo angetokea Muislaam mwingine ambae hana mnasaba kabisa na hawa wazee na hakutokea katika jamii na ahli hiyo, sijui hayo matusi yangekuwaje? maana kila wanapotaka kujaribu huwa jibu ni kuwa anaeandika anawafahamu ni wao na anayoyasema ni kweli. Hapo sasa.
Hakuna humu hata mmoja aliyekuja akasema hapana, huyo Mzee uliemtaja hakuwepo na hakuwa na wadhifa huo au hakufanya harakati hizo.
Inayobaki wanaanza, mbona fulani hukumuuliza, mbona fulani hukumuuliza. Hivi ni kweli wao wanashindwa kuwauliza hao wanaowataka wao? Au wanawauliza na majibu ndio hawana pakuyaweka? Hiyo ndio shock inayonipata mimi.
Watu wanakuja na kufanya kila hila kuutowa huu mjadala kutoka kwa wazee na kuupeleka kwenye EPA, wanapoambiwa 83% ni wao, wanaanza kuuliza imetoka wapi, wanashindwa kufanya kautafiti kadogo tu wakaja hapa waseme hapa hiyo asilimia si kweli, asilimia sahihi ni hii hapa kwa ushahidi huu na huu.
Unapowaambia umeiona historia iliyoandikwa Kigamboni na imewasahau wazee waasisi wa AA na TAA na TANU na unapowabainisha kinaga-ubaga, wanashindwa kusema hao wazee si wa ukweli hawakuwepo, kama hilo linawashinda na kweli walikuwepo ni nini zaidi kinachowasumbuwa? Ni rahisi sana kuelewa, ni shock, na masikio yao na bongo zao zimeaminisha kuwa ilikuwa "One man show" sasa kuja kuona si hivyo, inakuwa vigumu sana wao ku "insert" haya ya ukweli.
Shock yangu ni kwanini inawawia vigumu?
Hotuba inasemekana haionekani sehemu yoyote kwa mujibu wa Mzee Said.
Huko kwenye archieve kumebaki ile picha Nyerere akiwa na soksi ndeefu hadi magotini.
Tulishaambiwa kuwa Sykes alitunza nyaraka zake vema sana na ameziona, sijui hakuona draft ya hotuba ya UN!
Wanasayansi wa siasa wanasema, siasa ni kitu 'fuid' kwamba kubadilika kwake ni suala la dakika na sio siku. Kuanzia mwaka 1950 hadi Nyerere alipokwenda UN kulikuwa na mabadiliko makubwa sana. Sina uhakika hiyo hotuba iliyokuwa katika mfumo wa siasa ilishindwaje kubadilika(stagnant) hadi isome vile vile.
Alipofika Dar alikuwa na MA, na alishakuwa na exposure tayari katika masula ya kimataifa.
Mwaka 1950 Nyerere alikuwa hajajulikana sana katika medani ya siasa.
Kama hotuba iliandikwa mwaka 1950, je ilikusudiwa ikasomwe lini na nani ndani ya UN?
Kuna Maswali niliuliza hapo juu,
ilikuwaje Wazee wa Gerezani walimpokea Nyerere tena kwa Kumfuata shuleni Pugu, wakamlipia, Chakula na kumpangishia Nyumba (Mohamed Saidi) wakati Nyerere alikuwa Wakuja tu, Tena Mgalatia, Na Kakabila kake kalikuwa hakajulikani kama Wamanyema?
Nyerere alikuwa na Umuhimu gani kwenye Kijiwe cha Wazee wa Gerezani kama wakina Sykes wenye uwezo mkubwa walikuwepo?
Maana kwa maelezo yote ya Bwana Mohamed Saidi Nyerere hakuwa na Msaada na wala Hakuwa wa Muhimu,
Lakini Mzee Saadan Kandoro, ndani ya kitabu chake cha MWITO WA UHURU ambacho kimeeleza historia ya TANU kwa kina. Katika ukurasa wa 72 anaandika hivi:
"Bwana Lameck Bugohe Makaranga ndiye aliyetoa jina la ‘TANU' likapata msaada kwa Bwana Kandoro. Majina mengine yakawekwa mezani na jina la "TANU" likapata kura zaidi na ndipo chama chetu kikawa ‘TANU' tangu tarehe 7/7/54. Ndipo Bwana Rais Julius K. Nyerere akatunga sheria za chama na zikajadiliwa na kukubaliwa."
Sasa kama Sheria(Katiba) hizo za TANU, aliachiwa Nyerere azitunge (kwa Mujibu wa Mtu aliyekuwepo ndani) wakati wa kina Sykes wapo, Mtu huyo kweli ndio wa kuandikiwa Hotuba ya kwenda UNO?
Hahahahah "Nyundo" zimemlewesha, anaona nyota nyota, si unaona huko juu, mara hii sio historia ni simulizi mara hii ni historia. Ana-haha.
Unajuwa Sheikh Mohamed Said, hii shock si wao tu inaowapata hata sisi Waislaam imetupata kwa kiasi fulani labda sisi imetupata kivingine. Ngoja nikuelezee kwa upande wangu kwa ufupi sana:
Kwanza nnapokisoma ulichokiandika, huwa nnasema hakika Mwenyeezi Mungu ni mwingi wa rehema na shani zote ni zake, huwa nnasema leo angetokea Muislaam mwingine ambae hana mnasaba kabisa na hawa wazee na hakutokea katika jamii na ahli hiyo, sijui hayo matusi yangekuwaje? maana kila wanapotaka kujaribu huwa jibu ni kuwa anaeandika anawafahamu ni wao na anayoyasema ni kweli. Hapo sasa.
Hakuna humu hata mmoja aliyekuja akasema hapana, huyo Mzee uliemtaja hakuwepo na hakuwa na wadhifa huo au hakufanya harakati hizo.
Inayobaki wanaanza, mbona fulani hukumuuliza, mbona fulani hukumuuliza. Hivi ni kweli wao wanashindwa kuwauliza hao wanaowataka wao? Au wanawauliza na majibu ndio hawana pakuyaweka? Hiyo ndio shock inayonipata mimi.
Watu wanakuja na kufanya kila hila kuutowa huu mjadala kutoka kwa wazee na kuupeleka kwenye EPA, wanapoambiwa 83% ni wao, wanaanza kuuliza imetoka wapi, wanashindwa kufanya kautafiti kadogo tu wakaja hapa waseme hapa hiyo asilimia si kweli, asilimia sahihi ni hii hapa kwa ushahidi huu na huu.
Unapowaambia umeiona historia iliyoandikwa Kigamboni na imewasahau wazee waasisi wa AA na TAA na TANU na unapowabainisha kinaga-ubaga, wanashindwa kusema hao wazee si wa ukweli hawakuwepo, kama hilo linawashinda na kweli walikuwepo ni nini zaidi kinachowasumbuwa? Ni rahisi sana kuelewa, ni shock, na masikio yao na bongo zao zimeaminisha kuwa ilikuwa "One man show" sasa kuja kuona si hivyo, inakuwa vigumu sana wao ku "insert" haya ya ukweli.
Shock yangu ni kwanini inawawia vigumu?
hili mimi nami nilishalishauri zamani tu; japo kwangu sikutaka iwe Truth and Reconciliation bali Historical Commission on Truth and Unity..
Hili halina shaka na siwezi kushangaa kwani ni mwanafunzi mzuri tu wa historia ya Kanisa katoliki pote duniani. Lakini kuishia kusema hivyo hakutoshi kwa sababu mtu mwingine anaweza kusema kuwa kutokana na madhara ya utumwa "Uislamu" ulikuwa na maovu yake kisa tu wahusika wake wengine walikuwa ni "Waislamu". Hata unaposema "maovu" ya kanisa yanaweza kabisa kuonesha ni jinsi gani pia Kanisa hilo hilo limefanya mengi sana kwenye jamii ya Watanganyika hadi leo hii na linaendelea kufanya hivyo.
Hili linasemwa lakini halina ushahidi wa kihistoria kwa sababu hakuna hoja ya kisayansi ambayo imewezakuoneha ikilinganishwa na vingine. Kwa mfano, ni kwa kiasi gani kwa mfano Wamang'ati na watu wa makabila mengine yanaoishia kijadi wanawakilishwa katika serikali? Je wanabaguliwa? Nani anawabagua? Je, mtu anaweza kusema kuwa Wakristu na Waislamu wanapendelewa Tanzania?
Je ni kweli Wakristu wote wananufaika na mfumo uliopo kiasi kwamba wana interests ya kuona unaendelezwa?
Ni kweli - lakini fikiria kuwa tayari mmeshafikia hitimisho kuwa kuna "dhulma" je watu watakuwa tayari kuambiwa "hakuna" kama uchunguzi yakinifu wa kisayansi na historia ukifanyika? Jibu ni kuwa "haiwezekani" kwa sababu watu wameshahitimisha kuwa kuna dhulma. Hata wewe unaweza kushangaa kabisa endapo tume kama hiyo ikaja na taarifa huru kabisa ya kuonesha kuwa hakuna "systematic discrimination of Muslims"! Utapigwa na butwaa!
Ni jambo moja kutaka kuutafuta ukweli lakini jingine kutaka kuthibitisha kinachodhaniwa kuwa ni kweli. Wengi wameshakubali hoja ya M. Said kuwa kuna dhulma nchini na hawataki kujiuliza maswali yoyote zaidi ya kurudia tu "Waislamu wanadhulumiwa, Waislamu wanadhulumiwa".
Je ndugu yangu Mdondoaji uko tayari kuona inaundwa tume huru ya Historia, Ukweli na Umoja ambayo itafanya kazi yake kwa uwazi na wazi katika kukusanya, kuchambua, kuhifadhi taarifa mbalimbali za historia yetu ikitafuta kujua majibu ya maswali mbalimbali? Je utakuwa open minded kukubali matokeo yake endapo yataenda kinyume na vile ambavyo tayari unaamini?
Mwanakijiji,
Unajua kuna baadhi ya hoja nakubaliana na wewe. Ila nasita kuanzishwa kwa Commision for Truth and Unity kwasababu ya historia ya nchi hii. Hembu nikuulize ikianzishwa hiyo commision do you think kweli waislamu wataiamini? If not why? Je unadhani walivyopoteza kumbukumbu za mwanzo sasa hivi ndio watazitokomeza kabisa!!!! Hebu fikiria kwa upande wa pili mwanakijiji. Ndio maana nasema ni vema ikawepo Truth and reconciliation committee kwanza tuwekane sawa na kuombana radhi yaishe. Then turekebishe historia na mwelekeo wa nchi mbele. Vyenginevyo itakuwa ni hadithi ya merry go round!!!!
Kituko una vituko kama jina lako nani kakwambia Mzee Saadan Kandoro alikuwa muIslam safi huyu alikuwa mgalatia hana maana hata kidogo kwanza ajenda yake ilikuwa kutuunganisha waTanganyika kitabu chake MWITO WA UHURU hakifahi kuwa rejea hata kidogo.