Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Mwenyewe ansema hivi, kule ulipokimbia:

Ni ushahidi unatakiwa, kwani kuna tatizo gani ? Unajua ndege anayeitwa kwale anavyotegwa oops ! sorry wewe ni mzaliwa wa mtaa gani vile ?
 
Alidhani wewe ni Gaidi nini au alidhani ni Mpelelezi wa wakomunisti. lakini hayo ya kusifiwa kusafiri sana hayana maana unasafiri kwa tija na watu wenye kutaka kusikia hoja mpya duniani si haba hata kama hoja hizo hazina mashiko.

Kigarama ndugu yangu sahib wangu lau kama hatujuani dunia hii ni ndogo watu hawawi hivyo tabia njema ni silaha utapendwa kokote. Kebehi za nini kaka?

Hapana siku zile hofu ya ugaidi ilikuwa bado.

Nilikuwa na bag mkononi designer, akalifungua ndani akakuta nguo zote designer, akachukua shajara (diary) yangu akaanza kuisoma...hapo sasa...siku hizo nikiweka kumbukumbu zangu kila siku...hazielewi akawa ananiuliza huyu uliyemtaja hapa ni nani nk. nk. akaja kwenye kiatu changu designer akanambia inaelekea wewe una fedha sana...tukaingia kwenye fedha...

Sasa viatu vinapelekwa kwa ajili ya X Ray wamenitilia shaka nauza unga.

Baada ya "interrogation" ya kama saa nzima hivi swali la mwisho akataka kujua nimesoma kwa kiwango gani anasema nina shajara iloandikwa kwa ujuzi mkubwa.

Tangazo limeshatoka katika bomba wanataka kujua kama kuna mtu au watu wamekuja kumpokea Mohamed Said wafike Office ya Immigration.

Rafiki zangu wawili walikuwa pale mmoja kutoka BBC mwingine kutoka High Commission wakajitambulisha wakaambiwa subirini mgeni wenu atatoka sasa hivi.

Mimi nakuunga mkono kwa hakika kusafiri sana hakuna maana yoyote.

Mohamed
 

Kuna tofauti kati ya 'kisa' na 'histor
 
Kunradhi ndugu yangu, nilikuwa nakuchagiza kwani wakati mwingine inabidi kupandishana Handasi. lakini haikuwa kebehi!!
 

Mag3

1984-1987 B.A. (Hons) PublicAdministration University of Dar es Salaam.

1991-1992 Post-Graduate Diplomain Maritime Studies, University of Wales, Cardiff.
1976-1979 Diploma inInsurance-Institute of Finance Management, Dar es Salaam.
SEMINAR/SHORT COURSES/WORKSHOPS
1988 Port Management andMaritime Transportation-Arab Maritime Transportation Academy, Alexandria, Egypt
1989 Workshop in InternationalTrade and Facilitation- Tanzania/Kenya.
1989 Leadership Course-Khartoum/Omdurman, Sudan
1990 Transport Policy andPlanning in Sub Saharan Africa - Maputo, Mozambique.
1992 Port Administration-Tilbury Port, London, England
1992 Management InformationSystem- Dar es Salaam, Tanzania.
1993 Marketing Management -Harare, Zimbabwe
1993 Port Competition -Institut Portuaire du Havre, Le Havre, France.
2000 Success through EffectiveMarketing, Institute of Customer Services, Nairobi, Kenya.
2004 Certificate in CustomerCare, Corporate Excellency Company Ltd, Paradise Holiday Resort, Bagamoyo.

COMPUTER LITERACY
Operating Systems: DOS,Windows, And Novell Network Spreadsheets: MS Excel, Lotus 1-2-3, etc.
Databases: dBase IV & V, MSAccess, Paradox, etc.
Word Processing: Word Perfect,Microsoft Word etc.
BOOKS
1. The Life and Times ofAbdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle againstBritish Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated intoKiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 HistoriaIliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, PhoenixPublishers, Nairobi, 2002.
2. Torch on Kilimanjaro, OxfordUniversity Press, Nairobi 2006
3. Contributing author AfricanAnthology, The Mermaid of Msambweni, Oxford University Press, 2008 Nairobi
4. Uamuzi wa Busara, AbantuPublications, Dar es Salaam, 2009
5. Broken Dreams: The Life ofAlly Sykes, Phoenix Publishers, Nairobi forthcoming
PART OF RESEARCHPAPERS/ARTICLES
1. In Praise of Ancestors(1987) Africa Events (London).
2. Abdulwahid Sykes: Founder ofPolitical Movement (1988) Africa Events (London).
3. Islam and Politics inTanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
4. The Plight of TanzanianMuslim (1993) Change (Dar es Salaam).
5. Tanzania - The"Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
6. The Question of MuslimStagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at theConference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on theIndian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
7. Islamic Education andIntellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika(Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium onIslamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the IslamicConference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA),Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
8. Sheikh Hassan bin Ameir -The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paperpresented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly ofMuslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
9. Islamic Movement and theChristian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma AliMalima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association(TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
10. Terrorism in East Africathe Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorismand African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10thFebruary 2006).
11. The Legacy of Sheikh AhmedDeedat (Paper Presented at International Symposium on Islamic Civilisation inSouthern Africa, University of Johannesburg 1 - 3 September, 2006 (the paperwas again presented to Islamic Propagation Centre International, Durban).
12. Visiting Scholar,University of Iowa, Iowa City and Northwestern University, Chicago, Illinois,USA, Presented Paper Islam and Politics in Tanzania, April 2011.
13. Visiting Researcher ZentrumModerner Orient (ZMO), Berlin Germany, Presented Paper Christian Hegemony andthe Rise of Muslim Militancy in Tanzania, July 2011.
OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Swaziland,Saudi Arabia, South Africa, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Iran, Uganda,Holland, Belgium and Switzerland.
AWARDS
Awarded Certificate ofAppreciation by United States Information Services (USIS) for research intopolitical history of Tanganyika and made Member Library of Congress,Washington, DC.
BestWorker - Dockworkers Union of Tanganyika 2004 – 2005.

Mohamed



 
Historia potofu huunda Taifa potofu!
Watanzania hawana tabia ya kufuatilia historia wala kuijua na kuitunza, hivyo basi kila mmoja hupenda kusikia na kuamini kile anachokipenda ndani ya nafsi yake. Ni kawaida na utamaduni wetu sasa.. ndio maana majengo na alama zote za kale zinabomolewa kila uchao ili kujenga vioski na magenge!!!
 
Kama una access na video yoyote ya "Mohamed Said" akichangia maada kwa lugha ya Kiingereza tuwekee hapa, kama hunayo kaa kimya!

Ndjabu,

Inaelekea wewe ni mkali sana waungwana hawazungumzi hivyo.
Namna hii hata mie unanitisha.

Maalim wangu wa madras Sheikh Haruna akinambia, "Basi elewa Mohamed utakapomtukana mtu ujuwe unanitukana mie." Fikiri maneno haya naambiwa bado mtoto mdogo kabisa.

Yaikuwa yakitisha sana, "Duh! Nimtukane maalim wangu!"

Ndiyo maana Faiza kasema sisi tunakwenda chuoni wadogo nyie hadi mshabaleh"

Chunga sana ulimi wako.
Ulimi unaponza pakubwa sana.

Mohamed
 

Ndjabu,

Sadakta hoja kwa hoja lakini vipi hoja iliosindikizwa na matusi?
Unafanyaje mtu.

Unamrudishia tusi lake kisha unamjibu au vipi?

Mohamed

PS: Mzee Karume alikuwa mtu "practical" sana. Kenda jela anakagua wafungwa, "Haya huyu nae kafungiwa nini," anauliza.
"Mzee huyu kakutukana."

"Kanitukanaje?"

Bwana Jela akalisema lile tusi.

Mzee Karume hakuchelewa akamrudisha yule mfungwa lile tusi pale pale akajibu, "Ebo mwenyewe!"

Kisha akamgeukia Bwana Jela akasema, "Nishamrudishia tusi lake haya mtoe kifungoni." MS

How I wish life was that simple.

Mohamed
 
Jina la asili la Mkwawa aliitwa "Dinini' hilo la Mkwawa lilitokana na tabia yake au uwezo wake wa kuteka nchi au tawala za makabila na koo nyingine. Na kwa Kihehe hatamkwi Mkwawa bali anatamkwa "Mkwhava". Alianza kutawala Uhehe akiwa na umri wa miaka 22.
 
Kigarama,

Mimi wazazi wangu hawakunilea hivyo.

Mohamed
Siyo kila makuzi yanashikwa na watoto. Pengine kuna wakati mtoto wa mtu muungwana mcha mungu akapindukia na kuwa jahili na jitu lisilo na heshima hata kidogo. Niwie radhi Sheikh wangu hata mimi wazazi wangu hawakunilea hivyo!!
 
Siyo kila makuzi yanashikwa na watoto. Pengine kuna wakati mtoto wa mtu muungwana mcha mungu akapindukia na kuwa jahili na jitu lisilo na heshima hata kidogo. Niwie radhi Sheikh wangu hata mimi wazazi wangu hawakunilea hivyo!!

Kigarama basi ndugu yangu hayo yamepita tusameheane sote ndiyo ubinadamu.

Mohamed
 
Ally Hassan Mwinyi ni Alhaji kwani alipokuwa Rais wetu alikuwa anawakilisha Waislamu!!

Jina la Al Haj kwa mwanamme au Hajat kwa mwanamke hupatikana baada ya kufanya safari ya kuhiji Makkah na halina uusiano na kulitumikia Kanisa wala Msikiti.
 
kwanza na mimi naomba nitoke shukrani sana kwa mnakasha huu kwa jinsi ulivyoendeshwa. Kuna mambo nilikuwa siyafikirii kabisa kama yanaweza kuwa na mashabiki waka hapa Tanzania. Pia sikujua kama kuna watu wakiwaona wenzao wanawaangalia kwa macho yenye shaka kwa sababu tu ya dini zao.

Pia mjadala huu umenifanya nianze kupitia upya kumbukumbu mbalimbali za Historia ya nchi hii kuona ni wapi kama taifa tumeacha kuwajali watu waliopigania Uhuru wa nchi yetu. lakini kwa upande wa pili historia hiyo isitumiwe kama nyenzo ya kutugawa kwa misingi ya dini zetu.
 
Jina la Al Haj kwa mwanamme au Hajat kwa mwanamke hupatikana baada ya kufanya safari ya kuhiji Makkah na halina uusiano na kulitumikia Kanisa wala Msikiti.
Hata utakatifu ni sifa na wala haihusiani na dini bali tabia ya mtu kwenye jamii. Kwa heri Bi Mkubwa tuonane kwenye thread nyingine!!
 
Ni ushahidi unatakiwa, kwani kuna tatizo gani ? Unajua ndege anayeitwa kwale anavyotegwa oops ! sorry wewe ni mzaliwa wa mtaa gani vile ?

New Street ambayo wewe na wengine Mnaijuwa kama Lumumba Street kwa sasa. Hizo kejeli zako za hao kware (si kwale) labda nikufundishe wewe, kumbuka, kwetu Mkuranga, Simba mpaka mlangoni, licha ya kuwa kwetu Mkuranga pekee, mume wangu ni mwindaji wa siku nyingi sana na mapori nnayajuwa kuliko unavyojijuwa wewe. Mimi ndio FF ukimsikia mwingine ni "fake".
 

Mzee Karume alikuwa mtu "practical" sana.

Kisha akamgeukia Bwana Jela akasema, "Nishamrudishia tusi lake haya mtoe kifungoni." MS

How I wish life was that simple.

Mohamed

Sheikh Mohamed,

Hiki kisa cha Karume ama kwa hakika chafurahisha na kusisimua sana. I wish na maraisi wengine wangekuwa na utaratibu kama huo!!

Nadhani itoshe kusema kwamba tunahitaji kufanya mambo mengine. Mnakasha huu umefika mahali ambapo hakuna jipya tena, ingawa ni ukweli kwamba tumejifunza mambo mengi sana yaliyodhahiri na mengine yaliyo nyuma ya pazia. Ni wajibu wetu kuyatafakari yote yaliyoandikwa hapa na kuyachambua kwa makini ili kila mmoja achukue hatua stahiki kwa mustakabali wa nchi yetu na mtu mmoja mmoja.

Bila shaka tutaendelea kukutana katika mijadala mingine, maana hapa JF ndio jungu kuu.
 
Msomi, hakuna hilo neno kwenye nyekundu, usahihi wake ni "regurgitation".

Naona hujajibu post yangu, vipi?

By Ndjabu Da Dude


Wapi nimekosea spelling ya "regurtitation"? Mtu kuandika kakitabu ka darasa la 4 kenye kurasa 33 na mapicha kibao ndiyo cha kujivunia humu? Simulizi za Mohamed Said hazina sifa za Kisomi nilizotaja.

Msomi FF , itabidi nikuage kwa staili hii. "Usitupe mawe kama unaishi kwenye nyumba ya vioo".
hapo chini kwenye bold ulikuwa na maana ya 'live' au?.....Mbona tulikuelewa lakini hatukupiga kelele kama hizi zako hapo juu?

 

haibu = Aibu

kuhona = Kuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…