Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alidhani wewe ni Gaidi nini au alidhani ni Mpelelezi wa wakomunisti. lakini hayo ya kusifiwa kusafiri sana hayana maana unasafiri kwa tija na watu wenye kutaka kusikia hoja mpya duniani si haba hata kama hoja hizo hazina mashiko.
Hapa maswali ni mawili tu na si lazima ajibu Mohamed Said ila kama atapenda kufanya hivyo yeye mwenyewe nitashukuru sana au kama atatokea mtu anayeweza kujibu kwa niaba yake pia itakuwa sawa;
Ni hayo tu kwa sasa.
- Je Mohamed Said mwandishi wa historia ya kweli ndiye huyo kaelezwa hapo juu ?
- Je ushahidi wa video wa Mohamed Said unaweza kupatikana akishusha hizo nondo zake kwa kiingereza na kiarabu huko ughaibuni ?
Kunradhi ndugu yangu, nilikuwa nakuchagiza kwani wakati mwingine inabidi kupandishana Handasi. lakini haikuwa kebehi!!
Kigarama ndugu yangu sahib wangu lau kama hatujuani dunia hii ni ndogo watu hawawi hivyo tabia njema ni silaha utapendwa kokote. Kebehi za nini kaka?
Hapana siku zile hofu ya ugaidi ilikuwa bado.
Nilikuwa na bag mkononi designer, akalifungua ndani akakuta nguo zote designer, akachukua shajara (diary) yangu akaanza kuisoma...hapo sasa...siku hizo nikiweka kumbukumbu zangu kila siku...hazielewi akawa ananiuliza huyu uliyemtaja hapa ni nani nk. nk. akaja kwenye kiatu changu designer akanambia inaelekea wewe una fedha sana...tukaingia kwenye fedha...
Sasa viatu vinapelekwa kwa ajili ya X Ray wamenitilia shaka nauza unga.
Baada ya "interrogation" ya kama saa nzima hivi swali la mwisho akataka kujua nimesoma kwa kiwango gani anasema nina shajara iloandikwa kwa ujuzi mkubwa.
Tangazo limeshatoka katika bomba wanataka kujua kama kuna mtu au watu wamekuja kumpokea Mohamed Said wafike Office ya Immigration.
Rafiki zangu wawili walikuwa pale mmoja kutoka BBC mwingine kutoka High Commission wakajitambulisha wakaambiwa subirini mgeni wenu atatoka sasa hivi.
Mimi nakuunga mkono kwa hakika kusafiri sana hakuna maana yoyote.
Mohamed
Hapa maswali ni mawili tu na si lazima ajibu Mohamed Said ila kama atapenda kufanya hivyo yeye mwenyewe nitashukuru sana au kama atatokea mtu anayeweza kujibu kwa niaba yake pia itakuwa sawa;
Ni hayo tu kwa sasa.
- Je Mohamed Said mwandishi wa historia ya kweli ndiye huyo kaelezwa hapo juu ?
- Je ushahidi wa video wa Mohamed Said unaweza kupatikana akishusha hizo nondo zake kwa kiingereza na kiarabu huko ughaibuni ?
Kunradhi ndugu yangu, nilikuwa nakuchagiza kwani wakati mwingine inabidi kupandishana Handasi. lakini haikuwa kebehi!!
Kama una access na video yoyote ya "Mohamed Said" akichangia maada kwa lugha ya Kiingereza tuwekee hapa, kama hunayo kaa kimya!
Acha hizo "Mohamed Said". Una maana gani kwa kusema "ninapohisi mwenzangu amekasirika?" Kisirani kwa maana gani? Hiyo ndiyo "measure of objectivity"unayotumia kwenye maandishi yako ya "Kisomi?" Kama kweli wewe ni Mwanazuoni aliyekubuhu unayedai kuwa ndiyo, basi sipaswi kukukumbusha kuwa hoja hujibiwa kwa hoja.
Siyo kila makuzi yanashikwa na watoto. Pengine kuna wakati mtoto wa mtu muungwana mcha mungu akapindukia na kuwa jahili na jitu lisilo na heshima hata kidogo. Niwie radhi Sheikh wangu hata mimi wazazi wangu hawakunilea hivyo!!Kigarama,
Mimi wazazi wangu hawakunilea hivyo.
Mohamed
Siyo kila makuzi yanashikwa na watoto. Pengine kuna wakati mtoto wa mtu muungwana mcha mungu akapindukia na kuwa jahili na jitu lisilo na heshima hata kidogo. Niwie radhi Sheikh wangu hata mimi wazazi wangu hawakunilea hivyo!!
Kigarama basi ndugu yangu hayo yamepita tusameheane sote ndiyo ubinadamu.
Mohamed
Ally Hassan Mwinyi ni Alhaji kwani alipokuwa Rais wetu alikuwa anawakilisha Waislamu!!
Hata utakatifu ni sifa na wala haihusiani na dini bali tabia ya mtu kwenye jamii. Kwa heri Bi Mkubwa tuonane kwenye thread nyingine!!Jina la Al Haj kwa mwanamme au Hajat kwa mwanamke hupatikana baada ya kufanya safari ya kuhiji Makkah na halina uusiano na kulitumikia Kanisa wala Msikiti.
Ni ushahidi unatakiwa, kwani kuna tatizo gani ? Unajua ndege anayeitwa kwale anavyotegwa oops ! sorry wewe ni mzaliwa wa mtaa gani vile ?
Mzee Karume alikuwa mtu "practical" sana.
Kisha akamgeukia Bwana Jela akasema, "Nishamrudishia tusi lake haya mtoe kifungoni." MS
How I wish life was that simple.
Mohamed
Msomi, hakuna hilo neno kwenye nyekundu, usahihi wake ni "regurgitation".
Naona hujajibu post yangu, vipi?
By FaizaFoxy![]()
![]()
Kwanza hilo neno (nililokuwekea nyekundu hapo juu) umelikosea, usahihi ni "regurgitation".
Halafu naomba basi tuoneshe hizo "dubious, prejudiced sources" ili sisi tuzifaham, ukishindwa ujuwe inakurudia wewe.
Ukimaliza hapo utupe wewe (acceptable) "acceptable scholarly standards like critical thinking, objectivity, impartiality, reflectivity," ili tulinganishe.
Ya mwisho ni hii "etc.", Mwalim aliyenifundisha somo la Kiingereza aliniambia ukiona mtu anaandika na kuishia na "etc." ujuwe kaishiwa na maneno, Jee, ni kweli umeishiwa na maneno? au ulikuwa unamaanisha nini?
By FaizaFoxy![]()
![]()
Kuna siku, zamani kiasi (1989) nilikuwa katika maonyesho ya biashara nchi za nje (wakati huo naishi nje ya Tanzania), kwa bahati akatokea mtu kwenye banda letu katika kuongea nae akaniuliza "Where are you from?" Nikamjibu "Tanzania" akaniambia "oohh I know Tanzania, where majority leave as minorities" sikumuelewa nikamuuliza anifafanunulie, akaniuliza tena "what is the Muslims population percentage wise?" Nikamjibu "over 50%" akaniambia "you are very close but its actually over 60%" nikamwambia "it could be, why?" Akaniambia "though you are the majority but you have less educated, less employed and less privileged you are minorities" sikumuelewa, lakini baada ya kurudi Tanzania (baada ya kuishi nje kwa muda mrefu sana), nikamkumbuka sana yule mtu na ndio nikamuelewa na nnazidi kumuelewa kila kukicha alikuwa anasema nini.Last edited by FaizaFoxy; 31st October 2011 at 18:48.
enzi zile tukihadithiwa simulizi za simba na sungura na kina bibi/babu tuliamini kama wanyama hawa walikuwa katika mapori ya kina bibi na babu tu. lakini tulipokua(kama Mo) tukajua laa kumbe simba na sungura wapo kila mahala penye pori kama alivosema bibie FF. Tukaachana na mapokeo ya kina bibi. ni haibu kuhona kuwa mtu anayejinasibu kuwa mhandishi mzuri anaweza kutuletea hadithi za mapokeo alosimuliwa na babuze ati uhuru uliletwa na wapagazi wa gerezani kariakoo.